Me and me
JF-Expert Member
- Nov 13, 2023
- 226
- 496
Mwanzo ulisema Miungu ya dini zote ipo mbinguni naona Sasa ume narrow the list.Zina uhusiano fulani wa kimaandiko lakini zinatofautiana kwenye mapokeo na kulingana na mapokeo hayo ukiangalia sifa za mungu wa kila dini kati ya hizo utagundua kwamba wanatofautiana, yani Jehova wa wakristo, Yahweh wa wayahudi, Allah wa waislamu na Jah wa rastafarians ni miungu minne tofauti na kila dini inadai kwamba mungu wao ndio superior na ndio yuko mbinguni, sasa ndio nikakuambia unatakiwa uthibitishe pasi na shaka kwamba mungu wa dini yako ndio yuko mbinguni na si wa dini nyingine
Hao uliowataja wakristo waislamu na wayahudi wapo sahihi kwa upande wao na Mimi nipo sahihi kwa upande wangu. Sasa Jenga hoja from here.
Hata Wanawake wa kuzaa kukosekana ni Nadharia Wapo Wanawake Wengi tuu wanataka kuzaa Bali Wengine hadi huenda kwa Waganga ili wapate watoto.Ndio maana nikakuambia suala la wanaume wa kuzalisha kutopatikana ni nadharia, kwa sababu wanaume hawajawahi na hawawezi kukataa kuzalisha siku zote mwanaume huona fahari kuongeza na kuacha uzao wake bila kujali hali yake ya kiuchumi ndio maana hata wanaume masikini wana watoto, ndio nikakutolea na mfano kwamba huko ulaya ambako population inakuwa kwa kasi ndogo kwanini viongozi wao wanawabembeleza wanawake tu ndio wazae kwanini wasiwabembeleze na wanaume wakati hiyo process inahusisha wote
Kinakataa Wapi?? Kwa hoja Gani??Ndio maana nikakuambia hicho kigezo cha nguvu na umadhubuti kinakataa hapo
Nimetoa Mavazi kama Mfano ila Wanaume Wana sacrifice mno Mali zao kwa ajili ya Familia zao kuanzia Ada za watoto huduma za Matibabu za Familia na mengineyo.Acha kubadili gia wewe mwanzo ulinitajia majukumu ya kupigana vita na kuchimba visima ndio nikakuambia kwamba hayo majukumu hayana faida kwa familia yake tu bali pia kwa mwanaume mwenyewe na jamii nzima, kwa sababu kupigana vita ni kujilinda wewe mwenyewe na jamii yako na kuchimba visima ni kwa matumizi yako mwenyewe na jamii au familia yako, hayo mambo ya mavazi ndio umeyaibua sasa hivi na hata hivyo umekuwa too specific, kununua mavazi mara kwa mara inajulikana siyo kipaumbele kwa mwanaume haijalishi ana familia au hana kwanini usiongelee kiujumla tu kwamba zile pesa na mali anazotafuta, zina faida zaidi kwake mwenyewe kuliko kwa familia yake maana hata yeye mwenyewe mwanaume anazitumia au unataka kusema mwanaume akiwa hana familia ndio hatafuti pesa na mali
Ambayo kwa ujumla ni Majukumu yake na Ni wajibu ayatekeleze.
Ukiwa Muadilifu upime kati ya ile pesa inayoenda kwa familia na ile inayobaki kwake mwenyewe utagundua kiasi gani wanaume ni Mashujaa wa familia.
Hiyo Dola ndio Nguvu tunayoizungumzia hapa.Wewe mbona unalazimisha kufananisha utii wa raia kwa rais na utii wa mwanamke kwa mwanaume wewe unaona hivyo vitu vinafanana kweli, nimekuambia kinachofanya watu wamtii rais ni kile cheo chake alichonacho (siyo jinsia) na huo utii unaletwa na uoga kwamba wasipotii vyombo vya dola vinaweza kuwashughulikia, lakini si kwamba hao watu wanakuwa wamependa kutii bali wamelazimika tu na bado nasisitiza kwamba utii wa aina hiyo siyo nature
Usanii Upi wakati Mimi najenga hoja wewe unasubili Usome jibu upate pa Kukomalia huku unasahau kuwa kuna Jambo tulikuwa tunalijadili huko nyuma. Poor.Acha usanii wewe hakuna cha akili wala nini hivyo unavyoviita vichaka umevichoma baada ya kuona umeishiwa hoja, mbona mwanzo ulivikomalia kama kweli unaona hoja inatoka nje ya mada kwanini usiachane nayo tangu mwanzo, yani mwanzo unakomaa nayo unaishushia magazeti weee halafu ukiona umefika sehemu umekwama ndio unajua kwamba nimetoka nje ya mada unajifanya kuachana nayo
Akili yako ndio imeona ni porojo.Sasa hizi porojo zako zinahusiana nini na hiyo hoja yangu hapo
Wewe unawajua Wanaume kushinda mimi!!!!. Inawezekana ikawa ni kweli kwa sababu Sijui kazi unayoifanya.Hahaha masikini yani hii ndio defensive mechanism pekee mnayoitumia pale mnapoona mmeshindwa hoja baada ya kuambiwa ukweli mchungu, itoshe tu kusema wewe bado hujaijua saikolojia ya wanawake unalazimisha mawazo yako ndio yawe uhalisia, na mbaya zaidi hata saikolojia ya jinsia yako nayo bado hujaijua vizuri you lack a lot of information hata mimi ambaye siyo mwanaume nafahamu mambo mengi kukuzidi
Kwaiyo Unataka kutuambia Feminism ilianzishwa Mwaka 1848 Kwa sababu Wanaume walikuwa Hawajielewi!!? (Hawajui majukumu yao)???Ndio ifike mahali wanaume mjiulize kwanini wanawake hawataki tena kukaa kwenye hizo so called nafasi zao, yani wanaume wanakimbia majukumu halafu wanawake wakiamua kujiongeza mnaanza tena kulalamika kwamba hawakai kwenye nafasi zao, sasa kama jamii yenyewe imejaa wanaume wasiojielewa mnataka wanawake waendelee kukaa kwenye hizo nafasi zao kwa sababu zipi
Embu unaweza kutusaidia mfano wa malalamiko hayo wanayoyatoa Wanaume. Maana isije ikawa Wapo sahihi kuyasema hayo ili jamii ibadilike.Zipo ndio maana nikasema asilimia kubwa ni kesi za huduma za kiuchumi kwa watoto wao waliotelekezwa, halafu hao wanaoenda kuripoti hizo kesi hayo ni malalamiko dhidi ya hao wanaume husika ili wawajibishwe, haya ninyi wanaume ambao hampigwi wala hamfanyiwi ukatili mbona malalamiko yenu ndio yamejaa humu mitandaoni kuliko ya wanawake
Unatumia mitandao kuisoma Jamii!! kazi ipo. Unajuaje Uhalisia wa kile kinachoelezewa na Hao watu??Wewe unajuaje kwamba mimi naongelea wanaume wanaonizunguka, hivi kwa dunia ya leo hii ambayo taarifa nyingi unaweza kuzipata kiganjani mwako unahitaji hadi uzungukwe na watu wa aina fulani ndio ujue kwamba watu wa aina hiyo wapo kweli, kwahiyo kama mimi sijawahi kukutana na shoga basi maana yake sitakiwi kuamini kwamba mashoga wapo ilihali taarifa kuhusu mashoga zimejaa humu mitandaoni..what kind of reasoning is this!!
Internet isn't a real place anymore.
Competition ipi?? Unapigana na Mtu huku umemfunga Mikono?? Kwani Women impowerment kwenye ajira inamaanisha nini?? Kwani Hujui kuwa Mnapewa Kipaumbele kwenye kila kitu hivi sasa. Hujui kuwa kuna Hadi wizara inayoshughulikia maendeleo ya Wanawake. Ila hakuna Wizara kama hiyo kwa wanaume?? Unajitoa Ufahamu??Duuh naona sasa umetoka kwenye hoja umeanza kulialia hizo ajira na fursa wanawake wamezitekaje kwamba wanafika tu kwenye hayo maofisi wanajipa hizo fursa na ajira na kwamba wanaume hamzipati au mko wachache humo maofisini kuliko wanawake au vipi, kwani wanawake si wanapitia michakato yote ya kupata hizo ajira na fursa au wao kazi zikitangazwa huwa wanaitwa tu moja kwa moja hawafanyiwi interview wala vetting, kwahiyo kama kuna wanawake wana vigezo kuliko wanaume unataka waachwe kwa sababu tu ni wanawake kwani hujui kwamba huu ni ulimwengu wa kibepari karibu kila kitu ni competition
Kama isingekuwa Men discrimination inayofanywa na Serikali. Hakuna Pambano la Mwanaume na mwanamke alafu Mwanamke ashinde.ninyi si mnadai kwamba mmewazidi wanawake akili na nguvu sasa mnashindwa nini kuziteka hizo ajira kwa kutumia hizo akili na nguvu zenu mlizonazo badala yake mnaishia kulialia..yani unajustify midume mizima kulelewa na mishangazi kwa visingizio vya kipuuzi halafu wanawake wasipowaheshimu mnadai eti wanashindana na ninyi..stupid!!
Biashara ya kuuza miili yao wanawake ni biashara kongwe Duniani. Lakini suala la Wanaume kuchapa na kusepa ni la juzi baada ya ninyi kuanza kujiuza hadi kwenye mahusiano yenu ,,,kufanya miili yenu ni mitaji.Kama kuna jinsia ambayo haipo fair kwa nyenzie basi ni wanaume tena wenyewe huwa mna msemo wenu eti "everything is fair in war and love", mbona husemi tabia ya wanaume kuingia kwenye mahusiano kwa lengo la kupata ngono tu (wenyewe wanaita kupiga na kusepa) halafu baada ya hapo wanakuja kuwatukana wanawake kuwa hawafai kuolewa maana wametumika sana kwahiyo wanawake wanachofanya ni kureciprocate tu kulingana na tabia zenu, maana hili suala la wanawake kutanguliza pesa na kukosa mapenzi wala halina miaka mingi limeshika hatamu karne hii tu na wanawake wameamua kufanya hivyo sababu wameona hata wanaume wengi nao hawana mapenzi ya kweli na wanawake ndio walioonekana kulose sababu eti wanaume jinsia yao inawafavor
Unatudanganya wazi wazi. Wewe sio Muadilifu.Hebu fuatilia huu mjadala halafu uone ni nani anayekomalia hoja za nje ya mada, mimi ninachofanya ni kutoa mifano ambayo inaendana na mada, ila wewe ukiona hoja imekushinda unakimbilia kusema eti nimetoka nje ya nada
Kuna Mtu humu mwanzoni kabisa wa uzi huu alishakufundisha kuwa hii feminism yetu ya karne ya 21 ni upuuzi akimaanisha ile feminism ya mwaka 1848 ilikuwa na Hoja Inayoeleweka. Ila wewe tatizo huwa unabisha tuu hujifunzi. Na mimi pia nikakufundisha tena kuwa third wave ni upuuzi mkubwa. Bado huelewi.Sasa wewe mwanzo uliicondemn feminism kama feminism, hakuna mahali ulipospecify kwamba feminism ya aina hii ni nzuri na ya aina hii ni mbaya, au umesahau ulipotoa zile kauli kwamba feminism ni upumbavu mara sijui feminism ni takataka..kuwa makini unapojenga hoja zako maana hadi sasa umeshapindisha maneno mara nyingi
Sexual orientation wapi Jadda acha kutudanganya. Kuna Wanaume Wamekamilika kimaumbile Alafu hawapendi Kufanya tendo?? Wapo kweli??Nani kakudanganya kwamba hiyo character ni feminism hivi wewe mbona unapenda kutunga nadharia zako unapata faida gani kupotosha, kwa taarifa yako hiyo ni sexual orientation tu haihusiani na feminism na haipo kwa wanawake tu, hata wanaume wapo ambao hawapendi kufanya ngono sasa hao nao tuwaite feminists au
Sijazungumzia suala la kufika kileleni bali hawataki Wamtanulie Mwanaume kwa sababu Mwanaume ni Adui yao na Hawampendi.Watu wa aina hiyo wanaitwa asexuals huwa hawana kabisa hisia za kingono hao wanaosuguana wenyewe ni lesbians na hiyo haihusiani na feminism, kwa sababu wasagaji wengi tu huwa wana wanaume zao na wana sifa zote za uanamke ikiwemo kuwatii waume zao, hao wasagaji wengi wao wanadai hufanya hiyo michezo sababu ndio wanafika sana kileleni maana wanaume zao hawawaridhishi sasa hiyo ni mada nyingine
Sasa mimi ndo Nimelileta jambo alafu unaniambia Sijui. poor.Na pia kwa wanawake kutokuwa tayari kusubmit kwa wanaume kwenye suala la sex kuna makala kadhaa niliwahi kusoma kwamba hilo linahusiana na kuwa na uwezo mkubwa wa akili, yani mwanamke wa hivyo anakuwa anatumia logic zaidi kuliko hisia kwenye kila jambo yani yeye kila kitu lazima areason hafanyi jambo kwa sababu tu kila mtu anafanya, sasa habari kama hizi zimezagaa mitandaoni unashindwa kufuatilia ili uwe na taarifa sahihi unaishia kutunga nadharia zako
Kwaiyo unataka kutuambia na wewe unatumia Logic ndio Mana Hutoi?? Yaani suala la kimwili na la kibinadamu unasema kuwa ukitumia logic unaona Halifai. Fikra nyengine ni Mzigo.
Haya choma Vyote bakisha Unavyovitaka alafu tubakie hapo.Lipo wazi kwenye kichwa chako wewe na siyo uhalisia, nimekuambia usinilazimishe nijadili mawazo yako mufilisi, kama huwezi kujadili uhalisia basi katika vile vichaka ulivyojificha ambavyo unadai unachoma usisahau kuchoma na hiki
Mwanaume Rijali ni Mwenye sifa za uanaume. Ni mkakamavu katika mwili , ni jasiri na ana uthubutu,, haadhiriwi kirahisi na Hisia anatoa maamuzi sahihi katika mambo magumu. Anasimamisha na anaweza kumpa Mwanamke Mimba anatekeleza majukumu yake kama Kiongozi wa familia. Ni mlinzi wa Familia yake na Ukoo wake na Jamii kwa ujumla.Mwanaume rijali ni nani kwa mtazamo wako
Uongo upi Wakati tunawaona mnavyovaa maofisini na Life style yenu kwa ujumla au Tunadanganya??Hebu nioneshe ni wapi panaposema kwamba feminism ni wanawake kubandika makucha na kujipost mitandaoni, nikikuuliza wewe ulishawahi kuniona wapi kiasi cha kujua kwamba na mimi nina sifa kama hizo za kubandika makucha na kujipost mitandaoni, kwa sababu kama umeweza kuandika huu uongo wako kuhusu mimi ilihali hunifahamu sasa utakuwa umeandika uongo kuhusu mangapi kwenye hii mada
Wanawake hamuwezi kupinga Ushoga kwa sababu Mashoga nyie huwa ni marafiki zenu tena utakuta Mna wa treat kama wanawake wenzenu kabisa yaani upuuzi kabisa.Hoja siyo kukubaliwa tu bali umekubaliwa na nani kama ushoga ungekuwa umekubaliwa kiasi hicho basi wanaume wengi mngeukubali kama ambavyo wanawake wengi wameikubali feminism, na kama kweli ushoga ungekuwa umekubaliwa kiasi hicho basi wanaume msingeupinga nilitegemea upingwe zaidi na wanawake kama ambavyo wanaopinga zaidi feminism ni wanaume,
Wanaume kuupinga Ushoga kwa nguvu ndio uone Akili yao ilivyokuwa kubwa sana.
Sasa kama ninyi mngekuwa na akili mngejiuliza vipi huyu aliyetuletea feminism ndio huyo huyo ameleta na anatetea Ushoga kuwa ni haki.wewe unalazimisha kuzifananisha kwa kigezo kimoja tu kwamba eti zote ni agenda zinazofadhiliwa na wazungu na ndio maana nikakupa ule mfano kwamba ni sawa na kusema eti physics, chemistry, na biology ni kitu kimoja kwa sababu tu zote ni science sasa ndivyo namna wewe ulivyoijenga hiyo hoja yako
Sio kweli Hakuna hili jambo katika Historia.Wanawake walianza kudai usawa pale walipoanza kutoka kupata elimu na ajira na kuanza kuwa na uwezo wa kutafuta na kumiliki pesa na mali zao wenyewe,
Sio mimi nadai bali ndio Historia ipo hivyo Feminism mwaka 1848 haikuwa na malengo hayo.kwaiyo wewe unaona kwamba feminism haikuwa na lengo la kumfanya mwanamke awe sawa na mwanaume kwa sababu hawakudai elimu na ajira in the first place,
Hoja yako hii inaegemea Wapi??na mimi hoja yangu ni kwamba mwanaume anatakiwa kuwa mtawala endapo mke wake ni mama wa nyumbani na yeye ndiye anayemhudumia kwa kila kitu kiuchumi
Hakuna jibu acha kutudanganya.Hili nimeshakujibu kule juu wewe
Moja kwanini Umewaita watu wa vijijini kwa Lugha mbaya hivyo.?? Is town heaven?? Ila it's okay wadada wajuaji ndio mlivyo.reasoning yako bado iko chini sana, hebu uwe unapitapita mitandaoni na kusoma upumbavu wa wanaume wenzio halafu ndio urudi hapa tuje tubishane kuhusu hili, maana hapa nahisi kama vile nabishana na mlugaluga wa kijijini asiyejua uhalisia ukoje kwenye jamii yani hata watu wakisoma hapa watajua nani anaongea uhalisia na nani anaongea kulingana na watu waliomzunguka au anaokutana nao tu
Pili internet isn't a real place anymore Mdada sio jamii yote ipo Kwenye mitandao hivyo nakushauri isiihukumu jamiii kwa kutumia mitandao pekee.
Unalalamika nini Sasa!!Kama umeweza kunizushia kuhusu hili tena kwa ujasiri kabisa kana kwamba unanifahamu je utakuwa umezusha mangapi hapa, okay mimi kuolewa au kutokuolewa kunahusiana nini na hii mada kwani marital status yangu ndio inaamua kwamba hoja ninazoandika humu ni za ukweli au uongo, halafu nikikuambia unatafuta vichaka vya kujifichia unabisha wewe mbona mimi hakuna mahali nimekuongelea wewe kuhusu maisha yako binafsi umeona jinsi unavyotafuta njia za kukwepa hoja
tunaposema wadada wajuaji kama wewe huwa Hawaolewi na kweli tunaona wewe hadi leo hujaolewa huoni Tunapata mfano hai kabisa.
Unajisifu kuwa una mwaka wa tano humu JF unabishana na Wanaume tuu mi nikakuona Huna akili nikajua unasema nina miaka mitano kwenye ndoa Yenye Furaha na watoto wawili au watatu kumbe Miaka mitano ya kubishana mitandaoni. Wakati wale wanaume huenda wana familia zao safi kabisa wewe ukiendelea kusema unatumia Logic ndio Mana Hutoi. Pumbavu.
Huwezi kuyazungumzia mambo bila ya kuwa na Experience au kufanya research.Aise yani kwa dunia ya leo yenye utandawazi unataka kusema kwamba mtu kuzungumzia mambo ya siasa au sanaa ni mpaka awe mwanasiasa au msanii, au mtu kuzungumzia mambo ya kazi au biashara ni mpaka awe mfanyakazi au mfanyabiashara, your level of stupidity is out of proportion
Poor.Pathetic!!
Sijaona hoja hapa ya kujibu. Sijibu Malalamiko.Hadi sasa nina uhakika hata wewe mwenyewe kichwani mwako umeshajua ni anayejua na ni nani aisyejua, ila hapa lazima ujitutumie kubisha mradi tu usionekane umeshindwa hoja, lakini ni wazi huna hoja yoyote ya maana mpaka sasa unazidi kujivua nguo tu kwa kudhihirisha upeo wako mdogo wa kufikiri na kupambanua hoja
Waliufanya kulingana na Tamaduni zao za kiganga mfano porini,, nyumbani kwake au Kwenye viringe vya uganga. Haya hoja yako ipo wapi??Sasa huo uganga wa kienyeji waliufanyia wapi na waliwafanyia kina nani
Hueleweki unaruka huku unaruka kule. Sasa hata sielewi nijibu lipi.Hawatakiwi kumtii kwa sababu siyo jukumu lake kuwahudumia hao watu bali ni hiyari yake au unaweza ukaniambia ni wapi palipoandikwa kwamba ni lazima mtoto awahudumie wazazi wake au ndugu na jamaa zake, halafu sijajua ni huduma gani hiyo unayozungumzia maana usije ukawa unazungumzia ile ya kuwapa pesa kidogo mara moja moja kama ambavyo unaweza kumsaidia mtu yeyote yule hata rafiki tu, huduma inayohusika hapa ni ile ya wao kuwa chini ya himaya yako na kukutegemea kwa kila kitu kuanzia kula, kulala, kuvaa na matumizi mengine na kama ni hivyo basi hawatawajibika kukutii bali pia hawawezi kukutawala kwa maana ya wewe kulazimika kutii amri wanazokupa tofauti na wewe ukiwa unawategemea kwahiyo bado hakuna uhusiano na utawala wa mwanaume kwa mwanamke
Anyways Tufanye anawahudumia kila kitu jee wanatakiwa kumtii??
Ndio kwani wewe hujawahi kuwaona wanawake wa aina hiyo
Kosa siyo mwanamke kubaki nyumbani kulea, kosa ni kulazimisha kumtawala kwa kisingizio kwamba yeye anabaki nyumbani kulea tu, yani ni kana kwamba jukumu la kulea ni jukumu duni
Ni kwa sababu wanaume walitumia hiyo advantage ya kuwazidi nguvu wanawake kuwatawala na kuweka vigezo ambavyo vingewafavour wao kuwa watawala, na hakuna mahali nimesema kwamba kuzaa lazima iwe sifa ya kuwa mtawala hebu acha kuwa na kichwa kigumu asee, mimi nilisema siyo sawa kujipa utawala kwa kuzingatia vigezo vya kimaumbile ambavyo mwenzako hana na hakuchagua kutokuwa navyo, ndio nikasema kwamba ninyi kuona eti mnastahili kuwa watawala kwa sababu ya nguvu za mwili (ambalo ni kimaumbile) ni sawa na wanawake nao kusema wanastahili kuwa watawala kwa sababu ya kubeba mimba na kuzaa, sasa kama mnaona hicho kigezo hakimake sense basi hata hicho kigezo chenu pia hakimake sense vile vile
Sasa hicho kigezo chako automatically kinakataa, mwanaume anamtawala mwanamke kwa kigezo cha jukumu la kuhudumia familia tu, na si hayo majukumu mengine ya kutafutiza eti kupambana na majambazi sijui kupigana vita
Ndio lakini huo mgawanyo ulitokana na utofauti wa kimaumbile jambo ambalo ni natural na ndio maana nikasema ugumu au urahisi wa kazi unategemea na maumbile ya mtu, kama wanawake nao wangekuwa na maumbo yenye nguvu kama wanaume basi bila shaka nao wangefanya hizo kazi sawa sawa na wanaume na hata hizo kazi ambazo unadai ni light works kwa wanaume ni ngumu mfano kulea watoto, ndio maana nikasema siyo sawa kujipa utawala kwa kuzingatia mgawanyo wa majukumu unaotokana na maumbile ambayo mwenzako hana yani kufanya hivyo maana yake unayaona majukumu yako ndio ya muhimu kuliko ya mwenzako
Hapa hata wewe mwenyewe sijui kama umeelewa hiki ulichoandika
Vipi na baba akiwatelekeza au akifariki huduma za watoto atasimamia nani
Oohh kwahiyo wewe ndio unayeamua kiwango cha akili ya mtu kulingana na fikira ulizozijenga wewe juu ya kile anachokikubali
Acheni hizi propaganda mnaexaggerate sana haya mambo tangu lini kutafuta pesa kukawa sababu ya kushindwa kulea watoto, kwani hao wazazi wanapoenda kutafuta hizo pesa huwa wanapotelea huko huko maofisini hawarudi majumbani au, jukumu la kulea watoto wakiwa wadogo ni la mama ila jukumu la kushape tabia na maadili ya watoto ni la wote, lakini cha ajabu wanaume mmewasukumizia hili jukumu wanawake kwa visingizio vya kipumbavu halafu watoto wakiharibikiwa mnawatupia lawama wanawake ilihali miaka yote mnaishi nyumba moja na watoto wenu, ukiachilia mbali wale wapumbavu wengine ambao wanaamua kukimbia majukumu na kutelekeza kabisa watoto
Aise kwahiyo mashoga wote wamelelewa na feminists na kwamba watoto wa kiume wote waliolelewa na feminists wamekuwa mashoga siyo, vipi na ile mitoto milevi, mivibaka, mijambazi, mizinzi, nk ambayo imelelewa na wazazi wote wawili, au kwenu ushoga pekee ndio mbaya hayo maovu mengine yote yanayoharibu jamii hamyaoni
Si unaona sasa unaanza hivi hivi halafu baadaye ukiona umebanwa unakuja kubadili gia angani, kuna wanawake kila siku wanaachika na wanaolewa tena hasa waislam ambao wanadai dini yao inaruhusu talaka, basi hapa utakuja kusema kwamba wanaolewa ila wakigundulika waliachika basi wanaachika tena maana wanaume rijali hawawezi kuvumilia wanawake walioachika..hahahaaa!!
Ndio kama nyie mnavyotaka upumbavu wenu wa kulazimisha wanawake wawatii uheshimiwe
Hapana bali hao wanaume ni wale ambao hawakuwa na tabia za hovyo kama walizokuwa nazo wanaume wengi mfano ulevi na unyanyasaji, pamoja na kwamba zamani ilikuwa kawaida wanaume kuoa wake wengi ila kuna few exceptions ambao walioa mke mmoja, na kuna ambao walikuwa wanaishi vizuri tu na wake zao wala hawaleti ubabe wa kijinga eti kwa sababu tu ni wanaume so kwa wanaume kama hao ndio wanawake walikuwa na furaha
Wewe ndiye unahisi unajadiliana na underground yani kwa kifupi ulipoanza kubishana na mimi ulinichukulia poa, mimi siku zote ninapoanza kubishana na mtu huwa namchukulia kama anajua mengi kuhusu hiyo mada ndio maana kaamua kuingia kwenye hayo mabishano, kadiri anavyozidi kuwasilisha hoja zake ndio itanionesha kama anafaa kuendelea kuwekwa kwenye kundi la wanaojua au ndio kavamia fani..sasa hata wewe mwanzo ulivyoanza kwa mbwembwe nilidhani unajua unachokiongelea ila kadiri ninavyozidi kubishana na wewe ndivyo ninavyozidi kuona jinsi gani ulivyo mweupe kichwani kuhusu mada kama hizi
Kama ni sababu yenye mashiko siyo rahisi mwanamke kukataa, ukiona mwanamke kakataa ujue hiyo sababu haina mashiko, hivyo hutakiwi kumfanya chochote zaidi ya kumuacha aende au kutoa sababu yenye mashiko ili akuelewe
Kwanza hujui hata unachokisimamia kule juu umetoka kusisitiza kwamba wanawake hawatakiwi kutoka kuenda kutafuta pesa bali wanatakiwa wabaki nyumbani wahangaike na malezi ya watoto, hapa tena umeandika kana kwamba mwanaume akikwama kiuchumi basi mwanamke ndio anatakiwa amsaidie kusukuma gurudumu la kutunza familia hadi pale mwanaume atakapokaa sawa, sasa kama unataka mwanamke akae nyumbani alee tu watoto hizo pesa za kumsaidia mumewe akikwama atazitoa wapi na hapo sasa ndipo tunarudi kwenye ile hoja yangu kwamba kama mwanamke ni mama wa nyumbani huyo mume akikwama kiuchumi anafanyaje
Sasa ni wapi nimekimbia kwani hayo maandiko si yapo kama yalivyo na yanaeleweka au ulitaka niyazungumzieje, yani hata ukikimbilia kwenye maandiko bado hoja yangu inabaki pale pale kwamba utawala wa mwanaume kwa mwanamke unaambatana na majukumu ya mwanaume kuhudumia familia, kama ambavyo mwanamke kaambiwa amtii mwanaume ndivyo mwanaume alivyoambiwa ale kwa jasho na ahudumie familia ndio maana nikakuuliza kwanini wanawake hawakuambiwa wafanye hayo
Kama ukuaji wa talaka unaendana na ukuaji wa feminism basi tatizo halipo kwa wanawake, tatizo lipo kwa wanaume kukataa kukubaliana na reality na kuendelea kuishi kwenye illusions, somebody needs to give you men a reality check and it's got to be women ninyi kushindwa kukubali ukweli ni tatizo lenu siyo tatizo la wanawake
Hebu acha kuongelea haya mambo kama huyajui unazidi kujiaibisha tu hapa, kiungo kinachochochea hamu ya tendo kwa mwanamke na kumfanya aenjoy tendo ni ile clitoris, ndio maana kuna hao wasagaji ambao wanafika kileleni kwa kusuguana hivyo viungo tu na hata baadhi ya wanaume husema kuna wanawake wanafika kileleni kwa kuchezewa hicho kiungo tu hata kabla ya kuingiziwa uume, kwahiyo wewe unadhani nje ya hiyo sababu ni ipi sababu iliyofanya wanawake wawe wanakeketwa hebu nitajie faida hata moja anayopata mwanamke aliyekeketwa
Wapo wanaume wengi tu wa hivyo na wanajielewa wala hawalelewi jambo kama hujawahi kuliona au kulisikia haimaanishi kwamba halipo, au pengine unaweza ukawa unafahamu kwamba hilo jambo lipo ila hapa utajifanya kubisha ili tu utetee uongo wako, haya mfano ndio mkeo kapangiwa safari ya mkoani na boss wake na wewe hutaki aende unadhani hapo mkeo atamsikiliza nani
Acha kunipandikizia maneno mbona nilisema kabisa kwamba "ukiona mwanamke ana elimu na ajira na amekubali kuwa chini ya mwanaume, ujue huyo mwanaume anatimiza majukumu yake ipasavyo bila kuhitaji msaada wa mke labda mke tu mwenyewe aamue kusaidia" au hukuona nilipoandika hivyo, pamoja na hilo bado nasisitiza kwamba huo mfano wa mama samia ni batili fullstop
Mwanaume amefanywa na nani kuwa kiongozi kwa hiko kigezo cha nguvu na umadhubuti
Kama lingekuwa zuri basi wanawake wasingepingana nalo, uzuri au ubaya wa jambo anaujua yule anayelifanya, wewe hutakiwi kumsemea lipi ni zuri au baya kwake kwa sababu naye ana hisia zake na utashi wake
Wewe kuamua kukataa majibu yangu kwa sababu zako binafsi haimaanishi kwamba mimi sijajibu hoja zako, actually ni wewe ndiye ambaye hujajibu hoja zangu hadi sasa yani unarukaruka tu kama bisi kikaangoni, nimekuambia tuende taratibu tu mwisho wa siku mbivu na mbichi zitajulikana
Ndio kama mwanamke ana sababu ya msingi kwanini asimkataze mumewe kutoka, au wewe suala la kukatazana kuenda sehemu fulani unalichukuliaje, kama mwanaume akikataa basi ni either hajielewi au hiyo sababu siyo ya msingi kwahiyo mwanamke anatakiwa amuache aende tu
Informal education ni universal hakuna cha amerika wala tanzania, informal education ni ujuzi na maarifa kuhusiana na shughuli mbalimbali za kila siku, na rasilimali zilizopo kwenye mazingira yanayotuzunguka, hoja ni kwamba kwanini wanawake hawakupewa ujuzi na maarifa kama waliyokuwa wanapewa wanaume, mbona leo hii wanawake wanapewa ujuzi na maarifa sawa na wanaume na wanafanyia kazi vizuri tu
Si nimeshakuambia kinachowafanya wafurahie ni mshahara tu na si kingine, hakuna mtu anayeweza kumtii boss wake kama halipwi mshahara, na nasisitiza kwamba utii wa aina hiyo siyo nature
Hoja yangu ni kwamba kama maandiko yanavyosema kuwa mwanamke amtii mumewe ndivyo vivyo hivyo pia yanasema mwanaume ampende mkewe, na wewe umesema kwamba utii wa mwanamke kwa mwanaume ni nature na kwa mantiki hiyo basi maana yake hata upendo wa mwanaume kwa mwanamke ni nature, kwahiyo hata kama mwanamke ni mjeuri na hatimizi majukumu yake mumewe anatakiwa aendelee kumpenda tu sasa akimpa talaka si maana yake hampendi tena na kumbuka maandiko yanasema mungu anachukia kuachana
Mimi nimesema kwamba utakuwa huzijui species za mbwa hadi uconsult google hakuna sehemu nimesema kwamba google siyo source ya information, nikikutajia majina ya hao mbwa una uhakika utakubaliana na mimi kwamba hao mbwa ni wazuri au ndio utabisha kwamba wewe kwa mtazamo wako unawaona ni wabaya (maana kumbuka uzuri upo machoni mwa mtazamaji), na kwa kuzingatia hilo suala la subjectivity kwenye uzuri basi siyo mbwa tu bali kuna wanyama wengi ambao ni wazuri lakini ni hatari
Hili tayari nimeshafafanua
Kama kweli ungekuwa unaijua dini na unayajua maandiko kama unavyojinasibu, basi usingesema kwamba hayo ni maneno yangu, nimeanza kuwa na mashaka hata na hiyo elimu yako ya dini
Kasome Mwanzo 3 : 17-19
Kasome 1 Timotheo 5 : 8
Yani unasingizia umetoa elimu kubwa ambayo mimi nimeshindwa kudigest wakati umekwepa swali langu ambalo kila nilipokuuliza ulisema nisubiri unakuja na majibu, cha kushangaza unakuja na mambo ya waves za feminism kana kwamba mimi nilikuambia siyajui hayo huku ukiacha kujibu swali langu nililokuuliza halafu nikikuambia unakwepa hoja na kutafuta vichaka vya kujifichia unakataa, bado nasisitiza ulisema kwamba "kila mwanamke anazaliwa na fikira za kutaka kutawaliwa na mwanaume ila hakuna mwanaume anayezaliwa na fikira za kutaka kutawaliwa na mwanamke na kwamba hiyo ni nature" sasa swali langu ni je kama ni hivyo feminism ilianzishwa na nani na kwa faida ya nani hili hujajibu hadi sasa