Dukani
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 1,136
- 1,652
Naomba kufahamu bei ya zile azam ukwaju kwa bei ya jumla na jinsi ya kuzipata.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba kufahamu bei ya zile azam ukwaju kwa bei ya jumla na jinsi ya kuzipata.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio rahisi kutaka kuiba wazo kwa mtaji wa shs 50,000Sio kwamba unataka kuiba wazo la watu? Kama ulichoandika ndio nia yako hongera sana maana hata wenye mitaji lakini ni wavivu wa kufikiri watafaidika
Acheni kuwa na mawazo negative kwa kila kitu; Hivi ukitaka kumsaidia mtu usiyemfaham utatuaje kuwa yupo tayari ?Bonde la Baraka,
naona unataka kupata wazo la biashara ili ijumaa ukakope 50 vicoba
Hiyo elfu 50 mchanganuo, wake kwa biashara ya mishikaki.
Naenda kwa Fundi kuchomelea aniandalie Jiko elfu 25,
Natafuta kijiwe kizuri sehemu wanayopita watu wengi,
--Sokoni nyama kg 2 steki tupu =16000,
--mkaa wa 1500
-Viungo vyake 5000(hiyo siyo vya siku moja ukinunua ni vingi mpaka viishe vitakaa kaa kidogo. )
-vijiti vile vistiki vyake 2000.
Naandaa mishikaki yangu ya wastani tu ya kuuza mia 2 mia 2 tu,
Kwenye kg 2 nina uhakika wa kupata faida ya 10K kila siku hapo baada ya kutoa matumizi ya mkaa, vijiti na Nyama.
Ndani ya wiki tayari nimekurudishia 50k yako.
NB:
Nilishawahi kufanya hii kazi hivyo nina uhakika nayo. Ndio kazi iliyonipa mtaji wa kibanda cha kuchakata viazi kuwa Chips.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo elfu 50 mchanganuo, wake kwa biashara ya mishikaki.
Naenda kwa Fundi kuchomelea aniandalie Jiko elfu 25,
Natafuta kijiwe kizuri sehemu wanayopita watu wengi,
--Sokoni nyama kg 2 steki tupu =16000,
--mkaa wa 1500
-Viungo vyake 5000(hiyo siyo vya siku moja ukinunua ni vingi mpaka viishe vitakaa kaa kidogo. )
-vijiti vile vistiki vyake 2000.
Naandaa mishikaki yangu ya wastani tu ya kuuza mia 2 mia 2 tu,
Kwenye kg 2 nina uhakika wa kupata faida ya 10K kila siku hapo baada ya kutoa matumizi ya mkaa, vijiti na Nyama.
Ndani ya wiki tayari nimekurudishia 50k yako.
NB:
Nilishawahi kufanya hii kazi hivyo nina uhakika nayo. Ndio kazi iliyonipa mtaji wa kibanda cha kuchakata viazi kuwa Chips.
Sent using Jamii Forums mobile app
😁😁😁kwamba yupo bize na bisnenga au sio🤣🤣🤣🤣msimtie kihoro jamani..biashara na kuandika ni mbingu na ardhi
Habari Mkuu
Mimi nitaitumia 50000/= katika mchanganuo ufuatao kupitia biashara ya mahindi ya kuchoma
Naishi temeke stereo jirani na soko hapo wanauza mahindi mabichi nami ndiyo biashara niliyowah kuifanya Tandika sokoni
Mchanganuo
Mahindi 50@300= 15000
Usafiri = 500
Mkaa. = 1500
Chumvi. = 300
Ndimu. = 300
Ushuru. = 500
Pilipili. = 300
JUMLA. 18900
MAUZO
Nitauza mhindi 1 kwa shilingi 800 hiyo kwa mahindi 50 kwa siku n shilingi ( 50×800= 40000)
jiko ninalo hivyo sihitaji kununua
JUMLA YA MAUZO - JUMLA YA MCHANGANUO.
40000 - 18900= 21100
kwa hyo ninauhakika wa kurudi na elfu 21100 kila siku kumbuka situmii nauli kurudi nyumbani
Ninauwezo wa kuuza mahindi 50 kwa sababu Tandika n sehemu ambayo inawatu wengi ni soko kubwa hvyo mwingiliano wa watu ni Mkubwa
Baada ya siku 7 ninauwezo wa kuwa na shilingi 147700
Pia kumbuka katika elfu 50 ya mtaji baada ya matumizi ya siku ya kwanza ilibaki (50000-18900= 31100) itabaki shilingi 31100 nitaitumia kuongeza mtaji taratibu kwa siku zinazofuata maana biashara sio siku zote huwa nzuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Amen!.😁😁😁kwamba yupo bize na bisnenga au sio
Mungu amtie nguvu tu atoboe asaidie na wengine
Hongera mkuu. Huo ndio ubinadamu. Ingekuwa wale wenye mitaji mikubwa wangewafanyia hivi wengine Tanzania ingebadirika haraka sana. Huwa najiuliza sana mtu kama mo au bakhresa kwa nini asikopeshe wenye kutaka biashara lakini hawana mitaji?.
Kuliko kufadhiri litimu kama simba wanakula hela tu tena nyiiingi sana ukipiga hesabu kwa mwaka. Lakini hakuna faida yoyote wala muendelezo wa hizo timu,zote zinashindana kushindana zenyewe tu na kuishia hapa hapa.
Lakini kwa wazo kama hilo wangekuwa wanawakopesha watu hata kwa liba ndogo tu hata iwe 3% ya kuilinda tu ile hela. Hongera sana mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengine tujitolee kuwawezesha hao washindi walio bakia wakuu.Nipo tayari kumuwezesha mmoja wapo.
Wengine tujitolee kuwawezesha hao washindi walio bakia wakuu.Nipo tayari kumuwezesha mmoja wapo.
Apia mkuu 😁Upo wewe nimekumiss
Hahaha, mkuu tumetoka mbali wewe ujue..Unajitangaza una hela wewe sio bure!...unajifanya una hela eh😄..unajitangaza kusaidia eh😄...kidding!
.sisahau...Hahaha, mkuu tumetoka mbali wewe ujue..
Niapie nini sasaApia mkuu [emoji16]
Biashara iliyokushinda wewe, haiwezi kuwa ndio msimamo wa LIGI
Biashara haifanywi kwasababu flani imemfanikisha au mtajirisha
na wala biashara haiachwi kufanywa kwasababu flani ilimfilisi
Halafu (mimi) nafanyaga Biashara NGUMU KUMEZA ambazo
watu kama wewe hamuwezi kuona faida ninayopata,zile biashara ukiiona "unabinua mdomo"
Wengine tujitolee kuwawezesha hao washindi walio bakia wakuu.Nipo tayari kumuwezesha mmoja wapo.
Waooh I like you too,Huwa unanifurahisha lakini hapa umenifurahisha zaidi
I like you