Oldonyo ni MlimaOldonyo Lengai = Mlima wa Mungu sasa hapo Lengai sijui ni ipi
Aisee harafu watu walikaambia achana na huyo muhuni kenyewe kalijiona Bingwa na dalali mmoja wa magari kakimbia sijui mnara unasoma msumbiji maana nae alianza ubabe hata parking kulipa alikua analeta zogo kisa muda wote yupo na Generally waendelee na unegeral wao huko kisongo na huyo dogo aliambiwa jamaa kafinywa huko daslm kimbia akasema ahh ishu ndogo tuu akaendelea kushinda stand pale kwenye supermarket walimdaka kama kuku tuu..Kale kadogo kalikofungwa nae silvester nyegu ndio nakaonea huruma...
Yani bado katoto alafu kila baya la general alikuwakoAisee harafu watu walikaambia achana na huyo muhuni kenyewe kalijiona Bingwa na dalali mmoja wa magari kakimbia sijui mnara unasoma msumbiji maana nae alianza ubabe hata parking kulipa alikua analeta zogo kisa muda wote yupo na Generally waendelee na unegeral wao huko kisongo na huyo dogo aliambiwa jamaa kafinywa huko daslm kimbia akasema ahh ishu ndogo tuu akaendelea kushinda stand pale kwenye supermarket walimdaka kama kuku tuu..
Wanasaka ushahidi...Unene ulimzidi sana
Yaani hapo linda watu washafumuaMaskini jicho lililiwa vibaya mpk mgongo wakauharibu.Wahuni sio sana
Lilikuwa wapi?!Alivyokuwa anawatesa watu kwenye nyumba lake maalum aliloliita Golfota...huyu jamaa aisee
Watakuwa washamfumua rinda wandundu hawana mzahaUnene ulimzidi sana