zwenge ndaba
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,037
- 3,598
Biashara ya maziwa ,Kuna sehemu chalinze wanauza Lita 1 elfu moja
Mchanganua kwa elfu 50
Lita 40@1000=40000
Dumu la Lita 50=3000
Nauli =7000
Apo elfu hamsini inakua imekwisha
Maziwa kwa dar Lita moja 2000 mpaka 1500
Kwa kua Lita hamsini ni kidogo ,sio lazima kufikisha mzigo dar.unaweza uzia kibaha kwa Kila lita 1500
Faida 20000 kwa siku.ukiuza dar kwa 2000 kwa Lita ,faida 40000 kwa siku.
Nikiikosa 50000 hiyo ,kutakua na mkono wa mtu
Mchanganua kwa elfu 50
Lita 40@1000=40000
Dumu la Lita 50=3000
Nauli =7000
Apo elfu hamsini inakua imekwisha
Maziwa kwa dar Lita moja 2000 mpaka 1500
Kwa kua Lita hamsini ni kidogo ,sio lazima kufikisha mzigo dar.unaweza uzia kibaha kwa Kila lita 1500
Faida 20000 kwa siku.ukiuza dar kwa 2000 kwa Lita ,faida 40000 kwa siku.
Nikiikosa 50000 hiyo ,kutakua na mkono wa mtu