Uteuzi Wanafunzi wa vyuo Vikuu hadi Sept 22 -TCU

Status
Not open for further replies.
Sasa una uliza nn?? Elimu haijakukomboa nn???habari zote utapata kwenye web site husikaa mkuu

wekama hujui kitu kaa kimya mkuu hujalazimishwa kujibu!.

Wewe ni sawa na wela watu ambao unawaulizia TCU iko wapi anakuambia ipo dar, wakati kila mtu anajua ipo dar, tatizo nikwamba hajui ipo dar sehemu gani.

So, ukiulizwa kitu kaa kimya otherwise weka directed link to the concerning topic.
 
Sasa una uliza nn?? Elimu haijakukomboa nn???habari zote utapata kwenye web site husikaa mkuu

jamaa anataka hbr za kusadikika he's escaping from facing the reality, hawa watu hata ukiwaambia majina ya mkopo yashatoka kitambo then una attach post ya mwaka jana wataamini mkuu..!
 
Aisee mpaka vyuo vifunguliwe labda ndo mchecheto utaisha, sasa unauliza habar za heslb wakat tcu bado, wew subiri! kwani ukijua leo ndo mkopo utaongezeka.

Akha mnakera.
 
Jamaa kauliza swali, kama hakuna majibu kaeni kimya. Msitake kutafuta umaarufu kupitia swali lake.
 
Piga gotiiii chini upate mkopo maaana nyie big result shida mwaka huuu mnamchecheto mambo chondeeee chonde.
 

yaan ww ndo buree... sasa nia yako udanganywe au ndo urizike. coz website yao ndo wanaandika kila kitu zaid ya hapo utapata ronja za uongo.
 
Naomba kwa anaefahamu, heslb watatoa lini mkopo after the release of tcu post?

kutoa mikopo au majina yanayoindicate kiwango cha mikopo? kama ni mikopo hadi mfike chuo then wiki mbili za mwanzo au tatu mtapata hela yenu.

Ila kama ni majina ya waliopata mkopo basi yatatoka tareh 22 cuz tcu itatoa full majina na viwango vya pesa.
 
TCU kutofautisha rangi kwenye kozi zilizochaguliwa ina maana gani.
 
Blue una vigezo vya iyo kozi na nyeusi huna vgezo vya iyo kozi (huna sifa)
 
kutoa mikopo au majina yanayoindicate kiwango cha mikopo? kama ni mikopo hadi mfike chuo then wiki mbili za mwanzo au tatu mtapata hela yenu.

ila kama ni majina ya waliopata mkopo basi yatatoka tareh 22 cuz tcu itatoa full majina na viwango vya pesa

Mkuu umenielewa poa kabisa, na umejibu swali langu exactly as I want.
 
mkuu umenielewa poa kabisa, na umejibu swali langu exactly as i want.

Amekudanganya huyu ipogo hivi baada ya selctn za tcu kutakuwa na kashikashi za kuhama chuo kama hujakipenda hii ita -take kama wk moja hiv then baada ya hapo ndo wazee wa OLAS watacheka patience is the sole thing to adhere..!
 
Nikweli na mimi nimeona ila kwenye kozi ya kwanza na ya mwisho? Wewe je?
 
Dgo second round nimeona status approved!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…