Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 8,323
- 18,051
Kutokana na malezi ya kisasa na mifumo ya kisasa ya maisha ile kanuni ya mtii mwanaume wako kwa wanawake wa kisasa ni kitu ambacho hawakielewi kabisa wala kujua maana yake wakiwa katika umri wa usichana au umri wa kuchumbiwa na kuolewa.
Ila asili au nature ilivyo na power katika kufundisha kanuni zake za asili bila kupangiwa au kubembeleza mtu utashangaa sana binti akisha chezewa sana mwili wake akafikia ule umri wa utu uzima yaani 30,then mwili unaanza kupungua mvuto, anaanza kuwa na muonekano wa kimama, automatically utashangaa anaanza kuwa na adabu na yale mawenge, machepele, viburi, dharau ghafla hupotea anaanza kuwa na mwenendo wa utaratibu na anatengeneza haiba ya kukua kiakili.
Huwa najiuliza why huwa mnakwepa kitu ambacho mtakuja kukifanya siku za baadae tena kwa lazima?
Hapa tunaongea swala la utii na adabu kwa mwanaume ila mabinti kama akina Jadda watakaza fuvu kabisa na majibu ya kejeli ila subiri umri ufike. Kama kuna kamera za kuwamulika hamtaamini kuwa ndio wataufyata kuliko wale ambao ndio watii kwasasa.
Usiponyooka utanyooshwa, maisha hayajawahi na wala hatakuja kuwahi kubembeleza mtu, utakwenda vile yanavyotaka. Kanuni ya kutii mume na mke kupendwa ni ya miaka ya enzi na enzi. Wewe mtoto wa 1990's uje kuleta kanuni zako na kuamulia jamii iende kwa fikra zako utajua haujui, mtego utakapokufyatukia ndipo utaelewa maisha ni kama upepo, yapo ila hayashikiki.
Ila asili au nature ilivyo na power katika kufundisha kanuni zake za asili bila kupangiwa au kubembeleza mtu utashangaa sana binti akisha chezewa sana mwili wake akafikia ule umri wa utu uzima yaani 30,then mwili unaanza kupungua mvuto, anaanza kuwa na muonekano wa kimama, automatically utashangaa anaanza kuwa na adabu na yale mawenge, machepele, viburi, dharau ghafla hupotea anaanza kuwa na mwenendo wa utaratibu na anatengeneza haiba ya kukua kiakili.
Huwa najiuliza why huwa mnakwepa kitu ambacho mtakuja kukifanya siku za baadae tena kwa lazima?
Hapa tunaongea swala la utii na adabu kwa mwanaume ila mabinti kama akina Jadda watakaza fuvu kabisa na majibu ya kejeli ila subiri umri ufike. Kama kuna kamera za kuwamulika hamtaamini kuwa ndio wataufyata kuliko wale ambao ndio watii kwasasa.
Usiponyooka utanyooshwa, maisha hayajawahi na wala hatakuja kuwahi kubembeleza mtu, utakwenda vile yanavyotaka. Kanuni ya kutii mume na mke kupendwa ni ya miaka ya enzi na enzi. Wewe mtoto wa 1990's uje kuleta kanuni zako na kuamulia jamii iende kwa fikra zako utajua haujui, mtego utakapokufyatukia ndipo utaelewa maisha ni kama upepo, yapo ila hayashikiki.