Utii wa wanawake wa kisasa

Utii wa wanawake wa kisasa

Kabla ya Kukanusha kuwa Huo mfumo Uliouita Mfumo Dume kuwa Sio mfumo wa asili ulitakiwa Ujiuulize ILIKUWAJE HADI IKATOKEA HUKO TANGU KWA ANCESTORS WETU MWANAUME ALIKUWA NI MTAWALA NA MSIMAMIZI WA MWANAMKE??
Je ilishawahi kujiuliza Ilikuwaje hadi wanaume Waka"win" kuwatawala wanawake Huko nyuma Na bila resistance yoyote inayojulikana leo hii.

Pia Tukuulize Bi Jadda imekuaje Hadi imetokea kuna wanawake wao wanakubali kuwa chini ya Mwanaume Kwa msukumo wa ndani lakini pia kuna ambao wapo kinyume na hilo kama ulivyodai (Japo sio kweli). Lakini hakuna mwanaume anaezaliwa na msukumo wa ndani wa kutawaliwa na Mwanamke( kama wapo pia tuambie).

Bado Swali linakuja Hayo yote yanatokea kwa nini?? Kwanini Wanawake walikubali hili Jee Kuna Nguvu Ya Nje walipewa wanaume Kulifanikisha hili??
Sasa si nimeshakuambia hapo kwamba ni kwa sababu enzi hizo wanawake hawakuwa na sauti ya kujitetea na ukizingatia walinyimwa fursa ya kupata elimu ambayo kwa namna moja ama nyingine ndio ingewasaidia kuwapa uwezo wa kufikiria na kuchanganua mambo, au labda nikuulize na wewe kwenye suala la utawala wa watu weupe dhidi ya watu weusi ni kipi kilichowafanya weupe washinde na waweze kututawala weusi kiasi cha kutufanya weusi tujione inferior na kukubali kutawaliwa, na kingine kilichowafanya wanaume wawe washindi kwenye huo mfumo ni kwa sababu ya hilo jukumu walilojipa la kuhudumia familia yani ni kama waliwaambia wanawake kwamba ninyi mkae nyumbani mtutii na kutuzalia watoto then sisi tutahakikisha ninyi na watoto mnapata mahitaji yote muhimu kwahiyo wanawake wakakubali bila kuona mtego uliopo
Umetetea vyema. Ila Unatakiwa Utuambie Ni Nani Aliyewapa Nguvu Wanawake Hadi wakajiona Sasa Wanavifua na ilikuaje jee Hawakusaidiwa?
Kitu kilichowapa vifua wanawake ni wao kuanza kuona kwamba kumbe nao wana uwezo wa kutafuta pesa na mali na kutunza na kuhudumia familia na maisha yakaenda, tofauti na propaganda ambazo mfumo dume ulikuwa unawalisha hadi wakawa brainwashed kwamba mwanamke hawezi kutoka kuenda kutafuta ataharibu, na hapa ndipo ninapofananisha mfumo dume na ukoloni kwa sababu hata watu weupe husema kwamba watu weusi hawatakiwi kuachwa wajitawale wenyewe maana wataharibu kitu ambacho sisi weusi tunaona siyo kweli na tunaona ukoloni ni mfumo batili
Ukisema kwa Sababu Za Kiuchumi tuu Utakuwa Hujayazingatia maisha ya Kifamilia labda maisha ya Kimahusiano tuu nje ya Familia kwa sababu Kwa Hoja yako hii Inamaanisha Baba atatiiwa na Mama akiwa na pesa na siku Baba akiishiwa Pesa ,, Na ikabidi mke ahudumie Familia Basi Sasa Baba atatakiwa kutiii mke. Na mke atakuwa ndio kichwa cha Familia. (Hii ni ajabu kabisa)
Ofcourse yani bila kupepesa macho hilo liko wazi kabisa kama wewe mwanaume umeishiwa pesa kiasi cha kufikia hatua ya kukaa nyumbani bila kutafuta shughuli yoyote ya kukuingizia pesa, hadi kumuachia mke gurudumu la kuendesha familia peke yake basi wewe umeshafeli kama baba na nafasi yako haina budi kuchukuliwa na mke, hilo linaweza kuonekana jambo la ajabu kwa wanaume wa kiafrika ambao wanataka mamlaka bila wajibu ila hivyo ndivyo inavyotakiwa kuwa it is just what it is
Mimi mbona nimetoa Sababu yangu moja wapo kuwa ni kwa Sababu Madume yana Nguvu kuliko Majike Jee wewe unalikataa hili??

Pili Hayo maumbile unayoyakataa ndio Hoja ambayo ni Ngumu kuivunja Sababu Maumbile ya mwanamke Yanamfanya Automatically kuwa Weak ukilinganisha na Mwanaume Sasa Kanuni za kiasili zinamfaidisha Mwanaume kumtawala Mwanamke kwa yale maumbile yake.
Ndio maana nikakutolea Mfano kwamba Unaweza ukawa unamuhudia huyo mwanaume Ambae kwa Hoja yako Sasa utakuwa unamtawala Alafu siku ikitokea ugomvi atakuchalaza makofi na hutakuwa na la kumfanya Huo ni Utawala Gani Sasa.!!!
Ndio maana nikasema huwezi kujitangazia utawala kwa kutumia kigezo cha maumbile ambayo mwenzio hajaumbwa nayo, suala la wanaume kuwa na nguvu kuliko wanawake ni suala la kimaumbile wanaume naturally wameumbwa na miili mikubwa yenye misuli na uwezo wa kustahimili mazingira magumu ila hicho siyo kigezo cha kuwa mtawala, kwa sababu hicho kigezo wanawake hawana na hawajapenda kutokuwa nacho maana hakuna anayechagua kuwa mwanaume au mwanamke na hakuna jinsia inayochagua kupewa au kunyimwa uwezo fulani

Ndio maana nilikuuliza vipi na wanawake nao wakiamua kujitangazia utawala kwa kigezo cha kwamba wao ndio wenye jukumu zito la kuleta uhai duniani (suala ambalo ni la kimaumbile), je wanaume mtakubaliana na hilo na kama hamtakubali ni kwanini lakini hujanijibu hilo swali badala yake umeendelea kuniletea porojo zako tu, bora ungeniambia wanaume wanajitangazia utawala kwa sababu wanawahudumia wanawake ningeelewa maana wanawake wana uwezo wa kujihudumia wenyewe na kitendo cha kutaka kuhudumiwa ni maamuzi yao binafsi hivyo wana haki ya kutawaliwa na wajibu wa kutii wale wanaowahudumia

Yani kitendo cha wanaume kujitangazia utawala kwa kuzingatia vigezo vya uwezo na nguvu (ambavyo kimaumbile wanawake wanavyo kwa kiwango kidogo) ni sawa na kuweka mashindano ya mbio kati ya mtu mwenye miguu mizima na mtu mwenye ukoma halafu huyo mzima ajitangazie ushindi dhidi ya huyo mkoma kwa kigezo kwamba yeye ana miguu mizima (ilihali mwenzie hajazaliwa na miguu mizima), kila mtu ana uwezo fulani kulingana na maumbile yake ukimhukumu samaki kwa uwezo wake wa kupanda mti basi ataishi maisha yake yote akidhani yeye ni mjinga huku wewe ukijiona bora na mwerevu zaidi yake, ilihali unasahau kwamba hata wewe huna uwezo wa kuishi chini ya maji ila kwa sababu zako binafsi unaamua tu kukidharau hicho kigezo kwa sababu wewe ndio unajiona una nguvu na akili kuliko samaki
 
Acha nadharia uhudumiwe kwani wewe kilema,Wanawake wa kiafrika mna laana nyie mnataka kupewa tu utadhani hamna mikono.
Wenzenu ulaya Mke anawajibika katika Familia na bado unamheshimu Mume.
Wewe ndio unaishi kwenye nadharia ni nani kakudanganya kwamba ulaya wanawake ndio wanawaheshimu wanaume wadanganyeni ambao hawajawahi kufika huko, ulaya mke na mume wanaheshimiana na wanasikilizana hakuna aliye chini ya mwenzake yani wale ndio wanajua kuupractice mfumo wa 50/50 maana kule kwao majukumu sawa yanaenda sambamba na haki sawa, tatizo la wanaume wa kiafrika mnataka majukumu sawa ila hamtaki haki sawa yani eti mkeo akusaidie majukumu yako halafu aendelee kukutii dunia ya leo hakuna kitu kama hiko ni lazima uchose kimoja na usacrifice kimoja
 
Sasa si nimeshakuambia hapo kwamba ni kwa sababu enzi hizo wanawake hawakuwa na sauti ya kujitetea na ukizingatia walinyimwa fursa ya kupata elimu ambayo kwa namna moja ama nyingine ndio ingewasaidia kuwapa uwezo wa kufikiria na kuchanganua mambo,
Bado Hujajibu Bi Jadda Nani Aliwanyima Hiyo Fursa Wanawake na Akawapa Wanaume,,, Wanaume Walipewa Hiyo Fursa Ya kuwazuia Wanawake Kujitetea na Nani?
au labda nikuulize na wewe kwenye suala la utawala wa watu weupe dhidi ya watu weusi ni kipi kilichowafanya weupe washinde na waweze kututawala weusi kiasi cha kutufanya weusi tujione inferior na kukubali kutawaliwa,
Sasa ndio Tukuulize Wewe bi Jadda Kabla ya mimi kutoa maelezo malefu Juu ya Hili Tumbie Hao Wazungu Waliwatawala Mababu zetu kama wakoloni Kwa Kuwa walikuwa wanatoa Huduma??
na kingine kilichowafanya wanaume wawe washindi kwenye huo mfumo ni kwa sababu ya hilo jukumu walilojipa la kuhudumia familia yani ni kama waliwaambia wanawake kwamba ninyi mkae nyumbani mtutii na kutuzalia watoto then sisi tutahakikisha ninyi na watoto mnapata mahitaji yote muhimu kwahiyo wanawake wakakubali bila kuona mtego uliopo

Kitu kilichowapa vifua wanawake ni wao kuanza kuona kwamba kumbe nao wana uwezo wa kutafuta pesa na mali na kutunza na kuhudumia familia na maisha yakaenda, tofauti na propaganda ambazo mfumo dume ulikuwa unawalisha hadi wakawa brainwashed kwamba mwanamke hawezi kutoka kuenda kutafuta ataharibu, na hapa ndipo ninapofananisha mfumo dume na ukoloni kwa sababu hata watu weupe husema kwamba watu weusi hawatakiwi kuachwa wajitawale wenyewe maana wataharibu kitu ambacho sisi weusi tunaona siyo kweli na tunaona ukoloni ni mfumo batili
Hujawa Muadilifu katika Hili Kwamba Wanawake Wamejikomboa Wenyewe kwa Kuona Wanauwezo wa Kutafuta Pesa?? Unahisi Bibi Zetu Walikuwa Hawajui Kwamba Wanaweza Kutafuta pesa?? Labda utakuwa Hujui Historia ya Feminism.
Ofcourse yani bila kupepesa macho hilo liko wazi kabisa kama wewe mwanaume umeishiwa pesa kiasi cha kufikia hatua ya kukaa nyumbani bila kutafuta shughuli yoyote ya kukuingizia pesa, hadi kumuachia mke gurudumu la kuendesha familia peke yake basi wewe umeshafeli kama baba na nafasi yako haina budi kuchukuliwa na mke, hilo linaweza kuonekana jambo la ajabu kwa wanaume wa kiafrika ambao wanataka mamlaka bila wajibu ila hivyo ndivyo inavyotakiwa kuwa it is just what it is
Haya Maelezo yako Yanasikitisha Kwa Sababu mimi Sijasema Mume Kashindwa kutafuta shughuli yoyote (Mbona unayachukulia mambo in negative way always!!) Wewe unayajua Maisha kwamba kuna kupanda na kushuka kuna kufukuzwa kazi kuna kukwama kila jambo unalolifanya Unayajua haya. Sasa haya hutokea katika Familia na Mama anaweza kumsaidia Baba katika kipindi hicho Ndio nikauliza Jee Sasa Kuanzia Hapo Kichwa cha Familia atakuwa Mama (Pia inabidi ujue Kichwa cha Familia Kinakuwa na Majukumu Gani alafu hayo majukumu Mpe Mama Wakati Baba Yupo alafu Pima Kama Inawezekana..)
Ndio maana nikasema huwezi kujitangazia utawala kwa kutumia kigezo cha maumbile ambayo mwenzio hajaumbwa nayo, suala la wanaume kuwa na nguvu kuliko wanawake ni suala la kimaumbile wanaume naturally wameumbwa na miili mikubwa yenye misuli na uwezo wa kustahimili mazingira magumu
In Short Ulitakiwa useme Wanawake wameumbwa Dhaifu (Weak) kuliko wanaume. Alafu sasa Litumbukize hili Katika ile Law ya Survival of fittest.( Sijui kama utakuwa umegundua kitu?)
ila hicho siyo kigezo cha kuwa mtawala, kwa sababu hicho kigezo wanawake hawana na hawajapenda kutokuwa nacho maana hakuna anayechagua kuwa mwanaume au mwanamke na hakuna jinsia inayochagua kupewa au kunyimwa uwezo fulani.
Aisee Bi Jadda Unasikitisha Sana Yaani Kigezo cha Nguvu na Maumbile sio Kigezo cha Kuwa Mtawala!! Aisee Mbona kama Upo Nyuma Sana Katika hili. Ule mfano wangu Wa Mke akimtawala Mumewe alafu Muwe Siku Akiaamua kumchalaza Makofi Hujauzingatia kabisa.
Ndio maana nilikuuliza vipi na wanawake nao wakiamua kujitangazia utawala kwa kigezo cha kwamba wao ndio wenye jukumu zito la kuleta uhai duniani (suala ambalo ni la kimaumbile), je wanaume mtakubaliana na hilo na kama hamtakubali ni kwanini lakini hujanijibu hilo swali badala yake umeendelea kuniletea porojo zako tu, bora ungeniambia wanaume wanajitangazia utawala kwa sababu wanawahudumia wanawake ningeelewa maana wanawake wana uwezo wa kujihudumia wenyewe na kitendo cha kutaka kuhudumiwa ni maamuzi yao binafsi hivyo wana haki ya kutawaliwa na wajibu wa kutii wale wanaowahudumia.
Bi Jadda Ni kweli kwamba Haya mambo huyaelewi au Unalazimisha Kutoyaelewa Yaani Unahusisha Utawala na Kuzaa?? Hivi unajua maana ya kutawala??
Yani kitendo cha wanaume kujitangazia utawala kwa kuzingatia vigezo vya uwezo na nguvu (ambavyo kimaumbile wanawake wanavyo kwa kiwango kidogo) ni sawa na kuweka mashindano ya mbio kati ya mtu mwenye miguu mizima na mtu mwenye ukoma halafu huyo mzima ajitangazie ushindi dhidi ya huyo mkoma kwa kigezo kwamba yeye ana miguu mizima (ilihali mwenzie hajazaliwa na miguu mizima), kila mtu ana uwezo fulani kulingana na maumbile yake ukimhukumu samaki kwa uwezo wake wa kupanda mti basi ataishi maisha yake yote akidhani yeye ni mjinga huku wewe ukijiona bora na mwerevu zaidi yake, ilihali unasahau kwamba hata wewe huna uwezo wa kuishi chini ya maji ila kwa sababu zako binafsi unaamua tu kukidharau hicho kigezo kwa sababu wewe ndio unajiona una nguvu na akili kuliko samaki.
Umesahau Kuanzia kule Juu tulishasema Nature ndio Imeamua Mwanaume Awe Mtawala wa Mwanamke Kama Vile Kipofu hawezi kuwa Fundi saa Tayari Nature imeamua hivyo Pia Kiwete Hawezi kwenda Shamba kulima Iyo ndiyo nature Na pia Wanawake hawawezi kuwatawala Wanaume Kwa Sababu Huwezi kukitawala kitu ambacho wewe ni Dhaifu kuliko hiko kitu.
 
Ngoja Sasa Nikupe Faida Bi Jadda.

Moja,, Utiifu Umejengwa Katika Nguvu na Uwezo Wa Yule anayetakiwa kutiiwa na Asilimia kubwa Duniani Utiifu Baina ya Watu,, jumuiya,, Taasisi au Hata Mataifa unaangukia katika kigezo hiki.

Pili Kuna utiifu Unaotokana na kuhitaji Social Security and Considerations (Nashindwa kuliweka hili katika kiswahili) ila huu ni Utiifu Tunaowapa Viongozi Wetu wa Dini au Watu Muhimu wenye kuheshimiwa katika Jamii.

Tatu Utiifu wa Watoto Kwa Wazazi wao Ni Utiifu ambao inajitegemea na Unamaelezo yake Marefu.(Sio Muhimu kwa Hapa)

Ukitumia Hivyo Vigezo Utaona Kila Kinachotiiwa Kuheshimiwa Na Kutawala Kinadondokea katika Vigezo Hivyo aidha Kimojawapo au Kimekusanya.

Katika Nchi nyingi Kuna Watu Wanatii Serikali zao Kwa Sababu Zina majeshi yenye Nguvu Na sio kwa Sababu Hizo Serikali zinawahudumia wao Na siku Serikali Ikikosa Nguvu Hawatoitii Kuanzia Hapo Na Ndio Maana Unasikia Mapinduzi Katika Nchi Nyingi za Afrika.

Pili Nchi Nyingi za Afrika zinaonyesha Utiifu Na Heshima Kwa Mataifa Ya kimagharibi (Wazungu) kwa sababu Hayo Mataifa Yana Nguvu za Kijeshi na Uwezo Wa Kiuchumi (Sio Huduma).

Sasa Nikwambie Bi Jadda HUDUMA kama ulivyong'ang'ania Ni "ZAWADI" anayotoa yule Mtawala kwa wale anaowatala yaani Wanaomtii. Sasa Zawadi Haifanyi lile Kusudi La Utiifu Kuondoka Au Kuingia Kwa Sababu Sio Kigezo cha Utiifu.

Sasa Mababu Zetu Walikuwa Wanatoa Huduma Kwa Wake zao waliokuwa Wakiwatii Kama Zawadi Kwa namna Mbalimbali Mfano Kuwalinda Kutokana na Hatari ,, Kuwapambania Vitani na kukubali wao wauawe lakini Wake zao na Watoto wao Wapone. (Japo mara kwa mara mmekuwa mkiwashutumu Mababu zetu Bila kusahau vita zote walikuwa wanaenda wao kufa kwa ajili ya wake zao na watoto Wao).

Pia Huduma Katika Kufanya Zile kazi Ambazo zinahitaji Nguvu Nyingi Kama Kujenga,, Kuchimba visima Hizi zote ni Huduma Na Ni Zawadi Walikuwa Wanatoa.

Na Kama Mtawala asipotoa Zawadi hii Jamii itamshangaa na Wazee lazima Wakae nae Huyo Mwanaume kwanini Hatoi Huduma Ambayo ni Zawadi Ya Kutiiwa kwake?? (Na ndio maana kulikuwa na kitu kinaitwa JANDO mwanaume anafundishwa Wajibu wake katika Familia).

Hii Ni Kanuni Ya Asili kwamba Mtawala hutoa Zawadi ya Huduma Lakini Haimaanishi Ni lazima Mtawala atoe Huduma ndio Atawale HAPANA.

LEO HII HATA KAMA WAZUNGU HAWATALETA MSAADA WOWOTE AFRIKA,, MATAIFA YA AFRIKA HAYAWEZI KWENDA KINYUME NA AGENDA NA AMRI ZA MATAIFA MAKUBWA WEWE UNAHISI NI KWANINI?? JIBU NI KWA SABABU WANAJUA UWEZO WAO NA NGUVU YAO WALIYONAYO.
 
Bado Hujajibu Bi Jadda Nani Aliwanyima Hiyo Fursa Wanawake na Akawapa Wanaume,,, Wanaume Walipewa Hiyo Fursa Ya kuwazuia Wanawake Kujitetea na Nani?
Hivi kwanini unaandika maelezo marefu halafu unarudia vitu vile vile ambavyo nimeshafafanua yani ni kama unakuwa unanirudisha nyuma, nimeshakuambia wanaume ndio walijipa hayo mamlaka kupitia maandiko na tamaduni mbalimbali ambavyo walivitunga wao wenyewe bila kuwashirikisha wanawake, kwahiyo wanaume walitumia maumbile yao kujipa utawala wa mabavu dhidi ya wanawake na kudai kwamba ni nature ndio imeamua hivyo eti kwa sababu za kimaumbile tu
Sasa ndio Tukuulize Wewe bi Jadda Kabla ya mimi kutoa maelezo malefu Juu ya Hili Tumbie Hao Wazungu Waliwatawala Mababu zetu kama wakoloni Kwa Kuwa walikuwa wanatoa Huduma??
Sasa wewe unadhani wazungu walikuwa wanakalia ardhi ya waafrika hivi hivi tu, wao si ndio walioleta maendeleo kwa kujenga miundombinu mbalimbali, ambayo hata waafrika walikuwa wakifaidika nayo
Hujawa Muadilifu katika Hili Kwamba Wanawake Wamejikomboa Wenyewe kwa Kuona Wanauwezo wa Kutafuta Pesa?? Unahisi Bibi Zetu Walikuwa Hawajui Kwamba Wanaweza Kutafuta pesa?? Labda utakuwa Hujui Historia ya Feminism.
Bibi zetu walikuwa wameshaaminishwa kwamba mwanamke hatakiwi kutoka kuenda kutafuta pesa anatakiwa afanye kazi za nyumbani na shambani, feminism ilipoanzishwa ndipo wanawake wakaanza kuona kwamba kumbe wana uwezo wa kutafuta pesa na maisha mengine yakaendelea, ndio wanawake wamejikomboa kwa sababu kwa kiasi fulani imewafanya nao wawe ni sehemu ya ushauri na maamuzi ndani ya familia tofauti na zamani ambapo walikuwa wanahudumiwa hawakupewa hiyo nafasi
Haya Maelezo yako Yanasikitisha Kwa Sababu mimi Sijasema Mume Kashindwa kutafuta shughuli yoyote (Mbona unayachukulia mambo in negative way always!!) Wewe unayajua Maisha kwamba kuna kupanda na kushuka kuna kufukuzwa kazi kuna kukwama kila jambo unalolifanya Unayajua haya. Sasa haya hutokea katika Familia na Mama anaweza kumsaidia Baba katika kipindi hicho Ndio nikauliza Jee Sasa Kuanzia Hapo Kichwa cha Familia atakuwa Mama (Pia inabidi ujue Kichwa cha Familia Kinakuwa na Majukumu Gani alafu hayo majukumu Mpe Mama Wakati Baba Yupo alafu Pima Kama Inawezekana..)
Sasa labda nikuulize vipi kwa wale wake ambao ni wamama wa nyumbani halafu mume akafukuzwa kazi na shughuli nyingine zote zikakwama inakuwaje hapo
In Short Ulitakiwa useme Wanawake wameumbwa Dhaifu (Weak) kuliko wanaume. Alafu sasa Litumbukize hili Katika ile Law ya Survival of fittest.( Sijui kama utakuwa umegundua kitu?)
Ndio maana nikasema kuumbwa dhaifu siyo hoja bali inatakiwa kuspecify je wameumbwa dhaifu katika angle gani, ninyi mmejitangazia utawala kwa kuzingatia angle moja tu ya nguvu za mwili, ndio mnatakiwa mseme sasa ni kanuni gani inayoamua kwamba nguvu za mwili ndio ziwe kigezo cha kutawala na si sifa nyingine
Aisee Bi Jadda Unasikitisha Sana Yaani Kigezo cha Nguvu na Maumbile sio Kigezo cha Kuwa Mtawala!! Aisee Mbona kama Upo Nyuma Sana Katika hili. Ule mfano wangu Wa Mke akimtawala Mumewe alafu Muwe Siku Akiaamua kumchalaza Makofi Hujauzingatia kabisa.
Kuwa na uwezo wa kumcharaza mtu makofi siyo kigezo cha yeye kukutii labda kukuogopa tu, vinginevyo uelezee hii ni kanuni ya wapi yani unatakiwa uelezee msingi wa hizi kanuni zako, siyo unalazimisha tujadili kwa kutumia mitazamo yako binafsi au kwa kutumia doctrines ambazo ziliwekwa na binadamu kama sisi na kudai ni nature
Bi Jadda Ni kweli kwamba Haya mambo huyaelewi au Unalazimisha Kutoyaelewa Yaani Unahusisha Utawala na Kuzaa?? Hivi unajua maana ya kutawala??

Umesahau Kuanzia kule Juu tulishasema Nature ndio Imeamua Mwanaume Awe Mtawala wa Mwanamke Kama Vile Kipofu hawezi kuwa Fundi saa Tayari Nature imeamua hivyo Pia Kiwete Hawezi kwenda Shamba kulima Iyo ndiyo nature Na pia Wanawake hawawezi kuwatawala Wanaume Kwa Sababu Huwezi kukitawala kitu ambacho wewe ni Dhaifu kuliko hiko kitu.
Haya maelezo yako yanadhihirisha kwamba hujanielewa ila unaandika mradi tu ubishe, ndio maana unajaza risala na unanipa kazi ya kuelezea yale yale kila wakati, mimi hoja yangu tangu mwanzo ni kwamba kila mmoja ajitawale mwenyewe yani kusiwe na ulazima wowote wa mmoja kumtawala mwenzake

Kwahivyo mimi kupinga mfumo dume haimaanishi kwamba nataka mfumo jike eti mwanamke ndio amtawale mwanaume hapana, yani kusiwe na kujipa mamlaka kwa kutumia vigezo vya kimaumbile ambavyo mwenzako hana na hakupenda kutokuwa navyo, yani kwanini umlazimishe mtu fulani kufuata mfumo fulani (ambao yeye kwa utashi wake anaona haumfavour yeye) kwa kigezo cha kwamba alizaliwa na jinsia fulani kana kwamba alichagua kuzaliwa nayo

Ndio maana nikakuambia wanaume kujipa mamlaka kwa kigezo cha nguvu ni sawa na wanawake nao waseme wanataka mamlaka kwa kigezo cha kuzaa kitu ambacho siyo sawa, kwahiyo mimi hoja yangu ni kwamba kila mtu afanye majukumu yake kulingana na maumbile yake na yale majukumu yasiyo ya kimaumbile wasaidiane na wote waheshimiane na kusikilizana, bila mmoja kulazimisha kumtawala mwenzie kwa kudhani yeye ni bora kwa sababu za majukumu ya kimaumbile ilihali mwenzie naye ana majukumu ya kimaumbile ambayo huyo anayejiita mtawala hawezi kutekeleza
Ngoja Sasa Nikupe Faida Bi Jadda.

Moja,, Utiifu Umejengwa Katika Nguvu na Uwezo Wa Yule anayetakiwa kutiiwa na Asilimia kubwa Duniani Utiifu Baina ya Watu,, jumuiya,, Taasisi au Hata Mataifa unaangukia katika kigezo hiki.
Sasa hapo ndipo tunapopishana yani wewe unataka tujadili matokeo ilihali mimi nataka tujadili chanzo, mimi nataka kujua kwanini utiifu umejengwa katika nguvu na uwezo tu yani imekuwa hivyo kwa misingi gani, wewe unataka nikubali hiyo doctrine kwa sababu tu ndio imeshakuwa hivyo toka zamani
Pili Kuna utiifu Unaotokana na kuhitaji Social Security and Considerations (Nashindwa kuliweka hili katika kiswahili) ila huu ni Utiifu Tunaowapa Viongozi Wetu wa Dini au Watu Muhimu wenye kuheshimiwa katika Jamii.
Utiifu wa aina hiyo siyo nature
Tatu Utiifu wa Watoto Kwa Wazazi wao Ni Utiifu ambao inajitegemea na Unamaelezo yake Marefu.(Sio Muhimu kwa Hapa)

Ukitumia Hivyo Vigezo Utaona Kila Kinachotiiwa Kuheshimiwa Na Kutawala Kinadondokea katika Vigezo Hivyo aidha Kimojawapo au Kimekusanya.
Hoja siyo tu vigezo vya kupewa utii, bali hoja ni msingi wa hivyo vigezo vya kupewa utii, je ni nature au ni social constructs tu
Katika Nchi nyingi Kuna Watu Wanatii Serikali zao Kwa Sababu Zina majeshi yenye Nguvu Na sio kwa Sababu Hizo Serikali zinawahudumia wao Na siku Serikali Ikikosa Nguvu Hawatoitii Kuanzia Hapo Na Ndio Maana Unasikia Mapinduzi Katika Nchi Nyingi za Afrika.
Nafikiri unashindwa kutofautisha kati ya utii na uoga ukiweza kutofautisha hayo basi hoja zako ndio zitakuwa na mantiki, vinginevyo kwa kutumia huo mfano wako unataka kuniambia hata wanawake wanachofanya kwa waume zao ni kuwaogopa na siyo kuwatii (kitu ambacho siyo natural), by the way kinachowafanya wananchi watii serikali zao ni huduma za kiuchumi ila nguvu za kijeshi zinawafanya wananchi waogope tu
Pili Nchi Nyingi za Afrika zinaonyesha Utiifu Na Heshima Kwa Mataifa Ya kimagharibi (Wazungu) kwa sababu Hayo Mataifa Yana Nguvu za Kijeshi na Uwezo Wa Kiuchumi (Sio Huduma).
Hapa tena narudia kukuambia tofautisha kati ya utii na uoga, kinachofanya nchi masikini kutii nchi tajiri ni kwa sababu ya faida za kiuchumi wanazopata kupitia mikopo misaada na uwekezaji (utii wa aina hii nao pia siyo nature), hizo nguvu za kijeshi zinafanya nchi masikini ziogope tu nchi tajiri na siku zote kumuogopa mtu siyo natural trait bali ni instilled mentality baina ya watu
Sasa Nikwambie Bi Jadda HUDUMA kama ulivyong'ang'ania Ni "ZAWADI" anayotoa yule Mtawala kwa wale anaowatala yaani Wanaomtii. Sasa Zawadi Haifanyi lile Kusudi La Utiifu Kuondoka Au Kuingia Kwa Sababu Sio Kigezo cha Utiifu.

Sasa Mababu Zetu Walikuwa Wanatoa Huduma Kwa Wake zao waliokuwa Wakiwatii Kama Zawadi Kwa namna Mbalimbali Mfano Kuwalinda Kutokana na Hatari ,, Kuwapambania Vitani na kukubali wao wauawe lakini Wake zao na Watoto wao Wapone. (Japo mara kwa mara mmekuwa mkiwashutumu Mababu zetu Bila kusahau vita zote walikuwa wanaenda wao kufa kwa ajili ya wake zao na watoto Wao).

Pia Huduma Katika Kufanya Zile kazi Ambazo zinahitaji Nguvu Nyingi Kama Kujenga,, Kuchimba visima Hizi zote ni Huduma Na Ni Zawadi Walikuwa Wanatoa.

Na Kama Mtawala asipotoa Zawadi hii Jamii itamshangaa na Wazee lazima Wakae nae Huyo Mwanaume kwanini Hatoi Huduma Ambayo ni Zawadi Ya Kutiiwa kwake?? (Na ndio maana kulikuwa na kitu kinaitwa JANDO mwanaume anafundishwa Wajibu wake katika Familia).

Hii Ni Kanuni Ya Asili kwamba Mtawala hutoa Zawadi ya Huduma Lakini Haimaanishi Ni lazima Mtawala atoe Huduma ndio Atawale HAPANA.
HIvi unaelewa hata ulichokiandika kweli jambo likishakuwa wajibu linakuwaje zawadi tena hivi unajua tofauti kati ya wajibu na zawadi, wajibu ni jambo ambalo mtu lazima alifanye ila zawadi ni hisani au hiyari tu ni kitu ambacho mtu anaamua yeye akupe au asikupe na siku zote zawadi hailazimishwi kutolewa ukiona zawadi inalazimishwa ujue hiyo siyo zawadi tena bali ni wajibu, sasa wewe unataka kudanganya hapa kwamba mwanaume kumhudumia mkewe ni hisani au hiyari wakati kwa tamaduni zetu ni wajibu

Kuhusu masuala ya wanaume kupigana vita sijui kupambana na majambazi sijui kwanini huwa mnapenda kutolea hiyo mifano kana kwamba vita au ujambazi ni sehemu ya maisha ya kila mtu, kwani ni wanaume wangapi kuanzia wanazaliwa hadi wanakufa uzeeni hawajawahi kuexperience hayo mazingira, kwanini mnatolea mifano ambayo siyo daily activities kama yalivyo majukumu ya wanawake ya kila siku

Na hata kama tukichukulia hao wanaume ambao wameexperience hayo mazingira au tukichukua hayo majukumu ya ujenzi sijui uchimbaji visima bado tunarudi pale pale kwamba hayo ni majukumu ya kimaumbile, huwezi kutegemea mwanamke akapigane vita ambavyo huanzishwa na wanaume na huhusisha wanaume tupu au apambane na majambazi (ambao wengi huwa ni wanaume) wakati maumbile yao hayafanani, hapo obviously mwanamke atashindwa kwahiyo ili iwe fair battle ni lazima wapambane watu wenye maumbile yanayofanana na si vinginevyo

Ndio maana hata kwenye mchezo wa boxing ili pambano liwe fair lazima wanaopigana wawe na uzito unaokaribiana ndio maana kuna featherweight sijui heavyweight nk, huwezi kumuweka mtu mwenye kilo 90 apambane na mtu mwenye kilo 50 pamoja na kwamba wote ni wanaume wewe unadhani ni kwanini yani kwanini wasiwapambanishe kwa kuzingatia jinsia zao na siyo kilo zao, halafu futa hiyo kauli kwamba wanaume wanapoenda vitani wanawapigania wake zao na watoto wao tu bali wanapigania taifa lao au jamii yao kwa ujumla kwa sababu humo kuna wazazi wao, walezi wao, ndugu zao na jamaa zao nk (ambao hawalazimiki kukutii kwa sababu eti umeenda kuwapigania vitani sasa iweje mkeo ndio alazimike kukutii kwa sababu hiyo) au unataka kusema kila mwanaume anayeenda kupigana vita ana mke na watoto hakuna ambao wako single kabisa

Anyway kwahiyo wewe unaona ni sawa kumtambia mwenzio kwa kuweza kufanya jukumu ambalo mwenzio hawezi kufanya kwa sababu hana maumbile kama yako, na ndio maana nikatolea mfano wa mwanamke kuzaa je wewe unaona ni sawa mwanamke kumtambia mwanaume kwa kuweza kubeba mimba na kuzaa, (jukumu ambalo mwanaume hawezi kufanya kwa sababu hana maumbile kama ya mwanamke) au wewe unadhani kuzaa ni jukumu jepesi, hata mwanamke anapoamua kuzaa anarisk maisha yake pia lile ni suala la kufa na kupona ndio maana nikasema bora wanaume mngejitangazia utawala kwa kuzingatia jukumu la huduma za kiuchumi kidogo mngeeleweka, kwa sababu hata wanawake wanaweza kujihudumia kiuchumi ila wakiamua wenyewe kukubali kukaa nyumbani na kuhudumiwa basi hawana budi kuwatii wale wanaowahudumia
LEO HII HATA KAMA WAZUNGU HAWATALETA MSAADA WOWOTE AFRIKA,, MATAIFA YA AFRIKA HAYAWEZI KWENDA KINYUME NA AGENDA NA AMRI ZA MATAIFA MAKUBWA WEWE UNAHISI NI KWANINI?? JIBU NI KWA SABABU WANAJUA UWEZO WAO NA NGUVU YAO WALIYONAYO.
Hili sikubaliani na wewe kwa sababu ni uongo hata leo hii kuna nchi nyingi tu zimetuzidi kiuchumi na kimedani na zina uwezo wa kutufanya chochote zikiamua lakini hatuzitii kwa sababu hakuna zinachotusaidia, ukweli ni kwamba hayo mataifa ya magharibi tunayatii kwa sababu tunafaidika nayo kiuchumi hakuna sababu nyingine na hata wao wenyewe wanajua hilo siku wakiacha kutupa misaada kiuchumi basi huu utii wetu (ambao na wenyewe siyo nature) utakufa, kitakachobaki kitakuwa ni ule uoga tu kwamba wametuzidi kimedani hivyo tukizingua wanaweza kutufanya chochote muda wowote and mind you uoga siyo nature ndio maana nikakuambia unatakiwa kutofautisha kati ya utii na uoga
 
Hivi kwanini unaandika maelezo marefu halafu unarudia vitu vile vile ambavyo nimeshafafanua yani ni kama unakuwa unanirudisha nyuma, nimeshakuambia wanaume ndio walijipa hayo mamlaka kupitia maandiko na tamaduni mbalimbali ambavyo walivitunga wao wenyewe bila kuwashirikisha wanawake, kwahiyo wanaume walitumia maumbile yao kujipa utawala wa mabavu dhidi ya wanawake na kudai kwamba ni nature ndio imeamua hivyo eti kwa sababu za kimaumbile tu

Sasa wewe unadhani wazungu walikuwa wanakalia ardhi ya waafrika hivi hivi tu, wao si ndio walioleta maendeleo kwa kujenga miundombinu mbalimbali, ambayo hata waafrika walikuwa wakifaidika nayo

Bibi zetu walikuwa wameshaaminishwa kwamba mwanamke hatakiwi kutoka kuenda kutafuta pesa anatakiwa afanye kazi za nyumbani na shambani, feminism ilipoanzishwa ndipo wanawake wakaanza kuona kwamba kumbe wana uwezo wa kutafuta pesa na maisha mengine yakaendelea, ndio wanawake wamejikomboa kwa sababu kwa kiasi fulani imewafanya nao wawe ni sehemu ya ushauri na maamuzi ndani ya familia tofauti na zamani ambapo walikuwa wanahudumiwa hawakupewa hiyo nafasi

Sasa labda nikuulize vipi kwa wale wake ambao ni wamama wa nyumbani halafu mume akafukuzwa kazi na shughuli nyingine zote zikakwama inakuwaje hapo

Ndio maana nikasema kuumbwa dhaifu siyo hoja bali inatakiwa kuspecify je wameumbwa dhaifu katika angle gani, ninyi mmejitangazia utawala kwa kuzingatia angle moja tu ya nguvu za mwili, ndio mnatakiwa mseme sasa ni kanuni gani inayoamua kwamba nguvu za mwili ndio ziwe kigezo cha kutawala na si sifa nyingine

Kuwa na uwezo wa kumcharaza mtu makofi siyo kigezo cha yeye kukutii labda kukuogopa tu, vinginevyo uelezee hii ni kanuni ya wapi yani unatakiwa uelezee msingi wa hizi kanuni zako, siyo unalazimisha tujadili kwa kutumia mitazamo yako binafsi au kwa kutumia doctrines ambazo ziliwekwa na binadamu kama sisi na kudai ni nature

Haya maelezo yako yanadhihirisha kwamba hujanielewa ila unaandika mradi tu ubishe, ndio maana unajaza risala na unanipa kazi ya kuelezea yale yale kila wakati, mimi hoja yangu tangu mwanzo ni kwamba kila mmoja ajitawale mwenyewe yani kusiwe na ulazima wowote wa mmoja kumtawala mwenzake

Kwahivyo mimi kupinga mfumo dume haimaanishi kwamba nataka mfumo jike eti mwanamke ndio amtawale mwanaume hapana, yani kusiwe na kujipa mamlaka kwa kutumia vigezo vya kimaumbile ambavyo mwenzako hana na hakupenda kutokuwa navyo, yani kwanini umlazimishe mtu fulani kufuata mfumo fulani (ambao yeye kwa utashi wake anaona haumfavour yeye) kwa kigezo cha kwamba alizaliwa na jinsia fulani kana kwamba alichagua kuzaliwa nayo

Ndio maana nikakuambia wanaume kujipa mamlaka kwa kigezo cha nguvu ni sawa na wanawake nao waseme wanataka mamlaka kwa kigezo cha kuzaa kitu ambacho siyo sawa, kwahiyo mimi hoja yangu ni kwamba kila mtu afanye majukumu yake kulingana na maumbile yake na yale majukumu yasiyo ya kimaumbile wasaidiane na wote waheshimiane na kusikilizana, bila mmoja kulazimisha kumtawala mwenzie kwa kudhani yeye ni bora kwa sababu za majukumu ya kimaumbile ilihali mwenzie naye ana majukumu ya kimaumbile ambayo huyo anayejiita mtawala hawezi kutekeleza

Sasa hapo ndipo tunapopishana yani wewe unataka tujadili matokeo ilihali mimi nataka tujadili chanzo, mimi nataka kujua kwanini utiifu umejengwa katika nguvu na uwezo tu yani imekuwa hivyo kwa misingi gani, wewe unataka nikubali hiyo doctrine kwa sababu tu ndio imeshakuwa hivyo toka zamani

Utiifu wa aina hiyo siyo nature

Hoja siyo tu vigezo vya kupewa utii, bali hoja ni msingi wa hivyo vigezo vya kupewa utii, je ni nature au ni social constructs tu

Nafikiri unashindwa kutofautisha kati ya utii na uoga ukiweza kutofautisha hayo basi hoja zako ndio zitakuwa na mantiki, vinginevyo kwa kutumia huo mfano wako unataka kuniambia hata wanawake wanachofanya kwa waume zao ni kuwaogopa na siyo kuwatii (kitu ambacho siyo natural), by the way kinachowafanya wananchi watii serikali zao ni huduma za kiuchumi ila nguvu za kijeshi zinawafanya wananchi waogope tu

Hapa tena narudia kukuambia tofautisha kati ya utii na uoga, kinachofanya nchi masikini kutii nchi tajiri ni kwa sababu ya faida za kiuchumi wanazopata kupitia mikopo misaada na uwekezaji (utii wa aina hii nao pia siyo nature), hizo nguvu za kijeshi zinafanya nchi masikini ziogope tu nchi tajiri na siku zote kumuogopa mtu siyo natural trait bali ni instilled mentality baina ya watu

HIvi unaelewa hata ulichokiandika kweli jambo likishakuwa wajibu linakuwaje zawadi tena hivi unajua tofauti kati ya wajibu na zawadi, wajibu ni jambo ambalo mtu lazima alifanye ila zawadi ni hisani au hiyari tu ni kitu ambacho mtu anaamua yeye akupe au asikupe na siku zote zawadi hailazimishwi kutolewa ukiona zawadi inalazimishwa ujue hiyo siyo zawadi tena bali ni wajibu, sasa wewe unataka kudanganya hapa kwamba mwanaume kumhudumia mkewe ni hisani au hiyari wakati kwa tamaduni zetu ni wajibu

Kuhusu masuala ya wanaume kupigana vita sijui kupambana na majambazi sijui kwanini huwa mnapenda kutolea hiyo mifano kana kwamba vita au ujambazi ni sehemu ya maisha ya kila mtu, kwani ni wanaume wangapi kuanzia wanazaliwa hadi wanakufa uzeeni hawajawahi kuexperience hayo mazingira, kwanini mnatolea mifano ambayo siyo daily activities kama yalivyo majukumu ya wanawake ya kila siku

Na hata kama tukichukulia hao wanaume ambao wameexperience hayo mazingira au tukichukua hayo majukumu ya ujenzi sijui uchimbaji visima bado tunarudi pale pale kwamba hayo ni majukumu ya kimaumbile, huwezi kutegemea mwanamke akapigane vita ambavyo huanzishwa na wanaume na huhusisha wanaume tupu au apambane na majambazi (ambao wengi huwa ni wanaume) wakati maumbile yao hayafanani, hapo obviously mwanamke atashindwa kwahiyo ili iwe fair battle ni lazima wapambane watu wenye maumbile yanayofanana na si vinginevyo

Ndio maana hata kwenye mchezo wa boxing ili pambano liwe fair lazima wanaopigana wawe na uzito unaokaribiana ndio maana kuna featherweight sijui heavyweight nk, huwezi kumuweka mtu mwenye kilo 90 apambane na mtu mwenye kilo 50 pamoja na kwamba wote ni wanaume wewe unadhani ni kwanini yani kwanini wasiwapambanishe kwa kuzingatia jinsia zao na siyo kilo zao, halafu futa hiyo kauli kwamba wanaume wanapoenda vitani wanawapigania wake zao na watoto wao tu bali wanapigania taifa lao au jamii yao kwa ujumla kwa sababu humo kuna wazazi wao, walezi wao, ndugu zao na jamaa zao nk (ambao hawalazimiki kukutii kwa sababu eti umeenda kuwapigania vitani sasa iweje mkeo ndio alazimike kukutii kwa sababu hiyo) au unataka kusema kila mwanaume anayeenda kupigana vita ana mke na watoto hakuna ambao wako single kabisa

Anyway kwahiyo wewe unaona ni sawa kumtambia mwenzio kwa kuweza kufanya jukumu ambalo mwenzio hawezi kufanya kwa sababu hana maumbile kama yako, na ndio maana nikatolea mfano wa mwanamke kuzaa je wewe unaona ni sawa mwanamke kumtambia mwanaume kwa kuweza kubeba mimba na kuzaa, (jukumu ambalo mwanaume hawezi kufanya kwa sababu hana maumbile kama ya mwanamke) au wewe unadhani kuzaa ni jukumu jepesi, hata mwanamke anapoamua kuzaa anarisk maisha yake pia lile ni suala la kufa na kupona ndio maana nikasema bora wanaume mngejitangazia utawala kwa kuzingatia jukumu la huduma za kiuchumi kidogo mngeeleweka, kwa sababu hata wanawake wanaweza kujihudumia kiuchumi ila wakiamua wenyewe kukubali kukaa nyumbani na kuhudumiwa basi hawana budi kuwatii wale wanaowahudumia

Hili sikubaliani na wewe kwa sababu ni uongo hata leo hii kuna nchi nyingi tu zimetuzidi kiuchumi na kimedani na zina uwezo wa kutufanya chochote zikiamua lakini hatuzitii kwa sababu hakuna zinachotusaidia, ukweli ni kwamba hayo mataifa ya magharibi tunayatii kwa sababu tunafaidika nayo kiuchumi hakuna sababu nyingine na hata wao wenyewe wanajua hilo siku wakiacha kutupa misaada kiuchumi basi huu utii wetu (ambao na wenyewe siyo nature) utakufa, kitakachobaki kitakuwa ni ule uoga tu kwamba wametuzidi kimedani hivyo tukizingua wanaweza kutufanya chochote muda wowote and mind you uoga siyo nature ndio maana nikakuambia unatakiwa kutofautisha kati ya utii na uoga
Maelezo yako Yanasikitisha mno. Naona Hauna Hoja Ya Msingi katika kukataa Hoja Zangu Ukipata Hoja za Msingi utaniambia.

Nakukumbusha Swali langu ambalo Hukulijibu Kule Juu ,,, Kwa Maelezo yako Ulisema Kuna Wanawake kama Wewe Hawajazaliwa na Msukumo wa Ndani Wa Kutawaliwa na Wanaume Ukimaanisha Wapo wengine Wenye huo Msukumo. Sasa nikakuuliza Kwa Nini Kuna Wanawake wenye huo Msukumo na kuna ambao hawana(Kama vile wewe) Lakini Hakuna Mwanaume anazaliwa Akiwa na Msukumo wa Ndani wa Kutawaliwa na Mwanamke (Kama Wapo pia Tuambie).
 
Hivi kwanini unaandika maelezo marefu halafu unarudia vitu vile vile ambavyo nimeshafafanua yani ni kama unakuwa unanirudisha nyuma, nimeshakuambia wanaume ndio walijipa hayo mamlaka kupitia maandiko na tamaduni mbalimbali ambavyo walivitunga wao wenyewe bila kuwashirikisha wanawake, kwahiyo wanaume walitumia maumbile yao kujipa utawala wa mabavu dhidi ya wanawake na kudai kwamba ni nature ndio imeamua hivyo eti kwa sababu za kimaumbile tu

Sasa wewe unadhani wazungu walikuwa wanakalia ardhi ya waafrika hivi hivi tu, wao si ndio walioleta maendeleo kwa kujenga miundombinu mbalimbali, ambayo hata waafrika walikuwa wakifaidika nayo

Bibi zetu walikuwa wameshaaminishwa kwamba mwanamke hatakiwi kutoka kuenda kutafuta pesa anatakiwa afanye kazi za nyumbani na shambani, feminism ilipoanzishwa ndipo wanawake wakaanza kuona kwamba kumbe wana uwezo wa kutafuta pesa na maisha mengine yakaendelea, ndio wanawake wamejikomboa kwa sababu kwa kiasi fulani imewafanya nao wawe ni sehemu ya ushauri na maamuzi ndani ya familia tofauti na zamani ambapo walikuwa wanahudumiwa hawakupewa hiyo nafasi

Sasa labda nikuulize vipi kwa wale wake ambao ni wamama wa nyumbani halafu mume akafukuzwa kazi na shughuli nyingine zote zikakwama inakuwaje hapo

Ndio maana nikasema kuumbwa dhaifu siyo hoja bali inatakiwa kuspecify je wameumbwa dhaifu katika angle gani, ninyi mmejitangazia utawala kwa kuzingatia angle moja tu ya nguvu za mwili, ndio mnatakiwa mseme sasa ni kanuni gani inayoamua kwamba nguvu za mwili ndio ziwe kigezo cha kutawala na si sifa nyingine

Kuwa na uwezo wa kumcharaza mtu makofi siyo kigezo cha yeye kukutii labda kukuogopa tu, vinginevyo uelezee hii ni kanuni ya wapi yani unatakiwa uelezee msingi wa hizi kanuni zako, siyo unalazimisha tujadili kwa kutumia mitazamo yako binafsi au kwa kutumia doctrines ambazo ziliwekwa na binadamu kama sisi na kudai ni nature

Haya maelezo yako yanadhihirisha kwamba hujanielewa ila unaandika mradi tu ubishe, ndio maana unajaza risala na unanipa kazi ya kuelezea yale yale kila wakati, mimi hoja yangu tangu mwanzo ni kwamba kila mmoja ajitawale mwenyewe yani kusiwe na ulazima wowote wa mmoja kumtawala mwenzake

Kwahivyo mimi kupinga mfumo dume haimaanishi kwamba nataka mfumo jike eti mwanamke ndio amtawale mwanaume hapana, yani kusiwe na kujipa mamlaka kwa kutumia vigezo vya kimaumbile ambavyo mwenzako hana na hakupenda kutokuwa navyo, yani kwanini umlazimishe mtu fulani kufuata mfumo fulani (ambao yeye kwa utashi wake anaona haumfavour yeye) kwa kigezo cha kwamba alizaliwa na jinsia fulani kana kwamba alichagua kuzaliwa nayo

Ndio maana nikakuambia wanaume kujipa mamlaka kwa kigezo cha nguvu ni sawa na wanawake nao waseme wanataka mamlaka kwa kigezo cha kuzaa kitu ambacho siyo sawa, kwahiyo mimi hoja yangu ni kwamba kila mtu afanye majukumu yake kulingana na maumbile yake na yale majukumu yasiyo ya kimaumbile wasaidiane na wote waheshimiane na kusikilizana, bila mmoja kulazimisha kumtawala mwenzie kwa kudhani yeye ni bora kwa sababu za majukumu ya kimaumbile ilihali mwenzie naye ana majukumu ya kimaumbile ambayo huyo anayejiita mtawala hawezi kutekeleza

Sasa hapo ndipo tunapopishana yani wewe unataka tujadili matokeo ilihali mimi nataka tujadili chanzo, mimi nataka kujua kwanini utiifu umejengwa katika nguvu na uwezo tu yani imekuwa hivyo kwa misingi gani, wewe unataka nikubali hiyo doctrine kwa sababu tu ndio imeshakuwa hivyo toka zamani

Utiifu wa aina hiyo siyo nature

Hoja siyo tu vigezo vya kupewa utii, bali hoja ni msingi wa hivyo vigezo vya kupewa utii, je ni nature au ni social constructs tu

Nafikiri unashindwa kutofautisha kati ya utii na uoga ukiweza kutofautisha hayo basi hoja zako ndio zitakuwa na mantiki, vinginevyo kwa kutumia huo mfano wako unataka kuniambia hata wanawake wanachofanya kwa waume zao ni kuwaogopa na siyo kuwatii (kitu ambacho siyo natural), by the way kinachowafanya wananchi watii serikali zao ni huduma za kiuchumi ila nguvu za kijeshi zinawafanya wananchi waogope tu

Hapa tena narudia kukuambia tofautisha kati ya utii na uoga, kinachofanya nchi masikini kutii nchi tajiri ni kwa sababu ya faida za kiuchumi wanazopata kupitia mikopo misaada na uwekezaji (utii wa aina hii nao pia siyo nature), hizo nguvu za kijeshi zinafanya nchi masikini ziogope tu nchi tajiri na siku zote kumuogopa mtu siyo natural trait bali ni instilled mentality baina ya watu

HIvi unaelewa hata ulichokiandika kweli jambo likishakuwa wajibu linakuwaje zawadi tena hivi unajua tofauti kati ya wajibu na zawadi, wajibu ni jambo ambalo mtu lazima alifanye ila zawadi ni hisani au hiyari tu ni kitu ambacho mtu anaamua yeye akupe au asikupe na siku zote zawadi hailazimishwi kutolewa ukiona zawadi inalazimishwa ujue hiyo siyo zawadi tena bali ni wajibu, sasa wewe unataka kudanganya hapa kwamba mwanaume kumhudumia mkewe ni hisani au hiyari wakati kwa tamaduni zetu ni wajibu

Kuhusu masuala ya wanaume kupigana vita sijui kupambana na majambazi sijui kwanini huwa mnapenda kutolea hiyo mifano kana kwamba vita au ujambazi ni sehemu ya maisha ya kila mtu, kwani ni wanaume wangapi kuanzia wanazaliwa hadi wanakufa uzeeni hawajawahi kuexperience hayo mazingira, kwanini mnatolea mifano ambayo siyo daily activities kama yalivyo majukumu ya wanawake ya kila siku

Na hata kama tukichukulia hao wanaume ambao wameexperience hayo mazingira au tukichukua hayo majukumu ya ujenzi sijui uchimbaji visima bado tunarudi pale pale kwamba hayo ni majukumu ya kimaumbile, huwezi kutegemea mwanamke akapigane vita ambavyo huanzishwa na wanaume na huhusisha wanaume tupu au apambane na majambazi (ambao wengi huwa ni wanaume) wakati maumbile yao hayafanani, hapo obviously mwanamke atashindwa kwahiyo ili iwe fair battle ni lazima wapambane watu wenye maumbile yanayofanana na si vinginevyo

Ndio maana hata kwenye mchezo wa boxing ili pambano liwe fair lazima wanaopigana wawe na uzito unaokaribiana ndio maana kuna featherweight sijui heavyweight nk, huwezi kumuweka mtu mwenye kilo 90 apambane na mtu mwenye kilo 50 pamoja na kwamba wote ni wanaume wewe unadhani ni kwanini yani kwanini wasiwapambanishe kwa kuzingatia jinsia zao na siyo kilo zao, halafu futa hiyo kauli kwamba wanaume wanapoenda vitani wanawapigania wake zao na watoto wao tu bali wanapigania taifa lao au jamii yao kwa ujumla kwa sababu humo kuna wazazi wao, walezi wao, ndugu zao na jamaa zao nk (ambao hawalazimiki kukutii kwa sababu eti umeenda kuwapigania vitani sasa iweje mkeo ndio alazimike kukutii kwa sababu hiyo) au unataka kusema kila mwanaume anayeenda kupigana vita ana mke na watoto hakuna ambao wako single kabisa

Anyway kwahiyo wewe unaona ni sawa kumtambia mwenzio kwa kuweza kufanya jukumu ambalo mwenzio hawezi kufanya kwa sababu hana maumbile kama yako, na ndio maana nikatolea mfano wa mwanamke kuzaa je wewe unaona ni sawa mwanamke kumtambia mwanaume kwa kuweza kubeba mimba na kuzaa, (jukumu ambalo mwanaume hawezi kufanya kwa sababu hana maumbile kama ya mwanamke) au wewe unadhani kuzaa ni jukumu jepesi, hata mwanamke anapoamua kuzaa anarisk maisha yake pia lile ni suala la kufa na kupona ndio maana nikasema bora wanaume mngejitangazia utawala kwa kuzingatia jukumu la huduma za kiuchumi kidogo mngeeleweka, kwa sababu hata wanawake wanaweza kujihudumia kiuchumi ila wakiamua wenyewe kukubali kukaa nyumbani na kuhudumiwa basi hawana budi kuwatii wale wanaowahudumia

Hili sikubaliani na wewe kwa sababu ni uongo hata leo hii kuna nchi nyingi tu zimetuzidi kiuchumi na kimedani na zina uwezo wa kutufanya chochote zikiamua lakini hatuzitii kwa sababu hakuna zinachotusaidia, ukweli ni kwamba hayo mataifa ya magharibi tunayatii kwa sababu tunafaidika nayo kiuchumi hakuna sababu nyingine na hata wao wenyewe wanajua hilo siku wakiacha kutupa misaada kiuchumi basi huu utii wetu (ambao na wenyewe siyo nature) utakufa, kitakachobaki kitakuwa ni ule uoga tu kwamba wametuzidi kimedani hivyo tukizingua wanaweza kutufanya chochote muda wowote and mind you uoga siyo nature ndio maana nikakuambia unatakiwa kutofautisha kati ya utii na uoga
Well articulated Jadda Zamani nilijua unabisha without reasoning ila hapa nimekubali.
 
Hivi kwanini unaandika maelezo marefu halafu unarudia vitu vile vile ambavyo nimeshafafanua yani ni kama unakuwa unanirudisha nyuma, nimeshakuambia wanaume ndio walijipa hayo mamlaka kupitia maandiko na tamaduni mbalimbali ambavyo walivitunga wao wenyewe bila kuwashirikisha wanawake, kwahiyo wanaume walitumia maumbile yao kujipa utawala wa mabavu dhidi ya wanawake na kudai kwamba ni nature ndio imeamua hivyo eti kwa sababu za kimaumbile tu

Sasa wewe unadhani wazungu walikuwa wanakalia ardhi ya waafrika hivi hivi tu, wao si ndio walioleta maendeleo kwa kujenga miundombinu mbalimbali, ambayo hata waafrika walikuwa wakifaidika nayo
Unachekesha Bi Jadda Kwamba Waafrika walikuwa Wanahudumiwa Na Wazungu Ndio Mana Walikuwa Wanawatii?? Hivi Umesoma Historia kweli?? Hujui kuwa miundombinu iliyojengwa ilikuwa kwa ajili ya kurahisisha Uzalishaji wa Viwanda vyao pia ili iwe Rahisi Bidhaa kusafirishwa kwenda Kwao Pia hata Shule Walijenga ili kuwaandaa Vibaraka wa kiafrika waliotayari kuwatumikia wazungu!!. (Unaonekana upo Nyuma Sana).
Bibi zetu walikuwa wameshaaminishwa kwamba mwanamke hatakiwi kutoka kuenda kutafuta pesa anatakiwa afanye kazi za nyumbani na shambani, feminism ilipoanzishwa
Nani kaanzisha Feminism Wakati wanawake Walikuwa Wameaminishwa Kuwa Hawawezi kila kitu??
ndipo wanawake wakaanza kuona kwamba kumbe wana uwezo wa kutafuta pesa na maisha mengine yakaendelea, ndio wanawake wamejikomboa kwa sababu kwa kiasi fulani imewafanya nao wawe ni sehemu ya ushauri na maamuzi ndani ya familia tofauti na zamani ambapo walikuwa wanahudumiwa hawakupewa hiyo nafasi

Sasa labda nikuulize vipi kwa wale wake ambao ni wamama wa nyumbani halafu mume akafukuzwa kazi na shughuli nyingine zote zikakwama inakuwaje hapo
Badala ya kujibu Hoja Unakimbia kimbia na Maswali ya Siyo ya Msingi Jibu kwanza Swali langu sio Unaniuliza ili nikujibie. (Kama huna Jibu Kwenye Hoja furani Sema Bi Jadda Usikimbie kimbie)
Ndio maana nikasema kuumbwa dhaifu siyo hoja bali inatakiwa kuspecify je wameumbwa dhaifu katika angle gani, ninyi mmejitangazia utawala kwa kuzingatia angle moja tu ya nguvu za mwili, ndio mnatakiwa mseme sasa ni kanuni gani inayoamua kwamba nguvu za mwili ndio ziwe kigezo cha kutawala na si sifa nyingine
Hapa Naona tuu Nikusaidie Sasa. Utawala Umejengwa katika Umadhubuti na Uwezo Hilo Swala la Kuleta Uhai kama Unavyodai Japo Jambo Hilo Peke yako Huwezi lazima ahusike Mwanaume pia Linakufanya Uwe Muhimu Zaidi kwa Watoto Wako Na Wakupende Zaidi ila Sio Uwe Mtawala. Utawala Una Vigezo vyake Sio Kila Kigezo Unakihusisha Na Utawala.
Kuwa na uwezo wa kumcharaza mtu makofi siyo kigezo cha yeye kukutii labda kukuogopa tu, vinginevyo uelezee hii ni kanuni ya wapi yani unatakiwa uelezee msingi wa hizi kanuni zako, siyo unalazimisha tujadili kwa kutumia mitazamo yako binafsi au kwa kutumia doctrines ambazo ziliwekwa na binadamu kama sisi na kudai ni nature
Sasa nitakutii Vipi Mtu Ambae Una Udhaifu Mwingi ukilinganisha na Mimi?? Nature inakataa Hilo Hata Wanafunzi Utiifu Wao kwa Mwalimu Mkuu Sio Sawa na kwa Mwalimu wa kawaida ni kwa Sababu Wanajua Nguvu Aliyonayo M/mkuu Kulinganisha na Mwalimu Wa Kawaida
Haya maelezo yako yanadhihirisha kwamba hujanielewa ila unaandika mradi tu ubishe, ndio maana unajaza risala na unanipa kazi ya kuelezea yale yale kila wakati, mimi hoja yangu tangu mwanzo ni kwamba kila mmoja ajitawale mwenyewe yani kusiwe na ulazima wowote wa mmoja kumtawala mwenzake
Lazima kuwepo na Kiongozi katika Familia Aidha Awe Baba Au Mama au Mtu Mwengine kama itawezekana ila haiwezekani kila moja kuwa Sawa na mwenzake Hilo jambo halipo.
Kwahivyo mimi kupinga mfumo dume haimaanishi kwamba nataka mfumo jike eti mwanamke ndio amtawale mwanaume hapana, yani kusiwe na kujipa mamlaka kwa kutumia vigezo vya kimaumbile ambavyo mwenzako hana na hakupenda kutokuwa navyo, yani kwanini umlazimishe mtu fulani kufuata mfumo fulani (ambao yeye kwa utashi wake anaona haumfavour yeye) kwa kigezo cha kwamba alizaliwa na jinsia fulani kana kwamba alichagua kuzaliwa nayo
Ndo Ujue Bi Jadda kuwa Nature ndo imeamua Hivyo. Yaani Ushagundua Kuwa kuna Vitu wewe Huna Na imetokea tuu hivyo kuwa Huna Lakini tukisema Nature imeamua Mwanaume Awe Mtawala unakataa.
Ndio maana nikakuambia wanaume kujipa mamlaka kwa kigezo cha nguvu ni sawa na wanawake nao waseme wanataka mamlaka kwa kigezo cha kuzaa kitu ambacho siyo sawa, kwahiyo mimi hoja yangu ni kwamba kila mtu afanye majukumu yake kulingana na maumbile yake na yale majukumu yasiyo ya kimaumbile wasaidiane na wote waheshimiane na kusikilizana, bila mmoja kulazimisha kumtawala mwenzie kwa kudhani yeye ni bora kwa sababu za majukumu ya kimaumbile ilihali mwenzie naye ana majukumu ya kimaumbile ambayo huyo anayejiita mtawala hawezi kutekeleza
Kwanza Unaposema Majukumu ya Kimaumbile Ujue Kuwa Kwenda Vitani sijui Kuchimba Visima Sio Majukumu ya Kimaumbile(Biological) usichanganye vitu.
Sasa hapo ndipo tunapopishana yani wewe unataka tujadili matokeo ilihali mimi nataka tujadili chanzo, mimi nataka kujua kwanini utiifu umejengwa katika nguvu na uwezo tu yani imekuwa hivyo kwa misingi gani, wewe unataka nikubali hiyo doctrine kwa sababu tu ndio imeshakuwa hivyo toka zamani

Utiifu wa aina hiyo siyo nature

Hoja siyo tu vigezo vya kupewa utii, bali hoja ni msingi wa hivyo vigezo vya kupewa utii, je ni nature au ni social constructs tu
Ni Nature Bi Jadda Jaribu kuelewa Hakuna kikao kilikaliwa Kikatoka na Makubaliano kuwa Mwanaume atakuwa mtawala wa Mwanamke Au wewe unakijua hiko kikao???
Nafikiri unashindwa kutofautisha kati ya utii na uoga ukiweza kutofautisha hayo basi hoja zako ndio zitakuwa na mantiki, vinginevyo kwa kutumia huo mfano wako unataka kuniambia hata wanawake wanachofanya kwa waume zao ni kuwaogopa na siyo kuwatii (kitu ambacho siyo natural), by the way kinachowafanya wananchi watii serikali zao ni huduma za kiuchumi ila nguvu za kijeshi zinawafanya wananchi waogope tu
Sasa nikwambie Huwezi Kutenganisha kati ya Utiii na Uoga kama hili nalo huelewi Nina kazi Nzito hapa basi.
Hapa tena narudia kukuambia tofautisha kati ya utii na uoga, kinachofanya nchi masikini kutii nchi tajiri ni kwa sababu ya faida za kiuchumi wanazopata kupitia mikopo misaada na uwekezaji (utii wa aina hii nao pia siyo nature), hizo nguvu za kijeshi zinafanya nchi masikini ziogope tu nchi tajiri na siku zote kumuogopa mtu siyo natural trait bali ni instilled mentality baina ya watu
Yanasikitisha haya Maelezo yako.
HIvi unaelewa hata ulichokiandika kweli jambo likishakuwa wajibu linakuwaje zawadi tena hivi unajua tofauti kati ya wajibu na zawadi, wajibu ni jambo ambalo mtu lazima alifanye ila zawadi ni hisani au hiyari tu ni kitu ambacho mtu anaamua yeye akupe au asikupe na siku zote zawadi hailazimishwi kutolewa ukiona zawadi inalazimishwa ujue hiyo siyo zawadi tena bali ni wajibu, sasa wewe unataka kudanganya hapa kwamba mwanaume kumhudumia mkewe ni hisani au hiyari wakati kwa tamaduni zetu ni wajibu
Nahisi nimekutambulishia Jambo Geni Kwako na Umeliingia mkukumkuku Ulitakiwa uniulize Jee Zawadi Inaweza Kuwa Wajibu(yaani lazima)??

Sasa nakwambia Zawadi au Hisani Inaweza kuwa Wajibu Ndio Kwa Makubaliano Furani baina ya pande mbili zinazohusika. mfano Kutoa Mahari Kwa mwanaume Kuwapa Wazazi wa Mwanamke ,, Tafsiri ya mahari Ni Shukurani Na sio Kwamba Unamnunua Yule Mwanamke Hapana Ni kama tuu Unawashukuru Wazazi kwa Kumlea Vyema yule anayeenda kuwa Mke wako Lakini Mahari Ni Lazima kwa jamii nyingi Kutokana na Makubaliano,,,, kwani Ki kawaida Shukurani ni Lazima??? Usidhani vile unavyofikiri wewe wote tunafikiri katika ukomo huo huo.
Kuhusu masuala ya wanaume kupigana vita sijui kupambana na majambazi sijui kwanini huwa mnapenda kutolea hiyo mifano kana kwamba vita au ujambazi ni sehemu ya maisha ya kila mtu, kwani ni wanaume wangapi kuanzia wanazaliwa hadi wanakufa uzeeni hawajawahi kuexperience hayo mazingira, kwanini mnatolea mifano ambayo siyo daily activities kama yalivyo majukumu ya wanawake ya kila siku

Na hata kama tukichukulia hao wanaume ambao wameexperience hayo mazingira au tukichukua hayo majukumu ya ujenzi sijui uchimbaji visima bado tunarudi pale pale kwamba hayo ni majukumu ya kimaumbile, huwezi kutegemea mwanamke akapigane vita ambavyo huanzishwa na wanaume na huhusisha wanaume tupu au apambane na majambazi (ambao wengi huwa ni wanaume) wakati maumbile yao hayafanani, hapo obviously mwanamke atashindwa kwahiyo ili iwe fair battle ni lazima wapambane watu wenye maumbile yanayofanana na si vinginevyo
Kwenda Vitani Sio majukumu ya kimaumbile Bi Jadda tafuta msamiati sahihi Zaidi.
Ndio maana hata kwenye mchezo wa boxing ili pambano liwe fair lazima wanaopigana wawe na uzito unaokaribiana ndio maana kuna featherweight sijui heavyweight nk, huwezi kumuweka mtu mwenye kilo 90 apambane na mtu mwenye kilo 50 pamoja na kwamba wote ni wanaume wewe unadhani ni kwanini yani kwanini wasiwapambanishe kwa kuzingatia jinsia zao na siyo kilo zao,
Usichanganye Vitu Bi Jadaa tukizingatia huo mfano wako ulioutoa Sijasema Hao watu Wenye Uzito Tofauti wapambane Ila tukizingatia Kigezo cha uzito kama ndio Sababu ya kumshinda mpinzani wako basi Naturally Huyo Mwenye kilo nyingi anastahili kuwa Kiongozi kati yao wawili Katika Jambo Linalohusiana na Mambo hayo.
Na ndio ilivyo kwa Mwanamke na mwanaume.
halafu futa hiyo kauli kwamba wanaume wanapoenda vitani wanawapigania wake zao na watoto wao tu bali wanapigania taifa lao au jamii yao kwa ujumla kwa sababu humo kuna wazazi wao, walezi wao, ndugu zao na jamaa zao nk (ambao hawalazimiki kukutii kwa sababu eti umeenda kuwapigania vitani sasa iweje mkeo ndio alazimike kukutii kwa sababu hiyo) au unataka kusema kila mwanaume anayeenda kupigana vita ana mke na watoto hakuna ambao wako single kabisa
Hapa Sijaona Hoja Umejenga.
Anyway kwahiyo wewe unaona ni sawa kumtambia mwenzio kwa kuweza kufanya jukumu ambalo mwenzio hawezi kufanya kwa sababu hana maumbile kama yako, na ndio maana nikatolea mfano wa mwanamke kuzaa je wewe unaona ni sawa mwanamke kumtambia mwanaume kwa kuweza kubeba mimba na kuzaa, (jukumu ambalo mwanaume hawezi kufanya kwa sababu hana maumbile kama ya mwanamke) au wewe unadhani kuzaa ni jukumu jepesi, hata mwanamke anapoamua kuzaa anarisk maisha yake pia lile ni suala la kufa na kupona ndio maana nikasema bora wanaume mngejitangazia utawala kwa kuzingatia jukumu la huduma za kiuchumi kidogo mngeeleweka, kwa sababu hata wanawake wanaweza kujihudumia kiuchumi ila wakiamua wenyewe kukubali kukaa nyumbani na kuhudumiwa basi hawana budi kuwatii wale wanaowahudumia
Hapa umelalamika tuu hujajenga Hoja.
Hili sikubaliani na wewe kwa sababu ni uongo hata leo hii kuna nchi nyingi tu zimetuzidi kiuchumi na kimedani na zina uwezo wa kutufanya chochote zikiamua lakini hatuzitii kwa sababu hakuna zinachotusaidia, ukweli ni kwamba hayo mataifa ya magharibi tunayatii kwa sababu tunafaidika nayo kiuchumi hakuna sababu nyingine na hata wao wenyewe wanajua hilo siku wakiacha kutupa misaada kiuchumi basi huu utii wetu (ambao na wenyewe siyo nature) utakufa, kitakachobaki kitakuwa ni ule uoga tu kwamba wametuzidi kimedani hivyo tukizingua wanaweza kutufanya chochote muda wowote and mind you uoga siyo nature ndio maana nikakuambia unatakiwa kutofautisha kati ya utii na uoga
Bi Jadda Hujawa Muadilifu katika Hili labda kama Hujui Politics vizuri.
 
Kila kitu hapa duniani lazima kinabadilika kutokana na mabadiiko ya hali ya hewa, teknolojia etc. Usifikiri ati binadamu wabaki kama ilivyokuwa zamani la hasha. Tuishi kulingana na mabadiliko haya , tukiishi kimazoea tutapata tabu sana.
 
Acheni hizi porojo zenu msingi wa mwanamke kumtii mwanaume uko katika mwanaume kumhudumia mwanamke huwezi kukitawala kiumbe usichokihudumia, kinachofanya wanawake wengi wa dunia ya leo kutokuwatii wanaume wao ni kile kitendo cha wao nao kuanza kujitafutia pesa na mali zao bila kuwategemea wanaume, hata mimi huwa nasema humu kama mwanaume anamhudumia mwanamke basi shurti huyo mwanamke amtii hiyo siyo hiyari bali lazima, ila kama mwanaume hawajibiki kwa lolote kwa mwanamke wake halafu anataka utii basi mtaendelea kulalamika na kutukana hadi mwisho wa dahari, huku mkisubiri mwanamke awe 'reject' ndio awe na utii
Wewe ndio mmiliki halali wa hiki kichwa
 
Biblia ni ancient scriptures na hayo maneno kama "wazungu" na "waarabu" ni medieval terms kwahiyo kwenye biblia huwezi kukuta maneno kama hayo, maana yalianza kutumika biblia ikiwa imeshaandikwa lakini hilo halibadili ukweli kwamba kiimani vizazi vyote vya leo, vinatokana na watu au jamii fulani ambazo zipo kwenye biblia ila tu zilikuwa zinaitwa kwa majina tofauti kabisa

Lakini vitabu vingine vya kihistoria vinaelezea hayo ambayo kwenye biblia hayakuandikwa kwa mfano wapalestina wa leo ndio wafilisti wa kale lakini hakuna sehemu biblia imeandika hilo, wahindi ni descendants wa Esau kaka yake Yakobo lakini hakuna mahali biblia imeandika hilo sasa hiyo ni mifano michache tu, kwahiyo usitegemee biblia ingekuambia kwamba descendants wa watoto wa Nuhu ni jamii zipi na zipi kwa kutumia maneno hayo yanayotumika leo lakini historia ndio inaonesha hivo

Sasa kuhusu hayo maandiko ndio nilitaka nikuoneshe uhusiano kati ya utawala wa mtu mweupe kwa mtu mweusi na utawala wa mwanaume kwa mwanamke, kama weusi tumeweza kupinga na kuhoji ukoloni ambao weupe wanadai ni nature na ni biblical lakini wamekubali kuacha kututawala je kwanini wanawake wakipinga na kuhoji mfumo dume inakuwa nongwa, by the way unalijua hilo andiko la mwanaume kumtawala mwanamke ila andiko la mwanaume kula kwa jasho lake na kuhudumia familia unajifanya haulijui wala haulioni siyo
Hujui kwamba musri ndo first super power nation of the world (wafalme waliitwa farao) na ni waafrica, na waliwatawala hadi waisrael, sasa unasemaje Africa walitawaliwa kibiblia? Unajua historia kweli wewe?

Sijabisha mwanaume kuhudumia familia, niliuliza huoni biblia inasema mwanamke ni chombo dhaifu na atatawaliwa na mwanaume? Sasa hizo movement zenu za kifeminist za kipumbavu pumbavu za kupinga bliblia mnazitoa wapi?
 
Sasa si nimeshakuambia hapo kwamba ni kwa sababu enzi hizo wanawake hawakuwa na sauti ya kujitetea na ukizingatia walinyimwa fursa ya kupata elimu ambayo kwa namna moja ama nyingine ndio ingewasaidia kuwapa uwezo wa kufikiria na kuchanganua mambo, au labda nikuulize na wewe kwenye suala la utawala wa watu weupe dhidi ya watu weusi ni kipi kilichowafanya weupe washinde na waweze kututawala weusi kiasi cha kutufanya weusi tujione inferior na kukubali kutawaliwa, na kingine kilichowafanya wanaume wawe washindi kwenye huo mfumo ni kwa sababu ya hilo jukumu walilojipa la kuhudumia familia yani ni kama waliwaambia wanawake kwamba ninyi mkae nyumbani mtutii na kutuzalia watoto then sisi tutahakikisha ninyi na watoto mnapata mahitaji yote muhimu kwahiyo wanawake wakakubali bila kuona mtego uliopo

Kitu kilichowapa vifua wanawake ni wao kuanza kuona kwamba kumbe nao wana uwezo wa kutafuta pesa na mali na kutunza na kuhudumia familia na maisha yakaenda, tofauti na propaganda ambazo mfumo dume ulikuwa unawalisha hadi wakawa brainwashed kwamba mwanamke hawezi kutoka kuenda kutafuta ataharibu, na hapa ndipo ninapofananisha mfumo dume na ukoloni kwa sababu hata watu weupe husema kwamba watu weusi hawatakiwi kuachwa wajitawale wenyewe maana wataharibu kitu ambacho sisi weusi tunaona siyo kweli na tunaona ukoloni ni mfumo batili

Ofcourse yani bila kupepesa macho hilo liko wazi kabisa kama wewe mwanaume umeishiwa pesa kiasi cha kufikia hatua ya kukaa nyumbani bila kutafuta shughuli yoyote ya kukuingizia pesa, hadi kumuachia mke gurudumu la kuendesha familia peke yake basi wewe umeshafeli kama baba na nafasi yako haina budi kuchukuliwa na mke, hilo linaweza kuonekana jambo la ajabu kwa wanaume wa kiafrika ambao wanataka mamlaka bila wajibu ila hivyo ndivyo inavyotakiwa kuwa it is just what it is

Ndio maana nikasema huwezi kujitangazia utawala kwa kutumia kigezo cha maumbile ambayo mwenzio hajaumbwa nayo, suala la wanaume kuwa na nguvu kuliko wanawake ni suala la kimaumbile wanaume naturally wameumbwa na miili mikubwa yenye misuli na uwezo wa kustahimili mazingira magumu ila hicho siyo kigezo cha kuwa mtawala, kwa sababu hicho kigezo wanawake hawana na hawajapenda kutokuwa nacho maana hakuna anayechagua kuwa mwanaume au mwanamke na hakuna jinsia inayochagua kupewa au kunyimwa uwezo fulani

Ndio maana nilikuuliza vipi na wanawake nao wakiamua kujitangazia utawala kwa kigezo cha kwamba wao ndio wenye jukumu zito la kuleta uhai duniani (suala ambalo ni la kimaumbile), je wanaume mtakubaliana na hilo na kama hamtakubali ni kwanini lakini hujanijibu hilo swali badala yake umeendelea kuniletea porojo zako tu, bora ungeniambia wanaume wanajitangazia utawala kwa sababu wanawahudumia wanawake ningeelewa maana wanawake wana uwezo wa kujihudumia wenyewe na kitendo cha kutaka kuhudumiwa ni maamuzi yao binafsi hivyo wana haki ya kutawaliwa na wajibu wa kutii wale wanaowahudumia

Yani kitendo cha wanaume kujitangazia utawala kwa kuzingatia vigezo vya uwezo na nguvu (ambavyo kimaumbile wanawake wanavyo kwa kiwango kidogo) ni sawa na kuweka mashindano ya mbio kati ya mtu mwenye miguu mizima na mtu mwenye ukoma halafu huyo mzima ajitangazie ushindi dhidi ya huyo mkoma kwa kigezo kwamba yeye ana miguu mizima (ilihali mwenzie hajazaliwa na miguu mizima), kila mtu ana uwezo fulani kulingana na maumbile yake ukimhukumu samaki kwa uwezo wake wa kupanda mti basi ataishi maisha yake yote akidhani yeye ni mjinga huku wewe ukijiona bora na mwerevu zaidi yake, ilihali unasahau kwamba hata wewe huna uwezo wa kuishi chini ya maji ila kwa sababu zako binafsi unaamua tu kukidharau hicho kigezo kwa sababu wewe ndio unajiona una nguvu na akili kuliko samaki
Mungu kamuumba mwanaume na muguvu ili aweze kutafuta chakula cha familia hata ktk mazingira magumu, mwanamke hakuumbwa kwaajili hiyo, mnajifosi tu.
 
Hivi Jadda ulisoma hata kidato cha nne? Unasema nguvu ya mwanaume haziwezi kutymika kama nyenzo ya kutawala, mbona wakoloni walikuja na silaha zao na kupigana na waafrica waliopinga utawala wao, walituzidi nguvu ndo wakaamua kututawala.

Pia unadai eti wakoloni walituhudumia ndomaana tukawa tunawatii, eti walijenga miundombinu, walijenga kwa namna ipi hali ya kuwa madini ya chuma walitoa kwetu, Babu zetu walijenga reli na Barabara bila kulipwa Mishahara, saa zingine walilipwa chakula tu, na Barabara ilikuwa ni kwaajili ya kurahisisha usafirishaji wa mali zetu kwenda ulaya, huko ni kutuhudumia au kututapeli?

Na unasema tuliwatii, kama tuliwatii, ingetokea African resistance ya wahehe, wangoni etc? Tungedai uhuru? We Jadda kama una cheti angalau cha form four hebu kakichome moto, maana hakijakusaidia na unalidhalilisha taifa mpaka lionekane linatoa elimu mbovu kumbe ni wewe ndo mwenye matatizo.
 
Maelezo yako Yanasikitisha mno. Naona Hauna Hoja Ya Msingi katika kukataa Hoja Zangu Ukipata Hoja za Msingi utaniambia.

Nakukumbusha Swali langu ambalo Hukulijibu Kule Juu ,,, Kwa Maelezo yako Ulisema Kuna Wanawake kama Wewe Hawajazaliwa na Msukumo wa Ndani Wa Kutawaliwa na Wanaume Ukimaanisha Wapo wengine Wenye huo Msukumo. Sasa nikakuuliza Kwa Nini Kuna Wanawake wenye huo Msukumo na kuna ambao hawana(Kama vile wewe) Lakini Hakuna Mwanaume anazaliwa Akiwa na Msukumo wa Ndani wa Kutawaliwa na Mwanamke (Kama Wapo pia Tuambie).
Acha kunilisha maneno ni wapi nimesema kwamba wanawake kutokuwa na msukumo inamaanisha wengine ndio wanakuwa nao, hakuna mtu anazaliwa na msukumo wa kutaka kutawaliwa na mwingine hizo fikira zinakuwa instilled kupitia malezi na majukumu nilishakuambia hili, ila kinachotokea ni kwamba wengine hayo wanashindwa kuyakubali hivyo wanaamua kuresist huku wengine wakikubali kwa sababu tu tamaduni ndio zinataka hivyo ila si kwamba wanapenda kwa utashi wao..hivi kati ya mimi na wewe ni nani ambaye hajibu hoja za mwenzake hebu nisome vizuri
Unachekesha Bi Jadda Kwamba Waafrika walikuwa Wanahudumiwa Na Wazungu Ndio Mana Walikuwa Wanawatii?? Hivi Umesoma Historia kweli?? Hujui kuwa miundombinu iliyojengwa ilikuwa kwa ajili ya kurahisisha Uzalishaji wa Viwanda vyao pia ili iwe Rahisi Bidhaa kusafirishwa kwenda Kwao Pia hata Shule Walijenga ili kuwaandaa Vibaraka wa kiafrika waliotayari kuwatumikia wazungu!!. (Unaonekana upo Nyuma Sana).
Sasa wewe unaona huo utawala ni halali na ni nature au ndio unaandika magazeti hadi unasahau hoja ilipoanzia, weupe walichofanya ni kuinstill fear kwa weusi na kujipa utawala wa mabavu kwa visingizio ambavyo hata ninyi wanaume mnavitumia kuwatawala wanawake, ndio maana weusi tukapinga huo utawala na ikaonekana ni batili kwahiyo waacheni na wanawake nao wapinge huu utawala wenu batili
Nani kaanzisha Feminism Wakati wanawake Walikuwa Wameaminishwa Kuwa Hawawezi kila kitu??
Hivi wewe unajua kusoma kwa ufahamu kweli mbona kama naanza kupata mashaka na uelewa wako, si nilishakuambia kuwa kulikuwa na wanawake ambao hawakuwa tayari kukubaliana na huo mfumo hivyo wakaanza kuwa resistant, au wewe unadhani huo mfumo wenu ulifanikiwa kuwahadaa wanawake wote duniani kiasi hakukuwa na baadhi yao waliokuwa wanajitambua
Badala ya kujibu Hoja Unakimbia kimbia na Maswali ya Siyo ya Msingi Jibu kwanza Swali langu sio Unaniuliza ili nikujibie. (Kama huna Jibu Kwenye Hoja furani Sema Bi Jadda Usikimbie kimbie)
Jibu si nilishakupa ukaamua kulikataa kwa sababu zako binafsi we jamaa mbona uko shallow sana kwenye kujadili hoja, nilishakujibu kwamba bila kupepesa macho katika muktadha huo wa utii kutegemea huduma za kiuchumi endapo mke ndiye atakuwa anamhudumia mume basi huyo mume hana budi kumtii mkewe (na ndio maana tangu mwanzo hoja yangu ni kwamba kila mmoja ajitawale mwenyewe na wote msikilizane kusiwe na wa kumtawala mwenzie ili kuepuka hayo), ukajifanya kupindishapindisha maneno hapo mara oo sijui kufukuzwa kazi sijui maisha kukwama sasa na mimi ndio nakuuliza vipi hayo yakitokea endapo mke ni mama wa nyumbani tu mume anafanyaje nijibu hapo
Hapa Naona tuu Nikusaidie Sasa. Utawala Umejengwa katika Umadhubuti na Uwezo Hilo Swala la Kuleta Uhai kama Unavyodai Japo Jambo Hilo Peke yako Huwezi lazima ahusike Mwanaume pia Linakufanya Uwe Muhimu Zaidi kwa Watoto Wako Na Wakupende Zaidi ila Sio Uwe Mtawala. Utawala Una Vigezo vyake Sio Kila Kigezo Unakihusisha Na Utawala.
Ndio maana nikakuuliza ni kanuni gani ya asili inayoamua hivyo mbona bado unaniletea maandiko na tamaduni ambazo ziliwekwa na binadamu kama sisi tena wanaume kwa maslahi na faida yao binafsi tu bila kuwashirikisha wala kuwafikiria wanawake, hivi unajua jamii nyingi zinaamini kwamba ufanisi wa mwanaume kwenye utafutaji unachangiwa kwa asilimia fulani na aina ya mwanamke aliyenaye au wewe hujawahi kusikia kuna wanaume ufanisi wao wa kutafuta pesa unapungua kwa sababu tu nyumba zao hazina amani wake zao wanawavuruga kwahiyo kwa kuzingatia hiyo hoja yako unamaanisha hapo napo tuseme mwanamke ni kichocheo kwenye utafutaji wa mwanaume si ndio, suala la kuwa muhimu au kupendwa na watoto linahusianaje na uwezo wa kuwa au kutokuwa mtawala kwanini usiseme kwamba hata baba anapofanya majukumu yake inafanya awe muhimu na apendwe na watoto ila si lazima awe mtawala vipi hapo
Sasa nitakutii Vipi Mtu Ambae Una Udhaifu Mwingi ukilinganisha na Mimi?? Nature inakataa Hilo Hata Wanafunzi Utiifu Wao kwa Mwalimu Mkuu Sio Sawa na kwa Mwalimu wa kawaida ni kwa Sababu Wanajua Nguvu Aliyonayo M/mkuu Kulinganisha na Mwalimu Wa Kawaida
Lazima kuwepo na Kiongozi katika Familia Aidha Awe Baba Au Mama au Mtu Mwengine kama itawezekana ila haiwezekani kila moja kuwa Sawa na mwenzake Hilo jambo halipo.
Sasa mbona hutoi sababu kwanini haiwezekani kila mmoja kuwa sawa na mwenzake bado nitaendelea kukuuliza kuwa hilo liko kwa misingi gani japo unakwepa kulijibu unaandika blah blah, nikitolea mfano wa siasa za dunia ina maana wewe unaiunga mkono marekani ambaye anataka a unipolar world kwamba dunia haiwezi kuwa na more than one superpower lazima kuwe na mmoja na huyo mmoja awe yeye, lakini kina russia and co wao wanataka a multipolar world sababu wanaamini inawezekana kabisa dunia kuwa na more than one superpower na wote wakashirikiana na wakasikilizana bila mmoja kutaka kuwatawala wenzake..mind you hii mifumo yote ya kidunia huwa inafanya kazi kwa kufanana sasa wewe hiyo kanuni ya kwamba kila mahali lazima kuwe na mtawala mmoja peke yake umeitoa wapi
Ni Nature Bi Jadda Jaribu kuelewa Hakuna kikao kilikaliwa Kikatoka na Makubaliano kuwa Mwanaume atakuwa mtawala wa Mwanamke Au wewe unakijua hiko kikao???
Oohh kwahiyo unataka kusema enzi hizo hakukuwa na viongozi wa kidini, kiserikali, kimila nk ambao ndio walikuwa wanaamua jamii zao zienende kwa tamaduni gani, na katika hao viongozi kumbuka wanawake hawakupewa nafasi kabisa hivyo huwezi kutegemea kwamba kuna maamuzi yoyote ambayo yangefanyika in their favour, kwani hata hizi sheria zilizopo kwenye katiba na vifungu vingine zilitungwa na nani au unadhani ziliibuka tu zenyewe kisha watu wakaanza kuzitekeleza hivyo na zenyewe ni part of nature si ndio maana yake
Sasa nikwambie Huwezi Kutenganisha kati ya Utiii na Uoga kama hili nalo huelewi Nina kazi Nzito hapa basi.
Hakuna cha kazi nzito hapo utii na uoga ni vitu viwili tofauti ila watu wengi wanalazimisha viwe kitu kimoja kwa kuchanganya maana ya hayo maneno, mara nyingi utii ni genuine ila uoga ni instilled ukishaona mtu anakubali kuwa chini yako kwa sababu tu anafaidika na jambo fulani kutoka kwako basi huo siyo utii bali ni uoga na uoga siyo nature, ila ukiona mtu anakubali kuwa chini yako bila kufaidika na jambo lolote kutoka kwako huo ndio utii kwahiyo sasa kwa kuzingatia uhalisia huo niambie ni wanawake wangapi wanawatii genuinely waume zao bila kufaidika na chochote toka kwao ili tuone ni nature
Yanasikitisha haya Maelezo yako.

Nahisi nimekutambulishia Jambo Geni Kwako na Umeliingia mkukumkuku Ulitakiwa uniulize Jee Zawadi Inaweza Kuwa Wajibu(yaani lazima)??

Sasa nakwambia Zawadi au Hisani Inaweza kuwa Wajibu Ndio Kwa Makubaliano Furani baina ya pande mbili zinazohusika. mfano Kutoa Mahari Kwa mwanaume Kuwapa Wazazi wa Mwanamke ,, Tafsiri ya mahari Ni Shukurani Na sio Kwamba Unamnunua Yule Mwanamke Hapana Ni kama tuu Unawashukuru Wazazi kwa Kumlea Vyema yule anayeenda kuwa Mke wako Lakini Mahari Ni Lazima kwa jamii nyingi Kutokana na Makubaliano,,,, kwani Ki kawaida Shukurani ni Lazima??? Usidhani vile unavyofikiri wewe wote tunafikiri katika ukomo huo huo.
Duuh kumbe na wewe ni kati ya wale wanaoamini kwamba lengo kubwa la mahari ni shukurani tu kwa familia ya mke nimeamini wewe ni mweupe sana kwenye mambo ya jamii na desturi zake, yani unajenga hoja kwa kutumia mihemko na maoni yako binafsi na siyo uhalisia sasa kwa kukusaidia tu ni kwamba hilo la shukurani ni minor purpose tu ya mahari, major purpose ya mahari ni kama fidia kwa familia ya mke kwa kupoteza mtoto na jina la ukoo sababu mwanamke anapoolewa familia yake inahesabika imelose while mwanaume familia yake inahesabika imegain hapo

Ni kwa sababu mke pamoja na watoto watakaozaliwa wote watatumia majina ya ukoo wa mume hivyo wataenda kuendeleza ukoo wa mume na mke ataacha kuitumikia familia yake ataenda kuitumikia familia ya mume, jambo ambalo wazee wetu wa zamani walilichukulia kama hasara hivyo kwa kuwaconsider wazee wenzao wenye watoto wa kike pekee ndio wakaweka huo utaratibu wa mahari kama fidia ya hiyo hasara, na ndio maana pia zamani wazee wetu walikuwa wanachukia sana wake zao wakizaa watoto wa kike wengi huku wakitamani kupata wa kiume wengi kadiri iwezekanavyo kwa sababu hao ndio warithi wa mali na waendeleza jina la ukoo

Kwahivyo mahari haihusiani na kumtawala wala kumnunua mke (ila wanaume wengi wanalazimisha kuitafsiri hivyo ili wahalalishe utawala wao wa mabavu dhidi ya wanawake) na ndio maana kwenye jamii nyingi, wanaopewa hiyo mahari ni familia ya mke na siyo mke mwenyewe kwa sababu wanaamini mke malipo yake yatatokana na kuhudumiwa na mumewe huko kwenye ndoa, ndio maana kwenye jamii za wazungu ambazo hakuna huo utaratibu wa mahari ni kawaida kukuta watoto wanatumia majina ya koo zote mbili za baba na mama hivyo hata huku siku mahari ikifutwa basi jamii itabidi ikubaliane na utaratibu wa aina hiyo
Hapa Sijaona Hoja Umejenga.

Hapa umelalamika tuu hujajenga Hoja.
Yani unakwepa hoja halafu unasingizia eti mimi ndio sijajenga hoja sijui nimelalamika hebu acha usanii wewe jibu hoja hizo, hilo linadhihirisha kwamba umeishiwa hoja hivyo unatumia defensive mechanism ya kudismiss hoja zangu kwa visingizio dhaifu kama hivyo what kind of a lame argument is this, hizo hizo aya ulizosema nimelalamika ndipo ambapo msingi wa hoja na hii mada yote kwa ujumla ulipolalia huko kwingine kote unajizungusha tu ili uonekane nawe una hoja kumbe unaandika nadharia zako tu
 
Well articulated Jadda Zamani nilijua unabisha without reasoning ila hapa nimekubali.
Mimi huwa sibishani jambo ambalo silijui au sijalifanyia utafiti wengine huwa hatubishani ili mradi tu kutafuta ushindi humu, ila tunabisha pale tunapoona kuna watu wanajaribu kupindisha ukweli kwa malengo yao au maslahi binafsi bila kuwa na hoja za msingi, shukrani kama umeliona hilo mkuu
 
Hujui kwamba musri ndo first super power nation of the world (wafalme waliitwa farao) na ni waafrica, na waliwatawala hadi waisrael, sasa unasemaje Africa walitawaliwa kibiblia? Unajua historia kweli wewe?
Sasa hapa ni nani kaongelea habari za nani alikuwa first superpower kwani hao wamisri waliwatawala hadi caucasians, mimi naongelea hoja wanayotumia watu weupe kutetea na kuhalalisha utawala wao dhidi ya watu weusi, tena wakidai kwamba ni nature kwa sababu ni biblical ila in real sense ni mentality ambayo waliipandikiza tu
Sijabisha mwanaume kuhudumia familia, niliuliza huoni biblia inasema mwanamke ni chombo dhaifu na atatawaliwa na mwanaume? Sasa hizo movement zenu za kifeminist za kipumbavu pumbavu za kupinga bliblia mnazitoa wapi?
Oohh wewe sasa ndio umenielewa hoja yangu au yawezekana pia umejibu hivyo kwa sababu tu sijakufafanulia na si kwamba umeelewa, mimi ninachosema ni kwamba msingi wa mwanamke kumtii mwanaume uko katika mwanaume kumhudumia huyo mwanamke na hata biblia inataka hivyo, mimi ninachobishana nao hawa wao wanasema eti utii wa mwanamke kwa mwanaume wake hautegemei huduma za kiuchumi bali ni nature tu ndio nikawaambia wanielezee msingi wa hiyo nature wanaishia kuniletea maandiko na tamaduni zilizotungwa na binadamu kama sisi tena wanaume pekee bila hata kushirikisha wala kusikiliza na upande wa wanawake
Mungu kamuumba mwanaume na muguvu ili aweze kutafuta chakula cha familia hata ktk mazingira magumu, mwanamke hakuumbwa kwaajili hiyo, mnajifosi tu.
Sasa mwanaume kutekeleza hayo majukumu ndio maana yake ni lazima awe mtawala, mbona mwanamke naye ana majukumu yake ambayo mwanaume hawezi kuyafanya ili hayamfanyi mwanamke atake kuwa mtawala, huo umuhimu na ulazima wa mwanaume kumtawala mwanamke sababu tu ya hayo majukumu (ambayo ni ya kimaumbile) uko wapi hasa
Hivi Jadda ulisoma hata kidato cha nne? Unasema nguvu ya mwanaume haziwezi kutymika kama nyenzo ya kutawala, mbona wakoloni walikuja na silaha zao na kupigana na waafrica waliopinga utawala wao, walituzidi nguvu ndo wakaamua kututawala.

Pia unadai eti wakoloni walituhudumia ndomaana tukawa tunawatii, eti walijenga miundombinu, walijenga kwa namna ipi hali ya kuwa madini ya chuma walitoa kwetu, Babu zetu walijenga reli na Barabara bila kulipwa Mishahara, saa zingine walilipwa chakula tu, na Barabara ilikuwa ni kwaajili ya kurahisisha usafirishaji wa mali zetu kwenda ulaya, huko ni kutuhudumia au kututapeli?

Na unasema tuliwatii, kama tuliwatii, ingetokea African resistance ya wahehe, wangoni etc? Tungedai uhuru? We Jadda kama una cheti angalau cha form four hebu kakichome moto, maana hakijakusaidia na unalidhalilisha taifa mpaka lionekane linatoa elimu mbovu kumbe ni wewe ndo mwenye matatizo.
Sasa hapa ndipo tunaposhindwa kuelewana na ninyi, huo ulioonekana ni utii wa watu weusi kwa watu weupe in reality ulikuwa ni uoga tu maana kuna utofauti kati ya utii na uoga na uoga siyo nature (same applies to utii wa mwanamke kwa mwanaume), kitendo cha kutokea watu wachache walioresist huo utawala haiondoi ukweli kwamba tulitawaliwa bali ni kwamba huo utawala wao si kila mtu alikubaliana nao kama ambavyo si kila mwanamke alikubaliana na utawala wa wanaume ndio maana ikazaliwa ideology ya feminism
 
Sasa hapa ni nani kaongelea habari za nani alikuwa first superpower kwani hao wamisri waliwatawala hadi caucasians, mimi naongelea hoja wanayotumia watu weupe kutetea na kuhalalisha utawala wao dhidi ya watu weusi, tena wakidai kwamba ni nature kwa sababu ni biblical ila in real sense ni mentality ambayo waliipandikiza tu

Oohh wewe sasa ndio umenielewa hoja yangu au yawezekana pia umejibu hivyo kwa sababu tu sijakufafanulia na si kwamba umeelewa, mimi ninachosema ni kwamba msingi wa mwanamke kumtii mwanaume uko katika mwanaume kumhudumia huyo mwanamke na hata biblia inataka hivyo, mimi ninachobishana nao hawa wao wanasema eti utii wa mwanamke kwa mwanaume wake hautegemei huduma za kiuchumi bali ni nature tu ndio nikawaambia wanielezee msingi wa hiyo nature wanaishia kuniletea maandiko na tamaduni zilizotungwa na binadamu kama sisi tena wanaume pekee bila hata kushirikisha wala kusikiliza na upande wa wanawake

Sasa mwanaume kutekeleza hayo majukumu ndio maana yake ni lazima awe mtawala, mbona mwanamke naye ana majukumu yake ambayo mwanaume hawezi kuyafanya ili hayamfanyi mwanamke atake kuwa mtawala, huo umuhimu na ulazima wa mwanaume kumtawala mwanamke sababu tu ya hayo majukumu (ambayo ni ya kimaumbile) uko wapi hasa

Sasa hapa ndipo tunaposhindwa kuelewana na ninyi, huo ulioonekana ni utii wa watu weusi kwa watu weupe in reality ulikuwa ni uoga tu maana kuna utofauti kati ya utii na uoga na uoga siyo nature (same applies to utii wa mwanamke kwa mwanaume), kitendo cha kutokea watu wachache walioresist huo utawala haiondoi ukweli kwamba tulitawaliwa bali ni kwamba huo utawala wao si kila mtu alikubaliana nao kama ambavyo si kila mwanamke alikubaliana na utawala wa wanaume ndio maana ikazaliwa ideology ya feminism
Hapo mfano wa ukoloni uliongea kinyume, hawakutoa huduma yoyote ya maana na hatukuwatii bali tuliwaogopa, na nguvu yao ilitushinda hadi wakaweza kututawala.

Kwa upande wa huduma, ni jukumu la mwanaume, japo kuna mahala inaweza ikitokea shida, mwanaume akafukuzwa kazi au akaumwa akashindwa kutimiza majukumu, mke akiwa na kahenge kake, akawa anapata elfu kumi kumi kwaajili ya kuhudumia familia yake ya watoto wawili, mpaka pale mume atapopona na kurudi kwenye utafutaji, je huyo mke asitishe utiifu wake kwa mume kisa mume hawezi kutafuta kwaajili ya kuumwa, mpaka pale atapopona?
 
Swali la nyongeza, tusisomeshe watoto wa kike au tuwazuie kufanya kazi ili wawe wamama wa nyumbani wa kuletewa tu ili watutii? Maana tukiwasomesha na kuwatafutia kazi, watajitafutia na kusaidia familia, mwisho wake wakose kutii waume zao.
 
Acha kunilisha maneno ni wapi nimesema kwamba wanawake kutokuwa na msukumo inamaanisha wengine ndio wanakuwa nao, hakuna mtu anazaliwa na msukumo wa kutaka kutawaliwa na mwingine hizo fikira zinakuwa instilled kupitia malezi na majukumu
Bi Jadda Wewe sio Mwadilifu Nanukuu Maneno Yako "Lakini mfumo dume siyo kanuni ya asili kwa sababu haiko applicable kwa wanawake 'wote' dunia nzima maana kuna wanawake 'wengi' hawazaliwi na ule msukumo wa ndani wa kuona kwamba wanatakiwa kuwa chini ya wanaume, yani wao wanazaliwa wanajikuta tu kwamba hawana fikira za aina hiyo sasa kama mfumo dume ungekuwa wa asili basi wanawake wote duniani wangekuwa wanazaliwa na uniform mentality, kwamba no matter the circumstances wao wanatakiwa kuwa chini ya wanaume but that is not the case"

Katika Maneno Yako Haya ulikua unamaanisha Nini??
nilishakuambia hili, ila kinachotokea ni kwamba wengine hayo wanashindwa kuyakubali hivyo wanaamua kuresist huku wengine wakikubali kwa sababu tu tamaduni ndio zinataka hivyo ila si kwamba wanapenda kwa utashi wao..hivi kati ya mimi na wewe ni nani ambaye hajibu hoja za mwenzake hebu nisome vizuri
Umetetea Vyema.
Sasa wewe unaona huo utawala ni halali na ni nature au ndio unaandika magazeti hadi unasahau hoja ilipoanzia, weupe walichofanya ni kuinstill fear kwa weusi na kujipa utawala wa mabavu kwa visingizio ambavyo hata ninyi wanaume mnavitumia kuwatawala wanawake, ndio maana weusi tukapinga huo utawala na ikaonekana ni batili kwahiyo waacheni na wanawake nao wapinge huu utawala wenu batili
Hatupo Hapa Kujadili Uhalali Au Ubatili wa Ukoloni Hapa Tunajadili Misingi na Vigezo Vya Mmoja kumtawala mwenzake. Usichanganye mambo Bi Jadda.
Hivi wewe unajua kusoma kwa ufahamu kweli mbona kama naanza kupata mashaka na uelewa wako, si nilishakuambia kuwa kulikuwa na wanawake ambao hawakuwa tayari kukubaliana na huo mfumo hivyo wakaanza kuwa resistant, au wewe unadhani huo mfumo wenu ulifanikiwa kuwahadaa wanawake wote duniani kiasi hakukuwa na baadhi yao waliokuwa wanajitambua
Umetetea vyema.ila Kuna kitu unakijua au hukijui kuhusu Historia ya kuanzishwa Kwa Feminism na Waliohusika katika hilo.
Jibu si nilishakupa ukaamua kulikataa kwa sababu zako binafsi we jamaa mbona uko shallow sana kwenye kujadili hoja, nilishakujibu kwamba bila kupepesa macho katika muktadha huo wa utii kutegemea huduma za kiuchumi endapo mke ndiye atakuwa anamhudumia mume basi huyo mume hana budi kumtii mkewe (na ndio maana tangu mwanzo hoja yangu ni kwamba kila mmoja ajitawale mwenyewe na wote msikilizane kusiwe na wa kumtawala mwenzie ili kuepuka hayo), ukajifanya kupindishapindisha maneno hapo mara oo sijui kufukuzwa kazi sijui maisha kukwama sasa na mimi ndio nakuuliza vipi hayo yakitokea endapo mke ni mama wa nyumbani tu mume anafanyaje nijibu hapo
Swali langu Ambalo Hukulijibu Lilikuwa Linahoji Baba atakaposhindwa Kuhudumia Familia kwa Muda Furani kwa Sababu zilizo njee ya Uwezo Wake na ikabidi Mama amsaidie.. Jee Kwa wakati Huo Mama Ameyabeba Majukumu Ya Baba Itabidi Baba Amtii Mama?? Na Mama Ndiye Awe Kichwa cha Familia Kwa Muda huo. Ukijibu hili nitajibu Hilo Swali Lako.
Ndio maana nikakuuliza ni kanuni gani ya asili inayoamua hivyo mbona bado unaniletea maandiko na tamaduni ambazo ziliwekwa na binadamu kama sisi tena wanaume kwa maslahi na faida yao binafsi tu bila kuwashirikisha wala kuwafikiria wanawake,
Tukianza na Kanuni ya Kuwa Chenye Nguvu Ndio kitakitawala Kilicho Dhaifu Hii Ni Kanuni Inaingii kwenye kila Nyanja ya Maisha ya mwanadamu na viumbe Wengine na ndio maana Tukaenda mbali kukutolea mifano ya sababu ya sisi waafrika kutawaliwa na Wazungu.

Pili Vitabu Vitakatifu Vimeashiria kuwa Baba(Mwanaume) ni kichwa cha Familia. Hakuna Maandiko yanayoashiria Mke Akimuhudumia Mume Basi Mume Amtii Mke wake. Na Ndio Maana tunakataa kuwa Utiifu Katika familia Haujajengwa katika Huduma kwa Sababu Vice versa haiwezekani.
hivi unajua jamii nyingi zinaamini kwamba ufanisi wa mwanaume kwenye utafutaji unachangiwa kwa asilimia fulani na aina ya mwanamke aliyenaye au wewe hujawahi kusikia kuna wanaume ufanisi wao wa kutafuta pesa unapungua kwa sababu tu nyumba zao hazina amani wake zao wanawavuruga kwahiyo kwa kuzingatia hiyo hoja yako unamaanisha hapo napo tuseme mwanamke ni kichocheo kwenye utafutaji wa mwanaume si ndio,
Hapa Sijaelewa ulikua unajenga Hoja Gani. Umeelezea tuu maisha Mazuuri yaliyokuwepo zama hizo za Mababu zetu Siku hizi Hayapo tena ni Matatizo na mitifuano tuu (mashindano).
suala la kuwa muhimu au kupendwa na watoto linahusianaje na uwezo wa kuwa au kutokuwa mtawala kwanini usiseme kwamba hata baba anapofanya majukumu yake inafanya awe muhimu na apendwe na watoto ila si lazima awe mtawala vipi hapo
Hueleweki Bi Jadda. Wewe ulitoa hoja kuwa Mwanamke kuzaa iwe kigezo cha kuwa mtawala Mimi nikakwambia Kigezo cha Kuwazaa watoto kinakufanya uwe wa Muhimu zaidi kwa Watoto wako Ila hiko Sio Kigezo Cha kuwa Kiongozi wa Familia na kama ingekuwa Hivyo Naturally Tangu zama Hizo Wanawake wangekuwa Viongozi tena bila malumbano yoyote.

Kila kitu kina Vigezo na Sababu zake Na Hazichangamani. Na Ndio Maana Tumekuta tuu Kuwa Watoto mara nyingi wanawapenda zaidi Mama Zao hii ni Natural hakuna alielazimisha au kupanga iwe hivyo Na Tumekuta Wanaume ni Watawala wa Wanawake Katika Familia Hiyo ndio Nature Bi Jadda.
Sasa mbona hutoi sababu kwanini haiwezekani kila mmoja kuwa sawa na mwenzake bado nitaendelea kukuuliza kuwa hilo liko kwa misingi gani japo unakwepa kulijibu unaandika blah blah,
Bi Jadda Unamaanisha Concept ya Leadership Huna?? Uongozi katika Taasisi Au Jumuiya yoyote ni Jambo Lipo Wazi Sidhani ni Jambo la kujadili.
nikitolea mfano wa siasa za dunia ina maana wewe unaiunga mkono marekani ambaye anataka a unipolar world kwamba dunia haiwezi kuwa na more than one superpower lazima kuwe na mmoja na huyo mmoja awe yeye, lakini kina russia and co wao wanataka a multipolar world sababu wanaamini inawezekana kabisa dunia kuwa na more than one superpower na wote wakashirikiana na wakasikilizana bila mmoja kutaka kuwatawala wenzake..mind you hii mifumo yote ya kidunia huwa inafanya kazi kwa kufanana sasa wewe hiyo kanuni ya kwamba kila mahali lazima kuwe na mtawala mmoja peke yake umeitoa wapi
Taasisi Yoyote lazima Iwe na Kiongozi Na ni kiongozi Mmoja Hakuna Taasisi ina Viongozi Wawili alafu wote Wakawa Wapo Sawa Kimamlaka. Ndoa (Familia) pia Ni Taasisi lazima iwe na Kiongozi mmoja.

Swala la Nchi Au mataifa.. Nchi Za Dunia Hii Hazipo katika Taasisi Moja Yaani Kila Mmoja Anaendesha Mambo Yake. Hapo Sio Sawa Mmoja Kulazimisha Kumtawala Mwengine. Ila Ndani Ya Taasisi Moja Lazima Kuwe na Kiongozi. (Hii mbona Ni Concept Nyepesi mno.)
Oohh kwahiyo unataka kusema enzi hizo hakukuwa na viongozi wa kidini, kiserikali, kimila nk ambao ndio walikuwa wanaamua jamii zao zienende kwa tamaduni gani, na katika hao viongozi kumbuka wanawake hawakupewa nafasi kabisa hivyo huwezi kutegemea kwamba kuna maamuzi yoyote ambayo yangefanyika in their favour, kwani hata hizi sheria zilizopo kwenye katiba na vifungu vingine zilitungwa na nani au unadhani ziliibuka tu zenyewe kisha watu wakaanza kuzitekeleza hivyo na zenyewe ni part of nature si ndio maana yake
Mimi Nilichokuwa Nataka Ugundue Ni Kuwa Tangu Huko ilitokea tuu Mwanaume ndio Kiongozi katika Jamii na Serikali. Na Wanawake Walikuwa ni Watiifu kwa Wanaume. Ni part ya Nature kwa Sababu Hakuna Aliemsaidia Mwanaume kufanikiwa Kumtawala Mwanamke Pia Hakuna Aliemzuia Mwanamke Kumtawala Mwanaume ilitokea Naturally kwa Mujibu wa Uwezo na Nguvu Mwanaume Aka simama kama Mtawala na Automatically Mwanamke Akatii kama Mtawaliwa Hakuna Vita Ilipiganwa Kati Ya wanaume na wanawake kisha Ndio wanaume wakashinda.
Hakuna cha kazi nzito hapo utii na uoga ni vitu viwili tofauti ila watu wengi wanalazimisha viwe kitu kimoja kwa kuchanganya maana ya hayo maneno, mara nyingi utii ni genuine ila uoga ni instilled ukishaona mtu anakubali kuwa chini yako kwa sababu tu anafaidika na jambo fulani kutoka kwako basi huo siyo utii bali ni uoga na uoga siyo nature
Aisee Mbona Unajichanganya Bi Jadda wewe si Ndio unang'ang'ania mwanamke Amtii Mwanaume kwa sababu ya Huduma (kufaidika) kwaiyo Wanawake Sio Watiifu ila ni Waoga. Nahisi Hujajua Ulichokiandika.
, ila ukiona mtu anakubali kuwa chini yako bila kufaidika na jambo lolote kutoka kwako huo ndio utii kwahiyo
Bi Jadda Unajua Unachokiandika kweli
Sasa Mbona kama Unaniunga mkono mimi. Japo Mimi Sisemi Mwanaume Asihudumie Familia yake Afanye Hivyo na ni Wajibu wake Ila Kuhudumia Familia Sio kigezo Cha Utii wa Mke kwa Mumewe Hilo Ndio Mimi Nalikataa.
sasa kwa kuzingatia uhalisia huo niambie ni wanawake wangapi wanawatii genuinely waume zao bila kufaidika na chochote toka kwao ili tuone ni nature
Umechanganya Mambo Weka Hoja Zako Vizuri.
Duuh kumbe na wewe ni kati ya wale wanaoamini kwamba lengo kubwa la mahari ni shukurani tu kwa familia ya mke nimeamini wewe ni mweupe sana kwenye mambo ya jamii na desturi zake, yani unajenga hoja kwa kutumia mihemko na maoni yako binafsi na siyo uhalisia
Inasikitisha kusoma hiki ulichokiandika.
sasa kwa kukusaidia tu ni kwamba hilo la shukurani ni minor purpose tu ya mahari, major purpose ya mahari ni kama fidia kwa familia ya mke kwa kupoteza mtoto na jina la ukoo sababu mwanamke anapoolewa familia yake inahesabika imelose while mwanaume familia yake inahesabika imegain hapo
Hapa Umechemka.
Ni kwa sababu mke pamoja na watoto watakaozaliwa wote watatumia majina ya ukoo wa mume hivyo wataenda kuendeleza ukoo wa mume na mke ataacha kuitumikia familia yake ataenda kuitumikia familia ya mume, jambo ambalo wazee wetu wa zamani walilichukulia kama hasara hivyo kwa kuwaconsider wazee wenzao wenye watoto wa kike pekee ndio wakaweka huo utaratibu wa mahari kama fidia ya hiyo hasara, na ndio maana pia zamani wazee wetu walikuwa wanachukia sana wake zao wakizaa watoto wa kike wengi huku wakitamani kupata wa kiume wengi kadiri iwezekanavyo kwa sababu hao ndio warithi wa mali na waendeleza jina la ukoo
Umetumia Hisia kujadili hili jambo na sio Uhalisia.
Kwahivyo mahari haihusiani na kumtawala wala kumnunua mke (ila wanaume wengi wanalazimisha kuitafsiri hivyo ili wahalalishe utawala wao wa mabavu dhidi ya wanawake) na ndio maana kwenye jamii nyingi, wanaopewa hiyo mahari ni familia ya mke na siyo mke mwenyewe kwa sababu wanaamini mke malipo yake yatatokana na kuhudumiwa na mumewe huko kwenye ndoa, ndio maana kwenye jamii za wazungu ambazo hakuna huo utaratibu wa mahari ni kawaida kukuta watoto wanatumia majina ya koo zote mbili za baba na mama hivyo hata huku siku mahari ikifutwa basi jamii itabidi ikubaliane na utaratibu wa aina hiyo

Yani unakwepa hoja halafu unasingizia eti mimi ndio sijajenga hoja sijui nimelalamika hebu acha usanii wewe jibu hoja hizo, hilo linadhihirisha kwamba umeishiwa hoja hivyo unatumia defensive mechanism ya kudismiss hoja zangu kwa visingizio dhaifu kama hivyo what kind of a lame argument is this, hizo hizo aya ulizosema nimelalamika ndipo ambapo msingi wa hoja na hii mada yote kwa ujumla ulipolalia huko kwingine kote unajizungusha tu ili uonekane nawe una hoja kumbe unaandika nadharia zako tu
Haya pia ni malalamiko.
 
Hapo mfano wa ukoloni uliongea kinyume, hawakutoa huduma yoyote ya maana na hatukuwatii bali tuliwaogopa, na nguvu yao ilitushinda hadi wakaweza kututawala.
Hili ndio halielewi Huyu Bi Jadda.
Kwa upande wa huduma, ni jukumu la mwanaume, japo kuna mahala inaweza ikitokea shida, mwanaume akafukuzwa kazi au akaumwa akashindwa kutimiza majukumu, mke akiwa na kahenge kake, akawa anapata elfu kumi kumi kwaajili ya kuhudumia familia yake ya watoto wawili, mpaka pale mume atapopona na kurudi kwenye utafutaji, je huyo mke asitishe utiifu wake kwa mume kisa mume hawezi kutafuta kwaajili ya kuumwa, mpaka pale atapopona?
Hapa ndio Anatakiwa Aje Atujibu Vizuri.
 
Back
Top Bottom