Utii wa wanawake wa kisasa

Wewe jamaa una akili kubwa sana, where was i to see your account siku zote hizo..?
Una akili sana mkuu. Hawa feminist wakija kuelewa kwamba Truth is ever to be found in simplicity, and not in the multiplicity and confusion of things watakuwa wamepiga hatua kubwa sana.
 
Huyo dada nilishindwana nae hapo tu, mnajadili mambo mengine, yeye analeta mifano ya wanaume anaokutana nao yeye wenye peculiar characters ambazo hata sisi wanaume zinatushangaza. Hajawahi kuwaza kwamba kuna bright side pia. Mungu amsaidie sana akutane na wanaume wazuri wanaojielewa ili angalau apone trauma zake.
 
Kaka una akili sana. I am following you right away. Kama ungekuwa mwalimu au kama ni mwalimu basi wanafunzi wako watakuwa wanaelewa sana. Huyo dada hayo matatizo yote uliyo notice kwake ni kweli anayo na ni zaidi ya watu 10 washamwelekeza ila ni mbishi kushinda maelezo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…