Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Nimeangalia wakandarasi waliopata zabuni za miradi ya maji, kwa kweli binafsi yangu sijamuona Mtanzania ngozi nyeusi aliye pata zabuni. Wote niliowaona mie, ni ngozi nyeupe (mabeberu), sasa nacho jiuliza ngozi nyeusi sisi tatizo ni nini?
Sote tunafahamu njia kuu ya Serikali kuongeza fedha kwenye mzunguko na kuzalisha ajira ni kupitia miradi kama hii-sasa Miradi yote wanapopata Wakandarasi Mabeberu-sijui kama Taifa tunaelekea wapi huku tuna engineers wengi wana graduates, tuna Wakandarasi wazawa wengi.tunachofanya ni kuhamisha pesa kwenda katika Nchi za hao Wakandarasi na kuongeza ajira zao.
Sote tunafahamu njia kuu ya Serikali kuongeza fedha kwenye mzunguko na kuzalisha ajira ni kupitia miradi kama hii-sasa Miradi yote wanapopata Wakandarasi Mabeberu-sijui kama Taifa tunaelekea wapi huku tuna engineers wengi wana graduates, tuna Wakandarasi wazawa wengi.tunachofanya ni kuhamisha pesa kwenda katika Nchi za hao Wakandarasi na kuongeza ajira zao.