Uthubutu: Kijana atakayeelezea jinsi atakavyoizalisha elfu 50 ndani ya mwezi mmoja nitamkopesha bila riba

Bonde la Baraka,
naona unataka kupata wazo la biashara ili ijumaa ukakope 50 vicoba
Acheni kuwa na mawazo negative kwa kila kitu; Hivi ukitaka kumsaidia mtu usiyemfaham utatuaje kuwa yupo tayari ?
Lakini pia; wazo moja linaweza kufanyika sehemu tofauti tofauti Dar, Arusha, Tabora nk
Kwani watu wengine wakipata wazo hapa wakafanya mikoani kwao kuna shida gani? ndio maana halisi ya mtandao wa jamii/kusaidiana
Binafsi, mtoa mada hata akiweza kusaidia mtu mmoja tu ila amefungua watu akili kuwa kusaidia mtu sio lazima uwe Tajiri; Watu wengine wanahitaji mtaji wa kianzio tu 50,000 - 100,000shs wajiendeleze wenyewe
 
Huwa unanifurahisha lakini hapa umenifurahisha zaidi

I like you
 
Huwa unanifurahisha lakini hapa umenifurahisha zaidi

I like you
 
Good
 
Awakopeshe mitaji ili badae waje wampiku??
 
Wengine tujitolee kuwawezesha hao washindi walio bakia wakuu.Nipo tayari kumuwezesha mmoja wapo.

Unajitangaza una hela wewe sio bure!...unajifanya una hela eh😄..unajitangaza kusaidia eh😄...kidding!
 
I salute you
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…