Uthubutu wake, Kukabiliana Kwake na Umakini wake dhidi ya Janga la 'CORONA' lamfanya Rais Dkt. Magufuli akubalike kama 'Malaika' nchini Uganda

Uthubutu wake, Kukabiliana Kwake na Umakini wake dhidi ya Janga la 'CORONA' lamfanya Rais Dkt. Magufuli akubalike kama 'Malaika' nchini Uganda

Mtani hiki kilemba cha ukoka umekuja nacho, au ulikuwa nacho muda mrefu?

Wewe hujajua tu kuwa Mimi ni kama 'Panya' ambapo kuna muda 'nakuuma' hadi unaumia na kuna muda 'napulizia' hadi unasikia raha na furaha?
 
Hata wewe usisema waganda sema baadhi ya waganda

Naona kuna 'Jibu' unalitafuta kutoka Kwangu endelea tu 'Kunitibua' huu 'Ubongo' wako nikupe kisha uanze Kulia na Kunilaumu. Kuwa makini sawa?
 
Ishu ya corona tumebebwa na Hali ya kitropical sababu ya joto

Na pia Tanzania 'tumebebwa' na kuwa na Rais ambaye ni kama 'Malaika' halafu hata Mwenyezi Mungu nae 'anampenda' na 'kumtumia' Kwetu JPM.
 
Watanzania najua baadhi yetu tunaweza ama tukawa hatujui 'Thamani' ya Rais Dkt. Magufuli au 'Umuhimu' wake Kwetu ila itoshe tu kusema kwamba pamoja na kwamba 'Kibinadamu' anaweza akawa na 'Mapungufu' yake kama niliyonayo Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ila kwa Tanzania 'Kumpata' Kiongozi kama Yeye ( JPM ) ni kama vile Mwenyezi Mungu 'ametupendelea' sana tu.

Leo asubuhi kupitia Kipindi cha BBC News ( Africa ) kinachoruka Kuanzia Saa 1 na Nusu hadi Saa 2 Kamili ( Redioni ) nilibahatika kuwasikia Viongozi mbalimbali wa 'Kidini' na Wananchi kadhaa ( waliowawakilisha ) Wenzao ( Waganda ) katika 'Mjadala' mkubwa uliokuwa 'Mezani' wa Janga la CORONA na namna nzima ya 'Kukabiliana' nalo.

Mazunguzo ya 'Kimjadala' yalikuwa ni mengi na yenye 'Tija' na 'Mantiki' ila katika kila 'Mzungumzaji' aliyekuwa akichangia wote walikuwa 'wakimpongeza' sana Rais wa Tanzania Dkt. Magufuli kwa 'Kupambana' Kwake juu ya Janga la CORONA huku 'wakimshutumu' wazi wazi Rais wao Mzee Museveni kuwa 'ameshindwa' na kwamba kazidiwa mbali na Rais Magufuli.

Mwishoni kabisa Wote 'walisikika' wakisema kuwa laiti kungekuwa kuna uwezekano wa 'Kukopana' Marais hata kwa muda fulani tu basi kwa 'Taabu' ambazo wanazipitia sasa 'Waganda' na Maisha magumu 'waliyonayo' tokea Janga hili la CORONA lianze huku 'wakizuiwa' Kufanya Shughuli zao mbalimbali za 'Kiuchumi' basi wangetuomba Watanzania 'tuwakopeshe' Rais wetu huyu Dkt. Magufuli.

Kwa 'Kuhitimisha' Kwao tu Viongozi hao wa 'Dini' na Wananchi wa Uganda 'wamemtaka' Rais wao Mzee Museveni 'ayaige' mengi ya Rais Wetu JPM.

Nami GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ninamalizia pia kwa kusema hebu Watanzania 'tujivunie' mno Rais Magufuli na 'tumsaidie' pale anapokosea.
Mshukuru mungu kwenye Corona, Watu wasio ujua ugonjwa wa Corona ndio wanao msifu Magufuli
 
Sawa mtani, ngoja nikawavuruge mbogamboga wenzio kwenye post nyingine.

Nami pia nitaitafuta hiyo 'Thread' ili 'niivuruge' na 'nikuvuruge' na Wewe pia ili utoke katika 'mstari' na lengo lako Mama ( Kuu ) lisiweze Kutimia pia.
 
Naona kuna 'Jibu' unalitafuta kutoka Kwangu endelea tu 'Kunitibua' huu 'Ubongo' wako nikupe kisha uanze Kulia na Kunilaumu. Kuwa makini sawa?

I don't expect anything good from you guy, maybe foolishness, because is what you expressing through your Demonic propaganda
 
Kati ya Watanzania mil 60 zaidi ya milioni 40 hawamkubali

Ni 'Taasisi' gani iliendesha 'Study' yako hii? Hebu iweke 'Hewani' hapa ili tupime 'Credibility' yake ndani ya nchi ya Tanzania na Mioyo ya Wabongo.
 
Hii gentamycine au chloroquine? Mbona sielewi!!??
 
I don't expect anything good from you guy, maybe foolishness, because is what you expressing through your Demonic propaganda

Hiki 'Kiingereza' chako cha 'Standard Three' ulijifunzia Shule gani? Yaani hata Mwanangu tu 'Junior GENTAMYCINE' amekuzidi kwa anachokiongea.
 
Kwa swala la Corona Uncle John kura yangu umepata,haya mambo mengine baadaye. Rais hawezi kufanya yote , wala kuwaridhisha wote , pia hawezi pendwa na wote.

Mkuu kwa hii 'Comment' yako iliyoenda 'Shule' natamani hata nikujue uko wapi tu ili nije nikuvishe 'Nishani' ya Heshima kwa kuwa na 'Akili' Kubwa.
 
Back
Top Bottom