mbili black. Tatu blue
Saa 7 mchana. Tena siku hiyo kuna watu watalia na kusaga meno except watakaochaguliwa kwenda UD na Mzumbe.
jaman tcu wanatoa lini majina ya vyuo?
Mnazingua nyinyi,yaan mkifaulu kwa kuungaunga ndio matokeo Yake haya,
Ukichaguliwa UD au Mzumbe ntakuona ww kidume.
Ukichaguliwa UD au Mzumbe ntakuona ww kidume.
na ukichunguza kwa makini wenye hilo joto la kuzungumzia TCU kila siku ni wenye kuanzia div2 pts 9 na div3 za hovyo afu waliweka machaguo ya kwanza vyuo vya maana.....na mtakoma ndundule nyie
Ufaulu wangu unakuhusu nini wewe?au ndio kipele cha makalio kinakuwasha?nilipoomba chuo nilikua na uhakika wa kuchaguliwa,ckuwah kufanya huo ujinga cjui alama nyekundu na nyeusi,
mijitu mizima,kichwani hamna kitu.....
yaani mtu akiona mnavyojadili utumbo hashangai kuona mambo mengi yamedorola kwenye hii nchi..
.....eti lijitu linasema watu watalia na kusaga meno wakati kuna watu wana div 1 ambayo ww hujawahi kuipata maishani mwako,,,hawajajaza hivyo vyuo......kutokana na sababu mbalimbali ambazo kutokana na upeo wako mdogo wa kufikiri huwezi kuzielewa
na ukichunguza kwa makini wenye hilo joto la kuzungumzia TCU kila siku ni wenye kuanzia div2 pts 9 na div3 za hovyo afu waliweka machaguo ya kwanza vyuo vya maana.....na mtakoma ndundule nyie
Saa 7 mchana. Tena siku hiyo kuna watu watalia na kusaga meno except watakaochaguliwa kwenda UD na Mzumbe.
mijitu mizima,kichwani hamna kitu.....
yaani mtu akiona mnavyojadili utumbo hashangai kuona mambo mengi yamedorola kwenye hii nchi..
.....eti lijitu linasema watu watalia na kusaga meno wakati kuna watu wana div 1 ambayo ww hujawahi kuipata maishani mwako,,,hawajajaza hivyo vyuo......kutokana na sababu mbalimbali ambazo kutokana na upeo wako mdogo wa kufikiri huwezi kuzielewa