Katika jukwaa hili nimeona na kujifunza mengi..kitu ambacho naona na ambacho kipi kwa wengi sio hapa JF tu ni uthubutu. Nchi zilizoendelea zimefika huko kwa watu wao kuwa na uthubutu, uthubutu wa kufanya kitu tofauti ambacho anaamini kitamtoa lakini hajiamini. Vijana wengi wanaamini bila hela hawawezi kutoka. Ukweli ni huu, MTAJI PEKEE NI AKILI NA UBUNIFU WAKO. Hela ni matokeo ya ubunifu wako.
Baada ya kusema hayo nakuja na wazo ambalo naamini litasaidia kwa namna moja au nyingine kututoa hapa kwenda mbele ambapo wengine hawathubutu.
Uanzishwaji na umiliki wa manufacturing company/industry. Kutakuwa na shares zitakazomilikiwa na members wa jukwaa hili na inakuwa vizuri iwe kwa wale ambao hawako kwenye masomo, uwe umeajiriwa/jiajiri au huna kazi hii ni nafasi kwako.
Nafasi ya members hawa watakuwa si zaidi ya 45 na watamiliki 49% au 51% ya kampuni hii. Kwa kuwa wote hapa uwezo wetu kwa mradi kama huu ni mdogo kifedha na kirasimali, wazo hili baada ya kuundwa vizuri tutaliuza kwa government au private institution au individual mmoja au zaidi ya mmoja. Hawa watamiliki asilimia zitakazobaki japokuwa sisi tutakuwa na uwezo wa kuzinunua shares zao pale inapoitajika (buy back option).
Sisi members tuwe watanzania wanaoishi sehemu yoyote ndani au nje ya nchi. Wazo hili nimeona ni jambo linalowezekana pale panapokuwa na utayari na maelewano. Tanzania inaagiza vitu vingi toka nje wakati mali ghafi zinatoka hapa. Wale ambao wanakubaliana na hili na wapo teyari wani PM na namba zao tuungane kwenye whatsup group kuweza kuliongezea uhai wazo hili na namna ya kusonga mbele.
Criticks zinakubalika kwani zinatujenga.
Baada ya kusema hayo nakuja na wazo ambalo naamini litasaidia kwa namna moja au nyingine kututoa hapa kwenda mbele ambapo wengine hawathubutu.
Uanzishwaji na umiliki wa manufacturing company/industry. Kutakuwa na shares zitakazomilikiwa na members wa jukwaa hili na inakuwa vizuri iwe kwa wale ambao hawako kwenye masomo, uwe umeajiriwa/jiajiri au huna kazi hii ni nafasi kwako.
Nafasi ya members hawa watakuwa si zaidi ya 45 na watamiliki 49% au 51% ya kampuni hii. Kwa kuwa wote hapa uwezo wetu kwa mradi kama huu ni mdogo kifedha na kirasimali, wazo hili baada ya kuundwa vizuri tutaliuza kwa government au private institution au individual mmoja au zaidi ya mmoja. Hawa watamiliki asilimia zitakazobaki japokuwa sisi tutakuwa na uwezo wa kuzinunua shares zao pale inapoitajika (buy back option).
Sisi members tuwe watanzania wanaoishi sehemu yoyote ndani au nje ya nchi. Wazo hili nimeona ni jambo linalowezekana pale panapokuwa na utayari na maelewano. Tanzania inaagiza vitu vingi toka nje wakati mali ghafi zinatoka hapa. Wale ambao wanakubaliana na hili na wapo teyari wani PM na namba zao tuungane kwenye whatsup group kuweza kuliongezea uhai wazo hili na namna ya kusonga mbele.
Criticks zinakubalika kwani zinatujenga.