Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,943
- Thread starter
- #101
Serious wakuu hiyo 50 nitaitoa kwa uwazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuma picha ya hizo elfu kumi tano ukiwa umezipanga, ili kutoa hamasa. Pia usisahau pesa ya kutolea.Serious wakuu hiyo 50 nitaitoa kwa uwazi
Ahahahahaaa.Tuma picha ya hizo elfu kumi tano ukiwa umezipanga, ili kutoa hamasa. Pia usisahau pesa ya kutolea.
Laki ya kuchora au kuprint?Natoa laki mimi kwa mwenye wazo Zuri zaidi
Uliza ubongo wakoLaki ya kuchora au kuprint?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787]Bonde la Baraka,
naona unataka kupata wazo la biashara ili ijumaa ukakope 50 vicoba
Nakuuliza wewe sio ubongo wangu ulioandika iyo lakiUliza ubongo wako
Hiyo elfu 50 mchanganuo, wake kwa biashara ya mishikaki.
Naenda kwa Fundi kuchomelea aniandalie Jiko elfu 25,
Natafuta kijiwe kizuri sehemu wanayopita watu wengi,
--Sokoni nyama kg 2 steki tupu =16000,
--mkaa wa 1500
-Viungo vyake 5000(hiyo siyo vya siku moja ukinunua ni vingi mpaka viishe vitakaa kaa kidogo. )
-vijiti vile vistiki vyake 2000.
Naandaa mishikaki yangu ya wastani tu ya kuuza mia 2 mia 2 tu,
Kwenye kg 2 nina uhakika wa kupata faida ya 10K kila siku hapo baada ya kutoa matumizi ya mkaa, vijiti na Nyama.
Ndani ya wiki tayari nimekurudishia 50k yako.
NB:
Nilishawahi kufanya hii kazi hivyo nina uhakika nayo. Ndio kazi iliyonipa mtaji wa kibanda cha kuchakata viazi kuwa Chips.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo wakianza kukopesha inabidi hiyo huduma waisajili,lasivyo unaweza ukafilisiwa (binadamu ni kinyonga)Hongera mkuu. Huo ndio ubinadamu. Ingekuwa wale wenye mitaji mikubwa wangewafanyia hivi wengine Tanzania ingebadirika haraka sana. Huwa najiuliza sana mtu kama mo au bakhresa kwa nini asikopeshe wenye kutaka biashara lakini hawana mitaji?.
Kuliko kufadhiri litimu kama simba wanakula hela tu tena nyiiingi sana ukipiga hesabu kwa mwaka. Lakini hakuna faida yoyote wala muendelezo wa hizo timu,zote zinashindana kushindana zenyewe tu na kuishia hapa hapa.
Lakini kwa wazo kama hilo wangekuwa wanawakopesha watu hata kwa liba ndogo tu hata iwe 3% ya kuilinda tu ile hela. Hongera sana mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi ukipata uendeleze biasharaHiyo elfu 50 mchanganuo, wake kwa biashara ya mishikaki.
Naenda kwa Fundi kuchomelea aniandalie Jiko elfu 25,
Natafuta kijiwe kizuri sehemu wanayopita watu wengi,
--Sokoni nyama kg 2 steki tupu =16000,
--mkaa wa 1500
-Viungo vyake 5000(hiyo siyo vya siku moja ukinunua ni vingi mpaka viishe vitakaa kaa kidogo. )
-vijiti vile vistiki vyake 2000.
Naandaa mishikaki yangu ya wastani tu ya kuuza mia 2 mia 2 tu,
Kwenye kg 2 nina uhakika wa kupata faida ya 10K kila siku hapo baada ya kutoa matumizi ya mkaa, vijiti na Nyama.
Ndani ya wiki tayari nimekurudishia 50k yako.
NB:
Nilishawahi kufanya hii kazi hivyo nina uhakika nayo. Ndio kazi iliyonipa mtaji wa kibanda cha kuchakata viazi kuwa Chips.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu,unafikiri anaweza kuzitumia wapi kwingine...Safi ukipata uendeleze biashara
Kuchakata papuchiMkuu,unafikiri anaweza kuzitumia wapi kwingine...
ha ha ha haKuchakata papuchi
Sio kwamba unataka kuiba wazo la watu? Kama ulichoandika ndio nia yako hongera sana maana hata wenye mitaji lakini ni wavivu wa kufikiri watafaidika
We unatoa laki deni langu ushalipa?Natoa laki mimi kwa mwenye wazo Zuri zaidi
Precisely my thought. Yale yale ya Kusaga aliemwendea Mengi na wazo la kuanzisha kituo cha radio na television mangi akaanzisha yeye kwa kutumia wazo hilo hilo.
Story ya kutunga hio.