UTI wa mgongo wa wamtesa Sabaya, kesi yake yaahirishwa tena

UTI wa mgongo wa wamtesa Sabaya, kesi yake yaahirishwa tena

Kale kadogo kalikofungwa nae silvester nyegu ndio nakaonea huruma...
Aisee harafu watu walikaambia achana na huyo muhuni kenyewe kalijiona Bingwa na dalali mmoja wa magari kakimbia sijui mnara unasoma msumbiji maana nae alianza ubabe hata parking kulipa alikua analeta zogo kisa muda wote yupo na Generally waendelee na unegeral wao huko kisongo na huyo dogo aliambiwa jamaa kafinywa huko daslm kimbia akasema ahh ishu ndogo tuu akaendelea kushinda stand pale kwenye supermarket walimdaka kama kuku tuu..
 
Aisee harafu watu walikaambia achana na huyo muhuni kenyewe kalijiona Bingwa na dalali mmoja wa magari kakimbia sijui mnara unasoma msumbiji maana nae alianza ubabe hata parking kulipa alikua analeta zogo kisa muda wote yupo na Generally waendelee na unegeral wao huko kisongo na huyo dogo aliambiwa jamaa kafinywa huko daslm kimbia akasema ahh ishu ndogo tuu akaendelea kushinda stand pale kwenye supermarket walimdaka kama kuku tuu..
Yani bado katoto alafu kila baya la general alikuwako
Angalia picha zake jinsi kalivyo na miaka aliyopost ndio ujue bado katoto...
Ni hela za wizi ndio zilimnenepesha
Screenshot_2021-11-10-18-49-16-156_com.facebook.katana.jpg
Screenshot_2021-11-10-18-49-07-294_com.facebook.katana.jpg
Screenshot_2021-11-10-18-49-00-287_com.facebook.katana.jpg
 
Alivyokuwa anawatesa watu kwenye nyumba lake maalum aliloliita Golfota...huyu jamaa aisee
 
Back
Top Bottom