Uthubutu: Kijana atakayeelezea jinsi atakavyoizalisha elfu 50 ndani ya mwezi mmoja nitamkopesha bila riba

Uthubutu: Kijana atakayeelezea jinsi atakavyoizalisha elfu 50 ndani ya mwezi mmoja nitamkopesha bila riba

MREJESHO
Wakuu habari ya leo,
Tumshukuru mungu kwa wale tulio na afya njema, na kwa wale wenzetu wenye shida mbalimbali basi mungu awafanyie wepesi.

Kama nilivyoanza na kichwa cha habari hapo juu nimeleta mrejesho wangu wa kinyang'anyiro hiki kilichokuwa kinaendelea kwa siku kadhaa hapa jukwaani, na wengi wetu kutoa mawazo yetu mbalimbali.

Mleta mada jana usiku wa saa sita aliahidi kumleta mshindi wa hili shindano,ambalo miongoni mwa orodha ile nami nilikuwepo na kuibuka na ushindi mnamo saa sita na dakika mbili usiku.

Akanifuata pm tukawasiliana usiku ule na akaahidi leo akishatoka ibadani, basi atakamilisha lile dhumuni lake. Na ilipofika saa 11:42am alinitumia hiyo pesa ikiwa kamili na ya kutolea.

Shukrani zangu za dhati ni kwa mwenyezi mungu kwanza,halafu wale wote tulioshiriki kutoa mawazo yetu hapa, sababu yatanufaisha watu wengi.

Bwana Bonde la Baraka mungu akuzidishie baraka zaidi kama unavyojiita, kwani umekuwa faraja kubwa sana kwetu,na naomba na wengine wenye uwezo mjitokeze zaidi ili kuweza kusogeza gurudumu hili la maendeleo hasa kwetu vijana.
Mungu awabariki sana.

NB:Si mwandishi mzuri kwa hiyo tuvumiliane kwa hili.
View attachment 1367006

Sent using Jamii Forums mobile app
gud sana na hongera,hiyo hela uifanyie kazi kweli na sio kuitumia kutatua matatizo yako yako mengine utakua hujamtendea haki alokupatia mtaji.
 
Hongera kwa ushindi mkuu, ningependa kufahamu namna unavyouza hayo maziwa, ni kwamba unakuwa na kijiwe unaweka kambi au unawafuata watu vijiweni unakuwa unawauzia kama vile wanavyouza wale jamaa wa kahawa...


Na hayo maziwa yanakuwa ni fresh au mtindi, kama siyo mtindi yanapokuwa hujauza yote yanayobaki unafanyaje, na kama ni ya mtindi unafanya vipi kuyaweka katika hali ya ubaridi. Nitashukuru nikipata ufafanuzi
Asante mkuu,ila mshindi sio Mimi,Mimi nimeingia kwenye tatu bora tu.maziwa nimeshafanya research,unauza kwa order,unavyotoa unapeleka moja kwa moja kwa wateja kwa order.order ni nyingine Sana ,maziwa ni deal mjini.hayawezi kubaki.usichanganye na maji tu ,utajiharibia soko.pia in case yakibaki unazalisha ya mgando.nayo Ni bei kuliko fresh.mtaji ukiwa mkubwa unafungua kifrem kabisa.na unanunua vifaa Kama Yale matank ili maziwa yasigande
 
MREJESHO
Wakuu habari ya leo,
Tumshukuru mungu kwa wale tulio na afya njema, na kwa wale wenzetu wenye shida mbalimbali basi mungu awafanyie wepesi.

Kama nilivyoanza na kichwa cha habari hapo juu nimeleta mrejesho wangu wa kinyang'anyiro hiki kilichokuwa kinaendelea kwa siku kadhaa hapa jukwaani, na wengi wetu kutoa mawazo yetu mbalimbali.

Mleta mada jana usiku wa saa sita aliahidi kumleta mshindi wa hili shindano,ambalo miongoni mwa orodha ile nami nilikuwepo na kuibuka na ushindi mnamo saa sita na dakika mbili usiku.

Akanifuata pm tukawasiliana usiku ule na akaahidi leo akishatoka ibadani, basi atakamilisha lile dhumuni lake. Na ilipofika saa 11:42am alinitumia hiyo pesa ikiwa kamili na ya kutolea.

Shukrani zangu za dhati ni kwa mwenyezi mungu kwanza,halafu wale wote tulioshiriki kutoa mawazo yetu hapa, sababu yatanufaisha watu wengi.

Bwana Bonde la Baraka mungu akuzidishie baraka zaidi kama unavyojiita, kwani umekuwa faraja kubwa sana kwetu,na naomba na wengine wenye uwezo mjitokeze zaidi ili kuweza kusogeza gurudumu hili la maendeleo hasa kwetu vijana.
Mungu awabariki sana.

NB:Si mwandishi mzuri kwa hiyo tuvumiliane kwa hili.
View attachment 1367006

Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera Sana mkuu,Bonde la Baraka.Mungu akuzidishie uwe mlima wa baraka.asante kwa kunichagua kuingia kwenye tatu bora
 
MREJESHO
Wakuu habari ya leo,
Tumshukuru mungu kwa wale tulio na afya njema, na kwa wale wenzetu wenye shida mbalimbali basi mungu awafanyie wepesi.

Kama nilivyoanza na kichwa cha habari hapo juu nimeleta mrejesho wangu wa kinyang'anyiro hiki kilichokuwa kinaendelea kwa siku kadhaa hapa jukwaani, na wengi wetu kutoa mawazo yetu mbalimbali.

Mleta mada jana usiku wa saa sita aliahidi kumleta mshindi wa hili shindano,ambalo miongoni mwa orodha ile nami nilikuwepo na kuibuka na ushindi mnamo saa sita na dakika mbili usiku.

Akanifuata pm tukawasiliana usiku ule na akaahidi leo akishatoka ibadani, basi atakamilisha lile dhumuni lake. Na ilipofika saa 11:42am alinitumia hiyo pesa ikiwa kamili na ya kutolea.

Shukrani zangu za dhati ni kwa mwenyezi mungu kwanza,halafu wale wote tulioshiriki kutoa mawazo yetu hapa, sababu yatanufaisha watu wengi.

Bwana Bonde la Baraka mungu akuzidishie baraka zaidi kama unavyojiita, kwani umekuwa faraja kubwa sana kwetu,na naomba na wengine wenye uwezo mjitokeze zaidi ili kuweza kusogeza gurudumu hili la maendeleo hasa kwetu vijana.
Mungu awabariki sana.

NB:Si mwandishi mzuri kwa hiyo tuvumiliane kwa hili.
View attachment 1367006

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahahah,
Natamani ningekuwa tajiri, ningezalisha matajiri wengi zaidi.
 
N
MREJESHO
Wakuu habari ya leo,
Tumshukuru mungu kwa wale tulio na afya njema, na kwa wale wenzetu wenye shida mbalimbali basi mungu awafanyie wepesi.

Kama nilivyoanza na kichwa cha habari hapo juu nimeleta mrejesho wangu wa kinyang'anyiro hiki kilichokuwa kinaendelea kwa siku kadhaa hapa jukwaani, na wengi wetu kutoa mawazo yetu mbalimbali.

Mleta mada jana usiku wa saa sita aliahidi kumleta mshindi wa hili shindano,ambalo miongoni mwa orodha ile nami nilikuwepo na kuibuka na ushindi mnamo saa sita na dakika mbili usiku.

Akanifuata pm tukawasiliana usiku ule na akaahidi leo akishatoka ibadani, basi atakamilisha lile dhumuni lake. Na ilipofika saa 11:42am alinitumia hiyo pesa ikiwa kamili na ya kutolea.

Shukrani zangu za dhati ni kwa mwenyezi mungu kwanza,halafu wale wote tulioshiriki kutoa mawazo yetu hapa, sababu yatanufaisha watu wengi.

Bwana Bonde la Baraka mungu akuzidishie baraka zaidi kama unavyojiita, kwani umekuwa faraja kubwa sana kwetu,na naomba na wengine wenye uwezo mjitokeze zaidi ili kuweza kusogeza gurudumu hili la maendeleo hasa kwetu vijana.
Mungu awabariki sana.

NB:Si mwandishi mzuri kwa hiyo tuvumiliane kwa hili.
View attachment 1367006

Sent using Jamii Forums mobile app
Hingera Sanaa !! Nipiem namba ya tigo!! Nitimize ahadi....
NB: mtu ukishindwa Basi ungana nao.
 
Natamani huu mrejesho ungeendana na siku utayoanza kazi/kuendelea na hiyo kazi uloandika ukapata hiyo amount
Pia ukaw unatuupdate hatua kwa hatua ili kuwapa mwanga wengine na hata sisi tunaoanza upya
MREJESHO
Wakuu habari ya leo,
Tumshukuru mungu kwa wale tulio na afya njema, na kwa wale wenzetu wenye shida mbalimbali basi mungu awafanyie wepesi.

Kama nilivyoanza na kichwa cha habari hapo juu nimeleta mrejesho wangu wa kinyang'anyiro hiki kilichokuwa kinaendelea kwa siku kadhaa hapa jukwaani, na wengi wetu kutoa mawazo yetu mbalimbali.

Mleta mada jana usiku wa saa sita aliahidi kumleta mshindi wa hili shindano,ambalo miongoni mwa orodha ile nami nilikuwepo na kuibuka na ushindi mnamo saa sita na dakika mbili usiku.

Akanifuata pm tukawasiliana usiku ule na akaahidi leo akishatoka ibadani, basi atakamilisha lile dhumuni lake. Na ilipofika saa 11:42am alinitumia hiyo pesa ikiwa kamili na ya kutolea.

Shukrani zangu za dhati ni kwa mwenyezi mungu kwanza,halafu wale wote tulioshiriki kutoa mawazo yetu hapa, sababu yatanufaisha watu wengi.

Bwana Bonde la Baraka mungu akuzidishie baraka zaidi kama unavyojiita, kwani umekuwa faraja kubwa sana kwetu,na naomba na wengine wenye uwezo mjitokeze zaidi ili kuweza kusogeza gurudumu hili la maendeleo hasa kwetu vijana.
Mungu awabariki sana.

NB:Si mwandishi mzuri kwa hiyo tuvumiliane kwa hili.
View attachment 1367006

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa kila mtu atatoa wazo lake kutokana na mazingira aliyopo, kwa mfano mimi ukinipa hiyo pesa nitafanya hivi:
1. Ngano kg25 @31000
2.Mafuta ya kupikia lita 3 @11000
3.Amira kipimo cha 1000
4.Baking powder pakti 1@500
5. Bicarbonate pakti 1@500
6.sukari kilo1@2600
7.Iriki pakti 1@1000
8.Kuni mzigo 2000
Hadi hapo itakuwa nimemaliza mahitaji yangu,kwa hiyo nina uhakika wa kutengeneza kila baada ya siku mbili
Halfcake 100@20000
Maandazi 100@10000
Ndani ya huo mwezi hela yako nairudisha na nabakiwa na mtaji wangu mkubwa tu.
NOTE:Nimesema wazo linategemea na eneo ulilopo kwa hiyo kwa eneo langu mimi hili jambo linawezekana kwa kiasi kikubwa.


Sent using Jamii Forums mobile app
Inakujaaa inakataaa,inakujaaa inakataaa..
 
Hongera kwa mleta uzi kwa kutimiza ahadi yake. Sasa imebaki kwa mshindi kufanya jitihada zote kufanikisha lengo lake. Update ni muhimu sana ukumbuke.
 
Back
Top Bottom