Uthubutu ni jambo zuri sana haswa likifanywa kiuhalali.
1. Daudi Albert Bashite alithubutu kujifanya yeye ni Paul Christian Makonda which is a crime. Lakini mwendazake alimpandisha na kumzawadia ukuu wa mkoa DSM.
2. Lengai Ole Sabaya alithubutu kufoji na kutengeneza kitambilisho feki kuwa yeye ni mwajiriwa wa TISS which is a crime. Lakini mwendazake alipuuza na kumkabidhi ukuu wa wilaya.
3. Albert Chalamila alithubutu na kujidai mripukaji alichokipata ni fedheha.
Point to take politics is very dynamic... it change from time to time and from one leadership to another!!!
Mama Yetu nakusalimia kwa jina la Jamhruri ya Muungano! Na kazi iendelee!
Ahsante naipenda Tanzania.
1. Daudi Albert Bashite alithubutu kujifanya yeye ni Paul Christian Makonda which is a crime. Lakini mwendazake alimpandisha na kumzawadia ukuu wa mkoa DSM.
2. Lengai Ole Sabaya alithubutu kufoji na kutengeneza kitambilisho feki kuwa yeye ni mwajiriwa wa TISS which is a crime. Lakini mwendazake alipuuza na kumkabidhi ukuu wa wilaya.
3. Albert Chalamila alithubutu na kujidai mripukaji alichokipata ni fedheha.
Point to take politics is very dynamic... it change from time to time and from one leadership to another!!!
Mama Yetu nakusalimia kwa jina la Jamhruri ya Muungano! Na kazi iendelee!
Ahsante naipenda Tanzania.