Uthubutu: Kijana atakayeelezea jinsi atakavyoizalisha elfu 50 ndani ya mwezi mmoja nitamkopesha bila riba

Uthubutu: Kijana atakayeelezea jinsi atakavyoizalisha elfu 50 ndani ya mwezi mmoja nitamkopesha bila riba

Simamia maamuzi yako wala usiyumbishwe na fikra za yeyote.

Ninaamini pia wakati wa kumtangaza msindi/washindi utaeleza pia vigezo vilivyotumika kulipima wazo na kuliona kuwa ni bora.
Msianze kuleta mada za kunichafua.
Mimi hamnijui na siwezi kutumia mwanya huo kufanya vitu vya hovyo.
Someni updates zangu pale chini.
Kila kitu kitakaa sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msianze kuleta mada za kunichafua.
Mimi hamnijui na siwezi kutumia mwanya huo kufanya vitu vya hovyo.
Someni updates zangu pale chini.
Kila kitu kitakaa sawa
mkuu duniani hatupo sawa naamini utatupa mrejesho positive kuhusu hili ukwamue vijana na iwe fundisho kwa yoyote mwenye kuweza kutoa msaada

NB; kutoa sio utajiri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana mkuu mimi sidhani kama naweza kujiingiza kufadhiri mitimu,kufadhiri timu hizo sifa tu mtu anatafuta lakini hakuna maana yoyote mkuu. Tena mo ndio kabisa wafanyakazi kwenye viwanda vyake wanafanya kazi ktk mazingira kwa muda mrefu bila kupumzika,ujira kidogo,huku upande mwingine ukimwaga mihela isiyo na maana yoyote kwa timu. Angalau bakhresa wafanyaka kazi wanafanya kazi kwa kufuata sheria za kimataifa,wanalipwa vizuri. Jiulize wewe ni bilionea una viwanda,lakini unapoishi tu wanaokuzunguka kuna masikini wa kutupwa,anza na wao,kama sio kuwaajiri wawezeshe kwa namna yoyote hata anza nao mafunzo ya ujasiliamali. Badae kamtaa kote mnakuwa mko vizuri japo hamuwezi kuwa sawa,lakini vijumba vya kubumba vinaondoka mtaa wote

Sent using Jamii Forums mobile app
WanaYanga hao
 
Wazo langu likikubalika, kwa hiyo 50 huku Iringa nitajumua viaz mviringo kwa tsh 47,00 ndani yake huwa kunakua na lita 90 au debe za lita 20 huwa zinaingia 4.5.
Ukilifungua na kuuza rejareja kwa huku Iringa lita moja tsh 1000, lita 2 tsh 2000 lita 4 tsh 3000 na lita 10 tsh 8000 plastick la lita 20 tsh14,000.
Ukiuza rejareja kwa hizo bei haukosi tsh. 15,000 mpaka 40,000 kwa gunia moja itategemea wateja wengi watanunua kwa kipimo kipi Ikiwa kwa lita moja moja faida itakua kubwa kuliko plastick kitu ambacho gunia unaweza kuuza kwa siku moja.
Mtaji ukikua nitaanza kuchimba mwenyew shambn na kupeleka Dar maana Dar bei n kubwa zaida na mzunguko ni mkubwa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazo langu likikubalika, kwa hiyo 50 huku Iringa nitajumua viaz mviringo kwa tsh 47,00 ndani yake huwa kunakua na lita 90 au debe za lita 20 huwa zinaingia 4.5.
Ukilifungua na kuuza rejareja kwa huku Iringa lita moja tsh 1000, lita 2 tsh 2000 lita 4 tsh 3000 na lita 10 tsh 8000 plastick la lita 20 tsh14,000.
Ukiuza rejareja kwa hizo bei haukosi tsh. 15,000 mpaka 40,000 kwa gunia moja itategemea wateja wengi watanunua kwa kipimo kipi Ikiwa kwa lita moja moja faida itakua kubwa kuliko plastick kitu ambacho gunia unaweza kuuza kwa siku moja.
Mtaji ukikua nitaanza kuchimba mwenyew shambn na kupeleka Dar maana Dar bei n kubwa zaida na mzunguko ni mkubwa.


Sent using Jamii Forums mobile app
hivi unajua soko la viazi ni?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom