Uteuzi Wanafunzi wa vyuo Vikuu hadi Sept 22 -TCU

Status
Not open for further replies.

TUNAWASUBIRI kwa HAMU XANA.
 
Du,wape pole hao masela,ila kama maksi zao zilikuwa ya ufaulu wa chini basi ni uzembe wao wa kushindwa kusoma alama za nyakati!
 
we ndo kalagha bawooooo


....yani ukizubaa admission mwaka uu kwako utaisikia ileee inapepea ...
unajaza kozi zaushindan bilá kuangalia mbele .. ushauri wasiliana na tcu

angekua kakosa zote jina lake lingetokea second round selection kuna uwezekano wa kupata mmoja ndo maana hajatupwa second round selection
 
duuu ila kweli vijana wamepanik hawalali wala kufanya kazi kila wakati tcu kwa hali hii vijana wengi watenda mirembe jaman tcu wakoen vijana hawa tangazen bas post mtu ajue kaula au anaenda shamba.
 
Mshikaji wangu matokeo yalipo leak alipewa DUCE ,lakn kwenye profile yake rangi ya bluu ndo imetawala kwa kila chuo until now!
 
Hahahaha wanaleta headache kwa watu hawa wajinga
 
Acha swaga,jaribuni kuwa mnashirikisha serikali ya kichwa kwenye upembuzi wa mambo kwan mie naona kama post nyingine n uchwara!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…