Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Huku gudi pia asee. Jioni njema.Shukrani chaliiangu, pande hizi ni shwari kabisa, sijui huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku gudi pia asee. Jioni njema.Shukrani chaliiangu, pande hizi ni shwari kabisa, sijui huko
Wewe mbona umeng'ang'ania hilo suala la mwanamke kuhudumiwa tu as if umeambiwa ni lazima si ni option tu, ndio maana nikasema mwanamke ambaye hahitaji kuhudumiwa pia hahitaji kutawaliwa, shida inakuja pale mnapolazimisha kila mwanamke akubali kutawaliwa bila kujali status yake yani mnatakiwa mchague mojakwamba hata mwanamke ukiwa na ajira bado hitaji la kuhudumiwa lipo pale pale?. Ukishakua na ajira maana yake automatically unatoka kwenye kundi la watu tegemezi.
Si kweli kwani wote wanaowatii maboss wao ni kwamba wanawapenda, inawezekana kabisa kuwepo na utii pasipo upendo na pia upendo pasipo utii, mfano mzazi anampenda mtoto wake lakini hawezi kumtiiHakuna utii pasipo upendo
Shukrani na kwako pia kiongoziHuku gudi pia asee. Jioni njema.
Mbishi Sana wewe! Katika ukuaji wako mpk kufikia hapo let's take an example nyumbani nani uliyekuwa una mheshimu zaidi? Nani alikuwa yupo juu kwenye kutoa say hasa kwenye maamuzi magumu ya familia, nani aliyekuwa Kimbilio la kwanza mpatapo shida fulani? Usilete visingizio twende kwenye uhalisia wa mambo mwanaume atabaki kuwa kiongozi, protector na Provider. Mwanamke hata physiology yake tu haimfavor kuwa leader unless she's got money and power which kwa mapana haimfanyi kuwa leader ni vile tu nguvu ya pesa na nyadhifa ndo vina mpa kichwa. Tatizo wanawake(wasichana) wabishi sana sikuhizi ndo maana wanaishiwa kutumika tu.Ni ninyi ndio mnaolazimisha kwamba wanawake wanapenda kutawaliwa yani siku hizi mmegeuka wasemaji wao, kama kutawaliwa ingekuwa nature basi wanawake wote duniani wangekuwa na uniform mentality wala msingehitaji kutumia nguvu kubwa kuwalazimisha hilo, ila the fact kwamba wanawake wamekuwa rebellious inadhihirisha kwamba hiyo siyo nature bali ni some sort of planted mentality labda kama hujui maana ya nature
Naona hatuelewani maelezo mengi halafu swali unalikwepa. I rest my caseWewe mbona umeng'ang'ania hilo suala la mwanamke kuhudumiwa tu as if umeambiwa ni lazima si ni option tu, ndio maana nikasema mwanamke ambaye hahitaji kuhudumiwa pia hahitaji kutawaliwa, shida inakuja pale mnapolazimisha kila mwanamke akubali kutawaliwa bila kujali status yake yani mnatakiwa mchague moja
Ulitakiwa kujibu hivi tangu mwanzo.
We jamaa mbona kama hujielewi na hujui hata unasimamia nini una uhakika we ni mzima kweli kichwani, naanza kuwa na mashaka na uelewa wako siyo siri una uwezo mdogo sana wa kufikiri na kupambanua hoja, hapo ulisema mwenyewe kwamba nilitakiwa kujibu vile tangu mwanzo halafu bado unakomaa kwamba sijakujibu hivi ni kwamba unajaribu kukwepa hoja auNaona hatuelewani maelezo mengi halafu swali unalikwepa. I rest my case
Wewe bila shaka hujaelewa kabisa hoja yangu nawe ndio wale wale tu wazee wa kukurupuka, mwanaume kumtawala mwanamke siyo nature bali ni kwa sababu za kiuchumi tu na si vinginevyo, kama mwanaume anamhudumia mwanamke ana mamlaka juu yake ila kama hamhudumii hana hayo mamlaka na huo ndio uhalisiaMbishi Sana wewe! Katika ukuaji wako mpk kufikia hapo let's take an example nyumbani nani uliyekuwa una mheshimu zaidi? Nani alikuwa yupo juu kwenye kutoa say hasa kwenye maamuzi magumu ya familia, nani aliyekuwa Kimbilio la kwanza mpatapo shida fulani? Usilete visingizio twende kwenye uhalisia wa mambo mwanaume atabaki kuwa kiongozi, protector na Provider. Mwanamke hata physiology yake tu haimfavor kuwa leader unless she's got money and power which kwa mapana haimfanyi kuwa leader ni vile tu nguvu ya pesa na nyadhifa ndo vina mpa kichwa. Tatizo wanawake(wasichana) wabishi sana sikuhizi ndo maana wanaishiwa kutumika tu.
Mbona unataka kwenda na concepts za slavery? We're not talking about kutawaliwa in sense kuwa mwanamke anakosa uhuru! Mentality yako imebase huko. Tunaongelea maisha halisi hapa. Usianze kubadilisha dhana ambayo wote tunayo kichwani. Kama wewe ni mwanamke halisi na hau hisi kuwa protected by a man nakuhakikishia unajidnaganya mwenyewe na unataka tu kukuza ego ambayo unayo kichwani. Trust me hii kama utaiapply maishani hakuna mwanaume ambaye atakuvumilia.Wewe bila shaka hujaelewa kabisa hoja yangu nawe ndio wale wale tu wazee wa kukurupuka, mwanaume kumtawala mwanamke siyo nature bali ni kwa sababu za kiuchumi tu na si vinginevyo, kama mwanaume anamhudumia mwanamke ana mamlaka juu yake ila kama hamhudumii hana hayo mamlaka na huo ndio uhalisia
Hebu naomba nifafanulie kwanza hiyo aina ya utawala unayomaanisha wewe maana naona unajaribu kuzunguka mbuyu tu hapa, wakati unachoongea kinaeleweka kabisa wala hakihitaji elimu ya rocket science, ni kama vile you are trying to call a spade a big spoon while it is just a spade so hebu nyoosha maelezo vizuri kwanza hapoMbona unataka kwenda na concepts za slavery? We're not talking about kutawaliwa in sense kuwa mwanamke anakosa uhuru! Mentality yako imebase huko. Tunaongelea maisha halisi hapa. Usianze kubadilisha dhana ambayo wote tunayo kichwani. Kama wewe ni mwanamke halisi na hau hisi kuwa protected by a man nakuhakikishia unajidnaganya mwenyewe na unataka tu kukuza ego ambayo unayo kichwani. Trust me hii kama utaiapply maishani hakuna mwanaume ambaye atakuvumilia.
Wewe ni mbishi kila mada unapingwa wewe tu na haujishtukii, kaonane na wanasaikolojia wakusaidie una matatizo kichwani. Thread ya 16 kila mtu anakwambia izo theories zako haziwezi kuwa applicable na mahusiano yakaendelea lakini unabisha tu, kwamba thread ya 16 ni wewe tu ndio upo sahihi?.We jamaa mbona kama hujielewi na hujui hata unasimamia nini una uhakika we ni mzima kweli kichwani, naanza kuwa na mashaka na uelewa wako siyo siri una uwezo mdogo sana wa kufikiri na kupambanua hoja, hapo ulisema mwenyewe kwamba nilitakiwa kujibu vile tangu mwanzo halafu bado unakomaa kwamba sijakujibu hivi ni kwamba unajaribu kukwepa hoja au
Ndo utafakari sasaMwanamke unajiitaje jina la gereza? Au wewe ni mhalifu?
Naomba ufuatilie masculine na feminine characteristics ndo utajua vizuri. Maana kumbe ww bado ulikua una argue vitu usivyovijua. This goes to all species sio binadamu tu. Na kama ulikua unalijua hili na bado halikuingia akilini au huna hisia nalo I guess kama hutakua na hormonal imbalances basi katka ukuaji wako kuna vitu ulikua exposed vika kushut down au ulimiss malezi flani.Hebu naomba nifafanulie kwanza hiyo aina ya utawala unayomaanisha wewe maana naona unajaribu kuzunguka mbuyu tu hapa, wakati unachoongea kinaeleweka kabisa wala hakihitaji elimu ya rocket science, ni kama vile you are trying to call a spade a big spoon while it is just a spade so hebu nyoosha maelezo vizuri kwanza hapo
Si unaona unavyozidi kudhihirisha uwezo wako mdogo wa kufikiri sasa ni nani aliyekuambia kwamba ukweli unahitaji kuungwa mkono au kupigiwa kura na watu wengi ndio uwe ukweli, ukweli siku zote utabaki kuwa ukweli tu hata kama dunia nzima inaupinga na uwongo utabaki kuwa uwongo tu hata kama dunia nzima inauunga mkono, yani unataka nibabaishwe na nyuzi za wanaume wa humu jf ambao wanatetea ujinga wao kwa sababu tu unafanywa na jinsia yao na si kwa kuzingatia uhalisiaWewe ni mbishi kila mada unapingwa wewe tu na haujishtukii, kaonane na wanasaikolojia wakusaidie una matatizo kichwani. Thread ya 16 kila mtu anakwambia izo theories zako haziwezi kuwa applicable na mahusiano yakaendelea lakini unabisha tu, kwamba thread ya 16 ni wewe tu ndio upo sahihi?.
Acha hizi porojo jibu hoja yangu siyo unaanza kujifanya psychologist na philosopher kana kwamba unanifahamu personally, mimi aina ya utawala ninaojua wa mwanaume juu ya mwanamke ni ule ule wa toka enzi na enzi haujawahi badilika, sasa kwa kuwa wewe una definition yako ya aina ya huo utawala basi ielezee labda leo naweza kujifunza jambo jipya hapaNaomba ufuatilie masculine na feminine characteristics ndo utajua vizuri. Maana kumbe ww bado ulikua una argue vitu usivyovijua. This goes to all species sio binadamu tu. Na kama ulikua unalijua hili na bado halikuingia akilini au huna hisia nalo I guess kama hutakua na hormonal imbalances basi katka ukuaji wako kuna vitu ulikua exposed vika kushut down au ulimiss malezi flani.
😂😂kwahiyo mnata kutiiwa au sio??!!
pm namba😂kwahiyo mnata kutiiwa au sio??!!
Utawala wa enzi na enzi ndo huo nao umaanisha hapa wala sijaja na dhana mpya sema mabibi zetu hawakuwa manipulated kama nyie walikuwa ma institcs za kutambua na ku act based on how they're supposed to, ila nyie kizazi cha nyoka kazi yenu ni ku question vitu ambavyo basically mnajua haviwezi kuapply! Sema the way jamii na watu wasio na uelewa walihisi ni kama wanawake wananyanyaswa by the way enzi hizo mwanamke hakupata fursa nyingi based on tamaduni ambalo ni swala na topic nyungine ila mwanamke amabye yuko kamili na anafeel femininity yake kwa asilimia 💯 hawezi kubisha kama wewe ndo maana hata kama sikujui lazma naweza kudadisi based on how you respond. Hivi ulishawahi kuwa na mahusiano kweli? Na how did you live with your partner?Acha hizi porojo jibu hoja yangu siyo unaanza kujifanya psychologist na philosopher kana kwamba unanifahamu personally, mimi aina ya utawala ninaojua wa mwanaume juu ya mwanamke ni ule ule wa toka enzi na enzi haujawahi badilika, sasa kwa kuwa wewe una definition yako ya aina ya huo utawala basi ielezee labda leo naweza kujifunza jambo jipya hapa
Sasa kama unajua kwamba bibi zetu hawakupata fursa nyingi enzi zao kwanini unadai kwamba hawakuwa manipulated na waliishi based on how they are supposed to, na ndio maana nikasema wanaume ndio mnakuwa wasemaje wa wanawake kuliko wanawake wenyewe yani bibi zetu enzi zao hawakuwa na sauti ya kujisemea kwamba wanapenda au hawapendi huo mfumo halafu ninyi mnadai eti walikuwa wanapenda mna uhakika gani kama walikuwa wanapenda, kama kweli wangekuwa wanaupenda huo mfumo sasa feminism ingetoka wapi na kupata wafuasi wengi kiasi hiki si ingeshajifia tu natural death in the first place au wewe unadhani feminism imeanza juzi tu miaka ya 2000Utawala wa enzi na enzi ndo huo nao umaanisha hapa wala sijaja na dhana mpya sema mabibi zetu hawakuwa manipulated kama nyie walikuwa ma institcs za kutambua na ku act based on how they're supposed to, ila nyie kizazi cha nyoka kazi yenu ni ku question vitu ambavyo basically mnajua haviwezi kuapply! Sema the way jamii na watu wasio na uelewa walihisi ni kama wanawake wananyanyaswa by the way enzi hizo mwanamke hakupata fursa nyingi based on tamaduni ambalo ni swala na topic nyungine ila mwanamke amabye yuko kamili na anafeel femininity yake kwa asilimia 💯 hawezi kubisha kama wewe ndo maana hata kama sikujui lazma naweza kudadisi based on how you respond. Hivi ulishawahi kuwa na mahusiano kweli? Na how did you live with your partner?
Am not against feminism at all, najua imeanza zamani hasa kwa wazungu huko ila ujinga ni kuwa wanawake mnaichukulia in a negative way, unajua kwa nini ndoa zamani zilikua zinadumu na hakukua na mmomonyoko wa maadili? Na bado mwanamke hakupata hizi opportunity amabazo anazo leo? Jibu ni rahisi sana mmepewa uhuru mnaanza kuutumia to your advantage na hii inawa cost lkn hamshtuki wala kuona mapungufu yapo wapi. Napenda sana wanawake wawe huru na kufanya vitu kwa usawa kama wanaume lkn wajinga ni wale wanao Cross borders kujiona na wao wamekuwa wanaume. Wafuasi wa feminism wengi hawajui lengo kuu na wengi wao huwa psychologically hawapo vzr either alitumia ujana wake vibaya so ile depression anaiweka kwenye feminism kuwachukia wanaume bure. Kingine watu wanaopitia maumivu kwenye mahusiano amabao ni wanaume wapo kimya coz systems zinawapa kipaumbele wanawake akiguswa tu sheria. Ndo maana narudi kusema mlio kuwa manipulated ni nyie na sio bibi zetu, inagwa hawakusoma ila wamewazidi akiliSasa kama unajua kwamba bibi zetu hawakupata fursa nyingi enzi zao kwanini unadai kwamba hawakuwa manipulated na waliishi based on how they are supposed to, na ndio maana nikasema wanaume ndio mnakuwa wasemaje wa wanawake kuliko wanawake wenyewe yani bibi zetu enzi zao hawakuwa na sauti ya kujisemea kwamba wanapenda au hawapendi huo mfumo halafu ninyi mnadai eti walikuwa wanapenda mna uhakika gani kama walikuwa wanapenda, kama kweli wangekuwa wanaupenda huo mfumo sasa feminism ingetoka wapi na kupata wafuasi wengi kiasi hiki si ingeshajifia tu natural death in the first place au wewe unadhani feminism imeanza juzi tu miaka ya 2000