Uthibitisho wa uwepo wa MUNGU bila kuhusisha kitabu cha dini

Uthibitisho wa uwepo wa MUNGU bila kuhusisha kitabu cha dini

DAN LOKOMOTIVE

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2016
Posts
1,528
Reaction score
1,955
Wakuu nimejaribu kufikiri kwa logic ndogo tuu ili kutoa uthibitisho wa mungu kwa kutumia laws of nature tujadili.

Kila kitu kilichopo ulimwenguni kina opposite yake mfano uongo kuna ukweli giza kuna mwanga njaa kuna shibe kila kitu kina kinyume chake ,,,sasa hakuna mtu aliyewahi kumouna Mungu wala kuthibitisha lakini kuna nguvu za giza ama uchawi hiyo hata wewe utakua ulisha shuhudia uchawi kuna mambo ya kuuana, vinyongo , kutupiana mapepo na yote haya kila mtu anaproove.

Sasa turudi kwenye principle yetu kwamba kila kitu kina opposite yake maana yake kuna nguvu opposite inayopingana na nguvu za giza tuiite ''nguvu ya mwanga''hii nguvu ndio Mungu mwenyewe nikimaanisha nini kila kitu ulimwenguni kina asili yake kama kuna asili ya nguvu ya giza basi kuna asili ya nguvu ya mwanga{mungu} ukishaelewa hapo unakuja sasa kwa kutumia nature laws.

Kwamba kila nguvu ama kitendo lazima kibalance ili ulimwengu uendelee ndio maana unaona watu ukitaka kujenga unachimba mchanga uatakata miti hii inamaanisha nini kwamba dunia ama ulimwengu hauwezi kulalia upande mmoja ndio maana tunachukua vya ulimwengu tunavitengeneza ngua, magari kwa hiyo kila kitu lazima kibalance...sasa tunakuja kwenye suala la nguvu za giza na nguvu za mwanga {Mungu} je tujiulize zimebalance.

Kwa kutumia akili ya kawaida kulinganisha nguvu mbili tofauti tunaangalia effects zake ama matokeo yake na maanisha nini kwamba ilikujua gari moja ina uwezo mkubwa kuliko nyingine itabidi zipewe kazi moja ili kuangalia matokeo mfano watazifunga kamba zivutane, au zitawekewa mzigo kuangalia ipi itakua fasta...vivo hivyo kwenye kila kitu ulimwenguni kuanzia simu,computer, wakimbiaji, watu wenye akili, vifaa vya kijeshi n,k.

Sasa turudi kwenye topic kati ya nguvu giza na nguvu mwanga{Mungu} ipi inanguvu tunaangalia effects zake katika maisha ya binadamu tukianza ya giza tumeona tumesikia ikisababisha ajali, magonjwa ,mapepo lakini jiulize je ukilinganisha je ni binadamu wangapi wana mapepo au wameingia katika mtindo wa kinguvu za giza ni wengi lakini huwezi kulinganisha na wasiokua na mapepo au kukumbwa na uchawi. kwa hiyo nguvu mwanga inaonekana kuwa kubwa kuliko nguvu ya giza.

Kama hii nguvu giza ingelikua na effects kubwa kuliko Mungu basi Binadamu wengi tungekua na mapepo ama wachawi. Lakini pia tujiulize kama nguvu giza inakua na masharti tumesikia kuna kafara, namna ya kufanya namna ya kuiomba vile vile nguvu mwanga{Mungu} nayo kuna masharti yake ambayo yanapingana kabisa na mashari ya nguvu giza nguvu mwanga{Mungu) hii ina masharti yake kama kupendana, usimchukie mwenzako, na mengine mengi ambayo opposite na nguvu giza.

Nawasilisha pinga kwa kutumia hoja.
 
Kuna ulazima gani wa hiyo "nguvu ya mwanga" iwe Mungu?

Unathibitishaje nguvu ya mwanga ndio Mungu?

Ni wewe binafsi kwa maoni na mtazamo wako ume amua kuipachika hiyo nguvu ya mwanga jina "Mungu".

Yani unaita nguvu fulani jina "Mungu" halafu unahitimisha kwamba hii nguvu ndio Mungu? Umejuaje kama ni Mungu? Na sio maoni na mtazamo wako tu?



Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Kuna ulazima gani wa hiyo "nguvu ya mwanga" iwe Mungu?

Unathibitishaje nguvu ya mwanga ndio Mungu?

Ni wewe binafsi kwa maoni na mtazamo wako ume amua kuipachika hiyo nguvu ya mwanga jina "Mungu".

Yani unaita nguvu fulani jina "Mungu" halafu unahitimisha kwamba hii nguvu ndio Mungu? Umejuaje kama ni Mungu? Na sio maoni na mtazamo wako tu?



Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
source ya nguvu za giza ni shetani opposite yake
 
source ya nguvu za giza ni shetani opposite yake
Aliyekwambia source ya nguvu ya giza ni shetani ni nani?

Shetani ni nani? Na Mungu ni nani?

Hiyo "source" kwa nini iwe shetani kuwakilisha nguvu giza, Na kwa nini iwe Mungu kuwakilisha nguvu mwanga?

Kusema kwamba nguvu giza ni shetani na nguvu mwanga ni Mungu inabaki imani,maoni na mtazamo wako tu wala Huna uthibitisho wa kuthibitisha OPPOSITE ya hivi vitu viwili...



Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Mungu ni imani na ni vigumu kutetea imani yako katika ukweli uliowazi ili kila mtu aone. Unaweza kibishana na mtu hadi asubuhi kwa kile anachoamini yeye kuhusu jambo lolote na msifike muafaka

Ndio maana hakuna uthibitisho wa kitaalam kuonesha Mungu yupo, bali uthibitisho wa nadharia na imani.

Mfano. Nimeona mtu anashukuru Mungu kwa kuponya mtoto toka tetemeko huko uturuki, ila la kujiuliza kwa nini aliruhusu watu wauwawe kikatili vile. Mwisho yeye pia apewe sifa za kuokoa.
 
Wakuu nimejaribu kufikiri kwa logic ndogo tuu ili kutoa uthibitisho wa mungu kwa kutumia laws of nature tujadili.

Kila kitu kilichopo ulimwenguni kina opposite yake mfano uongo kuna ukweli giza kuna mwanga njaa kuna shibe kila kitu kina kinyume chake ,,,sasa hakuna mtu aliyewahi kumouna Mungu wala kuthibitisha lakini kuna nguvu za giza ama uchawi hiyo hata wewe utakua ulisha shuhudia uchawi kuna mambo ya kuuana, vinyongo , kutupiana mapepo na yote haya kila mtu anaproove.

Sasa turudi kwenye principle yetu kwamba kila kitu kina opposite yake maana yake kuna nguvu opposite inayopingana na nguvu za giza tuiite ''nguvu ya mwanga''hii nguvu ndio Mungu mwenyewe nikimaanisha nini kila kitu ulimwenguni kina asili yake kama kuna asili ya nguvu ya giza basi kuna asili ya nguvu ya mwanga{mungu} ukishaelewa hapo unakuja sasa kwa kutumia nature laws.

Kwamba kila nguvu ama kitendo lazima kibalance ili ulimwengu uendelee ndio maana unaona watu ukitaka kujenga unachimba mchanga uatakata miti hii inamaanisha nini kwamba dunia ama ulimwengu hauwezi kulalia upande mmoja ndio maana tunachukua vya ulimwengu tunavitengeneza ngua, magari kwa hiyo kila kitu lazima kibalance...sasa tunakuja kwenye suala la nguvu za giza na nguvu za mwanga {Mungu} je tujiulize zimebalance.

Kwa kutumia akili ya kawaida kulinganisha nguvu mbili tofauti tunaangalia effects zake ama matokeo yake na maanisha nini kwamba ilikujua gari moja ina uwezo mkubwa kuliko nyingine itabidi zipewe kazi moja ili kuangalia matokeo mfano watazifunga kamba zivutane, au zitawekewa mzigo kuangalia ipi itakua fasta...vivo hivyo kwenye kila kitu ulimwenguni kuanzia simu,computer, wakimbiaji, watu wenye akili, vifaa vya kijeshi n,k.

Sasa turudi kwenye topic kati ya nguvu giza na nguvu mwanga{Mungu} ipi inanguvu tunaangalia effects zake katika maisha ya binadamu tukianza ya giza tumeona tumesikia ikisababisha ajali, magonjwa ,mapepo lakini jiulize je ukilinganisha je ni binadamu wangapi wana mapepo au wameingia katika mtindo wa kinguvu za giza ni wengi lakini huwezi kulinganisha na wasiokua na mapepo au kukumbwa na uchawi. kwa hiyo nguvu mwanga inaonekana kuwa kubwa kuliko nguvu ya giza.

Kama hii nguvu giza ingelikua na effects kubwa kuliko Mungu basi Binadamu wengi tungekua na mapepo ama wachawi. Lakini pia tujiulize kama nguvu giza inakua na masharti tumesikia kuna kafara, namna ya kufanya namna ya kuiomba vile vile nguvu mwanga{Mungu} nayo kuna masharti yake ambayo yanapingana kabisa na mashari ya nguvu giza nguvu mwanga{Mungu) hii ina masharti yake kama kupendana, usimchukie mwenzako, na mengine mengi ambayo opposite na nguvu giza.

Nawasilisha pinga kwa kutumia hoja.
Unaweza kuthibitisha kuwapo kwa uchawi?

Pia, unajuaje kuwa ni lazima kinyume cha "nguvu za giza" ni Mungu na si kingine chochote?

Huoni kwamba umelazimisha hoja hapo kwa logical non sequitur?
 
Umechanganyikiwa hapa duniani kuna miungu zaidi ya bilioni sasa Mungu yupi unayemuongelea. Huyu wa Uarabu na Israel ambaye sifa yake kuu ni kusambaza na kuhamasisha kuchukua watu utumwani na kuua watu?
 
Daaah, ndugu yangu mada yako ni nzuri sana, na inaeleweka vizuri sana. Lakini nasikitika baadhi ya watu hawajakuelewa; kulingana na majibu wanayoleta!

Mimi nitaongelea kuhusu nguvu za giza na suala zima la imani kwa Mungu wetu.

Kuna watu wamesema kwamba suala la Mungu ni jambo la imani; ni kweli kwakuwa hakuna mtu aliyemuona Mungu, lakini tunathibitisha uwepo wake kutokana na viashiria vingi kwetu sisi waja wake.

Jamaa ameeongelea nguvu za giza; nguvu za giza ni mambo yanayoenda kinyume na mapenzi Mungu, kama jamaa alivyosema. Kuna hayo mashetani, pepo wachafu, nk. Haya yanaenda tofauti na mapenzi ya Mungu wetu, na ndio maana kwa mtu yeyote anayemfuata Yesu Kristo, hawezi kukumbana na haya! Jina la Yesu Kristo, ni moto mkali sana kwao!

Sasa nitaongelea kwanini watu wanakuwa dhaifu na hatimaye kujikuta kuwa wafuasi wa mapepo! Najuwa kuna watu watachukia, lakini ngoja niseme, huenda Mungu amenituma kuwaokoa baadhi ya watu!

Unajuwa kwanini watu wanapagawa na mapepo? Nitawarudisha nyuma kidogo. Mungu alimuumba binadamu kwa mfano na sura yake. Kwa maneno hayo tu, hivi unaweza kuiona thamani ya binadamu?!

Kwa taarifa yako, hata malaika wa Mbinguni wanamuonea wivu binadamu kwa namna Mungu anavyomthamini!

Sasa hebu jiulize, kama Mungu anamuona binadamu ni wa thamani, inawezekana vipi lipepo, tena lichafu limuingie binadamu? Does it make sense to you?

Nini kinatokea? Mapepo huwa yanazungukazunguka ili kujitafutia mahali pa kupumzika. Kumbuka shetani hana makao, maana alikwishafukuzwa na kulaaniwa na Mungu!

Binadamu tunapolega kiimani (kumuacha Mungu) na kujiingiza katika mambo ya giza, ndipo tunampa nafasi shetani ya kutusogelea na hatimaye kutusoma jinsi tulivyo kisha kujiingiza kwetu!

Tunapolega kiimani, labda kutokana na changamoto (au majaribu) ndogo tu, tunaanza kutafuta nguvu za giza, kama uganga wa kuaguwa, nk. Hapa tunajiunga na mapepo na kuwa wafuasi wake! Hapa mapepo yanateka watu na kuwa wafuasi wao, na hatimaye kuwatawala watakavyo.

Lakini ni vigumu pepo mchafu nikumfuata mtu aliyelishikilia jina la Yesu Kristo! Kila kisababishi ni lazima kiwe na chanzo (cause and effect). Haiwezekani mtu umeumbwa kwa mfano na sura ya Mwenyezi Mungu, halafu uvagawe na lishetani!

Kinachotokea ni kwamba mtu anajigeuza kuwa na sura tofauti na ile aliyoumbwa na Mwenyezi Mungu, na kuwa kitu kingine tofauti, ndipo mashetani wanaona wamefanana naye na kisha kumvagaa. Ndege wafananao huruka pamoja!

Achana na kujihusisha na mambo ya uchawi, ushirikina, ramli, na mambo mengine ya nguvu za giza, halafu uone kama kuna kitu kinaitwa pepo mchafu kitakachokufuata. Wewe ni wa thamani kubwa sana kwa Mungu wetu, shetani ni mtumwa wako, na sio wewe kuwa mtumwa wake.

Unakumbuka Mungu alipomuumba binadamu, alimwambia utatawala viumbe vyote vya duniani?! Sasa leo iweje pepo mchafu (au shetani) akutawale? Hey men, work up?
 
Mtoa mada haina haja ya kumlazimisha mtu kuwa Mungu yupo.Kama mtu anaamka asubuhi anaona kaamka na nguvu zake au uwezo wake mwache.Siku akifa atajua huko mbele ya safari.Hawa watu wana moyo kama wa farao mpk kiwakute kitu ndio watajifunza
 
Mtoa mada haina haja ya kumlazimisha mtu kuwa Mungu yupo.Kama mtu anaamka asubuhi anaona kaamka na nguvu zake au uwezo wake mwache.Siku akifa atajua huko mbele ya safari.Hawa watu wana moyo kama wa farao mpk kiwakute kitu ndio watajifunza
Mkuu,

Mimi binafsi sikubali uwepo wa Mungu, na pia, nikikutwa na kitu kibaya, huo utakuwa ushahidi zaidi kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Kwa sababu, Mungu huyo angekuwepo, hakuna kitu kibaya chochote ambacho kingeweza kutokea kwa yeyote.
 
Back
Top Bottom