Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,176
- 10,068
Covid ipo na watu wanakufa na kupona kama Magonjwa Menginehaya nini sir juu ya mafanikio haya kuhusu covid19 hapa tz,,, mashabik mandaz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Covid ipo na watu wanakufa na kupona kama Magonjwa Menginehaya nini sir juu ya mafanikio haya kuhusu covid19 hapa tz,,, mashabik mandaz
Miaka 59 ya UHURU tuna vyote hivi;Kuhussiana na Nini Sasa hapa haya malalamiko yako
Soma comment yangu ya kwanza kwenye huu uzi. Mbona nimeeleza vizuri kwa kifupi.Kwann maambukizi ya Africa ni madogo ukilinganisha na mabara mengine..tupe majibu yaliyowazi usikariri..
Wewe ambaye haujakaririshwa , tupe majibuKwann maambukizi ya Africa ni madogo ukilinganisha na mabara mengine..tupe majibu yaliyowazi usikariri..
Eee ndio maana Ben saanane, azory hawapo na Lisu ana makovu kwaa sababu ya mapenzi ya meko kwa mungu wakeJPM anampenda Mungu. Na hiki ndicho kinampa sifa kubwa Tanzania na duniani kwa ujumla.
Watanzania wengi wamehuzunishwa wapi jomba..labda fafanua..msipende kuwabeba watu wengine migongoni..Kama Hamna Sera ni bora mka shut your mouth..Kama alivyokuwa anawaambia mgombea wenu wa zamani..watanzania zaidi ya asilimia 90 wapo nyuma ya Magufuli..Sasa sijui unavyosema watanzania ni wepi hao..labda wewe, mmeo na watoto wenu huko..msihusishe wengineSijasema nimemchukia ila nimekusaidia kujua kwamba kutumiwa na Mungu siyo sababu ya mtu kuwa mcha Mungu. Hata hivyo waganda siyo Watanzania. Biblia inasema asiyewajali wa nyumbani kwake ni mbaya kuliko asiyeamini. Inasaidia nini kusifiwa na Waganda wakati Watanzania wengi wamehudhunishwa?
Sasa kwanini ulilopoka Kama ulikuwa hujui chochote unachosema..no research no right to speak..better shutdown and lockupWewe ambaye haujakaririshwa , tupe majibu
Asilimia 90? Hizi takwimu umetoa wapi?Watanzania wengi wamehuzunishwa wapi jomba..labda fafanua..msipende kuwabeba watu wengine migongoni..Kama Hamna Sera ni bora mka shut your mouth..Kama alivyokuwa anawaambia mgombea wenu wa zamani..watanzania zaidi ya asilimia 90 wapo nyuma ya Magufuli..Sasa sijui unavyosema watanzania ni wepi hao..labda wewe, mmeo na watoto wenu huko..msihusishe wengine
Lockup mwenyeweSasa kwanini ulilopoka Kama ulikuwa hujui chochote unachosema..no research no right to speak..better shutdown and lockup
Mungu yupi? wale waganga 2000?JPM anampenda Mungu. Na hiki ndicho kinampa sifa kubwa Tanzania na duniani kwa ujumla.
Sijasikia takwimu za Covid kutoka Kenya kwa muda mrefu sasa. Hizo takwimu mpya umetoa wapi?Nini ambacho hamuelewi pimbi nyinyi. Wao wanapima na kutangaza cases! Sisi tumeacha kupima na kutangaza tangu April, sasa common sense ni kuwa usipopima na kutangaza haimaanishi huna cases!
Lakini ni wazi maambukizi na vifo kwa Africa ni chini sana ukilinganisha na mabara mengine!
Hivi kwanini mnakuwa viazi hivi?
AMENMungu yupi? Hakuna mtu anayempenda Mungu wa mbinguni anayeweza kutamani wale wanaoishi kama malaika waishi kama mashetani. Halafu Mungu anaweza kumtumia mtu yeyote hata kama ni mbaya kama shatani. Mungu alimtumia mfalme Koreshi mpagani kuwaruhusu Israeli kwenda kujenga upya kuta za Yerusalemu na Hekalu.
AMENMungu yupi? Hakuna mtu anayempenda Mungu wa mbinguni anayeweza kutamani wale wanaoishi kama malaika waishi kama mashetani. Halafu Mungu anaweza kumtumia mtu yeyote hata kama ni mbaya kama shatani. Mungu alimtumia mfalme Koreshi mpagani kuwaruhusu Israeli kwenda kujenga upya kuta za Yerusalemu na Hekalu.
No research no right to speak..even to comment on an issue . Fanya tafiti wewe usingoje kutafuniwa za kupikwaAsilimia 90? Hizi takwimu umetoa wapi?
Tanzania hakuna hata opinion polls. Hivi mnatuchukuliaje aisee!