Uthubutu: Kijana atakayeelezea jinsi atakavyoizalisha elfu 50 ndani ya mwezi mmoja nitamkopesha bila riba

Uthubutu: Kijana atakayeelezea jinsi atakavyoizalisha elfu 50 ndani ya mwezi mmoja nitamkopesha bila riba

13×4=5200.
WAZO HILI HAPA

Kwa mtaji wa elfu 50 nitaenda kariakoo kununua tishirt za shilingi elfu 4 classic kwa bei ya jumla tishirt 13 zitagharimu shilingi Elfu 48

( siongei theoretical hii biashara nina experience nayo kuna mda nilikuwa naagizwa na mtu kumchukulia mzigo tishirt ni classic kweli.)

baada ya hapo nitakuja kuziuza kwa bei ya TSH 800 kwa kila tishirt ambapo kwa tishirt 13 nitapata elfu 96000
Note: hizo tishirt nitaziuza kwa mda wa one week only.


Baaada yahapo nitarudisha nilichikuwa nimekopeshwa na kusimama mwenyewe .



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umetoa mchanganuo mzr wa namna mnavyoingiza pesa nyingi kwa kuosha magari na uzuri hakuna makato yyt yale.

Masikitiko yangu ktk andiko lako sijaona hata sehemu moja ukiandika namna ya kuongezea thamani ktk shughuli unayofanya ili kujitofautisha na wengine lkn pia kuleta tija kwa shughuli yako.

Ulifikiria hata siku moja kuzidi matarajio ya mteja/wateja wako? Ambao wanaosha wakijua wewe siyo car wash rasmi, kwahy utakuwa na changamoto kdg ukilinganisha na car wash yenyewe? Kwa kuwa surprise na vitu vdg Mara wanaporudi kwenye magari yao? Unaonaje ktk pesa unayopata ukanunua air freshener ,Polish ya dash board n.k ili umfurahishe zaidi mteja wako? Amini nachokwambia, ukijiongeza hv, wenzako kijiweni watakwambia una kizizi.
Hili wazo lenye uhalisia sana na ndio ninaloliendea sasahivi, labda uwe umejikita kwenye biashara za kuzalisha si zakutoa Huduma maana wote naona wanaleta mawazo yakuzalisha.

Hii ni FREE CARWASH
_Naoshea maeneo ya posta hiyo 50,000/= inafikishwaa kwa siku 2 cash as profit na siku kama ya leo na kesho magari yapo full packed na wengi wametoka kuuatumia siku za weekend hata kwasiku moja if Odds in my side that day.

MCHANGANUO
_Hii biashara ipo hivi gari unaosha kwa 2000/= mpaka 10,000/= inategemea umemuoshea nani maana wanaosha mpaka ma Range Rover, V8 sasa mtu ukimuoshea anakupa tu “chukua hii 8000/= Nipigie maji” unajikuta kwa siku mbaya 30,000/= kawaida.

ENEO LA BIASHARA
_Posta maeneo ya Golden jebelee tower, kuna ofisi nyingi kubwa maeneo ya nje ndio inapofanyika Huduma hii ubaazi wa SERENA HOTEL unaosha magari non-stop kutwa mzima.

MTAJI
_Hii biashara haitaji Mtaji mkubwa kwasababu unahitaji vifaa ambayo madumu na vitambaa ILA kwenye inabidi ujiunge kwenye kikundi kwa 70,000/= hili uwe mwanachama nishawapa 20,000/= ndio nahaso iyo 50,000/= niwakamilishie.
_kwa kuongeza thamani ya Huduma nanunua matauro meupe na mafuta ya kunukia hata mteja unaweza mpandishia bei kwa Huduma stahiki.

UHALISIA
_Leo ndio natoka kuwapa 20,000/= nakupeleka dumu zangu asubui tu hata SAA 2 bado wakaamua wanipe nauri yakurudi kwakupewa gari moja nioshe nimekula 5000/= cash hiyo kabla ya saa 2 ijafika imagine kutwa nzima.

So, kwahuwo Mtaji wa 50,000/= ambao kwangu ni mtaji wa kujiunga uwanachama na kuonheza matauro na mafuta siku 2 tu naitengeneza.

NB: hii dunia ya leo mawazo ya kutoa Huduma yanapesa hata ukianza chini.

IDEA IN PROGRESS...NEED BACKUP CAPITAL

CONT : 0716321462

Faida kabla saa 2 leo.View attachment 1360449

Vifaa vya kazi
View attachment 1360451

Portfolio | 2020

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umetoa mchanganuo mzr wa namna mnavyoingiza pesa nyingi kwa kuosha magari na uzuri hakuna makato yyt yale.

Masikitiko yangu ktk andiko lako sijaona hata sehemu moja ukiandika namna ya kuongezea thamani ktk shughuli unayofanya ili kujitofautisha na wengine lkn pia kuleta tija kwa shughuli yako.

Ulifikiria hata siku moja kuzidi matarajio ya mteja/wateja wako? Ambao wanaosha wakijua wewe siyo car wash rasmi, kwahy utakuwa na changamoto kdg ukilinganisha na car wash yenyewe? Kwa kuwa surprise na vitu vdg Mara wanaporudi kwenye magari yao? Unaonaje ktk pesa unayopata ukanunua air freshener ,Polish ya dash board n.k ili umfurahishe zaidi mteja wako? Amini nachokwambia, ukijiongeza hv, wenzako kijiweni watakwambia una kizizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona amesema rudia kusoma kwenye kipengele Cha mtaji aya ya pili kasema kwa kuongeza thamani ya kazi yake atanunua matauro meupo na mafuta ya kunukia vitu ambavyo wengine hawana
 
Kama utaangalia hapo nimeeleza ni jinsi gani kupitia hiyo pesa nitaongeza thamani just nime mention few kwasababu baadhi ya professional names za baadhi ya vitu majina yake yalikuwa yananipa shida tofauti na Expert kama wewe wa hii idara, ndio maana hata mafuta nimeita mafuta ila inajina lake.

So, nitaongeza vitu vyote vinavyoomgeza thamani Cheaf.

_kwa kuongeza thamani ya Huduma nanunua matauro meupe na mafuta ya kunukia hata mteja unaweza mpandishia bei kwa Huduma stahiki.

Portfolio | 2020



Umetoa mchanganuo mzr wa namna mnavyoingiza pesa nyingi kwa kuosha magari na uzuri hakuna makato yyt yale.

Masikitiko yangu ktk andiko lako sijaona hata sehemu moja ukiandika namna ya kuongezea thamani ktk shughuli unayofanya ili kujitofautisha na wengine lkn pia kuleta tija kwa shughuli yako.

Ulifikiria hata siku moja kuzidi matarajio ya mteja/wateja wako? Ambao wanaosha wakijua wewe siyo car wash rasmi, kwahy utakuwa na changamoto kdg ukilinganisha na car wash yenyewe? Kwa kuwa surprise na vitu vdg Mara wanaporudi kwenye magari yao? Unaonaje ktk pesa unayopata ukanunua air freshener ,Polish ya dash board n.k ili umfurahishe zaidi mteja wako? Amini nachokwambia, ukijiongeza hv, wenzako kijiweni watakwambia una kizizi.

Sent using Jamii Forums mobile app



Portfolio | 2020
 
Idea yako nzuri Kuna watu hapa banana karibu na kanisa la winners chaper wapo watano huwa wanaingiza zaidi ya laki kwa siku hasa siku za week endwanakujaga kugawania hela nyumbani wakija kuhifadhi vifaa vyao
Kitu kizuri changamoto kilasehemu kunawatu wamekaa ukienda wanakukaataa wanaona unawwabbania.

Portfolio | 2020
 
Elfu 50..... Ninge fanya bishara ya kuuza matunda....

Kwanza natafuta sehem nzuri yenye mkusanyiko au watu wanapo pita kwa wingi..kinaweza kuwa seem nzuri Sana ya soko...


Basi natafuta Meza yangu naweza tengeneza au kukodi kwa gahrama ya elf 1,0000

Naenda sokon na na nunua matunda kwa bei ya jumla

Ndizi mbovu3500/=

Mananasi 5,000 /=

Machungwa 5000/=

Maembe 5000/=

Pera chichi 5000/=

Matango 5000/=

Matikiti 5000/=

1500 nauli /=

5000/=
vikopo au visaan vya kufanya packege.




Nakuja tikiti na kata vipande vya 500/= na 200/=

Nanasi na kata kwa kuuza vipande vya 200/=
Lakini Ata Zima nauza moja moja


Baada ya hapo na andaa pia package mbayo itakuwa na mkusanyiko wa matunda yoote hayo kidogo kodogo na kuifunga na kuwauzia watu kwenye maduka muda WA chakula cha mchana au usiku ambapo package moja nitauza kuanzia 700 /1000


Asante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo 50000 naenda mnadani napoint handbag Kali za mtumba kila moja Bei 10000. Napata pochi Tano nazipiga picha safii natupia insta kwenye fekero langu la udaku kila moja 25000X5 napata 125000. Hizo nauwakika ndani ya week zimekwisha .

Naelewa hii biashara inalipa nishaifanya Sana ila Sasa nimeacha muda wa kupoint Sina inabidi udamke alfajir sana
ilala?
 
Mimi Nina duka dogo la bidhaa mchanganyiko, nauza mapazia na fimbo zake humu najishughulisha na ufundi was kuyashona Kama mteja Kaja na kitambaa chake na kuyafix ikiwa atapenda kufungiwa nyumbani. Sasa nataka kuingiza mzingo moya nimepungukiwa na 50,000 ya nauli tu. Ukinipatia naorudisha ndani ya muda tutakaoelewana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
BIASHARA YA KUCHOMA MAHINDI

Mahitaji :

Jiko = 20,000
Mkaa (chenga mixer) = 3000
Wavu = 5000
Nauli = 2000
Mahindi = 10,000
Ndimu = 1000
Chumvi = 3000
Kiroba (cha kufatia mahindi) = 2000

TOTAL = 46,000

Kwenye ile 50,000 nitakua nimebakiwa na 4000,ambayo hii hela itakua ni pesa yangu ya kula na maji kama nikisikia kiu nikiwa kazini.

Mahindi sokoni yanauzwa 200-300,mimi nitachukua mahndi mchanganyiko nitachanganya ya 300 na 200 Jumla nitapata si chini ya mahindi 35 kwenda mbele.

Nitakuja kuchoma mahindi yangu na katika muhindi 1 wa 300 nitatoa vipande vi 3 vya kuuza 300(kipande),maana yake muhindi wa 300 utanipa 900 (toa 300 = 600 Faida)

Hii 600 Mungu akasaidia nikauza mahindi yangu 35 nitakua na 600 x 35 = 21,000

21,000 - 10,000 (mtaji) = 11,000

Kesho nitafata mahindi yangu tena ya 10,000 + 2000 (nauli) = 9000

9000 X 30 = 270,000 (kwa mwezi)

Mwisho wa mwezi nitarudisha 50,000 yako kisha nitabaki na mtaji wa 220,000,kisha nitaendelea na biashara yangu ya kuchoma mahindi.Muda huu sitokua nanunua mahindi ya 10,000 nitakua nimeji ongeza nitafata mzigo wa mahindi hata ya 20k-30k.

Nafata mahndi kidogo ili yaishe kwani mahindi yakiwa mengi yakichelewa kuisha(yakabaki) hukauka na kuwa magumu wakati wa kuchoma wateja hawatoyapenda na wateja wengi wa sasa hupendelea mahindi ya kuchoma malaini.

MWISHO nitakushukuru kwa msaada wako na Sitoacha kurudi JamiiForums kutoa asante zangu kwa kunikutanisha nawe.

wako katika ujenzi wa TAIFA

NOTE :

natoa mawazo Bure kabisa ila mkopo huo apewe mwingine,wapo wengi waliochini wanatamani kuinuka,nikisema nikomae nipate hiyo 50,000 kwakweli yawezekana nitaipata ila Hapana sipo tayari kudhulumu nafasi mwingine.

Hongera kwa wazo lako la kusaidia wengine,naamini kila ataepita kwenye hii thread atapata chochote kitu hata kama hatopata huo mkopo ila hatatoka Bure.

CONTROLA
 
Kwa atakayekuwa mshindi asisahau kujitahidi kusave hiyo faida walau 500 kwa siku!...pia mjiandae kwa changamoto mtakazokutana nazo msivunjike moyo pambaneni.....maana ukiona mahesabu ya humu unaweza jiuliza shida iko wapi😪! Jiandaeni zaidi kwa changamoto msikimbilie kupiga faida tu!
 
Back
Top Bottom