Uthubutu: Kijana atakayeelezea jinsi atakavyoizalisha elfu 50 ndani ya mwezi mmoja nitamkopesha bila riba

Uthubutu: Kijana atakayeelezea jinsi atakavyoizalisha elfu 50 ndani ya mwezi mmoja nitamkopesha bila riba

MREJESHO

Habari wakuu
Hope mko salama na tuendelee kuchukua tahadhari za ugonjwabwa corona

Niende kwenye mada kama mjuavyo mm n mnufaika namba mbili Wa hili shindano naendelea kuleta mrejesho Wa Yale tuliyokubaliana au niliyoahidi

Kifupi biashara inaenda vizuri kiasi pamoja na changamoto za hapa na pale hasa hili janga LA corona niliwah kueleza juu ya kuuguza kwa ndugu Yangu hapo awali lakn nashukuru amepona wiki iliyopta karuhusiwa hivyo muda mwingi niliutumia huko hvyo jion ndyo nilikuwa nafanya biashara sifichi kiasi nilikuwa napata faida kidogo ndyo iliyonisaidia kupata nauli na mambo madogo japo mtaji ulibaki palepale

Pia nilifanikiwa kununua kuku watano Wa kienyeji nilinunua wakiwa wadogo lakni sasa niwakubwa kias bado nahtaji kuwaongeza zaidi kwani nimeona upande huu ndio unamatumaini mazuri zaidi

Nimehama sehemu niliyokuwa nakaa kwa sasa nimepata hisani kidogo ya kaka Yangu amabaye yupo masomoni nje hvyo kaniachia .nyumba yake na inaeneo kubwa hvyo nitafanya ufugaji Mkubwa zaidi kwa kadiri iwezekanavyo nitaambatanisha na picha za kuku ninaoanza kuwafuga kwa sasa

Nikiri janga LA corona limeanza kidogo kuniyumbisha s kama mwanzo lakn nitakomaa hadi kieleweke

Cc@siliconvalley@bondelabarakaView attachment 1419507View attachment 1419508

Sent using Jamii Forums mobile app
umetisha sana mkuu

Yule mshindi namba moja katuangusha sana we usimuige endelea kupambana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari Mkuu

Mimi nitaitumia 50000/= katika mchanganuo ufuatao kupitia biashara ya mahindi ya kuchoma

Naishi temeke stereo jirani na soko hapo wanauza mahindi mabichi nami ndiyo biashara niliyowah kuifanya Tandika sokoni

Mchanganuo
Mahindi 50@300= 15000
Usafiri = 500
Mkaa. = 1500
Chumvi. = 300
Ndimu. = 300
Ushuru. = 500
Pilipili. = 300

JUMLA. 18900


MAUZO

Nitauza mhindi 1 kwa shilingi 800 hiyo kwa mahindi 50 kwa siku n shilingi ( 50×800= 40000)

jiko ninalo hivyo sihitaji kununua

JUMLA YA MAUZO - JUMLA YA MCHANGANUO.


40000 - 18900= 21100

kwa hyo ninauhakika wa kurudi na elfu 21100 kila siku kumbuka situmii nauli kurudi nyumbani

Ninauwezo wa kuuza mahindi 50 kwa sababu Tandika n sehemu ambayo inawatu wengi ni soko kubwa hvyo mwingiliano wa watu ni Mkubwa

Baada ya siku 7 ninauwezo wa kuwa na shilingi 147700

Pia kumbuka katika elfu 50 ya mtaji baada ya matumizi ya siku ya kwanza ilibaki (50000-18900= 31100) itabaki shilingi 31100 nitaitumia kuongeza mtaji taratibu kwa siku zinazofuata maana biashara sio siku zote huwa nzuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hesabu za kwenye karatasi rahisi sanaa kuliko uhalisia wenyewe [emoji124][emoji124] Peramiho yetu,

Sent from my SM-J320F using Tapatalk
 
Kwa kijana yoyote ambae ramani hazijakaa sawa namshauri afwate huu ushauri kwa moyo wote na akili zote na kama ataona aibu ahame mkoa akaifanye mkoa mwingine kwa uhuru.kwani ni biashara ya mtaji mdogo na yenye faida kubwa.

Mimi ni shuhuda wa hii biashara na sijaiacha hadi leo.nilipomaliza college na kielimu cha diploma ya pharmacy nimedispense dawa kwenye maduka makubwa ya wahindi kwa miezi 3 tu nikiwa nalipwa laki 5 na nusu.
Nkaacha kazi nkasepa chuga kuuza mishkaki! Wazaz,ndugu na jamaa wacha wanilaumu mno hakuna hata mmoja alienisupport ila sasa hivi wananipongeza!

Yani watanzania wengi sijui tukoje,mtu yupo radhi afanye kazi ya heshima ila haina maslahi makubwa kuliko kazi isiyo na hadhi yenye faida lukuki.ndani ya mwezi wa kwanza tu niliingiza faida ya m1.2!sasa ndugu zangu wana jf kipi kilikua bora kati ya kugawa dawa huku ukiwa na clinical coat ndani ya kiyoyozi mhindi anakupelekesha siku nzima kafunga na camera kabisa kila kona ukichat au ukisinzia ni msala,kazi unaingia saa 1.30 hadi saa 2-3 usiku kila siku huku upande wa mishkaki nilikua nadaamka saa10 kwenda machinjioni kununua nyama kwa bei chee narudi naandaa saa12 niko shule ya msingi naanza kuwachomea madogo saa 6 mchana nshamaliza naingia mtaani kuangalia mishe nyingine,jioni tena huyo maeneo ya stendi kuchoma mishkaki.

Najua ni ngumu sana kwa msomi ila toka mkoa uliopo wanakujua nenda sehemu ambayo hakuna hata anaejua kama ulifika hata la 7!

Nilianza hivyo taratibu hatimae nkaweka vijana waaminifu niliowatoa vijijini huko na hivi nnavyoandika,naingiza si chini ya laki mbili faida kila siku ya Mungu bila pua za TRA wala cha Halmashauri
mimi ni shaidi wa hili,mishikaki ina faida sana
 
Mkikaaga humu JF mnaji danganya sana,ukweli ni kwamba ukichukua pen na karatasi ni rahisi sana kuandika ila ss nenda field hiyo hela kama ulikopeshwa kufanyia biashara "utazitapika" na Korona hii (Kwa sauti ya JPM).
Mkuu unamaanisha elfu 50 haiwezi zalisha kitu kikubwa zaidi ya 50 yenyewe?
 
Hiyo elfu 50 mchanganuo, wake kwa biashara ya mishikaki.

Naenda kwa Fundi kuchomelea aniandalie Jiko elfu 25,

Natafuta kijiwe kizuri sehemu wanayopita watu wengi,

--Sokoni nyama kg 2 steki tupu =16000,
--mkaa wa 1500
-Viungo vyake 5000(hiyo siyo vya siku moja ukinunua ni vingi mpaka viishe vitakaa kaa kidogo. )
-vijiti vile vistiki vyake 2000.

Naandaa mishikaki yangu ya wastani tu ya kuuza mia 2 mia 2 tu,

Kwenye kg 2 nina uhakika wa kupata faida ya 10K kila siku hapo baada ya kutoa matumizi ya mkaa, vijiti na Nyama.

Ndani ya wiki tayari nimekurudishia 50k yako.


NB:
Nilishawahi kufanya hii kazi hivyo nina uhakika nayo. Ndio kazi iliyonipa mtaji wa kibanda cha kuchakata viazi kuwa Chips.

Sent using Jamii Forums mobile app
Biashara ya chips sina hamu nayo bora nukapige konyagi kama niniliuu yule

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
 
Habari Mkuu

Mimi nitaitumia 50000/= katika mchanganuo ufuatao kupitia biashara ya mahindi ya kuchoma

Naishi temeke stereo jirani na soko hapo wanauza mahindi mabichi nami ndiyo biashara niliyowah kuifanya Tandika sokoni

Mchanganuo
Mahindi 50@300= 15000
Usafiri = 500
Mkaa. = 1500
Chumvi. = 300
Ndimu. = 300
Ushuru. = 500
Pilipili. = 300

JUMLA. 18900


MAUZO

Nitauza mhindi 1 kwa shilingi 800 hiyo kwa mahindi 50 kwa siku n shilingi ( 50×800= 40000)

jiko ninalo hivyo sihitaji kununua

JUMLA YA MAUZO - JUMLA YA MCHANGANUO.


40000 - 18900= 21100

kwa hyo ninauhakika wa kurudi na elfu 21100 kila siku kumbuka situmii nauli kurudi nyumbani

Ninauwezo wa kuuza mahindi 50 kwa sababu Tandika n sehemu ambayo inawatu wengi ni soko kubwa hvyo mwingiliano wa watu ni Mkubwa

Baada ya siku 7 ninauwezo wa kuwa na shilingi 147700

Pia kumbuka katika elfu 50 ya mtaji baada ya matumizi ya siku ya kwanza ilibaki (50000-18900= 31100) itabaki shilingi 31100 nitaitumia kuongeza mtaji taratibu kwa siku zinazofuata maana biashara sio siku zote huwa nzuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuongea rahs sana ingia kazn kama huta uza mahind matano

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu mm nipo mzigoni usiongee usichokijua changamoto zipo lakn napambana nazo kuna vitu naviweka sawa ili nilete mtejrsho kwa miezi hii mitano nn nimepata na nimefanya nn
Pera Boy

Hakuna location nzuri ya mishikaki huko nime-survey sana Tandika strategic point zote wamekaa, Makumbusho ndio usiseme kilapande wamebeba, nasubiri location ya Mbagala wamenipiga Calendar huko vipi kutamu.
 
Mkuu kwa Tandika hawa wapemba wameshika soko la vitu vitamu kuanzia bites kuku had mishikaki s unajua hawa wenzetu kuhusu kula wao wapo makini na wanajua kupika asee kuna eneo moja naona lipo loose maeneo ambayo wanauza nafaka sjaona muuza mishikaki pande zile ngoja jion nikirud nipitie tena nipajue vzur ntakujuza mkuu
Pera Boy

Hakuna location nzuri ya mishikaki huko nime-survey sana Tandika strategic point zote wamekaa, Makumbusho ndio usiseme kilapande wamebeba, nasubiri location ya Mbagala wamenipiga Calendar huko vipi kutamu.
 
Mkuu kwa Tandika hawa wapemba wameshika soko la vitu vitamu kuanzia bites kuku had mishikaki s unajua hawa wenzetu kuhusu kula wao wapo makini na wanajua kupika asee kuna eneo moja naona lipo loose maeneo ambayo wanauza nafaka sjaona muuza mishikaki pande zile ngoja jion nikirud nipitie tena nipajue vzur ntakujuza mkuu
Miamiaa
 
Back
Top Bottom