Uthubutu: Kijana atakayeelezea jinsi atakavyoizalisha elfu 50 ndani ya mwezi mmoja nitamkopesha bila riba

Wapi huko mdada?
 
Mkuu mkoa gani huo wananunua hiyo kwa bei hiyo?
 

Gharama utakazoziongeza mwenyewe ni nyingi kuliko hiyo 50
 
Ni wapi huko mkuu,, naomba kuelekezwa kama hautojali
 
Ni wapi huko mkuu,, naomba kuelekezwa kama hautojali
Simjibii.
Ila Ifakara huko ndani ndani esp Mbingu mikungu Bei kama bure .2000-4000!Kuna dogo aliniomba June hii nimtaftie soko sijatulia sijamtafutia. Ana mashamba mikungu haina pa kwenda!
 
Tunasubiri Mrejesho Wakuu na sisi tutangaze nia ya kuazimwa.. 🤗

Tuko nje ya muda, Dirisha lilipaswa kuwa limeshafunguliwa..

Mkuu Bonde la Baraka umesitisha mpango wa kuzungusha mtaji?

Ilikua platform nzuri Sana...nataman atokee mtu a-base kwenye gender ya kike walah! Kumkomboa mtoto wa kike🤭!sema ndo hivyo wabongo hatuna userious huoo!
 
Ilikua platform nzuri Sana...nataman atokee mtu a-base kwenye gender ya kike walah! Kumkomboa mtoto wa kike🤭!sema ndo hivyo wabongo hatuna userious huoo!
Mange hemu anzisha yako hata ya 30,000 Tzs tu tupaje hata mada ya kuchangia changia angalau...anzisha watu watililike.

Nyuzi zimekuwa chache.
 
Mange hemu anzisha yako hata ya 30,000 Tzs tu tupaje hata mada ya kuchangia changia angalau...anzisha watu watililike.
Sina kipaji boss wangu... anzisha tu wewe... Bora iwe 500k!
Ila kwa jicho ambalo sio la kinafki wabongo wengi hatupo serious...!
Tuna ideas kibaooo...kuziimpliment Sasa🤸!
 
Sina kipaji boss wangu... anzisha tu wewe... Bora iwe 500k!
Ila kwa jicho ambalo sio la kinafki wabongo wengi hatupo serious...!
Tuna ideas kibaooo...kuziimpliment Sasa🤸!

Hee kipaji gani tena.

Haha uanzishe ya 500K sikutachafuka humu kama kule Twitter alivyochafua watu MO.
 
Hee kipaji gani tena.

Haha uanzishe ya 500K sikutachafuka humu kama kule Twitter alivyochafua watu MO.
Means mtu apewe laki 5 then atakuwa anafatiliwa anaendeleaje na biashara zake ..!asirudishe na riba...! Mo kafanyaje tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…