Utii wa wanawake wa kisasa

Utii wa wanawake wa kisasa

Acheni hizi porojo zenu msingi wa mwanamke kumtii mwanaume uko katika mwanaume kumhudumia mwanamke huwezi kukitawala kiumbe usichokihudumia, kinachofanya wanawake wengi wa dunia ya leo kutokuwatii wanaume wao ni kile kitendo cha wao nao kuanza kujitafutia pesa na mali zao bila kuwategemea wanaume, hata mimi huwa nasema humu kama mwanaume anamhudumia mwanamke basi shurti huyo mwanamke amtii hiyo siyo hiyari bali lazima, ila kama mwanaume hawajibiki kwa lolote kwa mwanamke wake halafu anataka utii basi mtaendelea kulalamika na kutukana hadi mwisho wa dahari, huku mkisubiri mwanamke awe 'reject' ndio awe na utii

Muktadha wa hoja yako umejikita kwenye UTII Vs HUDUMA.

Kipi kinatakiwa kuanza kati ya hivyo viwili?

-Kaveli-
 
Kaka una akili sana. I am following you right away. Kama ungekuwa mwalimu au kama ni mwalimu basi wanafunzi wako watakuwa wanaelewa sana. Huyo dada hayo matatizo yote uliyo notice kwake ni kweli anayo na ni zaidi ya watu 10 washamwelekeza ila ni mbishi kushinda maelezo.
Mnaoishi kwa validation mnajiendea kama nyumbu. Sijaja JF kuuza icecream kwamba kila mtu afurahie uwepo wangu au mawazo yangu. Sijaja kutafuta kupendwa hapa ndo maana unaniona sina unafki. Ukijichanganya I will literally put you in your place. Kutunisha kifua kisa ni wanaume kafanyieni wake zenu.

Kila mtu ana mtazamo wake wa maisha na sio lazima nielewe unaousema wewe kwasababu hujui nilikotokea wala wanayopitia nnaowaona mimi.
So hata mngekuja mia nasimama na msemo wangu kwamba wewe na hao wenzako ni misogynists! Kwani kuna wanaume wangapi jf kwanini hawajagi na kiherehere ila ni wewe na wachache wenzio mliolelewa na wazazi wa ndio ndio hadi baba zenu wanaleta vitoto vya nje kibaooo na magonjwa kwahiyo mnataka heshima ya uoga ambayo mama zenu walionesha kwa baba zenu wasiowaheshimu ndo kila mtu awe nayo! Sahauuu.

Men who deserve respect are rare aisee. Wanajitambua na wanathamini wanawake hawakai kuwafungulia thread kila siku. 🚮
 
Acheni hizi porojo zenu msingi wa mwanamke kumtii mwanaume uko katika mwanaume kumhudumia mwanamke huwezi kukitawala kiumbe usichokihudumia, kinachofanya wanawake wengi wa dunia ya leo kutokuwatii wanaume wao ni kile kitendo cha wao nao kuanza kujitafutia pesa na mali zao bila kuwategemea wanaume, hata mimi huwa nasema humu kama mwanaume anamhudumia mwanamke basi shurti huyo mwanamke amtii hiyo siyo hiyari bali lazima, ila kama mwanaume hawajibiki kwa lolote kwa mwanamke wake halafu anataka utii basi mtaendelea kulalamika na kutukana hadi mwisho wa dahari, huku mkisubiri mwanamke awe 'reject' ndio awe na utii
umeongea vema sana (tofauti na nilivyotarajia)
 
Back
Top Bottom