min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Sio kwel wewe nakujua ni saa mbovušJadda ni role model wangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kwel wewe nakujua ni saa mbovušJadda ni role model wangu
Kwa hii mentality it's more likely huwezi ishi na mwanaume.Acheni hizi porojo zenu msingi wa mwanamke kumtii mwanaume uko katika mwanaume kumhudumia mwanamke huwezi kukitawala kiumbe usichokihudumia, kinachofanya wanawake wengi wa dunia ya leo kutokuwatii wanaume wao ni kile kitendo cha wao nao kuanza kujitafutia pesa na mali zao bila kuwategemea wanaume, hata mimi huwa nasema humu kama mwanaume anamhudumia mwanamke basi shurti huyo mwanamke amtii hiyo siyo hiyari bali lazima, ila kama mwanaume hawajibiki kwa lolote kwa mwanamke wake halafu anataka utii basi mtaendelea kulalamika na kutukana hadi mwisho wa dahari, huku mkisubiri mwanamke awe 'reject' ndio awe na utii
Ndo maana basi, hahahaPesa huna halafu unataka mwanamke akutii!!? Mimi nitamtii mwanaume mwenye PESA tu na anayefanya majukumu yake km mume..!!
Nimelia sanaš saa mbovu sio sifa nzuriSio kwel wewe nakujua ni saa mbovuš
Usilie sema tunakupenda hivyo hivyo .Nimelia sanaš saa mbovu sio sifa nzuri
Anaweza kuishi na mwanaume! Kama huyo mume atakua anajitambua na kutimiza majukumu yake.Kwa hii mentality it's more likely huwezi ishi na mwanaume.
Unanipenda wewe na nanišUsilie sema tunakupenda hivyo hivyo .
Umeongea kinyume chake kwa character ya jada kama ni kweli yupo ivyo maisha yake ya kila siku basi ni mwanume fulani fala fala ndio ataweza kuishi naeAnaweza kuishi na mwanaume! Kama huyo mume atakua anajitambua na kutimiza majukumu yake.
Awaap sio kwa majibu hayo yaani as if amekuwa mwanaume, imagine mwanaume unapewa jibu la aina hiyo! Huyo nadhani anashida tena kubwa!Anaweza kuishi na mwanaume! Kama huyo mume atakua anajitambua na kutimiza majukumu yake.
Na kina mwashamba ,lia lia pangu pa kavu.Unanipenda wewe na naniš
Anayeweza kuishi na Jadda ni mwanaume mwenye akili timamu mwenye IQ kubwaAwaap sio kwa majibu hayo yaani as if amekuwa mwanaume, imagine mwanaume unapewa jibu la aina hiyo! Huyo nadhani anashida tena kubwa!
Mimi nashkuru kama mnanipendaNa kina mwashamba ,lia lia pangu pa kavu.
Hapana mm najua psychology vzr huyo anashida.Anayeweza kuishi na Jadda ni mwanaume mwenye akili timamu mwenye IQ kubwa
š š š šPesa huna halafu unataka mwanamke akutii!!? Mimi nitamtii mwanaume mwenye PESA tu na anayefanya majukumu yake km mume..!!
Sawa mtoto wanguHapana mm najua psychology vzr huyo anashida.
Anamfanya mwanaume awe na utulivu na amani akiwa na hivi atapata pesa akipata pesa mwanamke atapata mahitaji yakeAcheni hizi porojo elezea hiyo faida anayopata mwanamke directly
Mbona unaniita hvyo? Dharau hizi!Sawa mtoto wangu
Usisahau tulivyokubalianaMbona unaniita hvyo? Dharau hizi!
Lini iyo? Emb acha zako unatakiwa uniite broUsisahau tulivyokubaliana
Utasubiri sanaa....!š¤øLini iyo? Emb acha zako unatakiwa uniite bro