zwenge ndaba
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,037
- 3,598
Nikisema kila siku 10k haimaanishi nitafanya biashara ya mauzo 10,000 kila siku10000 × 30 = 300000
hao wanafunz utawauzia chips mpaka jmosi na jumapili
Sent using Jamii Forums mobile app
well notedNikisema kila siku 10k haimaanishi nitafanya biashara ya mauzo 10,000 kila siku
kuna siku biashara nitapata 15k kuna siku nitauza 20k na kuna siku nitarudi na 8k
kwenye 15k (lengo ni 10k so 5k ipo pembeni) kwenye 20k (lengo ni 10k so 10k ipo pembeni)
Jmosi na Jpili we fill the gaps kwa zile zilizokua zinazidi na tunaziweka pembeni kila siku.
Hakuna tajiri mwenye dhamira ya kumkomboa masikini maana umasikini wetu ndiyo utajiri wao.
Ndiyo sababu wako tayari kutapanya pesa ovyo (kuwalipia viingilio uwanjani, kudhamini team mnazozipenda n.k) lakini si kuwekeza kwenye sekta zitakazowagusa moja kwa moja kiuchumi.
Kwa tajiri kumuwezesha masikini ni kujibomoa mwenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kijana yoyote ambae ramani hazijakaa sawa namshauri afwate huu ushauri kwa moyo wote na akili zote na kama ataona aibu ahame mkoa akaifanye mkoa mwingine kwa uhuru.kwani ni biashara ya mtaji mdogo na yenye faida kubwa.
Mimi ni shuhuda wa hii biashara na sijaiacha hadi leo.nilipomaliza college na kielimu cha diploma ya pharmacy nimedispense dawa kwenye maduka makubwa ya wahindi kwa miezi 3 tu nikiwa nalipwa laki 5 na nusu.
Nkaacha kazi nkasepa chuga kuuza mishkaki! Wazaz,ndugu na jamaa wacha wanilaumu mno hakuna hata mmoja alienisupport ila sasa hivi wananipongeza!
Yani watanzania wengi sijui tukoje,mtu yupo radhi afanye kazi ya heshima ila haina maslahi makubwa kuliko kazi isiyo na hadhi yenye faida lukuki.ndani ya mwezi wa kwanza tu niliingiza faida ya m1.2!sasa ndugu zangu wana jf kipi kilikua bora kati ya kugawa dawa huku ukiwa na clinical coat ndani ya kiyoyozi mhindi anakupelekesha siku nzima kafunga na camera kabisa kila kona ukichat au ukisinzia ni msala,kazi unaingia saa 1.30 hadi saa 2-3 usiku kila siku huku upande wa mishkaki nilikua nadaamka saa10 kwenda machinjioni kununua nyama kwa bei chee narudi naandaa saa12 niko shule ya msingi naanza kuwachomea madogo saa 6 mchana nshamaliza naingia mtaani kuangalia mishe nyingine,jioni tena huyo maeneo ya stendi kuchoma mishkaki.
Najua ni ngumu sana kwa msomi ila toka mkoa uliopo wanakujua nenda sehemu ambayo hakuna hata anaejua kama ulifika hata la 7!
Nilianza hivyo taratibu hatimae nkaweka vijana waaminifu niliowatoa vijijini huko na hivi nnavyoandika,naingiza si chini ya laki mbili faida kila siku ya Mungu bila pua za TRA wala cha Halmashauri
Mbuzi wa 25k wanapatikana wapi mkuu?ntaenda kununua mbuzi wawili kwa 25000@ kila mmoja, ntachinja nna uhakika wa kupata 20 kwa siku hivo nna uhakika wa kupata hyo 50 kwa wiki,
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu hata hivyo mbuzi wawili akiwachinja wanaletaje faida ya elfu 10000 kwa siku mbona kama ndogo sana. Sie kwetu huku mbuzi mmoja analeta faida ya 30000 ukiuza nyama choma
October man moja ya memba ninao waelewa sana.
serikali haiwezi kukubali mo na bakhresa waingilie sekta ya benki na kuvuruga uchumi kwa kukopesha kwa riba ndogo.....kumbuka wanaopanga viwango vya riba ni bot kwa niaba ya serikali.Hongera mkuu. Huo ndio ubinadamu. Ingekuwa wale wenye mitaji mikubwa wangewafanyia hivi wengine Tanzania ingebadirika haraka sana. Huwa najiuliza sana mtu kama mo au bakhresa kwa nini asikopeshe wenye kutaka biashara lakini hawana mitaji?.
Kuliko kufadhiri litimu kama simba wanakula hela tu tena nyiiingi sana ukipiga hesabu kwa mwaka. Lakini hakuna faida yoyote wala muendelezo wa hizo timu,zote zinashindana kushindana zenyewe tu na kuishia hapa hapa.
Lakini kwa wazo kama hilo wangekuwa wanawakopesha watu hata kwa liba ndogo tu hata iwe 3% ya kuilinda tu ile hela. Hongera sana mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Katanga kilo 5000 hautoboi kwa upande wa Arusha cz hamna faida yeyote nauzoefuu labda mteja umuzie punje 5 miaKuuza Karanga za Kukaanga na Sigara
Mahitaji :
Jiko la mkaa : 3500
sufuria : 5000
pakti : 5000
Mkaa : 1000
Ungo : 2000
Ports : 3400
Embassy : 4300
SM : 3400
Karanga 1kg : 5000
JUMLA : 32,600 (katika 50,000 nitabaki na 17,400 kilinda mfuko)
Karanga nitafunga size 3 tofauti,za 200 za 300 na 500,nitauza mchanganyiko mbichi na za kukaanga mteja atachagua yeye anataka pakti gani.
Hii biashara nina uwezo wa income ya faida above 5000 per day x 30 = 150,000,hapo ni karanga tu,sijapiga hesabu ya sigara. Hiyo 50,000 yako nina uhakika ndani ya mwezi itakua imerudi mkuu.
Kuuza Karanga za Kukaanga na Sigara
Mahitaji :
Jiko la mkaa : 3500
sufuria : 5000
pakti : 5000
Mkaa : 1000
Ungo : 2000
Ports : 3400
Embassy : 4300
SM : 3400
Karanga 1kg : 5000
JUMLA : 32,600 (katika 50,000 nitabaki na 17,400 kilinda mfuko)
Karanga nitafunga size 3 tofauti,za 200 za 300 na 500,nitauza mchanganyiko mbichi na za kukaanga mteja atachagua yeye anataka pakti gani.
Hii biashara nina uwezo wa income ya faida above 5000 per day x 30 = 150,000,hapo ni karanga tu,sijapiga hesabu ya sigara. Hiyo 50,000 yako nina uhakika ndani ya mwezi itakua imerudi mkuu.
Biashara iliyokushinda wewe, haiwezi kuwa ndio msimamo wa LIGIKatanga kilo 5000 hautoboi kwa upande wa Arusha cz hamna faida yeyote nauzoefuu labda mteja umuzie punje 5 mia
Sent using Jamii Forums mobile app
sawaKaranga kilo inatoa vijiko 65 vya 100 kama unatembeza hapo unatafta 1500 kama unafunga unatafta 500 kama unauza jumla unatafta -1500
Sent using Jamii Forums mobile app