monopoly inc
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 5,256
- 11,377
umetisha sana mkuuMREJESHO
Habari wakuu
Hope mko salama na tuendelee kuchukua tahadhari za ugonjwabwa corona
Niende kwenye mada kama mjuavyo mm n mnufaika namba mbili Wa hili shindano naendelea kuleta mrejesho Wa Yale tuliyokubaliana au niliyoahidi
Kifupi biashara inaenda vizuri kiasi pamoja na changamoto za hapa na pale hasa hili janga LA corona niliwah kueleza juu ya kuuguza kwa ndugu Yangu hapo awali lakn nashukuru amepona wiki iliyopta karuhusiwa hivyo muda mwingi niliutumia huko hvyo jion ndyo nilikuwa nafanya biashara sifichi kiasi nilikuwa napata faida kidogo ndyo iliyonisaidia kupata nauli na mambo madogo japo mtaji ulibaki palepale
Pia nilifanikiwa kununua kuku watano Wa kienyeji nilinunua wakiwa wadogo lakni sasa niwakubwa kias bado nahtaji kuwaongeza zaidi kwani nimeona upande huu ndio unamatumaini mazuri zaidi
Nimehama sehemu niliyokuwa nakaa kwa sasa nimepata hisani kidogo ya kaka Yangu amabaye yupo masomoni nje hvyo kaniachia .nyumba yake na inaeneo kubwa hvyo nitafanya ufugaji Mkubwa zaidi kwa kadiri iwezekanavyo nitaambatanisha na picha za kuku ninaoanza kuwafuga kwa sasa
Nikiri janga LA corona limeanza kidogo kuniyumbisha s kama mwanzo lakn nitakomaa hadi kieleweke
Cc@siliconvalley@bondelabarakaView attachment 1419507View attachment 1419508
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule mshindi namba moja katuangusha sana we usimuige endelea kupambana
Sent using Jamii Forums mobile app