Uthubutu: Kijana atakayeelezea jinsi atakavyoizalisha elfu 50 ndani ya mwezi mmoja nitamkopesha bila riba

Biashara ya maziwa ,Kuna sehemu chalinze wanauza Lita 1 elfu moja
Mchanganua kwa elfu 50
Lita 40@1000=40000
Dumu la Lita 50=3000
Nauli =7000
Apo elfu hamsini inakua imekwisha
Maziwa kwa dar Lita moja 2000 mpaka 1500
Kwa kua Lita hamsini ni kidogo ,sio lazima kufikisha mzigo dar.unaweza uzia kibaha kwa Kila lita 1500
Faida 20000 kwa siku.ukiuza dar kwa 2000 kwa Lita ,faida 40000 kwa siku.
Nikiikosa 50000 hiyo ,kutakua na mkono wa mtu
 
10000 × 30 = 300000

hao wanafunz utawauzia chips mpaka jmosi na jumapili

Sent using Jamii Forums mobile app
Nikisema kila siku 10k haimaanishi nitafanya biashara ya mauzo 10,000 kila siku

kuna siku biashara nitapata 15k kuna siku nitauza 20k na kuna siku nitarudi na 8k

kwenye 15k (lengo ni 10k so 5k ipo pembeni) kwenye 20k (lengo ni 10k so 10k ipo pembeni)

Jmosi na Jpili we fill the gaps kwa zile zilizokua zinazidi na tunaziweka pembeni kila siku.
 
well noted

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bonge la shule hili mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Respect sana kwako mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
serikali haiwezi kukubali mo na bakhresa waingilie sekta ya benki na kuvuruga uchumi kwa kukopesha kwa riba ndogo.....kumbuka wanaopanga viwango vya riba ni bot kwa niaba ya serikali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katanga kilo 5000 hautoboi kwa upande wa Arusha cz hamna faida yeyote nauzoefuu labda mteja umuzie punje 5 mia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Karanga kilo inatoa vijiko 65 vya 100 kama unatembeza hapo unatafta 1500 kama unafunga unatafta 500 kama unauza jumla unatafta -1500
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katanga kilo 5000 hautoboi kwa upande wa Arusha cz hamna faida yeyote nauzoefuu labda mteja umuzie punje 5 mia

Sent using Jamii Forums mobile app
Biashara iliyokushinda wewe, haiwezi kuwa ndio msimamo wa LIGI

Biashara haifanywi kwasababu flani imemfanikisha au mtajirisha

na wala biashara haiachwi kufanywa kwasababu flani ilimfilisi

Halafu (mimi) nafanyaga Biashara NGUMU KUMEZA ambazo

watu kama wewe hamuwezi kuona faida ninayopata,zile biashara ukiiona "unabinua mdomo"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…