Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Sina pesa ya kuwapaShangazi hutaki vijana wadogo 😁💋
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina pesa ya kuwapaShangazi hutaki vijana wadogo 😁💋
Hata hicho kidogo kinanifaa ugali dagaa kwenye amani 😊Sina pesa ya kuwapa
WoiHata hicho kidogo kinanifaa ugali dagaa kwenye amani 😊
Hutaki dudu changa wewe!? 😝
Aisee..dudu niliyoipata asubuhi hii ni ya viwango vingine kabisa...sent from heaven.Hutaki dudu changa wewe!? 😝
Badili ladha basi? 😎😁 Njoo chukua yangu ina chocolate na vanilla 😃Aisee..dudu niliyoipata asubuhi hii ni ya viwango vingine kabisa...sent from heaven.
Hii inatosha kabisa..nashiba ugali hapa niirudieBadili ladha basi? 😎😁 Njoo chukua yangu ina chocolate na vanilla 😃
🏃Hii inatosha kabisa..nashiba ugali hapa niirudie
Kwaheri.
"Heshima is earned" for real, for real.🤣🤣🤣🤣
Mbona ving'ong'o!! Ndio hawa kila siku kutupigia kelele humu. Heshima is earned bwana, sasa kama huipati jitafakari. Seems huistahili.
HalijatoshaAisee..dudu niliyoipata asubuhi hii ni ya viwango vingine kabisa...sent from heaven.
Mwisho wa dahari tena?Acheni hizi porojo zenu msingi wa mwanamke kumtii mwanaume uko katika mwanaume kumhudumia mwanamke huwezi kukitawala kiumbe usichokihudumia, kinachofanya wanawake wengi wa dunia ya leo kutokuwatii wanaume wao ni kile kitendo cha wao nao kuanza kujitafutia pesa na mali zao bila kuwategemea wanaume, hata mimi huwa nasema humu kama mwanaume anamhudumia mwanamke basi shurti huyo mwanamke amtii hiyo siyo hiyari bali lazima, ila kama mwanaume hawajibiki kwa lolote kwa mwanamke wake halafu anataka utii basi mtaendelea kulalamika na kutukana hadi mwisho wa dahari, huku mkisubiri mwanamke awe 'reject' ndio awe na utii
Mkiolewa wote mashangazi hawatakuwepoKwani kuolewa ni lazima?
Upendo ni tofauti na utii mkuu, mwanamke anaweza akakupenda kama haumpi pesa, ila kukutii ndio inaweza ikawa kipengele kidogoHuwezi kumuhudumia mwanamke kama hauna pesa.
So mwanamke ni pesa bila pesa hakuna kupendwa
Hakuna cha kurukaruka hapo wewe unalazimisha mtu ajibu kile unachotaka kukisikia tu hata kama ni uongo, sasa kama unajua kwamba kila mtu anaishi kivyake na kujiwajibikia mwenyewe kwanini unataka mwanamke akutii, ni mwanamke desperate na mwenye low self esteem tu ndiye atakayekubali kumtii mwanaume asiyemuhudumiaHaujajibu chochote ulikua unaluka luka tu unahisi swali lina mtego hata ivyo ulichojibu ni mwanaume fala ndio anaweza kukubali, yaani mnaishi sehemu tofauti(umepanga au upo kwa wazazi wako) au mnaishi pamoja halafu una ajira bado unataka mwanaume akuhudumie. kama unaishi kwenu wajibu wa baba ako ni upi?, kama hauna ajira na umepanga kwanini uliondoka kwenu?, kama una ajira na unataka kuhudumiwa kipato chako unapeleka wapi? Ni mwanaume fala ndio atakubali hayo matakwa yako labda tu kama lengo lake liwe kukutomba na kukuacha ndio atatoa hela kama chambo akishamaliza haja zake anaingia mitini ila kwa mentality yako kuwa na mahusiano ya maana sahau.
Ni ninyi ndio mnaolazimisha kwamba wanawake wanapenda kutawaliwa yani siku hizi mmegeuka wasemaji wao, kama kutawaliwa ingekuwa nature basi wanawake wote duniani wangekuwa na uniform mentality wala msingehitaji kutumia nguvu kubwa kuwalazimisha hilo, ila the fact kwamba wanawake wamekuwa rebellious inadhihirisha kwamba hiyo siyo nature bali ni some sort of planted mentality labda kama hujui maana ya natureUkikuwa utaacha kuhoji. It's all about the laws of nature. Kuna vitu vipo hivyo tu kingine mwanamke kaumbwa hivyo kukubali kutawaliwa not in a bad way ila ni moja wapo ya feminine quality. Ukiona mwanamke anataka ku act kama mwanaume there's some imbalances.
kwamba hata mwanamke ukiwa na ajira bado hitaji la kuhudumiwa lipo pale pale?. Ukishakua na ajira maana yake automatically unatoka kwenye kundi la watu tegemezi.Hakuna cha kurukaruka hapo wewe unalazimisha mtu ajibu kile unachotaka kukisikia tu hata kama ni uongo, sasa kama unajua kwamba kila mtu anaishi kivyake na kujiwajibikia mwenyewe kwanini unataka mwanamke akutii, ni mwanamke desperate na mwenye low self esteem tu ndiye atakayekubali kumtii mwanaume asiyemuhudumia
Hakuna utii pasipo upendoUpendo ni tofauti na utii mkuu, mwanamke anaweza akakupenda kama haumpi pesa, ila kukutii ndio inaweza ikawa kipengele kidogo