kwani ushawah ona tangazo langu la kutaka msaada wa kushindwa kulea vifaranga vyanguAu sio! Ndo unavyojibu wanaume wanaokutongoza hivyo! Hao watoto utalea mwenyewe kwa kweli
Huyo jamaa anasumbuliwa na wivu..Poor Brain naona kuna kijana ana dislike comments zetu apo unamuelewa kweli๐๐
eti wewe Django doer vipi bwana
Acheni hizi porojo zenu msingi wa mwanamke kumtii mwanaume uko katika mwanaume kumhudumia mwanamke huwezi kukitawala kiumbe usichokihudumia, kinachofanya wanawake wengi wa dunia ya leo kutokuwatii wanaume wao ni kile kitendo cha wao nao kuanza kujitafutia pesa na mali zao bila kuwategemea wanaume, hata mimi huwa nasema humu kama mwanaume anamhudumia mwanamke basi shurti huyo mwanamke amtii hiyo siyo hiyari bali lazima, ila kama mwanaume hawajibiki kwa lolote kwa mwanamke wake halafu anataka utii basi mtaendelea kulalamika na kutukana hadi mwisho wa dahari, huku mkisubiri mwanamke awe 'reject' ndio awe na utii
yan huelewi kitu๐๐๐๐ Naelewa sasa
Unajua sio wote wanatamani kuona mimi nafaidi ety.....huyo anayake tu,, alkua ananikubali ila kuona tu text zangu na Poor Brain kaanza dislike ๐๐
Mi nikipenda nakua chiziyan huelewi kitu
kumbeeee mi sikujua bwanaHuyo jamaa anasumbuliwa na wivu..
Itakua ana matatizo binafsi
unampenda nani sasa kijana mdogoMi nikipenda nakua chizi
Tatizo na wewe unashindwa kukemea pepo hilo ๐๐๐๐kumbeeee mi sikujua bwana
Ndio mkuu ata mimi sitamani ni vile tu basi.Unajua sio wote wanatamani kuona mimi nafaidi ety.....
๐๐๐๐๐
Sijui sasa hata najielewa sasa mwenzako ๐๐๐๐unampenda nani sasa kijana mdogo
Mwanaume umtii mwanamke tena!!?? Msubutuuuu
Utajiroga mwenyewe! Sio kwa wanawake sie wa kileo
Wee mkuu ๐ ๐ ๐ ๐ ni vile nakuheshimu ila ningekutukana matusi yale mazito ambayo mara ya mwisho nilituka mod aliyekua kwenye PM yanguNdio mkuu ata mimi sitamani ni vile tu basi.
Mnaoishi kwa validation mnajiendea kama nyumbu. Sijaja JF kuuza icecream kwamba kila mtu afurahie uwepo wangu au mawazo yangu. Sijaja kutafuta kupendwa hapa ndo maana unaniona sina unafki. Ukijichanganya I will literally put you in your place. Kutunisha kifua kisa ni wanaume kafanyieni wake zenu.Kaka una akili sana. I am following you right away. Kama ungekuwa mwalimu au kama ni mwalimu basi wanafunzi wako watakuwa wanaelewa sana. Huyo dada hayo matatizo yote uliyo notice kwake ni kweli anayo na ni zaidi ya watu 10 washamwelekeza ila ni mbishi kushinda maelezo.
Na mimi sio fala kukujibu najua hauwezi nitukana kwa sababu na mimi pia nakuheshimu mkuu๐ ๐ ๐Wee mkuu ๐ ๐ ๐ ๐ ni vile nakuheshimu ila ningekutukana matusi yale mazito ambayo mara ya mwisho nilituka mod aliyekua kwenye PM yangu
๐๐๐๐๐๐ Why why mkuu unakuja ku intafia my intavyyuNa mimi sio fala kukujibu najua hauwezi nitukana kwa sababu na mimi pia nakuheshimu mkuu๐ ๐ ๐
umeongea vema sana (tofauti na nilivyotarajia)Acheni hizi porojo zenu msingi wa mwanamke kumtii mwanaume uko katika mwanaume kumhudumia mwanamke huwezi kukitawala kiumbe usichokihudumia, kinachofanya wanawake wengi wa dunia ya leo kutokuwatii wanaume wao ni kile kitendo cha wao nao kuanza kujitafutia pesa na mali zao bila kuwategemea wanaume, hata mimi huwa nasema humu kama mwanaume anamhudumia mwanamke basi shurti huyo mwanamke amtii hiyo siyo hiyari bali lazima, ila kama mwanaume hawajibiki kwa lolote kwa mwanamke wake halafu anataka utii basi mtaendelea kulalamika na kutukana hadi mwisho wa dahari, huku mkisubiri mwanamke awe 'reject' ndio awe na utii
Boda boda, i hate you ๐๐๐๐๐๐๐ Why why mkuu unakuja ku intafia my intavyyu
๐คฃ๐คฃ๐คฃ Ana utindio wa ubongoPoor Brain naona kuna kijana ana dislike comments zetu apo unamuelewa kweli๐๐
eti wewe Django doer vipi bwana