Utii wa wanawake wa kisasa

Utii wa wanawake wa kisasa

Zina uhusiano fulani wa kimaandiko lakini zinatofautiana kwenye mapokeo na kulingana na mapokeo hayo ukiangalia sifa za mungu wa kila dini kati ya hizo utagundua kwamba wanatofautiana, yani Jehova wa wakristo, Yahweh wa wayahudi, Allah wa waislamu na Jah wa rastafarians ni miungu minne tofauti na kila dini inadai kwamba mungu wao ndio superior na ndio yuko mbinguni, sasa ndio nikakuambia unatakiwa uthibitishe pasi na shaka kwamba mungu wa dini yako ndio yuko mbinguni na si wa dini nyingine
Mwanzo ulisema Miungu ya dini zote ipo mbinguni naona Sasa ume narrow the list.
Hao uliowataja wakristo waislamu na wayahudi wapo sahihi kwa upande wao na Mimi nipo sahihi kwa upande wangu. Sasa Jenga hoja from here.
Ndio maana nikakuambia suala la wanaume wa kuzalisha kutopatikana ni nadharia, kwa sababu wanaume hawajawahi na hawawezi kukataa kuzalisha siku zote mwanaume huona fahari kuongeza na kuacha uzao wake bila kujali hali yake ya kiuchumi ndio maana hata wanaume masikini wana watoto, ndio nikakutolea na mfano kwamba huko ulaya ambako population inakuwa kwa kasi ndogo kwanini viongozi wao wanawabembeleza wanawake tu ndio wazae kwanini wasiwabembeleze na wanaume wakati hiyo process inahusisha wote
Hata Wanawake wa kuzaa kukosekana ni Nadharia Wapo Wanawake Wengi tuu wanataka kuzaa Bali Wengine hadi huenda kwa Waganga ili wapate watoto.
Ndio maana nikakuambia hicho kigezo cha nguvu na umadhubuti kinakataa hapo
Kinakataa Wapi?? Kwa hoja Gani??
Acha kubadili gia wewe mwanzo ulinitajia majukumu ya kupigana vita na kuchimba visima ndio nikakuambia kwamba hayo majukumu hayana faida kwa familia yake tu bali pia kwa mwanaume mwenyewe na jamii nzima, kwa sababu kupigana vita ni kujilinda wewe mwenyewe na jamii yako na kuchimba visima ni kwa matumizi yako mwenyewe na jamii au familia yako, hayo mambo ya mavazi ndio umeyaibua sasa hivi na hata hivyo umekuwa too specific, kununua mavazi mara kwa mara inajulikana siyo kipaumbele kwa mwanaume haijalishi ana familia au hana kwanini usiongelee kiujumla tu kwamba zile pesa na mali anazotafuta, zina faida zaidi kwake mwenyewe kuliko kwa familia yake maana hata yeye mwenyewe mwanaume anazitumia au unataka kusema mwanaume akiwa hana familia ndio hatafuti pesa na mali
Nimetoa Mavazi kama Mfano ila Wanaume Wana sacrifice mno Mali zao kwa ajili ya Familia zao kuanzia Ada za watoto huduma za Matibabu za Familia na mengineyo.
Ambayo kwa ujumla ni Majukumu yake na Ni wajibu ayatekeleze.

Ukiwa Muadilifu upime kati ya ile pesa inayoenda kwa familia na ile inayobaki kwake mwenyewe utagundua kiasi gani wanaume ni Mashujaa wa familia.
Wewe mbona unalazimisha kufananisha utii wa raia kwa rais na utii wa mwanamke kwa mwanaume wewe unaona hivyo vitu vinafanana kweli, nimekuambia kinachofanya watu wamtii rais ni kile cheo chake alichonacho (siyo jinsia) na huo utii unaletwa na uoga kwamba wasipotii vyombo vya dola vinaweza kuwashughulikia, lakini si kwamba hao watu wanakuwa wamependa kutii bali wamelazimika tu na bado nasisitiza kwamba utii wa aina hiyo siyo nature
Hiyo Dola ndio Nguvu tunayoizungumzia hapa.
Acha usanii wewe hakuna cha akili wala nini hivyo unavyoviita vichaka umevichoma baada ya kuona umeishiwa hoja, mbona mwanzo ulivikomalia kama kweli unaona hoja inatoka nje ya mada kwanini usiachane nayo tangu mwanzo, yani mwanzo unakomaa nayo unaishushia magazeti weee halafu ukiona umefika sehemu umekwama ndio unajua kwamba nimetoka nje ya mada unajifanya kuachana nayo
Usanii Upi wakati Mimi najenga hoja wewe unasubili Usome jibu upate pa Kukomalia huku unasahau kuwa kuna Jambo tulikuwa tunalijadili huko nyuma. Poor.
Sasa hizi porojo zako zinahusiana nini na hiyo hoja yangu hapo
Akili yako ndio imeona ni porojo.
Hahaha masikini yani hii ndio defensive mechanism pekee mnayoitumia pale mnapoona mmeshindwa hoja baada ya kuambiwa ukweli mchungu, itoshe tu kusema wewe bado hujaijua saikolojia ya wanawake unalazimisha mawazo yako ndio yawe uhalisia, na mbaya zaidi hata saikolojia ya jinsia yako nayo bado hujaijua vizuri you lack a lot of information hata mimi ambaye siyo mwanaume nafahamu mambo mengi kukuzidi
Wewe unawajua Wanaume kushinda mimi!!!!. Inawezekana ikawa ni kweli kwa sababu Sijui kazi unayoifanya.
Ndio ifike mahali wanaume mjiulize kwanini wanawake hawataki tena kukaa kwenye hizo so called nafasi zao, yani wanaume wanakimbia majukumu halafu wanawake wakiamua kujiongeza mnaanza tena kulalamika kwamba hawakai kwenye nafasi zao, sasa kama jamii yenyewe imejaa wanaume wasiojielewa mnataka wanawake waendelee kukaa kwenye hizo nafasi zao kwa sababu zipi
Kwaiyo Unataka kutuambia Feminism ilianzishwa Mwaka 1848 Kwa sababu Wanaume walikuwa Hawajielewi!!? (Hawajui majukumu yao)???
Zipo ndio maana nikasema asilimia kubwa ni kesi za huduma za kiuchumi kwa watoto wao waliotelekezwa, halafu hao wanaoenda kuripoti hizo kesi hayo ni malalamiko dhidi ya hao wanaume husika ili wawajibishwe, haya ninyi wanaume ambao hampigwi wala hamfanyiwi ukatili mbona malalamiko yenu ndio yamejaa humu mitandaoni kuliko ya wanawake
Embu unaweza kutusaidia mfano wa malalamiko hayo wanayoyatoa Wanaume. Maana isije ikawa Wapo sahihi kuyasema hayo ili jamii ibadilike.
Wewe unajuaje kwamba mimi naongelea wanaume wanaonizunguka, hivi kwa dunia ya leo hii ambayo taarifa nyingi unaweza kuzipata kiganjani mwako unahitaji hadi uzungukwe na watu wa aina fulani ndio ujue kwamba watu wa aina hiyo wapo kweli, kwahiyo kama mimi sijawahi kukutana na shoga basi maana yake sitakiwi kuamini kwamba mashoga wapo ilihali taarifa kuhusu mashoga zimejaa humu mitandaoni..what kind of reasoning is this!!
Unatumia mitandao kuisoma Jamii!! kazi ipo. Unajuaje Uhalisia wa kile kinachoelezewa na Hao watu??
Internet isn't a real place anymore.
Duuh naona sasa umetoka kwenye hoja umeanza kulialia hizo ajira na fursa wanawake wamezitekaje kwamba wanafika tu kwenye hayo maofisi wanajipa hizo fursa na ajira na kwamba wanaume hamzipati au mko wachache humo maofisini kuliko wanawake au vipi, kwani wanawake si wanapitia michakato yote ya kupata hizo ajira na fursa au wao kazi zikitangazwa huwa wanaitwa tu moja kwa moja hawafanyiwi interview wala vetting, kwahiyo kama kuna wanawake wana vigezo kuliko wanaume unataka waachwe kwa sababu tu ni wanawake kwani hujui kwamba huu ni ulimwengu wa kibepari karibu kila kitu ni competition
Competition ipi?? Unapigana na Mtu huku umemfunga Mikono?? Kwani Women impowerment kwenye ajira inamaanisha nini?? Kwani Hujui kuwa Mnapewa Kipaumbele kwenye kila kitu hivi sasa. Hujui kuwa kuna Hadi wizara inayoshughulikia maendeleo ya Wanawake. Ila hakuna Wizara kama hiyo kwa wanaume?? Unajitoa Ufahamu??
ninyi si mnadai kwamba mmewazidi wanawake akili na nguvu sasa mnashindwa nini kuziteka hizo ajira kwa kutumia hizo akili na nguvu zenu mlizonazo badala yake mnaishia kulialia..yani unajustify midume mizima kulelewa na mishangazi kwa visingizio vya kipuuzi halafu wanawake wasipowaheshimu mnadai eti wanashindana na ninyi..stupid!!
Kama isingekuwa Men discrimination inayofanywa na Serikali. Hakuna Pambano la Mwanaume na mwanamke alafu Mwanamke ashinde.
Kama kuna jinsia ambayo haipo fair kwa nyenzie basi ni wanaume tena wenyewe huwa mna msemo wenu eti "everything is fair in war and love", mbona husemi tabia ya wanaume kuingia kwenye mahusiano kwa lengo la kupata ngono tu (wenyewe wanaita kupiga na kusepa) halafu baada ya hapo wanakuja kuwatukana wanawake kuwa hawafai kuolewa maana wametumika sana kwahiyo wanawake wanachofanya ni kureciprocate tu kulingana na tabia zenu, maana hili suala la wanawake kutanguliza pesa na kukosa mapenzi wala halina miaka mingi limeshika hatamu karne hii tu na wanawake wameamua kufanya hivyo sababu wameona hata wanaume wengi nao hawana mapenzi ya kweli na wanawake ndio walioonekana kulose sababu eti wanaume jinsia yao inawafavor
Biashara ya kuuza miili yao wanawake ni biashara kongwe Duniani. Lakini suala la Wanaume kuchapa na kusepa ni la juzi baada ya ninyi kuanza kujiuza hadi kwenye mahusiano yenu ,,,kufanya miili yenu ni mitaji.
Hebu fuatilia huu mjadala halafu uone ni nani anayekomalia hoja za nje ya mada, mimi ninachofanya ni kutoa mifano ambayo inaendana na mada, ila wewe ukiona hoja imekushinda unakimbilia kusema eti nimetoka nje ya nada
Unatudanganya wazi wazi. Wewe sio Muadilifu.
Sasa wewe mwanzo uliicondemn feminism kama feminism, hakuna mahali ulipospecify kwamba feminism ya aina hii ni nzuri na ya aina hii ni mbaya, au umesahau ulipotoa zile kauli kwamba feminism ni upumbavu mara sijui feminism ni takataka..kuwa makini unapojenga hoja zako maana hadi sasa umeshapindisha maneno mara nyingi
Kuna Mtu humu mwanzoni kabisa wa uzi huu alishakufundisha kuwa hii feminism yetu ya karne ya 21 ni upuuzi akimaanisha ile feminism ya mwaka 1848 ilikuwa na Hoja Inayoeleweka. Ila wewe tatizo huwa unabisha tuu hujifunzi. Na mimi pia nikakufundisha tena kuwa third wave ni upuuzi mkubwa. Bado huelewi.
Nani kakudanganya kwamba hiyo character ni feminism hivi wewe mbona unapenda kutunga nadharia zako unapata faida gani kupotosha, kwa taarifa yako hiyo ni sexual orientation tu haihusiani na feminism na haipo kwa wanawake tu, hata wanaume wapo ambao hawapendi kufanya ngono sasa hao nao tuwaite feminists au
Sexual orientation wapi Jadda acha kutudanganya. Kuna Wanaume Wamekamilika kimaumbile Alafu hawapendi Kufanya tendo?? Wapo kweli??
Watu wa aina hiyo wanaitwa asexuals huwa hawana kabisa hisia za kingono hao wanaosuguana wenyewe ni lesbians na hiyo haihusiani na feminism, kwa sababu wasagaji wengi tu huwa wana wanaume zao na wana sifa zote za uanamke ikiwemo kuwatii waume zao, hao wasagaji wengi wao wanadai hufanya hiyo michezo sababu ndio wanafika sana kileleni maana wanaume zao hawawaridhishi sasa hiyo ni mada nyingine
Sijazungumzia suala la kufika kileleni bali hawataki Wamtanulie Mwanaume kwa sababu Mwanaume ni Adui yao na Hawampendi.
Na pia kwa wanawake kutokuwa tayari kusubmit kwa wanaume kwenye suala la sex kuna makala kadhaa niliwahi kusoma kwamba hilo linahusiana na kuwa na uwezo mkubwa wa akili, yani mwanamke wa hivyo anakuwa anatumia logic zaidi kuliko hisia kwenye kila jambo yani yeye kila kitu lazima areason hafanyi jambo kwa sababu tu kila mtu anafanya, sasa habari kama hizi zimezagaa mitandaoni unashindwa kufuatilia ili uwe na taarifa sahihi unaishia kutunga nadharia zako
Sasa mimi ndo Nimelileta jambo alafu unaniambia Sijui. poor.

Kwaiyo unataka kutuambia na wewe unatumia Logic ndio Mana Hutoi?? Yaani suala la kimwili na la kibinadamu unasema kuwa ukitumia logic unaona Halifai. Fikra nyengine ni Mzigo.
Lipo wazi kwenye kichwa chako wewe na siyo uhalisia, nimekuambia usinilazimishe nijadili mawazo yako mufilisi, kama huwezi kujadili uhalisia basi katika vile vichaka ulivyojificha ambavyo unadai unachoma usisahau kuchoma na hiki
Haya choma Vyote bakisha Unavyovitaka alafu tubakie hapo.
Mwanaume rijali ni nani kwa mtazamo wako
Mwanaume Rijali ni Mwenye sifa za uanaume. Ni mkakamavu katika mwili , ni jasiri na ana uthubutu,, haadhiriwi kirahisi na Hisia anatoa maamuzi sahihi katika mambo magumu. Anasimamisha na anaweza kumpa Mwanamke Mimba anatekeleza majukumu yake kama Kiongozi wa familia. Ni mlinzi wa Familia yake na Ukoo wake na Jamii kwa ujumla.
Hebu nioneshe ni wapi panaposema kwamba feminism ni wanawake kubandika makucha na kujipost mitandaoni, nikikuuliza wewe ulishawahi kuniona wapi kiasi cha kujua kwamba na mimi nina sifa kama hizo za kubandika makucha na kujipost mitandaoni, kwa sababu kama umeweza kuandika huu uongo wako kuhusu mimi ilihali hunifahamu sasa utakuwa umeandika uongo kuhusu mangapi kwenye hii mada
Uongo upi Wakati tunawaona mnavyovaa maofisini na Life style yenu kwa ujumla au Tunadanganya??
Hoja siyo kukubaliwa tu bali umekubaliwa na nani kama ushoga ungekuwa umekubaliwa kiasi hicho basi wanaume wengi mngeukubali kama ambavyo wanawake wengi wameikubali feminism, na kama kweli ushoga ungekuwa umekubaliwa kiasi hicho basi wanaume msingeupinga nilitegemea upingwe zaidi na wanawake kama ambavyo wanaopinga zaidi feminism ni wanaume,
Wanawake hamuwezi kupinga Ushoga kwa sababu Mashoga nyie huwa ni marafiki zenu tena utakuta Mna wa treat kama wanawake wenzenu kabisa yaani upuuzi kabisa.

Wanaume kuupinga Ushoga kwa nguvu ndio uone Akili yao ilivyokuwa kubwa sana.
wewe unalazimisha kuzifananisha kwa kigezo kimoja tu kwamba eti zote ni agenda zinazofadhiliwa na wazungu na ndio maana nikakupa ule mfano kwamba ni sawa na kusema eti physics, chemistry, na biology ni kitu kimoja kwa sababu tu zote ni science sasa ndivyo namna wewe ulivyoijenga hiyo hoja yako
Sasa kama ninyi mngekuwa na akili mngejiuliza vipi huyu aliyetuletea feminism ndio huyo huyo ameleta na anatetea Ushoga kuwa ni haki.
Wanawake walianza kudai usawa pale walipoanza kutoka kupata elimu na ajira na kuanza kuwa na uwezo wa kutafuta na kumiliki pesa na mali zao wenyewe,
Sio kweli Hakuna hili jambo katika Historia.
kwaiyo wewe unaona kwamba feminism haikuwa na lengo la kumfanya mwanamke awe sawa na mwanaume kwa sababu hawakudai elimu na ajira in the first place,
Sio mimi nadai bali ndio Historia ipo hivyo Feminism mwaka 1848 haikuwa na malengo hayo.
na mimi hoja yangu ni kwamba mwanaume anatakiwa kuwa mtawala endapo mke wake ni mama wa nyumbani na yeye ndiye anayemhudumia kwa kila kitu kiuchumi
Hoja yako hii inaegemea Wapi??
Hili nimeshakujibu kule juu wewe
Hakuna jibu acha kutudanganya.
reasoning yako bado iko chini sana, hebu uwe unapitapita mitandaoni na kusoma upumbavu wa wanaume wenzio halafu ndio urudi hapa tuje tubishane kuhusu hili, maana hapa nahisi kama vile nabishana na mlugaluga wa kijijini asiyejua uhalisia ukoje kwenye jamii yani hata watu wakisoma hapa watajua nani anaongea uhalisia na nani anaongea kulingana na watu waliomzunguka au anaokutana nao tu
Moja kwanini Umewaita watu wa vijijini kwa Lugha mbaya hivyo.?? Is town heaven?? Ila it's okay wadada wajuaji ndio mlivyo.

Pili internet isn't a real place anymore Mdada sio jamii yote ipo Kwenye mitandao hivyo nakushauri isiihukumu jamiii kwa kutumia mitandao pekee.
Kama umeweza kunizushia kuhusu hili tena kwa ujasiri kabisa kana kwamba unanifahamu je utakuwa umezusha mangapi hapa, okay mimi kuolewa au kutokuolewa kunahusiana nini na hii mada kwani marital status yangu ndio inaamua kwamba hoja ninazoandika humu ni za ukweli au uongo, halafu nikikuambia unatafuta vichaka vya kujifichia unabisha wewe mbona mimi hakuna mahali nimekuongelea wewe kuhusu maisha yako binafsi umeona jinsi unavyotafuta njia za kukwepa hoja
Unalalamika nini Sasa!!
tunaposema wadada wajuaji kama wewe huwa Hawaolewi na kweli tunaona wewe hadi leo hujaolewa huoni Tunapata mfano hai kabisa.
Unajisifu kuwa una mwaka wa tano humu JF unabishana na Wanaume tuu mi nikakuona Huna akili nikajua unasema nina miaka mitano kwenye ndoa Yenye Furaha na watoto wawili au watatu kumbe Miaka mitano ya kubishana mitandaoni. Wakati wale wanaume huenda wana familia zao safi kabisa wewe ukiendelea kusema unatumia Logic ndio Mana Hutoi. Pumbavu.
Aise yani kwa dunia ya leo yenye utandawazi unataka kusema kwamba mtu kuzungumzia mambo ya siasa au sanaa ni mpaka awe mwanasiasa au msanii, au mtu kuzungumzia mambo ya kazi au biashara ni mpaka awe mfanyakazi au mfanyabiashara, your level of stupidity is out of proportion
Huwezi kuyazungumzia mambo bila ya kuwa na Experience au kufanya research.
Pathetic!!
Poor.
Hadi sasa nina uhakika hata wewe mwenyewe kichwani mwako umeshajua ni anayejua na ni nani aisyejua, ila hapa lazima ujitutumie kubisha mradi tu usionekane umeshindwa hoja, lakini ni wazi huna hoja yoyote ya maana mpaka sasa unazidi kujivua nguo tu kwa kudhihirisha upeo wako mdogo wa kufikiri na kupambanua hoja
Sijaona hoja hapa ya kujibu. Sijibu Malalamiko.
Sasa huo uganga wa kienyeji waliufanyia wapi na waliwafanyia kina nani
Waliufanya kulingana na Tamaduni zao za kiganga mfano porini,, nyumbani kwake au Kwenye viringe vya uganga. Haya hoja yako ipo wapi??
Hawatakiwi kumtii kwa sababu siyo jukumu lake kuwahudumia hao watu bali ni hiyari yake au unaweza ukaniambia ni wapi palipoandikwa kwamba ni lazima mtoto awahudumie wazazi wake au ndugu na jamaa zake, halafu sijajua ni huduma gani hiyo unayozungumzia maana usije ukawa unazungumzia ile ya kuwapa pesa kidogo mara moja moja kama ambavyo unaweza kumsaidia mtu yeyote yule hata rafiki tu, huduma inayohusika hapa ni ile ya wao kuwa chini ya himaya yako na kukutegemea kwa kila kitu kuanzia kula, kulala, kuvaa na matumizi mengine na kama ni hivyo basi hawatawajibika kukutii bali pia hawawezi kukutawala kwa maana ya wewe kulazimika kutii amri wanazokupa tofauti na wewe ukiwa unawategemea kwahiyo bado hakuna uhusiano na utawala wa mwanaume kwa mwanamke
Hueleweki unaruka huku unaruka kule. Sasa hata sielewi nijibu lipi.

Anyways Tufanye anawahudumia kila kitu jee wanatakiwa kumtii??
Ndio kwani wewe hujawahi kuwaona wanawake wa aina hiyo

Kosa siyo mwanamke kubaki nyumbani kulea, kosa ni kulazimisha kumtawala kwa kisingizio kwamba yeye anabaki nyumbani kulea tu, yani ni kana kwamba jukumu la kulea ni jukumu duni

Ni kwa sababu wanaume walitumia hiyo advantage ya kuwazidi nguvu wanawake kuwatawala na kuweka vigezo ambavyo vingewafavour wao kuwa watawala, na hakuna mahali nimesema kwamba kuzaa lazima iwe sifa ya kuwa mtawala hebu acha kuwa na kichwa kigumu asee, mimi nilisema siyo sawa kujipa utawala kwa kuzingatia vigezo vya kimaumbile ambavyo mwenzako hana na hakuchagua kutokuwa navyo, ndio nikasema kwamba ninyi kuona eti mnastahili kuwa watawala kwa sababu ya nguvu za mwili (ambalo ni kimaumbile) ni sawa na wanawake nao kusema wanastahili kuwa watawala kwa sababu ya kubeba mimba na kuzaa, sasa kama mnaona hicho kigezo hakimake sense basi hata hicho kigezo chenu pia hakimake sense vile vile

Sasa hicho kigezo chako automatically kinakataa, mwanaume anamtawala mwanamke kwa kigezo cha jukumu la kuhudumia familia tu, na si hayo majukumu mengine ya kutafutiza eti kupambana na majambazi sijui kupigana vita

Ndio lakini huo mgawanyo ulitokana na utofauti wa kimaumbile jambo ambalo ni natural na ndio maana nikasema ugumu au urahisi wa kazi unategemea na maumbile ya mtu, kama wanawake nao wangekuwa na maumbo yenye nguvu kama wanaume basi bila shaka nao wangefanya hizo kazi sawa sawa na wanaume na hata hizo kazi ambazo unadai ni light works kwa wanaume ni ngumu mfano kulea watoto, ndio maana nikasema siyo sawa kujipa utawala kwa kuzingatia mgawanyo wa majukumu unaotokana na maumbile ambayo mwenzako hana yani kufanya hivyo maana yake unayaona majukumu yako ndio ya muhimu kuliko ya mwenzako

Hapa hata wewe mwenyewe sijui kama umeelewa hiki ulichoandika

Vipi na baba akiwatelekeza au akifariki huduma za watoto atasimamia nani

Oohh kwahiyo wewe ndio unayeamua kiwango cha akili ya mtu kulingana na fikira ulizozijenga wewe juu ya kile anachokikubali

Acheni hizi propaganda mnaexaggerate sana haya mambo tangu lini kutafuta pesa kukawa sababu ya kushindwa kulea watoto, kwani hao wazazi wanapoenda kutafuta hizo pesa huwa wanapotelea huko huko maofisini hawarudi majumbani au, jukumu la kulea watoto wakiwa wadogo ni la mama ila jukumu la kushape tabia na maadili ya watoto ni la wote, lakini cha ajabu wanaume mmewasukumizia hili jukumu wanawake kwa visingizio vya kipumbavu halafu watoto wakiharibikiwa mnawatupia lawama wanawake ilihali miaka yote mnaishi nyumba moja na watoto wenu, ukiachilia mbali wale wapumbavu wengine ambao wanaamua kukimbia majukumu na kutelekeza kabisa watoto

Aise kwahiyo mashoga wote wamelelewa na feminists na kwamba watoto wa kiume wote waliolelewa na feminists wamekuwa mashoga siyo, vipi na ile mitoto milevi, mivibaka, mijambazi, mizinzi, nk ambayo imelelewa na wazazi wote wawili, au kwenu ushoga pekee ndio mbaya hayo maovu mengine yote yanayoharibu jamii hamyaoni

Si unaona sasa unaanza hivi hivi halafu baadaye ukiona umebanwa unakuja kubadili gia angani, kuna wanawake kila siku wanaachika na wanaolewa tena hasa waislam ambao wanadai dini yao inaruhusu talaka, basi hapa utakuja kusema kwamba wanaolewa ila wakigundulika waliachika basi wanaachika tena maana wanaume rijali hawawezi kuvumilia wanawake walioachika..hahahaaa!!

Ndio kama nyie mnavyotaka upumbavu wenu wa kulazimisha wanawake wawatii uheshimiwe

Hapana bali hao wanaume ni wale ambao hawakuwa na tabia za hovyo kama walizokuwa nazo wanaume wengi mfano ulevi na unyanyasaji, pamoja na kwamba zamani ilikuwa kawaida wanaume kuoa wake wengi ila kuna few exceptions ambao walioa mke mmoja, na kuna ambao walikuwa wanaishi vizuri tu na wake zao wala hawaleti ubabe wa kijinga eti kwa sababu tu ni wanaume so kwa wanaume kama hao ndio wanawake walikuwa na furaha

Wewe ndiye unahisi unajadiliana na underground yani kwa kifupi ulipoanza kubishana na mimi ulinichukulia poa, mimi siku zote ninapoanza kubishana na mtu huwa namchukulia kama anajua mengi kuhusu hiyo mada ndio maana kaamua kuingia kwenye hayo mabishano, kadiri anavyozidi kuwasilisha hoja zake ndio itanionesha kama anafaa kuendelea kuwekwa kwenye kundi la wanaojua au ndio kavamia fani..sasa hata wewe mwanzo ulivyoanza kwa mbwembwe nilidhani unajua unachokiongelea ila kadiri ninavyozidi kubishana na wewe ndivyo ninavyozidi kuona jinsi gani ulivyo mweupe kichwani kuhusu mada kama hizi

Kama ni sababu yenye mashiko siyo rahisi mwanamke kukataa, ukiona mwanamke kakataa ujue hiyo sababu haina mashiko, hivyo hutakiwi kumfanya chochote zaidi ya kumuacha aende au kutoa sababu yenye mashiko ili akuelewe

Kwanza hujui hata unachokisimamia kule juu umetoka kusisitiza kwamba wanawake hawatakiwi kutoka kuenda kutafuta pesa bali wanatakiwa wabaki nyumbani wahangaike na malezi ya watoto, hapa tena umeandika kana kwamba mwanaume akikwama kiuchumi basi mwanamke ndio anatakiwa amsaidie kusukuma gurudumu la kutunza familia hadi pale mwanaume atakapokaa sawa, sasa kama unataka mwanamke akae nyumbani alee tu watoto hizo pesa za kumsaidia mumewe akikwama atazitoa wapi na hapo sasa ndipo tunarudi kwenye ile hoja yangu kwamba kama mwanamke ni mama wa nyumbani huyo mume akikwama kiuchumi anafanyaje

Sasa ni wapi nimekimbia kwani hayo maandiko si yapo kama yalivyo na yanaeleweka au ulitaka niyazungumzieje, yani hata ukikimbilia kwenye maandiko bado hoja yangu inabaki pale pale kwamba utawala wa mwanaume kwa mwanamke unaambatana na majukumu ya mwanaume kuhudumia familia, kama ambavyo mwanamke kaambiwa amtii mwanaume ndivyo mwanaume alivyoambiwa ale kwa jasho na ahudumie familia ndio maana nikakuuliza kwanini wanawake hawakuambiwa wafanye hayo

Kama ukuaji wa talaka unaendana na ukuaji wa feminism basi tatizo halipo kwa wanawake, tatizo lipo kwa wanaume kukataa kukubaliana na reality na kuendelea kuishi kwenye illusions, somebody needs to give you men a reality check and it's got to be women ninyi kushindwa kukubali ukweli ni tatizo lenu siyo tatizo la wanawake

Hebu acha kuongelea haya mambo kama huyajui unazidi kujiaibisha tu hapa, kiungo kinachochochea hamu ya tendo kwa mwanamke na kumfanya aenjoy tendo ni ile clitoris, ndio maana kuna hao wasagaji ambao wanafika kileleni kwa kusuguana hivyo viungo tu na hata baadhi ya wanaume husema kuna wanawake wanafika kileleni kwa kuchezewa hicho kiungo tu hata kabla ya kuingiziwa uume, kwahiyo wewe unadhani nje ya hiyo sababu ni ipi sababu iliyofanya wanawake wawe wanakeketwa hebu nitajie faida hata moja anayopata mwanamke aliyekeketwa

Wapo wanaume wengi tu wa hivyo na wanajielewa wala hawalelewi jambo kama hujawahi kuliona au kulisikia haimaanishi kwamba halipo, au pengine unaweza ukawa unafahamu kwamba hilo jambo lipo ila hapa utajifanya kubisha ili tu utetee uongo wako, haya mfano ndio mkeo kapangiwa safari ya mkoani na boss wake na wewe hutaki aende unadhani hapo mkeo atamsikiliza nani

Acha kunipandikizia maneno mbona nilisema kabisa kwamba "ukiona mwanamke ana elimu na ajira na amekubali kuwa chini ya mwanaume, ujue huyo mwanaume anatimiza majukumu yake ipasavyo bila kuhitaji msaada wa mke labda mke tu mwenyewe aamue kusaidia" au hukuona nilipoandika hivyo, pamoja na hilo bado nasisitiza kwamba huo mfano wa mama samia ni batili fullstop

Mwanaume amefanywa na nani kuwa kiongozi kwa hiko kigezo cha nguvu na umadhubuti

Kama lingekuwa zuri basi wanawake wasingepingana nalo, uzuri au ubaya wa jambo anaujua yule anayelifanya, wewe hutakiwi kumsemea lipi ni zuri au baya kwake kwa sababu naye ana hisia zake na utashi wake

Wewe kuamua kukataa majibu yangu kwa sababu zako binafsi haimaanishi kwamba mimi sijajibu hoja zako, actually ni wewe ndiye ambaye hujajibu hoja zangu hadi sasa yani unarukaruka tu kama bisi kikaangoni, nimekuambia tuende taratibu tu mwisho wa siku mbivu na mbichi zitajulikana

Ndio kama mwanamke ana sababu ya msingi kwanini asimkataze mumewe kutoka, au wewe suala la kukatazana kuenda sehemu fulani unalichukuliaje, kama mwanaume akikataa basi ni either hajielewi au hiyo sababu siyo ya msingi kwahiyo mwanamke anatakiwa amuache aende tu

Informal education ni universal hakuna cha amerika wala tanzania, informal education ni ujuzi na maarifa kuhusiana na shughuli mbalimbali za kila siku, na rasilimali zilizopo kwenye mazingira yanayotuzunguka, hoja ni kwamba kwanini wanawake hawakupewa ujuzi na maarifa kama waliyokuwa wanapewa wanaume, mbona leo hii wanawake wanapewa ujuzi na maarifa sawa na wanaume na wanafanyia kazi vizuri tu

Si nimeshakuambia kinachowafanya wafurahie ni mshahara tu na si kingine, hakuna mtu anayeweza kumtii boss wake kama halipwi mshahara, na nasisitiza kwamba utii wa aina hiyo siyo nature

Hoja yangu ni kwamba kama maandiko yanavyosema kuwa mwanamke amtii mumewe ndivyo vivyo hivyo pia yanasema mwanaume ampende mkewe, na wewe umesema kwamba utii wa mwanamke kwa mwanaume ni nature na kwa mantiki hiyo basi maana yake hata upendo wa mwanaume kwa mwanamke ni nature, kwahiyo hata kama mwanamke ni mjeuri na hatimizi majukumu yake mumewe anatakiwa aendelee kumpenda tu sasa akimpa talaka si maana yake hampendi tena na kumbuka maandiko yanasema mungu anachukia kuachana

Mimi nimesema kwamba utakuwa huzijui species za mbwa hadi uconsult google hakuna sehemu nimesema kwamba google siyo source ya information, nikikutajia majina ya hao mbwa una uhakika utakubaliana na mimi kwamba hao mbwa ni wazuri au ndio utabisha kwamba wewe kwa mtazamo wako unawaona ni wabaya (maana kumbuka uzuri upo machoni mwa mtazamaji), na kwa kuzingatia hilo suala la subjectivity kwenye uzuri basi siyo mbwa tu bali kuna wanyama wengi ambao ni wazuri lakini ni hatari

Hili tayari nimeshafafanua

Kama kweli ungekuwa unaijua dini na unayajua maandiko kama unavyojinasibu, basi usingesema kwamba hayo ni maneno yangu, nimeanza kuwa na mashaka hata na hiyo elimu yako ya dini

Kasome Mwanzo 3 : 17-19

Kasome 1 Timotheo 5 : 8

Yani unasingizia umetoa elimu kubwa ambayo mimi nimeshindwa kudigest wakati umekwepa swali langu ambalo kila nilipokuuliza ulisema nisubiri unakuja na majibu, cha kushangaza unakuja na mambo ya waves za feminism kana kwamba mimi nilikuambia siyajui hayo huku ukiacha kujibu swali langu nililokuuliza halafu nikikuambia unakwepa hoja na kutafuta vichaka vya kujifichia unakataa, bado nasisitiza ulisema kwamba "kila mwanamke anazaliwa na fikira za kutaka kutawaliwa na mwanaume ila hakuna mwanaume anayezaliwa na fikira za kutaka kutawaliwa na mwanamke na kwamba hiyo ni nature" sasa swali langu ni je kama ni hivyo feminism ilianzishwa na nani na kwa faida ya nani hili hujajibu hadi sasa
 
Zina uhusiano fulani wa kimaandiko lakini zinatofautiana kwenye mapokeo na kulingana na mapokeo hayo ukiangalia sifa za mungu wa kila dini kati ya hizo utagundua kwamba wanatofautiana, yani Jehova wa wakristo, Yahweh wa wayahudi, Allah wa waislamu na Jah wa rastafarians ni miungu minne tofauti na kila dini inadai kwamba mungu wao ndio superior na ndio yuko mbinguni, sasa ndio nikakuambia unatakiwa uthibitishe pasi na shaka kwamba mungu wa dini yako ndio yuko mbinguni na si wa dini nyingine

Ndio maana nikakuambia suala la wanaume wa kuzalisha kutopatikana ni nadharia, kwa sababu wanaume hawajawahi na hawawezi kukataa kuzalisha siku zote mwanaume huona fahari kuongeza na kuacha uzao wake bila kujali hali yake ya kiuchumi ndio maana hata wanaume masikini wana watoto, ndio nikakutolea na mfano kwamba huko ulaya ambako population inakuwa kwa kasi ndogo kwanini viongozi wao wanawabembeleza wanawake tu ndio wazae kwanini wasiwabembeleze na wanaume wakati hiyo process inahusisha wote

Ndio maana nikakuambia hicho kigezo cha nguvu na umadhubuti kinakataa hapo

Acha kubadili gia wewe mwanzo ulinitajia majukumu ya kupigana vita na kuchimba visima ndio nikakuambia kwamba hayo majukumu hayana faida kwa familia yake tu bali pia kwa mwanaume mwenyewe na jamii nzima, kwa sababu kupigana vita ni kujilinda wewe mwenyewe na jamii yako na kuchimba visima ni kwa matumizi yako mwenyewe na jamii au familia yako, hayo mambo ya mavazi ndio umeyaibua sasa hivi na hata hivyo umekuwa too specific, kununua mavazi mara kwa mara inajulikana siyo kipaumbele kwa mwanaume haijalishi ana familia au hana kwanini usiongelee kiujumla tu kwamba zile pesa na mali anazotafuta, zina faida zaidi kwake mwenyewe kuliko kwa familia yake maana hata yeye mwenyewe mwanaume anazitumia au unataka kusema mwanaume akiwa hana familia ndio hatafuti pesa na mali

Wewe mbona unalazimisha kufananisha utii wa raia kwa rais na utii wa mwanamke kwa mwanaume wewe unaona hivyo vitu vinafanana kweli, nimekuambia kinachofanya watu wamtii rais ni kile cheo chake alichonacho (siyo jinsia) na huo utii unaletwa na uoga kwamba wasipotii vyombo vya dola vinaweza kuwashughulikia, lakini si kwamba hao watu wanakuwa wamependa kutii bali wamelazimika tu na bado nasisitiza kwamba utii wa aina hiyo siyo nature

Acha usanii wewe hakuna cha akili wala nini hivyo unavyoviita vichaka umevichoma baada ya kuona umeishiwa hoja, mbona mwanzo ulivikomalia kama kweli unaona hoja inatoka nje ya mada kwanini usiachane nayo tangu mwanzo, yani mwanzo unakomaa nayo unaishushia magazeti weee halafu ukiona umefika sehemu umekwama ndio unajua kwamba nimetoka nje ya mada unajifanya kuachana nayo

Sasa hizi porojo zako zinahusiana nini na hiyo hoja yangu hapo

Hahaha masikini yani hii ndio defensive mechanism pekee mnayoitumia pale mnapoona mmeshindwa hoja baada ya kuambiwa ukweli mchungu, itoshe tu kusema wewe bado hujaijua saikolojia ya wanawake unalazimisha mawazo yako ndio yawe uhalisia, na mbaya zaidi hata saikolojia ya jinsia yako nayo bado hujaijua vizuri you lack a lot of information hata mimi ambaye siyo mwanaume nafahamu mambo mengi kukuzidi

Ndio ifike mahali wanaume mjiulize kwanini wanawake hawataki tena kukaa kwenye hizo so called nafasi zao, yani wanaume wanakimbia majukumu halafu wanawake wakiamua kujiongeza mnaanza tena kulalamika kwamba hawakai kwenye nafasi zao, sasa kama jamii yenyewe imejaa wanaume wasiojielewa mnataka wanawake waendelee kukaa kwenye hizo nafasi zao kwa sababu zipi

Zipo ndio maana nikasema asilimia kubwa ni kesi za huduma za kiuchumi kwa watoto wao waliotelekezwa, halafu hao wanaoenda kuripoti hizo kesi hayo ni malalamiko dhidi ya hao wanaume husika ili wawajibishwe, haya ninyi wanaume ambao hampigwi wala hamfanyiwi ukatili mbona malalamiko yenu ndio yamejaa humu mitandaoni kuliko ya wanawake

Wewe unajuaje kwamba mimi naongelea wanaume wanaonizunguka, hivi kwa dunia ya leo hii ambayo taarifa nyingi unaweza kuzipata kiganjani mwako unahitaji hadi uzungukwe na watu wa aina fulani ndio ujue kwamba watu wa aina hiyo wapo kweli, kwahiyo kama mimi sijawahi kukutana na shoga basi maana yake sitakiwi kuamini kwamba mashoga wapo ilihali taarifa kuhusu mashoga zimejaa humu mitandaoni..what kind of reasoning is this!!

Duuh naona sasa umetoka kwenye hoja umeanza kulialia hizo ajira na fursa wanawake wamezitekaje kwamba wanafika tu kwenye hayo maofisi wanajipa hizo fursa na ajira na kwamba wanaume hamzipati au mko wachache humo maofisini kuliko wanawake au vipi, kwani wanawake si wanapitia michakato yote ya kupata hizo ajira na fursa au wao kazi zikitangazwa huwa wanaitwa tu moja kwa moja hawafanyiwi interview wala vetting, kwahiyo kama kuna wanawake wana vigezo kuliko wanaume unataka waachwe kwa sababu tu ni wanawake kwani hujui kwamba huu ni ulimwengu wa kibepari karibu kila kitu ni competition ninyi si mnadai kwamba mmewazidi wanawake akili na nguvu sasa mnashindwa nini kuziteka hizo ajira kwa kutumia hizo akili na nguvu zenu mlizonazo badala yake mnaishia kulialia..yani unajustify midume mizima kulelewa na mishangazi kwa visingizio vya kipuuzi halafu wanawake wasipowaheshimu mnadai eti wanashindana na ninyi..stupid!!

Kama kuna jinsia ambayo haipo fair kwa nyenzie basi ni wanaume tena wenyewe huwa mna msemo wenu eti "everything is fair in war and love", mbona husemi tabia ya wanaume kuingia kwenye mahusiano kwa lengo la kupata ngono tu (wenyewe wanaita kupiga na kusepa) halafu baada ya hapo wanakuja kuwatukana wanawake kuwa hawafai kuolewa maana wametumika sana kwahiyo wanawake wanachofanya ni kureciprocate tu kulingana na tabia zenu, maana hili suala la wanawake kutanguliza pesa na kukosa mapenzi wala halina miaka mingi limeshika hatamu karne hii tu na wanawake wameamua kufanya hivyo sababu wameona hata wanaume wengi nao hawana mapenzi ya kweli na wanawake ndio walioonekana kulose sababu eti wanaume jinsia yao inawafavor

Hebu fuatilia huu mjadala halafu uone ni nani anayekomalia hoja za nje ya mada, mimi ninachofanya ni kutoa mifano ambayo inaendana na mada, ila wewe ukiona hoja imekushinda unakimbilia kusema eti nimetoka nje ya nada

Sasa wewe mwanzo uliicondemn feminism kama feminism, hakuna mahali ulipospecify kwamba feminism ya aina hii ni nzuri na ya aina hii ni mbaya, au umesahau ulipotoa zile kauli kwamba feminism ni upumbavu mara sijui feminism ni takataka..kuwa makini unapojenga hoja zako maana hadi sasa umeshapindisha maneno mara nyingi

Nani kakudanganya kwamba hiyo character ni feminism hivi wewe mbona unapenda kutunga nadharia zako unapata faida gani kupotosha, kwa taarifa yako hiyo ni sexual orientation tu haihusiani na feminism na haipo kwa wanawake tu, hata wanaume wapo ambao hawapendi kufanya ngono sasa hao nao tuwaite feminists au

Watu wa aina hiyo wanaitwa asexuals huwa hawana kabisa hisia za kingono hao wanaosuguana wenyewe ni lesbians na hiyo haihusiani na feminism, kwa sababu wasagaji wengi tu huwa wana wanaume zao na wana sifa zote za uanamke ikiwemo kuwatii waume zao, hao wasagaji wengi wao wanadai hufanya hiyo michezo sababu ndio wanafika sana kileleni maana wanaume zao hawawaridhishi sasa hiyo ni mada nyingine

Na pia kwa wanawake kutokuwa tayari kusubmit kwa wanaume kwenye suala la sex kuna makala kadhaa niliwahi kusoma kwamba hilo linahusiana na kuwa na uwezo mkubwa wa akili, yani mwanamke wa hivyo anakuwa anatumia logic zaidi kuliko hisia kwenye kila jambo yani yeye kila kitu lazima areason hafanyi jambo kwa sababu tu kila mtu anafanya, sasa habari kama hizi zimezagaa mitandaoni unashindwa kufuatilia ili uwe na taarifa sahihi unaishia kutunga nadharia zako

Lipo wazi kwenye kichwa chako wewe na siyo uhalisia, nimekuambia usinilazimishe nijadili mawazo yako mufilisi, kama huwezi kujadili uhalisia basi katika vile vichaka ulivyojificha ambavyo unadai unachoma usisahau kuchoma na hiki

Mwanaume rijali ni nani kwa mtazamo wako

Hebu nioneshe ni wapi panaposema kwamba feminism ni wanawake kubandika makucha na kujipost mitandaoni, nikikuuliza wewe ulishawahi kuniona wapi kiasi cha kujua kwamba na mimi nina sifa kama hizo za kubandika makucha na kujipost mitandaoni, kwa sababu kama umeweza kuandika huu uongo wako kuhusu mimi ilihali hunifahamu sasa utakuwa umeandika uongo kuhusu mangapi kwenye hii mada

Hoja siyo kukubaliwa tu bali umekubaliwa na nani kama ushoga ungekuwa umekubaliwa kiasi hicho basi wanaume wengi mngeukubali kama ambavyo wanawake wengi wameikubali feminism, na kama kweli ushoga ungekuwa umekubaliwa kiasi hicho basi wanaume msingeupinga nilitegemea upingwe zaidi na wanawake kama ambavyo wanaopinga zaidi feminism ni wanaume, wewe unalazimisha kuzifananisha kwa kigezo kimoja tu kwamba eti zote ni agenda zinazofadhiliwa na wazungu na ndio maana nikakupa ule mfano kwamba ni sawa na kusema eti physics, chemistry, na biology ni kitu kimoja kwa sababu tu zote ni science sasa ndivyo namna wewe ulivyoijenga hiyo hoja yako

Wanawake walianza kudai usawa pale walipoanza kutoka kupata elimu na ajira na kuanza kuwa na uwezo wa kutafuta na kumiliki pesa na mali zao wenyewe, kwaiyo wewe unaona kwamba feminism haikuwa na lengo la kumfanya mwanamke awe sawa na mwanaume kwa sababu hawakudai elimu na ajira in the first place, na mimi hoja yangu ni kwamba mwanaume anatakiwa kuwa mtawala endapo mke wake ni mama wa nyumbani na yeye ndiye anayemhudumia kwa kila kitu kiuchumi

Hili nimeshakujibu kule juu wewe reasoning yako bado iko chini sana, hebu uwe unapitapita mitandaoni na kusoma upumbavu wa wanaume wenzio halafu ndio urudi hapa tuje tubishane kuhusu hili, maana hapa nahisi kama vile nabishana na mlugaluga wa kijijini asiyejua uhalisia ukoje kwenye jamii yani hata watu wakisoma hapa watajua nani anaongea uhalisia na nani anaongea kulingana na watu waliomzunguka au anaokutana nao tu

Kama umeweza kunizushia kuhusu hili tena kwa ujasiri kabisa kana kwamba unanifahamu je utakuwa umezusha mangapi hapa, okay mimi kuolewa au kutokuolewa kunahusiana nini na hii mada kwani marital status yangu ndio inaamua kwamba hoja ninazoandika humu ni za ukweli au uongo, halafu nikikuambia unatafuta vichaka vya kujifichia unabisha wewe mbona mimi hakuna mahali nimekuongelea wewe kuhusu maisha yako binafsi umeona jinsi unavyotafuta njia za kukwepa hoja

Aise yani kwa dunia ya leo yenye utandawazi unataka kusema kwamba mtu kuzungumzia mambo ya siasa au sanaa ni mpaka awe mwanasiasa au msanii, au mtu kuzungumzia mambo ya kazi au biashara ni mpaka awe mfanyakazi au mfanyabiashara, your level of stupidity is out of proportion

Pathetic!!

Hadi sasa nina uhakika hata wewe mwenyewe kichwani mwako umeshajua ni anayejua na ni nani aisyejua, ila hapa lazima ujitutumie kubisha mradi tu usionekane umeshindwa hoja, lakini ni wazi huna hoja yoyote ya maana mpaka sasa unazidi kujivua nguo tu kwa kudhihirisha upeo wako mdogo wa kufikiri na kupambanua hoja

Sasa huo uganga wa kienyeji waliufanyia wapi na waliwafanyia kina nani

Hawatakiwi kumtii kwa sababu siyo jukumu lake kuwahudumia hao watu bali ni hiyari yake au unaweza ukaniambia ni wapi palipoandikwa kwamba ni lazima mtoto awahudumie wazazi wake au ndugu na jamaa zake, halafu sijajua ni huduma gani hiyo unayozungumzia maana usije ukawa unazungumzia ile ya kuwapa pesa kidogo mara moja moja kama ambavyo unaweza kumsaidia mtu yeyote yule hata rafiki tu, huduma inayohusika hapa ni ile ya wao kuwa chini ya himaya yako na kukutegemea kwa kila kitu kuanzia kula, kulala, kuvaa na matumizi mengine na kama ni hivyo basi hawatawajibika kukutii bali pia hawawezi kukutawala kwa maana ya wewe kulazimika kutii amri wanazokupa tofauti na wewe ukiwa unawategemea kwahiyo bado hakuna uhusiano na utawala wa mwanaume kwa mwanamke

Ndio kwani wewe hujawahi kuwaona wanawake wa aina hiyo
Kwamba Mwanamke anaweza kuyafanya hayo kwa ufanisi kama Mwanaume??
Kosa siyo mwanamke kubaki nyumbani kulea, kosa ni kulazimisha kumtawala kwa kisingizio kwamba yeye anabaki nyumbani kulea tu, yani ni kana kwamba jukumu la kulea ni jukumu duni
Unakimbia kimbia. Narudia swali Umesema Wanawake ninyi mna Ufanisi katika Kulea Jee huo Ufanisi umetokana na nini??
Pili jamii ilipoamua Kwamba Mwanamke awe mlezi Nyumbani walikuwa wana makosa??
Ni kwa sababu wanaume walitumia hiyo advantage ya kuwazidi nguvu wanawake kuwatawala na kuweka vigezo ambavyo vingewafavour wao kuwa watawala,
Kuwazidi Nguvu ipi kwani si Mwanamke na Mwanaume wapo sawa!!?
na hakuna mahali nimesema kwamba kuzaa lazima iwe sifa ya kuwa mtawala hebu acha kuwa na kichwa kigumu asee, mimi nilisema siyo sawa kujipa utawala kwa kuzingatia vigezo vya kimaumbile ambavyo mwenzako hana
Vigezo gani vya kimaumbile ambavyo nyie hamna?? Kwani si Wanaume na Wanawake wote ni Sawa na Hizi Tofauti tunazoziona ni Wanaume waliidanganya Jamii kuwa wao ndio wanaweza pekee kufanya jambo ambalo sio kweli!!!!
na hakuchagua kutokuwa navyo, ndio nikasema kwamba ninyi kuona eti mnastahili kuwa watawala kwa sababu ya nguvu za mwili (ambalo ni kimaumbile) ni sawa na wanawake nao kusema wanastahili kuwa watawala kwa sababu ya kubeba mimba na kuzaa, sasa kama mnaona hicho kigezo hakimake sense basi hata hicho kigezo chenu pia hakimake sense vile vile
Sasa Si Wangesema hivyo ili wawe watawala walishindwa wapi Au Wanaume walifanikiwaje Kama kigezo cha Nguvu hakikuwa halali wao kuwa watawala??
Sasa hicho kigezo chako automatically kinakataa, mwanaume anamtawala mwanamke kwa kigezo cha jukumu la kuhudumia familia tu, na si hayo majukumu mengine ya kutafutiza eti kupambana na majambazi sijui kupigana vita
Kigezo cha Huduma Umekitoa wapi au ni nadharia zako.??

Pili unapokuwa kiongozi automatically unakuwa ni mlinzi wa unayemuongoza Sasa Tufanye Mwanamke anamuhudumia mwanaume kwa nadharia yako inabidi yeye ndio awe kiongozi Sasa kiongozi gani Hata akipita mende unakimbia Kujificha kwa mwanaume wewe unahisi hata huyo unayemuongoza ataona Haja ya kukutii kweli??
Ndio lakini huo mgawanyo ulitokana na utofauti wa kimaumbile jambo ambalo ni natural na ndio maana nikasema ugumu au urahisi wa kazi unategemea na maumbile ya mtu, kama wanawake nao wangekuwa na maumbo yenye nguvu kama wanaume basi bila shaka nao wangefanya hizo kazi sawa sawa na wanaume
Unatakiwa kwanza Ujue kuwa Nguvu na Umadhubuti wa Mwanaume ni jambo pana sana. Mwanaume sio Muoga kama mwanamke,, mwanaume Ni mstahimilivu katika matatizo ni kazi kuona chozi lake,, Mwanaume Anaudhubutu na Msimamo haya yote Yanamfanya Moja kwa moja kuwa kiongozi.

Wewe Mwanamke kwa namna yoyote huwezi kuwa kiongozi kwa sababu kwanza mwili wako ni Soft na Nyororo bali Ni rahisi kuumizwa kihisia na ni ngumu kuhimili Matatizo na kuyatolea Ufumbuzi sahihi zaidi. Bali wewe ni muoga hata katika vitu vidogo vidogo. Unakuwaje kiongozi namna hii. Alafu umuongoze mtu ambae amekuzidi katika Vyote hivyo??
na hata hizo kazi ambazo unadai ni light works kwa wanaume ni ngumu mfano kulea watoto, ndio maana nikasema siyo sawa kujipa utawala kwa kuzingatia mgawanyo wa majukumu unaotokana na maumbile ambayo mwenzako hana yani kufanya hivyo maana yake unayaona majukumu yako ndio ya muhimu kuliko ya mwenzako
Nasisitiza Suala la kulea kama unavyolishadadia Linawasha nyie muwe ni watu wa nyumbani. Huwezi kulea watoto ukiwa ofisini au Sokoni.
Hapa hata wewe mwenyewe sijui kama umeelewa hiki ulichoandika
Sawa. Nashukuru.
Vipi na baba akiwatelekeza au akifariki huduma za watoto atasimamia nani
Baba wakubwa na wadogo.
Oohh kwahiyo wewe ndio unayeamua kiwango cha akili ya mtu kulingana na fikira ulizozijenga wewe juu ya kile anachokikubali
Akili kubwa inajulikana na akili ndogo kama yako inajulikana. Sasa ufanye mambo ya kipuuzi alafu tuseme una akili kubwa??
Acheni hizi propaganda mnaexaggerate sana haya mambo tangu lini kutafuta pesa kukawa sababu ya kushindwa kulea watoto, kwani hao wazazi wanapoenda kutafuta hizo pesa huwa wanapotelea huko huko maofisini hawarudi majumbani au
Unamlea vipi mtoto wako Wakati unatoka saa kumi na moja na unarudi jioni?? Unahisi kulea ni kuulizia kuwa junior ameshakula?? Sijui ameshafanya Homework???

Siku hizi kuna daycare hadi mwaka na nusu au miwili yaani katoto umri huo anahitaji mapenzi ya Mama ake lakini mama yupo busy kulea kibarua chake. Watoto wanalelewa na wadada wa kazi na Televisheni.

Na ndio mana jambo lolote baya analofanyiwa mtoto mnakuja kugundua too late.
, jukumu la kulea watoto wakiwa wadogo ni la mama ila jukumu la kushape tabia na maadili ya watoto ni la wote, lakini cha ajabu wanaume mmewasukumizia hili jukumu wanawake kwa visingizio vya kipumbavu halafu watoto wakiharibikiwa mnawatupia lawama wanawake ilihali miaka yote mnaishi nyumba moja na watoto wenu, ukiachilia mbali wale wapumbavu wengine ambao wanaamua kukimbia majukumu na kutelekeza kabisa watoto
Watoto Wakiwa wadogo mnawalea vipi au Daycare ndio Inawawakilisha nyie. ??

Zamani watoto walianza chekechea na miaka Minne hadi mitano na wakirudi wanawakuta Mama zao wapo nyumbani Wanaangalia makuzi yao na Tabia zao.

Wewe ukirudi Unawaza Kikao cha kesho au unaandaa proposal sijui ujinga ujinga gani Huo muda wa Kuangalia mwanao Ana Tabia gani au Anaendeleaje unaupata wapi??
Aise kwahiyo mashoga wote wamelelewa na feminists na kwamba watoto wa kiume wote waliolelewa na feminists wamekuwa mashoga siyo, vipi na ile mitoto milevi, mivibaka, mijambazi, mizinzi, nk ambayo imelelewa na wazazi wote wawili, au kwenu ushoga pekee ndio mbaya hayo maovu mengine yote yanayoharibu jamii hamyaoni
Huo ndio Ukweli Muangalie Mtoto wa Kiume aliyelelewa na Single Mother feminist kisha angalia utofauti wake na Mtoto wa kike.
Si unaona sasa unaanza hivi hivi halafu baadaye ukiona umebanwa unakuja kubadili gia angani, kuna wanawake kila siku wanaachika na wanaolewa tena hasa waislam ambao wanadai dini yao inaruhusu talaka, basi hapa utakuja kusema kwamba wanaolewa ila wakigundulika waliachika basi wanaachika tena maana wanaume rijali hawawezi kuvumilia wanawake walioachika..hahahaaa!!
Hiyo ilikuwa Zamani Siku hizi Single Mother ni Hatari kwa afya ya Familia.
Ndio kama nyie mnavyotaka upumbavu wenu wa kulazimisha wanawake wawatii uheshimiwe
Jambo la Mwanaume kuwa mtawala lipo kimaandiko sasa sijui maaandiko yana upumbavu??

Tukisema unapinga Imani unalalamika.
Hapana bali hao wanaume ni wale ambao hawakuwa na tabia za hovyo kama walizokuwa nazo wanaume wengi mfano ulevi na unyanyasaji, pamoja na kwamba zamani ilikuwa kawaida wanaume kuoa wake wengi ila kuna few exceptions ambao walioa mke mmoja, na kuna ambao walikuwa wanaishi vizuri tu na wake zao wala hawaleti ubabe wa kijinga eti kwa sababu tu ni wanaume so kwa wanaume kama hao ndio wanawake walikuwa na furaha
Narudia swali Ulisema Mwanamke kumtii mumewe anakuwa hana Furaha. Sasa hao Wachache waliokuwa wanafuraha. Furaha ilitoka wapi. Au Kulikuwa na Haki sawa zama hizo.

Ndio Ujue Sisi wanaume ukiwa mtiifu basi utakuwa huru kufanya vitu vingi na kutuendesha katika mambo mengi sana kiasi ambacho jamii itaona mwanaume ni bwege Ila Tatizo linaanza pale utakapojifanya na wewe ni mwanaume hapo ndio utaona kila aina ya roho mbaya.
Wewe ndiye unahisi unajadiliana na underground yani kwa kifupi ulipoanza kubishana na mimi ulinichukulia poa, mimi siku zote ninapoanza kubishana na mtu huwa namchukulia kama anajua mengi kuhusu hiyo mada ndio maana kaamua kuingia kwenye hayo mabishano, kadiri anavyozidi kuwasilisha hoja zake ndio itanionesha kama anafaa kuendelea kuwekwa kwenye kundi la wanaojua au ndio kavamia fani..sasa hata wewe mwanzo ulivyoanza kwa mbwembwe nilidhani unajua unachokiongelea ila kadiri ninavyozidi kubishana na wewe ndivyo ninavyozidi kuona jinsi gani ulivyo mweupe kichwani kuhusu mada kama hizi
Badirisha mawazo yako Jenga hoja kana kwamba unajadiliana na Mtu mwenye akili Timamu.
Kama ni sababu yenye mashiko siyo rahisi mwanamke kukataa, ukiona mwanamke kakataa ujue hiyo sababu haina mashiko, hivyo hutakiwi kumfanya chochote zaidi ya kumuacha aende au kutoa sababu yenye mashiko ili akuelewe
Mke wangu Nimuache akiwa anaenda Bar au najua kabisa anaenda kuliwa nimuache Tuu aende?? Haya maisha mbona hata Ulaya hayapo!!! Sasa nini maana ya ndoa si bora kila mtu abaki kwake Ukijisikia hamu Unatafuta wa kukutimizia basi mambo mengine yaendelee. Ndoa ya kazi gani sasa??
Kwanza hujui hata unachokisimamia kule juu umetoka kusisitiza kwamba wanawake hawatakiwi kutoka kuenda kutafuta pesa bali wanatakiwa wabaki nyumbani wahangaike na malezi ya watoto,
Unanisingizia Mambo mimi sikutoa conclusion ila nilikupa challenge wewe uliesema ninyi mna ufanisi mkubwa katika Malezi sasa mkienda kutafuta pesa nani atasimamia Malezi au mtaweza kuyafanya yote kwa Ufanisi???
sikusema wala sikusisitiza kama unavyodai.
hapa tena umeandika kana kwamba mwanaume akikwama kiuchumi basi mwanamke ndio anatakiwa amsaidie kusukuma gurudumu la kutunza familia hadi pale mwanaume atakapokaa sawa, sasa kama unataka mwanamke akae nyumbani alee tu watoto hizo pesa za kumsaidia mumewe akikwama atazitoa wapi na hapo sasa ndipo tunarudi kwenye ile hoja yangu kwamba kama mwanamke ni mama wa nyumbani huyo mume akikwama kiuchumi anafanyaje
Jamii za zamani waume zao walipokwama kiuchumi Familia ziliishije ushawahi kujiuuliza? Tatizo lenu Huwa mnayafikilia maisha Katika namna ya Kupata na kufanikiwa tuu yaani maisha ya kwenye Movie ndio huwa yapo kichwani mwenu. Shenzi kabisa.
Sasa ni wapi nimekimbia kwani hayo maandiko si yapo kama yalivyo na yanaeleweka au ulitaka niyazungumzieje,

1 Timotheo 2:11
[11]Mwanamke na ajifunze katika utulivu, akitii kwa kila namna.

"Akitii kwa kila namna" Inaamnisha nini kwa upeo wako wa akili??
yani hata ukikimbilia kwenye maandiko bado hoja yangu inabaki pale pale kwamba utawala wa mwanaume kwa mwanamke unaambatana na majukumu ya mwanaume kuhudumia familia, kama ambavyo mwanamke kaambiwa amtii mwanaume ndivyo mwanaume alivyoambiwa ale kwa jasho na ahudumie familia ndio maana nikakuuliza kwanini wanawake hawakuambiwa wafanye hayo
Wanawake hawakuambiwa kwa sababu Sio majukumu yao kutokana na Maumbile yao Dhaifu.

Jee Unamaanisha Kupitia hayo Maandiko yako Mwanamke Akimuhudumia Mume Basi Mume amtii Mkewe. Jee kuna andiko linaloashiria hivyo?
Kama ukuaji wa talaka unaendana na ukuaji wa feminism basi tatizo halipo kwa wanawake, tatizo lipo kwa wanaume kukataa kukubaliana na reality na kuendelea kuishi kwenye illusions, somebody needs to give you men a reality check and it's got to be women ninyi kushindwa kukubali ukweli ni tatizo lenu siyo tatizo la wanawake
Wanawake wakutufahamisha sisi ni hawa wavaa nusu uchi Ma ofisini??. Ni hawa Wanywaji wa pombe au wale wa Riverside?? Unakusudia wanawake wepi??
Hebu acha kuongelea haya mambo kama huyajui unazidi kujiaibisha tu hapa, kiungo kinachochochea hamu ya tendo kwa mwanamke na kumfanya aenjoy tendo ni ile clitoris
Hapa unaongelea Mambo tofauti tofauti Hamu ya tendo na Ku enjoy tendo usichanganye vitu hivi.
, ndio maana kuna hao wasagaji ambao wanafika kileleni kwa kusuguana hivyo viungo tu na hata baadhi ya wanaume husema kuna wanawake wanafika kileleni kwa kuchezewa hicho kiungo tu hata kabla ya kuingiziwa uume, kwahiyo wewe unadhani nje ya hiyo sababu ni ipi sababu iliyofanya wanawake wawe wanakeketwa hebu nitajie faida hata moja anayopata mwanamke aliyekeketwa
Jenga vizuri hoja yako. Una changanya mambo.
Wapo wanaume wengi tu wa hivyo na wanajielewa wala hawalelewi jambo kama hujawahi kuliona au kulisikia haimaanishi kwamba halipo, au pengine unaweza ukawa unafahamu kwamba hilo jambo lipo ila hapa utajifanya kubisha ili tu utetee uongo wako, haya mfano ndio mkeo kapangiwa safari ya mkoani na boss wake na wewe hutaki aende unadhani hapo mkeo atamsikiliza nani
Kwamba unataka tuamini kuna wanaume wao wake zao wakienda kokote they don't care Hata hawaulizi wakichelewa kurudi??. Basi kuna wanaume wapumbavu sana. Labda huyo wako.
Acha kunipandikizia maneno mbona nilisema kabisa kwamba "ukiona mwanamke ana elimu na ajira na amekubali kuwa chini ya mwanaume, ujue huyo mwanaume anatimiza majukumu yake ipasavyo bila kuhitaji msaada wa mke labda mke tu mwenyewe aamue kusaidia" au hukuona nilipoandika hivyo, pamoja na hilo bado nasisitiza kwamba huo mfano wa mama samia ni batili fullstop
Kwani Mama Samia sio mwanamke au unamanisha nini???
Mwanaume amefanywa na nani kuwa kiongozi kwa hiko kigezo cha nguvu na umadhubuti
Kwa mujibu wa maandiko.
Kama lingekuwa zuri basi wanawake wasingepingana nalo, uzuri au ubaya wa jambo anaujua yule anayelifanya, wewe hutakiwi kumsemea lipi ni zuri au baya kwake kwa sababu naye ana hisia zake na utashi wake
Unamaanisha Mashoga nao waachwe waendelee wasiulizwe kwa sababu Ubaya au uzuri ni Subjective??
Wewe kuamua kukataa majibu yangu kwa sababu zako binafsi haimaanishi kwamba mimi sijajibu hoja zako, actually ni wewe ndiye ambaye hujajibu hoja zangu hadi sasa yani unarukaruka tu kama bisi kikaangoni, nimekuambia tuende taratibu tu mwisho wa siku mbivu na mbichi zitajulikana
Napenda.
Ndio kama mwanamke ana sababu ya msingi kwanini asimkataze mumewe kutoka, au wewe suala la kukatazana kuenda sehemu fulani unalichukuliaje, kama mwanaume akikataa basi ni either hajielewi au hiyo sababu siyo ya msingi kwahiyo mwanamke anatakiwa amuache aende tu
Mdada jitahidi uolewe Ili utupe Experience ya Familia yako ya namna hii.
Informal education ni universal hakuna cha amerika wala tanzania, informal education ni ujuzi na maarifa kuhusiana na shughuli mbalimbali za kila siku, na rasilimali zilizopo kwenye mazingira yanayotuzunguka, hoja ni kwamba kwanini wanawake hawakupewa ujuzi na maarifa kama waliyokuwa wanapewa wanaume, mbona leo hii wanawake wanapewa ujuzi na maarifa sawa na wanaume na wanafanyia kazi vizuri tu
Wanawake walipewa elimu kulingana na Maumbile yao na Majukumu yao ya wakati ule. Na wanaume kadhalika.
Sasa wakati ule mambo hayakuwa mengi So ukisema wapewe elimu kama wanaume nitakuuliza elimu ya kuwinda au Kupigana vita au Kuua Wanyamapori??
Si nimeshakuambia kinachowafanya wafurahie ni mshahara tu na si kingine, hakuna mtu anayeweza kumtii boss wake kama halipwi mshahara, na nasisitiza kwamba utii wa aina hiyo siyo nature
Narudia swali Wafanyakazi wanaolipwa mishahara huwa hawana furaha Kwa sababu wanamtii bosi wao??
Hoja yangu ni kwamba kama maandiko yanavyosema kuwa mwanamke amtii mumewe ndivyo vivyo hivyo pia yanasema mwanaume ampende mkewe, na wewe umesema kwamba utii wa mwanamke kwa mwanaume ni nature na kwa mantiki hiyo basi maana yake hata upendo wa mwanaume kwa mwanamke ni nature, kwahiyo hata kama mwanamke ni mjeuri na hatimizi majukumu yake mumewe anatakiwa aendelee kumpenda tu sasa akimpa talaka si maana yake hampendi tena na kumbuka maandiko yanasema mungu anachukia kuachana
Kigezo chako ni batili kwa sababu Hakiwezi kukubali ukikigeuza kwa mwanamke Akimuhudumia Mume wake.
Mimi nimesema kwamba utakuwa huzijui species za mbwa hadi uconsult google hakuna sehemu nimesema kwamba google siyo source ya information, nikikutajia majina ya hao mbwa una uhakika utakubaliana na mimi kwamba hao mbwa ni wazuri au ndio utabisha kwamba wewe kwa mtazamo wako unawaona ni wabaya (maana kumbuka uzuri upo machoni mwa mtazamaji), na kwa kuzingatia hilo suala la subjectivity kwenye uzuri basi siyo mbwa tu bali kuna wanyama wengi ambao ni wazuri lakini ni hatari
Ungeleta jina la hiyo specie ili kila mtu aone Udogo wa akili yako.
Hili tayari nimeshafafanua

Kama kweli ungekuwa unaijua dini na unayajua maandiko kama unavyojinasibu, basi usingesema kwamba hayo ni maneno yangu, nimeanza kuwa na mashaka hata na hiyo elimu yako ya dini
Sawa ngoja tuone.
Kasome Mwanzo 3 : 17-19

Kasome 1 Timotheo 5 : 8

Yani unasingizia umetoa elimu kubwa ambayo mimi nimeshindwa kudigest wakati umekwepa swali langu ambalo kila nilipokuuliza ulisema nisubiri unakuja na majibu, cha kushangaza unakuja na mambo ya waves za feminism kana kwamba mimi nilikuambia siyajui hayo huku ukiacha kujibu swali langu nililokuuliza halafu nikikuambia unakwepa hoja na kutafuta vichaka vya kujifichia unakataa, bado nasisitiza ulisema kwamba "kila mwanamke anazaliwa na fikira za kutaka kutawaliwa na mwanaume ila hakuna mwanaume anayezaliwa na fikira za kutaka kutawaliwa na mwanamke na kwamba hiyo ni nature" sasa swali langu ni je kama ni hivyo feminism ilianzishwa na nani na kwa faida ya nani hili hujajibu hadi sasa
 
Duuh kwahiyo mwanamke kukataa kutawaliwa maana yake ndio anataka kuwa masculine, kijana hebu acha kukaza fuvu nimekuambia utii wa mwanamke kwa mwanaume umejengwa katika msingi wa huduma za kiuchumi tu na si nje ya hapo sasa ambacho huelewi ni nini, kama wanawake wangekuwa wanafeel hiyo security kwanini waanze kuresist kutawaliwa kwani wenyewe wanawake hawana hisia na utashi wa kujua kipi kinawapa furaha na kipi kinawapa huzuni maishani mwao
Twende kwenye kiini! Umesema mwanamke utii kwa mwanaume umebase kwenye uchumi? Una uhakika kweli? What if kusingekuwa na hizo mali, au pesa? Ndo maana kuna muda nilikuuliza ulisha wahine kuwa kwenye relationship? Na uliwezaje kuapply hizi mentality zako?

Angalia hili swala kwa undani zaidi usifuate psychological traps, maisha ya kawaida tu, masculine lazima am lead feminine, lazima awe protector kwa feminine. Sasa itakuaje feminine naye akianza kuonesha viashiria kuwa hataki kuongozwa? Just picture this alafu unipe jibu. Itakuaje hapo?

Kingine mbona unanikwepa kunipa jibu cha kile unataka kiwe, umekaa unapinga kila hoja, sasa what's the meaning of all this? Ni kama unacheza cheza tu kujipa matumaini ambayo hayapo
 
Zina uhusiano fulani wa kimaandiko lakini zinatofautiana kwenye mapokeo na kulingana na mapokeo hayo ukiangalia sifa za mungu wa kila dini kati ya hizo utagundua kwamba wanatofautiana, yani Jehova wa wakristo, Yahweh wa wayahudi, Allah wa waislamu na Jah wa rastafarians ni miungu minne tofauti na kila dini inadai kwamba mungu wao ndio superior na ndio yuko mbinguni, sasa ndio nikakuambia unatakiwa uthibitishe pasi na shaka kwamba mungu wa dini yako ndio yuko mbinguni na si wa dini nyingine

Ndio maana nikakuambia suala la wanaume wa kuzalisha kutopatikana ni nadharia, kwa sababu wanaume hawajawahi na hawawezi kukataa kuzalisha siku zote mwanaume huona fahari kuongeza na kuacha uzao wake bila kujali hali yake ya kiuchumi ndio maana hata wanaume masikini wana watoto, ndio nikakutolea na mfano kwamba huko ulaya ambako population inakuwa kwa kasi ndogo kwanini viongozi wao wanawabembeleza wanawake tu ndio wazae kwanini wasiwabembeleze na wanaume wakati hiyo process inahusisha wote

Ndio maana nikakuambia hicho kigezo cha nguvu na umadhubuti kinakataa hapo

Acha kubadili gia wewe mwanzo ulinitajia majukumu ya kupigana vita na kuchimba visima ndio nikakuambia kwamba hayo majukumu hayana faida kwa familia yake tu bali pia kwa mwanaume mwenyewe na jamii nzima, kwa sababu kupigana vita ni kujilinda wewe mwenyewe na jamii yako na kuchimba visima ni kwa matumizi yako mwenyewe na jamii au familia yako, hayo mambo ya mavazi ndio umeyaibua sasa hivi na hata hivyo umekuwa too specific, kununua mavazi mara kwa mara inajulikana siyo kipaumbele kwa mwanaume haijalishi ana familia au hana kwanini usiongelee kiujumla tu kwamba zile pesa na mali anazotafuta, zina faida zaidi kwake mwenyewe kuliko kwa familia yake maana hata yeye mwenyewe mwanaume anazitumia au unataka kusema mwanaume akiwa hana familia ndio hatafuti pesa na mali

Wewe mbona unalazimisha kufananisha utii wa raia kwa rais na utii wa mwanamke kwa mwanaume wewe unaona hivyo vitu vinafanana kweli, nimekuambia kinachofanya watu wamtii rais ni kile cheo chake alichonacho (siyo jinsia) na huo utii unaletwa na uoga kwamba wasipotii vyombo vya dola vinaweza kuwashughulikia, lakini si kwamba hao watu wanakuwa wamependa kutii bali wamelazimika tu na bado nasisitiza kwamba utii wa aina hiyo siyo nature

Acha usanii wewe hakuna cha akili wala nini hivyo unavyoviita vichaka umevichoma baada ya kuona umeishiwa hoja, mbona mwanzo ulivikomalia kama kweli unaona hoja inatoka nje ya mada kwanini usiachane nayo tangu mwanzo, yani mwanzo unakomaa nayo unaishushia magazeti weee halafu ukiona umefika sehemu umekwama ndio unajua kwamba nimetoka nje ya mada unajifanya kuachana nayo

Sasa hizi porojo zako zinahusiana nini na hiyo hoja yangu hapo

Hahaha masikini yani hii ndio defensive mechanism pekee mnayoitumia pale mnapoona mmeshindwa hoja baada ya kuambiwa ukweli mchungu, itoshe tu kusema wewe bado hujaijua saikolojia ya wanawake unalazimisha mawazo yako ndio yawe uhalisia, na mbaya zaidi hata saikolojia ya jinsia yako nayo bado hujaijua vizuri you lack a lot of information hata mimi ambaye siyo mwanaume nafahamu mambo mengi kukuzidi

Ndio ifike mahali wanaume mjiulize kwanini wanawake hawataki tena kukaa kwenye hizo so called nafasi zao, yani wanaume wanakimbia majukumu halafu wanawake wakiamua kujiongeza mnaanza tena kulalamika kwamba hawakai kwenye nafasi zao, sasa kama jamii yenyewe imejaa wanaume wasiojielewa mnataka wanawake waendelee kukaa kwenye hizo nafasi zao kwa sababu zipi

Zipo ndio maana nikasema asilimia kubwa ni kesi za huduma za kiuchumi kwa watoto wao waliotelekezwa, halafu hao wanaoenda kuripoti hizo kesi hayo ni malalamiko dhidi ya hao wanaume husika ili wawajibishwe, haya ninyi wanaume ambao hampigwi wala hamfanyiwi ukatili mbona malalamiko yenu ndio yamejaa humu mitandaoni kuliko ya wanawake

Wewe unajuaje kwamba mimi naongelea wanaume wanaonizunguka, hivi kwa dunia ya leo hii ambayo taarifa nyingi unaweza kuzipata kiganjani mwako unahitaji hadi uzungukwe na watu wa aina fulani ndio ujue kwamba watu wa aina hiyo wapo kweli, kwahiyo kama mimi sijawahi kukutana na shoga basi maana yake sitakiwi kuamini kwamba mashoga wapo ilihali taarifa kuhusu mashoga zimejaa humu mitandaoni..what kind of reasoning is this!!

Duuh naona sasa umetoka kwenye hoja umeanza kulialia hizo ajira na fursa wanawake wamezitekaje kwamba wanafika tu kwenye hayo maofisi wanajipa hizo fursa na ajira na kwamba wanaume hamzipati au mko wachache humo maofisini kuliko wanawake au vipi, kwani wanawake si wanapitia michakato yote ya kupata hizo ajira na fursa au wao kazi zikitangazwa huwa wanaitwa tu moja kwa moja hawafanyiwi interview wala vetting, kwahiyo kama kuna wanawake wana vigezo kuliko wanaume unataka waachwe kwa sababu tu ni wanawake kwani hujui kwamba huu ni ulimwengu wa kibepari karibu kila kitu ni competition ninyi si mnadai kwamba mmewazidi wanawake akili na nguvu sasa mnashindwa nini kuziteka hizo ajira kwa kutumia hizo akili na nguvu zenu mlizonazo badala yake mnaishia kulialia..yani unajustify midume mizima kulelewa na mishangazi kwa visingizio vya kipuuzi halafu wanawake wasipowaheshimu mnadai eti wanashindana na ninyi..stupid!!

Kama kuna jinsia ambayo haipo fair kwa nyenzie basi ni wanaume tena wenyewe huwa mna msemo wenu eti "everything is fair in war and love", mbona husemi tabia ya wanaume kuingia kwenye mahusiano kwa lengo la kupata ngono tu (wenyewe wanaita kupiga na kusepa) halafu baada ya hapo wanakuja kuwatukana wanawake kuwa hawafai kuolewa maana wametumika sana kwahiyo wanawake wanachofanya ni kureciprocate tu kulingana na tabia zenu, maana hili suala la wanawake kutanguliza pesa na kukosa mapenzi wala halina miaka mingi limeshika hatamu karne hii tu na wanawake wameamua kufanya hivyo sababu wameona hata wanaume wengi nao hawana mapenzi ya kweli na wanawake ndio walioonekana kulose sababu eti wanaume jinsia yao inawafavor

Hebu fuatilia huu mjadala halafu uone ni nani anayekomalia hoja za nje ya mada, mimi ninachofanya ni kutoa mifano ambayo inaendana na mada, ila wewe ukiona hoja imekushinda unakimbilia kusema eti nimetoka nje ya nada

Sasa wewe mwanzo uliicondemn feminism kama feminism, hakuna mahali ulipospecify kwamba feminism ya aina hii ni nzuri na ya aina hii ni mbaya, au umesahau ulipotoa zile kauli kwamba feminism ni upumbavu mara sijui feminism ni takataka..kuwa makini unapojenga hoja zako maana hadi sasa umeshapindisha maneno mara nyingi

Nani kakudanganya kwamba hiyo character ni feminism hivi wewe mbona unapenda kutunga nadharia zako unapata faida gani kupotosha, kwa taarifa yako hiyo ni sexual orientation tu haihusiani na feminism na haipo kwa wanawake tu, hata wanaume wapo ambao hawapendi kufanya ngono sasa hao nao tuwaite feminists au

Watu wa aina hiyo wanaitwa asexuals huwa hawana kabisa hisia za kingono hao wanaosuguana wenyewe ni lesbians na hiyo haihusiani na feminism, kwa sababu wasagaji wengi tu huwa wana wanaume zao na wana sifa zote za uanamke ikiwemo kuwatii waume zao, hao wasagaji wengi wao wanadai hufanya hiyo michezo sababu ndio wanafika sana kileleni maana wanaume zao hawawaridhishi sasa hiyo ni mada nyingine

Na pia kwa wanawake kutokuwa tayari kusubmit kwa wanaume kwenye suala la sex kuna makala kadhaa niliwahi kusoma kwamba hilo linahusiana na kuwa na uwezo mkubwa wa akili, yani mwanamke wa hivyo anakuwa anatumia logic zaidi kuliko hisia kwenye kila jambo yani yeye kila kitu lazima areason hafanyi jambo kwa sababu tu kila mtu anafanya, sasa habari kama hizi zimezagaa mitandaoni unashindwa kufuatilia ili uwe na taarifa sahihi unaishia kutunga nadharia zako

Lipo wazi kwenye kichwa chako wewe na siyo uhalisia, nimekuambia usinilazimishe nijadili mawazo yako mufilisi, kama huwezi kujadili uhalisia basi katika vile vichaka ulivyojificha ambavyo unadai unachoma usisahau kuchoma na hiki

Mwanaume rijali ni nani kwa mtazamo wako

Hebu nioneshe ni wapi panaposema kwamba feminism ni wanawake kubandika makucha na kujipost mitandaoni, nikikuuliza wewe ulishawahi kuniona wapi kiasi cha kujua kwamba na mimi nina sifa kama hizo za kubandika makucha na kujipost mitandaoni, kwa sababu kama umeweza kuandika huu uongo wako kuhusu mimi ilihali hunifahamu sasa utakuwa umeandika uongo kuhusu mangapi kwenye hii mada

Hoja siyo kukubaliwa tu bali umekubaliwa na nani kama ushoga ungekuwa umekubaliwa kiasi hicho basi wanaume wengi mngeukubali kama ambavyo wanawake wengi wameikubali feminism, na kama kweli ushoga ungekuwa umekubaliwa kiasi hicho basi wanaume msingeupinga nilitegemea upingwe zaidi na wanawake kama ambavyo wanaopinga zaidi feminism ni wanaume, wewe unalazimisha kuzifananisha kwa kigezo kimoja tu kwamba eti zote ni agenda zinazofadhiliwa na wazungu na ndio maana nikakupa ule mfano kwamba ni sawa na kusema eti physics, chemistry, na biology ni kitu kimoja kwa sababu tu zote ni science sasa ndivyo namna wewe ulivyoijenga hiyo hoja yako

Wanawake walianza kudai usawa pale walipoanza kutoka kupata elimu na ajira na kuanza kuwa na uwezo wa kutafuta na kumiliki pesa na mali zao wenyewe, kwaiyo wewe unaona kwamba feminism haikuwa na lengo la kumfanya mwanamke awe sawa na mwanaume kwa sababu hawakudai elimu na ajira in the first place, na mimi hoja yangu ni kwamba mwanaume anatakiwa kuwa mtawala endapo mke wake ni mama wa nyumbani na yeye ndiye anayemhudumia kwa kila kitu kiuchumi

Hili nimeshakujibu kule juu wewe reasoning yako bado iko chini sana, hebu uwe unapitapita mitandaoni na kusoma upumbavu wa wanaume wenzio halafu ndio urudi hapa tuje tubishane kuhusu hili, maana hapa nahisi kama vile nabishana na mlugaluga wa kijijini asiyejua uhalisia ukoje kwenye jamii yani hata watu wakisoma hapa watajua nani anaongea uhalisia na nani anaongea kulingana na watu waliomzunguka au anaokutana nao tu

Kama umeweza kunizushia kuhusu hili tena kwa ujasiri kabisa kana kwamba unanifahamu je utakuwa umezusha mangapi hapa, okay mimi kuolewa au kutokuolewa kunahusiana nini na hii mada kwani marital status yangu ndio inaamua kwamba hoja ninazoandika humu ni za ukweli au uongo, halafu nikikuambia unatafuta vichaka vya kujifichia unabisha wewe mbona mimi hakuna mahali nimekuongelea wewe kuhusu maisha yako binafsi umeona jinsi unavyotafuta njia za kukwepa hoja

Aise yani kwa dunia ya leo yenye utandawazi unataka kusema kwamba mtu kuzungumzia mambo ya siasa au sanaa ni mpaka awe mwanasiasa au msanii, au mtu kuzungumzia mambo ya kazi au biashara ni mpaka awe mfanyakazi au mfanyabiashara, your level of stupidity is out of proportion

Pathetic!!

Hadi sasa nina uhakika hata wewe mwenyewe kichwani mwako umeshajua ni anayejua na ni nani aisyejua, ila hapa lazima ujitutumie kubisha mradi tu usionekane umeshindwa hoja, lakini ni wazi huna hoja yoyote ya maana mpaka sasa unazidi kujivua nguo tu kwa kudhihirisha upeo wako mdogo wa kufikiri na kupambanua hoja

Sasa huo uganga wa kienyeji waliufanyia wapi na waliwafanyia kina nani

Hawatakiwi kumtii kwa sababu siyo jukumu lake kuwahudumia hao watu bali ni hiyari yake au unaweza ukaniambia ni wapi palipoandikwa kwamba ni lazima mtoto awahudumie wazazi wake au ndugu na jamaa zake, halafu sijajua ni huduma gani hiyo unayozungumzia maana usije ukawa unazungumzia ile ya kuwapa pesa kidogo mara moja moja kama ambavyo unaweza kumsaidia mtu yeyote yule hata rafiki tu, huduma inayohusika hapa ni ile ya wao kuwa chini ya himaya yako na kukutegemea kwa kila kitu kuanzia kula, kulala, kuvaa na matumizi mengine na kama ni hivyo basi hawatawajibika kukutii bali pia hawawezi kukutawala kwa maana ya wewe kulazimika kutii amri wanazokupa tofauti na wewe ukiwa unawategemea kwahiyo bado hakuna uhusiano na utawala wa mwanaume kwa mwanamke

Ndio kwani wewe hujawahi kuwaona wanawake wa aina hiyo

Kosa siyo mwanamke kubaki nyumbani kulea, kosa ni kulazimisha kumtawala kwa kisingizio kwamba yeye anabaki nyumbani kulea tu, yani ni kana kwamba jukumu la kulea ni jukumu duni

Ni kwa sababu wanaume walitumia hiyo advantage ya kuwazidi nguvu wanawake kuwatawala na kuweka vigezo ambavyo vingewafavour wao kuwa watawala, na hakuna mahali nimesema kwamba kuzaa lazima iwe sifa ya kuwa mtawala hebu acha kuwa na kichwa kigumu asee, mimi nilisema siyo sawa kujipa utawala kwa kuzingatia vigezo vya kimaumbile ambavyo mwenzako hana na hakuchagua kutokuwa navyo, ndio nikasema kwamba ninyi kuona eti mnastahili kuwa watawala kwa sababu ya nguvu za mwili (ambalo ni kimaumbile) ni sawa na wanawake nao kusema wanastahili kuwa watawala kwa sababu ya kubeba mimba na kuzaa, sasa kama mnaona hicho kigezo hakimake sense basi hata hicho kigezo chenu pia hakimake sense vile vile

Sasa hicho kigezo chako automatically kinakataa, mwanaume anamtawala mwanamke kwa kigezo cha jukumu la kuhudumia familia tu, na si hayo majukumu mengine ya kutafutiza eti kupambana na majambazi sijui kupigana vita

Ndio lakini huo mgawanyo ulitokana na utofauti wa kimaumbile jambo ambalo ni natural na ndio maana nikasema ugumu au urahisi wa kazi unategemea na maumbile ya mtu, kama wanawake nao wangekuwa na maumbo yenye nguvu kama wanaume basi bila shaka nao wangefanya hizo kazi sawa sawa na wanaume na hata hizo kazi ambazo unadai ni light works kwa wanaume ni ngumu mfano kulea watoto, ndio maana nikasema siyo sawa kujipa utawala kwa kuzingatia mgawanyo wa majukumu unaotokana na maumbile ambayo mwenzako hana yani kufanya hivyo maana yake unayaona majukumu yako ndio ya muhimu kuliko ya mwenzako

Hapa hata wewe mwenyewe sijui kama umeelewa hiki ulichoandika

Vipi na baba akiwatelekeza au akifariki huduma za watoto atasimamia nani

Oohh kwahiyo wewe ndio unayeamua kiwango cha akili ya mtu kulingana na fikira ulizozijenga wewe juu ya kile anachokikubali

Acheni hizi propaganda mnaexaggerate sana haya mambo tangu lini kutafuta pesa kukawa sababu ya kushindwa kulea watoto, kwani hao wazazi wanapoenda kutafuta hizo pesa huwa wanapotelea huko huko maofisini hawarudi majumbani au, jukumu la kulea watoto wakiwa wadogo ni la mama ila jukumu la kushape tabia na maadili ya watoto ni la wote, lakini cha ajabu wanaume mmewasukumizia hili jukumu wanawake kwa visingizio vya kipumbavu halafu watoto wakiharibikiwa mnawatupia lawama wanawake ilihali miaka yote mnaishi nyumba moja na watoto wenu, ukiachilia mbali wale wapumbavu wengine ambao wanaamua kukimbia majukumu na kutelekeza kabisa watoto

Aise kwahiyo mashoga wote wamelelewa na feminists na kwamba watoto wa kiume wote waliolelewa na feminists wamekuwa mashoga siyo, vipi na ile mitoto milevi, mivibaka, mijambazi, mizinzi, nk ambayo imelelewa na wazazi wote wawili, au kwenu ushoga pekee ndio mbaya hayo maovu mengine yote yanayoharibu jamii hamyaoni

Si unaona sasa unaanza hivi hivi halafu baadaye ukiona umebanwa unakuja kubadili gia angani, kuna wanawake kila siku wanaachika na wanaolewa tena hasa waislam ambao wanadai dini yao inaruhusu talaka, basi hapa utakuja kusema kwamba wanaolewa ila wakigundulika waliachika basi wanaachika tena maana wanaume rijali hawawezi kuvumilia wanawake walioachika..hahahaaa!!

Ndio kama nyie mnavyotaka upumbavu wenu wa kulazimisha wanawake wawatii uheshimiwe

Hapana bali hao wanaume ni wale ambao hawakuwa na tabia za hovyo kama walizokuwa nazo wanaume wengi mfano ulevi na unyanyasaji, pamoja na kwamba zamani ilikuwa kawaida wanaume kuoa wake wengi ila kuna few exceptions ambao walioa mke mmoja, na kuna ambao walikuwa wanaishi vizuri tu na wake zao wala hawaleti ubabe wa kijinga eti kwa sababu tu ni wanaume so kwa wanaume kama hao ndio wanawake walikuwa na furaha

Wewe ndiye unahisi unajadiliana na underground yani kwa kifupi ulipoanza kubishana na mimi ulinichukulia poa, mimi siku zote ninapoanza kubishana na mtu huwa namchukulia kama anajua mengi kuhusu hiyo mada ndio maana kaamua kuingia kwenye hayo mabishano, kadiri anavyozidi kuwasilisha hoja zake ndio itanionesha kama anafaa kuendelea kuwekwa kwenye kundi la wanaojua au ndio kavamia fani..sasa hata wewe mwanzo ulivyoanza kwa mbwembwe nilidhani unajua unachokiongelea ila kadiri ninavyozidi kubishana na wewe ndivyo ninavyozidi kuona jinsi gani ulivyo mweupe kichwani kuhusu mada kama hizi

Kama ni sababu yenye mashiko siyo rahisi mwanamke kukataa, ukiona mwanamke kakataa ujue hiyo sababu haina mashiko, hivyo hutakiwi kumfanya chochote zaidi ya kumuacha aende au kutoa sababu yenye mashiko ili akuelewe

Kwanza hujui hata unachokisimamia kule juu umetoka kusisitiza kwamba wanawake hawatakiwi kutoka kuenda kutafuta pesa bali wanatakiwa wabaki nyumbani wahangaike na malezi ya watoto, hapa tena umeandika kana kwamba mwanaume akikwama kiuchumi basi mwanamke ndio anatakiwa amsaidie kusukuma gurudumu la kutunza familia hadi pale mwanaume atakapokaa sawa, sasa kama unataka mwanamke akae nyumbani alee tu watoto hizo pesa za kumsaidia mumewe akikwama atazitoa wapi na hapo sasa ndipo tunarudi kwenye ile hoja yangu kwamba kama mwanamke ni mama wa nyumbani huyo mume akikwama kiuchumi anafanyaje

Sasa ni wapi nimekimbia kwani hayo maandiko si yapo kama yalivyo na yanaeleweka au ulitaka niyazungumzieje, yani hata ukikimbilia kwenye maandiko bado hoja yangu inabaki pale pale kwamba utawala wa mwanaume kwa mwanamke unaambatana na majukumu ya mwanaume kuhudumia familia, kama ambavyo mwanamke kaambiwa amtii mwanaume ndivyo mwanaume alivyoambiwa ale kwa jasho na ahudumie familia ndio maana nikakuuliza kwanini wanawake hawakuambiwa wafanye hayo

Kama ukuaji wa talaka unaendana na ukuaji wa feminism basi tatizo halipo kwa wanawake, tatizo lipo kwa wanaume kukataa kukubaliana na reality na kuendelea kuishi kwenye illusions, somebody needs to give you men a reality check and it's got to be women ninyi kushindwa kukubali ukweli ni tatizo lenu siyo tatizo la wanawake

Hebu acha kuongelea haya mambo kama huyajui unazidi kujiaibisha tu hapa, kiungo kinachochochea hamu ya tendo kwa mwanamke na kumfanya aenjoy tendo ni ile clitoris, ndio maana kuna hao wasagaji ambao wanafika kileleni kwa kusuguana hivyo viungo tu na hata baadhi ya wanaume husema kuna wanawake wanafika kileleni kwa kuchezewa hicho kiungo tu hata kabla ya kuingiziwa uume, kwahiyo wewe unadhani nje ya hiyo sababu ni ipi sababu iliyofanya wanawake wawe wanakeketwa hebu nitajie faida hata moja anayopata mwanamke aliyekeketwa

Wapo wanaume wengi tu wa hivyo na wanajielewa wala hawalelewi jambo kama hujawahi kuliona au kulisikia haimaanishi kwamba halipo, au pengine unaweza ukawa unafahamu kwamba hilo jambo lipo ila hapa utajifanya kubisha ili tu utetee uongo wako, haya mfano ndio mkeo kapangiwa safari ya mkoani na boss wake na wewe hutaki aende unadhani hapo mkeo atamsikiliza nani

Acha kunipandikizia maneno mbona nilisema kabisa kwamba "ukiona mwanamke ana elimu na ajira na amekubali kuwa chini ya mwanaume, ujue huyo mwanaume anatimiza majukumu yake ipasavyo bila kuhitaji msaada wa mke labda mke tu mwenyewe aamue kusaidia" au hukuona nilipoandika hivyo, pamoja na hilo bado nasisitiza kwamba huo mfano wa mama samia ni batili fullstop

Mwanaume amefanywa na nani kuwa kiongozi kwa hiko kigezo cha nguvu na umadhubuti

Kama lingekuwa zuri basi wanawake wasingepingana nalo, uzuri au ubaya wa jambo anaujua yule anayelifanya, wewe hutakiwi kumsemea lipi ni zuri au baya kwake kwa sababu naye ana hisia zake na utashi wake

Wewe kuamua kukataa majibu yangu kwa sababu zako binafsi haimaanishi kwamba mimi sijajibu hoja zako, actually ni wewe ndiye ambaye hujajibu hoja zangu hadi sasa yani unarukaruka tu kama bisi kikaangoni, nimekuambia tuende taratibu tu mwisho wa siku mbivu na mbichi zitajulikana

Ndio kama mwanamke ana sababu ya msingi kwanini asimkataze mumewe kutoka, au wewe suala la kukatazana kuenda sehemu fulani unalichukuliaje, kama mwanaume akikataa basi ni either hajielewi au hiyo sababu siyo ya msingi kwahiyo mwanamke anatakiwa amuache aende tu

Informal education ni universal hakuna cha amerika wala tanzania, informal education ni ujuzi na maarifa kuhusiana na shughuli mbalimbali za kila siku, na rasilimali zilizopo kwenye mazingira yanayotuzunguka, hoja ni kwamba kwanini wanawake hawakupewa ujuzi na maarifa kama waliyokuwa wanapewa wanaume, mbona leo hii wanawake wanapewa ujuzi na maarifa sawa na wanaume na wanafanyia kazi vizuri tu

Si nimeshakuambia kinachowafanya wafurahie ni mshahara tu na si kingine, hakuna mtu anayeweza kumtii boss wake kama halipwi mshahara, na nasisitiza kwamba utii wa aina hiyo siyo nature

Hoja yangu ni kwamba kama maandiko yanavyosema kuwa mwanamke amtii mumewe ndivyo vivyo hivyo pia yanasema mwanaume ampende mkewe, na wewe umesema kwamba utii wa mwanamke kwa mwanaume ni nature na kwa mantiki hiyo basi maana yake hata upendo wa mwanaume kwa mwanamke ni nature, kwahiyo hata kama mwanamke ni mjeuri na hatimizi majukumu yake mumewe anatakiwa aendelee kumpenda tu sasa akimpa talaka si maana yake hampendi tena na kumbuka maandiko yanasema mungu anachukia kuachana

Mimi nimesema kwamba utakuwa huzijui species za mbwa hadi uconsult google hakuna sehemu nimesema kwamba google siyo source ya information, nikikutajia majina ya hao mbwa una uhakika utakubaliana na mimi kwamba hao mbwa ni wazuri au ndio utabisha kwamba wewe kwa mtazamo wako unawaona ni wabaya (maana kumbuka uzuri upo machoni mwa mtazamaji), na kwa kuzingatia hilo suala la subjectivity kwenye uzuri basi siyo mbwa tu bali kuna wanyama wengi ambao ni wazuri lakini ni hatari

Hili tayari nimeshafafanua

Kama kweli ungekuwa unaijua dini na unayajua maandiko kama unavyojinasibu, basi usingesema kwamba hayo ni maneno yangu, nimeanza kuwa na mashaka hata na hiyo elimu yako ya dini

Kasome Mwanzo 3 : 17-19
Mwanzo 3:17-19
[17]Akamwambia Adamu, Kwa kuwa umeisikiliza sauti ya mke wako, ukala matunda ya mti ambao nalikuagiza, nikisema, Usiyale; ardhi imelaaniwa kwa ajili yako; kwa uchungu utakula mazao yake siku zote za maisha yako;

[18]michongoma na miiba itakuzalia, nawe utakula mboga za kondeni;

[19]kwa jasho la uso wako utakula chakula, hata utakapoirudia ardhi, ambayo katika hiyo ulitwaliwa; kwa maana u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi.

Tunaomba Utuambie sehemu inayoashiria kuwa Kigezo cha Utawala ni Huduma???

Ukiambiwa Kwa jasho lako utakula Ndio ina maana unatakiwa utoe huduma ndio uwe kiongozi?? Mbona unaleta maandiko ambayo hayahusiani kabisa.
Kasome 1 Timotheo 5 : 8
1 Timotheo 5:8
[8]Lakini mtu ye yote asiyewatunza walio wake, yaani, wale wa nyumbani mwake hasa, ameikana Imani, tena ni mbaya kuliko mtu asiyeamini.

JEE HILI ANDIKO NDIO LINAONYESHA UTII NI KWA SABABU YA HUDUMA???
NIKAJUA ANDIKO LITASEMA ASIYEMHUDUMIA MKEWE NA ASIMTAWALE. HUNA HOJA TAFUTA MSAADA.

TULETEE ANDIKO KUWA MWANAMKE ANARUHUSIWA KUMTAWALA MWANAUME KAMA AKIWA ANAMHUDUMIA HUYO MWANAUME.
Yani unasingizia umetoa elimu kubwa ambayo mimi nimeshindwa kudigest wakati umekwepa swali langu ambalo kila nilipokuuliza ulisema nisubiri unakuja na majibu, cha kushangaza unakuja na mambo ya waves za feminism kana kwamba mimi nilikuambia siyajui hayo huku ukiacha kujibu swali langu nililokuuliza halafu nikikuambia unakwepa hoja na kutafuta vichaka vya kujifichia unakataa, bado nasisitiza ulisema kwamba "kila mwanamke anazaliwa na fikira za kutaka kutawaliwa na mwanaume ila hakuna mwanaume anayezaliwa na fikira za kutaka kutawaliwa na mwanamke na kwamba hiyo ni nature" sasa swali langu ni je kama ni hivyo feminism ilianzishwa na nani na kwa faida ya nani hili hujajibu hadi sasa
UKIPEWA ELIMU POKEA KWA SHUKURANI SIO KUJIFANYA UNAYAJUA MAMBO WAKATI HUNA UNACHOKIJUA.

NAKAZIA FEMINISM ILIANZISHWA MWAKA 1848 NA WANAWAKE WA KIZUNGU WENYE HADHI YA JUU AMBAO LICHA YA KUTOKA KWENYE FAMILIA ZENYE KUHESHIMIKA LAKINI WALIZUIWA KUPIGA KURA KWA SABABU NI WANAWAKE.

KISHA BAADA YA MIAKA MINGI KUKATOKEA WALE WALIOKUJA KUSEMA KUWA WANAWAKE NA WANAUME NI SAWA NA MWANAMKE ANAWEZA KUYAFANYA YOTE ANAYOYAFANYA MWANAUME HIVYO HAKUNA ANAYETAKIWA KUMTAWALA MWENGINE.

HUU NDIO UPUUZI TUNAOUJADILI HAPA.
 
Mwanzo ulisema Miungu ya dini zote ipo mbinguni naona Sasa ume narrow the list.
Hao uliowataja wakristo waislamu na wayahudi wapo sahihi kwa upande wao na Mimi nipo sahihi kwa upande wangu. Sasa Jenga hoja from here.
Nilisema "dini karibu zote" hebu elewa kiswahili, halafu hizo nilizokutajia ndio dini kubwa zaidi duniani na zenye ushawishi mkubwa, sasa kama kila dini iko sahihi kwa upande wake maana yake kuna miungu zaidi ya mmoja na kila mungu ana sheria zake, na suala hapa siyo kila dini kuwa sahihi kwa upande wake bali suala ni kwamba ukweli na uhalisia ni upi na una uhalali gani wa kutumia maandiko ya dini moja na kuacha ya dini nyingine kwenye general discussions kama hizi
Hata Wanawake wa kuzaa kukosekana ni Nadharia Wapo Wanawake Wengi tuu wanataka kuzaa Bali Wengine hadi huenda kwa Waganga ili wapate watoto.
Ndio maana nikakuambia mwanaume hawezi kuamua muda anaotaka wa kupata watoto na idadi anayotaka hiyo nguvu ya maamuzi anayo mwanamke, mwanaume ni lazima amuombe mwanamke kuzaa watoto kwa wakati fulani au idadi fulani hawezi kumlazimisha, wewe unasema wanawake wa kuzaa kukosekana ni nadharia wakati wanawake wameshaanza kugoma kuzaa huko
Kinakataa Wapi?? Kwa hoja Gani??

Nimetoa Mavazi kama Mfano ila Wanaume Wana sacrifice mno Mali zao kwa ajili ya Familia zao kuanzia Ada za watoto huduma za Matibabu za Familia na mengineyo.
Ambayo kwa ujumla ni Majukumu yake na Ni wajibu ayatekeleze.

Ukiwa Muadilifu upime kati ya ile pesa inayoenda kwa familia na ile inayobaki kwake mwenyewe utagundua kiasi gani wanaume ni Mashujaa wa familia.
Asilimia kubwa inaenda kwa watoto na siyo kwa mke na kwa hilo basi unastahili zaidi utii kutoka kwa hao watoto wako hivyo vitu vingine kama kula na kulala vina faida hata kwako, kwa sababu hivyo vyakula hawali familia yako tu hata wewe unakula tena wewe unanunua mkeo kazi yake kuvipika, hiyo nyumba hawaishi familia yako tu hata wewe unaishi tena wewe unajenga au unalipa pango mkeo kazi yake kuisafisha
Hiyo Dola ndio Nguvu tunayoizungumzia hapa.
Nasisitiza utii wa aina hiyo siyo nature, acha kutolea mifano ambayo ni irrelevant, mwisho wa siku unajifunga wewe mwenyewe
Usanii Upi wakati Mimi najenga hoja wewe unasubili Usome jibu upate pa Kukomalia huku unasahau kuwa kuna Jambo tulikuwa tunalijadili huko nyuma. Poor.
Wewe kuona hivyo ni matokeo ya kutaka mimi nikubali tu kila kitu unachoniambia hata kama hakina uhalisia
Akili yako ndio imeona ni porojo.

Wewe unawajua Wanaume kushinda mimi!!!!. Inawezekana ikawa ni kweli kwa sababu Sijui kazi unayoifanya.
Aiseee yani kuwajua watu wa aina fulani, ni mpaka uwe unafanya kazi fulani ambayo inahusisha hao watu, una umasikini wa fikira
Kwaiyo Unataka kutuambia Feminism ilianzishwa Mwaka 1848 Kwa sababu Wanaume walikuwa Hawajielewi!!? (Hawajui majukumu yao)???
Ni kwa sababu wanaume wengi walikuwa wanawanyanyasa wanawake kwa kigezo cha kuwahudumia, yani mtu anataka akifanya makosa asiulizwe kwa sababu tu anakulisha anakuvisha nk kwa madai kwamba unataka kumpanda kichwani, kwahiyo wanawake walichoka hayo manyanyaso yaliyojificha kwenye kivuli cha kuhudumia na mfumo dume
Embu unaweza kutusaidia mfano wa malalamiko hayo wanayoyatoa Wanaume. Maana isije ikawa Wapo sahihi kuyasema hayo ili jamii ibadilike.
Hoja siyo kuwa au kutokuwa sahihi, hoja ni kwamba wanaumizwa na hayo maovu ya wanawake ndio maana wanalalamika, wewe ulisema kwamba wanaume hawaumii wanaoumia ni wanawake tu
Unatumia mitandao kuisoma Jamii!! kazi ipo. Unajuaje Uhalisia wa kile kinachoelezewa na Hao watu??
Internet isn't a real place anymore.
Acha kukariri internet isn't a real place kwenye masuala ya economic status lakini tukija kwenye hisia na tabia hakuna mahali ambako watu wanaelezea hisia zao au wanaonesha tabia zao halisi kama kwenye mitandao, ndio maana nikakuambia wewe huijui vizuri saikolojia ya binadamu watu wengi humu kwenye mitandao ndio wako huru kujionesha wao ni kina nani hasa na mawazo yao halisi, ambayo pengine hawawezi kuonesha mbele za watu waliowazunguka sababu humu mitandaoni hatufahamiani personally
Competition ipi?? Unapigana na Mtu huku umemfunga Mikono?? Kwani Women impowerment kwenye ajira inamaanisha nini?? Kwani Hujui kuwa Mnapewa Kipaumbele kwenye kila kitu hivi sasa. Hujui kuwa kuna Hadi wizara inayoshughulikia maendeleo ya Wanawake. Ila hakuna Wizara kama hiyo kwa wanaume?? Unajitoa Ufahamu??
Oohh kumbe unajua kwamba kuna kupigana na mtu huku umemfunga mikono basi hicho ndicho walichokuwa wanafanya wanaume zamani kabla ya feminism kuanzishwa, yani kwa kifupi kinachofanyika sasa hivi kwa wanawake ndicho kilichofanyika zamani kwa wanaume hadi kujipa utawala sasa kama unaona inawezekana kwa wanawake kwanini uone haiwezekani kwa wanaume, nilipokuwa nakuambia kwamba wanaume walijipa utawala kimabavu kwa kutumia maumbile ulijifanya unapindishapindisha maneno kwamba kwani walipigana vita hadi wanaume wakashinda sasa nami nakuuliza kwani wanawake wamepigana vita na ninyi hadi muone kama wao ndio wameshinda
Kama isingekuwa Men discrimination inayofanywa na Serikali. Hakuna Pambano la Mwanaume na mwanamke alafu Mwanamke ashinde.
Ni wapi huko ambako wanaume wanabaguliwa na fursa zote wanachukua wanawake tu, acheni kujivictimize ninyi si wanaume mmewazidi wanawake akili na nguvu onesheni sasa huo uwezo wenu, kwani ni lini wanawake walipigana na ninyi hadi udhani kwamba wameshinda
Biashara ya kuuza miili yao wanawake ni biashara kongwe Duniani. Lakini suala la Wanaume kuchapa na kusepa ni la juzi baada ya ninyi kuanza kujiuza hadi kwenye mahusiano yenu ,,,kufanya miili yenu ni mitaji.
Tofautisha kati ya mwanamke anayejiuza (kahaba) na mwanamke anayeingia kwenye mahusiano kwa ajili ya pesa kahaba yeye haingii kwenye mahusiano bali anafanya ngono na mwanaume yeyote, kwa makubaliano ya kulipia lile tendo kisha baada ya hapo kila mtu anashika hamsini zake ila hao wengine wanaingia kwenye mahusiano kama kawaida ila lengo lao ni kuhudumiwa tu na si mapenzi ya kweli, sasa hao ndio ninaowasemea kwamba wameanza karne hii baada ya kuona kwamba wanaume nao hawana mapenzi ya kweli bali wanaingia kwenye mahusiano kwa sababu ya ngono tu na hawajali kwa sababu kwa mujibu wao wanadai anayeumia ni mwanamke
Unatudanganya wazi wazi. Wewe sio Muadilifu.

Kuna Mtu humu mwanzoni kabisa wa uzi huu alishakufundisha kuwa hii feminism yetu ya karne ya 21 ni upuuzi akimaanisha ile feminism ya mwaka 1848 ilikuwa na Hoja Inayoeleweka. Ila wewe tatizo huwa unabisha tuu hujifunzi. Na mimi pia nikakufundisha tena kuwa third wave ni upuuzi mkubwa. Bado huelewi.
Hakuna cha kujifunza kutoka kwenu wanaume ambao huwa mnalitetea jambo kwa maslahi yenu binafsi na si kwa maslahi ya pande zote mbili, feminism ni upuuzi kwenu ninyi wanaume sababu inathreaten nafasi yenu ya mchongo mliyojipa kimabavu ila kwa wanawake feminism ina faida, kinachotokea sasa ni kwamba mmeamua kuwakomoa wanawake sababu wamekataa kuendelea kuwa chini yenu halafu mnasingizia kwamba ni wao ndio wanateseka
Sexual orientation wapi Jadda acha kutudanganya. Kuna Wanaume Wamekamilika kimaumbile Alafu hawapendi Kufanya tendo?? Wapo kweli??
Huwa unapenda kweli kubisha kienyeji kwenye mambo ambayo huna uelewa nayo, kwahiyo unahisi mimi najitungia nadharia zangu kama wewe, hebu do your research kuhusu asexuals halafu urudi hapa tuendelee kujadili
Sijazungumzia suala la kufika kileleni bali hawataki Wamtanulie Mwanaume kwa sababu Mwanaume ni Adui yao na Hawampendi.
Duuh kwahiyo mwanamke kugoma kufanya tendo na mwanaume maana yake anawachukia aisee wewe kweli huwajui wanawake, hujui kwamba kuna wanawake wanachukia wanaume lakini wanafanya nao kama kawaida na wanaingia nao hadi kwenye mahusiano kwa lengo la kuwaumiza kihisia, halafu unataka kuwasingizia watoto wa watu ambao kwa sababu zao binafsi wameamua kutofanya hilo tendo kwahiyo unataka kusema na masister nao wanachukia wanaume au
Sasa mimi ndo Nimelileta jambo alafu unaniambia Sijui. poor.

Kwaiyo unataka kutuambia na wewe unatumia Logic ndio Mana Hutoi?? Yaani suala la kimwili na la kibinadamu unasema kuwa ukitumia logic unaona Halifai. Fikra nyengine ni Mzigo.
Ni wapi nilipojiongelea mimi hapo hebu nioneshe, nimekuambia jadili mada acha kunijadili mimi sawa, kama spana zimekuzidia sema acha kudivert mada
Haya choma Vyote bakisha Unavyovitaka alafu tubakie hapo.
Wewe ndio kazi yako hiyo uliyojipa sababu unakimbia hoja, mimi sikimbii hoja hata ukijificha kwenye kichaka nakufuata huko huko, hata ukitoka nje ya mada nakujibu huko huko silalamiki kama wewe
Mwanaume Rijali ni Mwenye sifa za uanaume. Ni mkakamavu katika mwili , ni jasiri na ana uthubutu,, haadhiriwi kirahisi na Hisia anatoa maamuzi sahihi katika mambo magumu. Anasimamisha na anaweza kumpa Mwanamke Mimba anatekeleza majukumu yake kama Kiongozi wa familia. Ni mlinzi wa Familia yake na Ukoo wake na Jamii kwa ujumla.
Vipi na mwanaume asiyetekeleza majukumu yake anaitwaje na anastahili kufanywa nini
Uongo upi Wakati tunawaona mnavyovaa maofisini na Life style yenu kwa ujumla au Tunadanganya??
Oohh kwahiyo feminism ni namna ya uvaaji
Wanawake hamuwezi kupinga Ushoga kwa sababu Mashoga nyie huwa ni marafiki zenu tena utakuta Mna wa treat kama wanawake wenzenu kabisa yaani upuuzi kabisa.

Wanaume kuupinga Ushoga kwa nguvu ndio uone Akili yao ilivyokuwa kubwa sana.
Wanawake hawapingi ushoga kwa sababu siyo wanafiki lakini si kwamba wanaupenda, unafiki ni pale ambapo wanaowaharibu hao mashoga ni mwanaume mwenzenu lakini cha ajabu badala ya kuwakemea hao mabasha, mnakuja kuwalaumu wanawake kuwa mara wanatetea mashoga mara wanalea watoto wa kiume vibaya yani kwenu ninyi kila baya chanzo ni mwanamke
Sasa kama ninyi mngekuwa na akili mngejiuliza vipi huyu aliyetuletea feminism ndio huyo huyo ameleta na anatetea Ushoga kuwa ni haki.
AIseee kwahiyo unataka kusema aliyeanzisha feminism, ndio huyo huyo aliyeanzisha ushoga, haya tuambie ni nani huyo
Sio kweli Hakuna hili jambo katika Historia.

Sio mimi nadai bali ndio Historia ipo hivyo Feminism mwaka 1848 haikuwa na malengo hayo.
Oohh kwahiyo malengo ya kwanza ya feminism yalikuwa mazuri
Hoja yako hii inaegemea Wapi??

Hakuna jibu acha kutudanganya.

Moja kwanini Umewaita watu wa vijijini kwa Lugha mbaya hivyo.?? Is town heaven?? Ila it's okay wadada wajuaji ndio mlivyo.
Ni kwa sababu watu wengi wa vijijini wamechagua kuwa ignorant, yani with all the information found all over the media, lakini bado wanafanya mambo ya kipuuzi na kushikilia imani za kipumbavu tu
Pili internet isn't a real place anymore Mdada sio jamii yote ipo Kwenye mitandao hivyo nakushauri isiihukumu jamiii kwa kutumia mitandao pekee.
Hili nimeshafafanua tayari, na naongezea kwamba haihitaji jamii nzima kuwa kwenye mitandao ili uijue hiyo jamii, hao waliopo kwenye mitandao ndio wanawakilisha na wanasema yaliyopo kwenye jamii husika
Unalalamika nini Sasa!!
tunaposema wadada wajuaji kama wewe huwa Hawaolewi na kweli tunaona wewe hadi leo hujaolewa huoni Tunapata mfano hai kabisa.
Unajisifu kuwa una mwaka wa tano humu JF unabishana na Wanaume tuu mi nikakuona Huna akili nikajua unasema nina miaka mitano kwenye ndoa Yenye Furaha na watoto wawili au watatu kumbe Miaka mitano ya kubishana mitandaoni. Wakati wale wanaume huenda wana familia zao safi kabisa wewe ukiendelea kusema unatumia Logic ndio Mana Hutoi. Pumbavu.
Inaonekana kwako ndoa ni mafanikio makubwa sana hongera nenda na wewe kaolewe basi maana unaandika kana kwamba ndoa zote zina furaha na wote walioko huku hawatamani kutoka, sikujua kwamba mwanamke kuolewa ndio kuwa na akili halafu ambao hawajaolewa wote hawana akili teh, bila shaka hujaona nilipoandika kwamba "maisha yangu yananinyookea" ukakimbilia kuniletea mihemko yako hapa ni wapi niliposema kwamba mimi natumia logic ndio maana sitoi..acha upumbavu wewe!!
Huwezi kuyazungumzia mambo bila ya kuwa na Experience au kufanya research.
Sasa wewe unajuaje kama mimi sina experience au sijafanya research, halafu mbona kama umeanza kuniongelea kana kwamba unanijua sana, yani naona nusu ya uzi umeamua kunishambulia mimi badala ya kushambulia hoja..dadeki nimekupiga spana mpaka umepanic unaanza kuniattack mimi!!
Poor.

Sijaona hoja hapa ya kujibu. Sijibu Malalamiko.

Waliufanya kulingana na Tamaduni zao za kiganga mfano porini,, nyumbani kwake au Kwenye viringe vya uganga. Haya hoja yako ipo wapi??
Oohh kwahiyo hizo ndio skills pekee ambazo na wanaume walikuwa wanafundishwa si ndio
Hueleweki unaruka huku unaruka kule. Sasa hata sielewi nijibu lipi.

Anyways Tufanye anawahudumia kila kitu jee wanatakiwa kumtii??
Siyo huelewi ujibu lipi ni kwamba huna hoja, yani jibu la hilo swali lako liko hapo hapo halafu unaniuliza tena, soma tena hiyo comment yangu acha kukwepa hoja
Kwamba Mwanamke anaweza kuyafanya hayo kwa ufanisi kama Mwanaume??
Nimeshakuambia kwamba ugumu wa hayo majukumu umewekwa na binadamu wenyewe, na huo ugumu uliowekwa ndio unaofanya ionekane kwamba mwanamke hawezi kufanya majukumu ya mwanaume kwa ufanisi, lakini majukumu mengi ambayo wanaume wanafanya wanawake wanaweza
Unakimbia kimbia. Narudia swali Umesema Wanawake ninyi mna Ufanisi katika Kulea Jee huo Ufanisi umetokana na nini??
Pili jamii ilipoamua Kwamba Mwanamke awe mlezi Nyumbani walikuwa wana makosa??
Hilo swali lako si nimeshakujibu hapo hapo kwenye hiyo comment hivi unajua kusoma kwa ufahamu kweli wewe mbona unakuwa kama guluguja lisilo na akili, ni wapi nimesema kwamba jamii ilikuwa na makosa kuamua mwanamke akae nyumbani mimi nimesema tatizo siyo mwanamke kukaa nyumbani bali tatizo ni mwanaume kutaka kumtawala mwanamke kisa tu mwanamke anakaa nyumbani yani hapo tatizo ni kuyaunderestimate majukumu ya mwanamke na kuona kwamba ya wanaume ndio magumu na muhimu zaidi kiasi cha kuwafanya wao kuwa watawala
Kuwazidi Nguvu ipi kwani si Mwanamke na Mwanaume wapo sawa!!?
Ni wapi niliposema kwamba mwanaume na mwanamke wapo sawa kimaumbile nioneshe
Vigezo gani vya kimaumbile ambavyo nyie hamna?? Kwani si Wanaume na Wanawake wote ni Sawa na Hizi Tofauti tunazoziona ni Wanaume waliidanganya Jamii kuwa wao ndio wanaweza pekee kufanya jambo ambalo sio kweli!!!!
Aiseee hebu rudia kusoma comment yangu uje na maswali ya maana, unarudiarudia kuuliza maswali yale yale ambayo nimeshakujibu, hii trick yako unayoitumia kukwepa hoja utaiacha lini
Sasa Si Wangesema hivyo ili wawe watawala walishindwa wapi Au Wanaume walifanikiwaje Kama kigezo cha Nguvu hakikuwa halali wao kuwa watawala??
Ni kwa sababu mwanamke hakutaka kuwa mtawala ila mwanaume ndiye aliyetaka, kigezo cha nguvu walikiweka wao wenyewe na siyo nature kwamba eti mwanamke anataka kutawaliwa na mwanaume kisa kamzidi nguvu, hicho kigezo cha nguvu kina uhalali gani hadi sasa unashindwa kujibu hili swali unambwelambwela tu
Kigezo cha Huduma Umekitoa wapi au ni nadharia zako.??
Ni kwa sababu hilo ndio jukumu kubwa la mwanaume
Pili unapokuwa kiongozi automatically unakuwa ni mlinzi wa unayemuongoza Sasa Tufanye Mwanamke anamuhudumia mwanaume kwa nadharia yako inabidi yeye ndio awe kiongozi Sasa kiongozi gani Hata akipita mende unakimbia Kujificha kwa mwanaume wewe unahisi hata huyo unayemuongoza ataona Haja ya kukutii kweli??

Unatakiwa kwanza Ujue kuwa Nguvu na Umadhubuti wa Mwanaume ni jambo pana sana. Mwanaume sio Muoga kama mwanamke,, mwanaume Ni mstahimilivu katika matatizo ni kazi kuona chozi lake,, Mwanaume Anaudhubutu na Msimamo haya yote Yanamfanya Moja kwa moja kuwa kiongozi.

Wewe Mwanamke kwa namna yoyote huwezi kuwa kiongozi kwa sababu kwanza mwili wako ni Soft na Nyororo bali Ni rahisi kuumizwa kihisia na ni ngumu kuhimili Matatizo na kuyatolea Ufumbuzi sahihi zaidi. Bali wewe ni muoga hata katika vitu vidogo vidogo. Unakuwaje kiongozi namna hii. Alafu umuongoze mtu ambae amekuzidi katika Vyote hivyo??
Ndio maana nilikuambia hayo yote ni jamii ndio iliyaweka wanaume walipewa mafunzo magumu yaliyofanya wawe wakakamavu wanawake wakapewa mafunzo mepesi ili wakae nyumbani, lakini si kwamba wanawake wakipewa mafunzo magumu hawawezi ndio maana nikakuambia hata leo hii tunaona kuna wanawake wengi ni wanajeshi na wengine ni makomando kabisa, wanapewa mafunzo sawa na wanaume (tena unakuta kuna wanaume wanatoroka mafunzo wanawaacha wanawake) na vitani wanaenda jambo ambalo zamani lilionekana haliwezekani kwa mwanamke

Na pia leo hii tunaona wanawake wengi wanatumiwa kwenye mission za kijasusi za kuhatarisha uhai wao (ambazo hata wanaume baadhi hawawezi) na wanakuwa successful, na kuna wanawake wana skills zote za kupigana na wana uwezo wa kupigana hata na wanaume na wakashinda halafu wewe unakuja kuzungumzia habari za kuogopa mende sijui upumbavu gani, mbona hata wanaume kuna ambao wanaogopa wadudu wadogo wadogo suala la kuogopa wadudu siyo la jinsia bali ni namna ulivyolelewa

Halafu inaonekana huwa huelewi watu wanaposema mwanamke ni kiumbe hatari mwanamke ana uwezo wa kukuua huku anakuchekea yeye hatumii nguvu bali akili, ukimuweka mwanamke na mwanaume wenye umri sawa mwanamke ndio ana upeo zaidi (hili hata wanasaikolojia wanalifahamu) ndio maana huwa inashauriwa mwanaume aoe mwanamke aliyemzidi miaka kuanzia minne na kuendelea, ila siyo walingane au mwanaume awe mdogo maana hapo automatically mwanamke atakuwa amemzidi upeo huyo mume wake other factors being constant

Hata maandiko yenyewe yanamuambia mwanaume aishi na mwanamke kwa akili maana yake mwanamke ni kiumbe mwenye akili na kiumbe katili sana na manipulative kama akiamua kuitumia akili yake fully lakini pia ni kiumbe mwenye huruma kama hajatendwa vibaya, na wanaume wa zamani walilijua hili ndio maana wakamuwekea mwanamke tamaduni za kumfanya awe chini na ajione dhaifu kwa kumnyima sauti na uhuru maana walijua mwanamke akipewa hivyo vitu atamtesa sana mwanaume, na sasa ndio tunajionea namna kweli mnavyoteseka hadi mnajidai kususia ndoa ili kuwakomoa wanawake halafu mwisho wa siku mnasema eti wao ndio wanateseka kumbe ni ninyi ndio hamtaki kukubaliana na uhalisia

Hayo yote hamyaoni kwa sababu ninyi mliamua utawala uegemee kwenye attributes za mwili tu na siyo akili yani mnadefine weakness kwa kuangalia nguvu za mwili tu eti kisa wewe ukimpiga ngumi mwanamke akishindwa kukurudishia basi ndio unafaa kumtawala (nonsense), hujui kwamba hata mwanamke naye akiamua anaweza kukufanyia jambo ambalo wewe na halmashauri ya kichwa chako mkabaki mmeduwaa nguvu ya mwanamke haiko mwilini bali iko kwenye kujua kucheza na saikolojia ya mwanaume kiasi cha kuweza kumuangusha na huyo mwanaume asiinuke tena, bila shaka hujawahi kusikia ule msemo kwamba "mwanamke akiamua kulipa kisasi hata shetani mwenyewe anakaa pembeni kujifunza" hiyo kauli huwa wanaisema wanaume wenzio waliokuwa wanajitutumua na kujiona vidume kama wewe lakini mwisho wa siku yakawakuta yaliyowakuta kwahiyo na wewe ishi nao kwa akili na omba yasikukute
Nasisitiza Suala la kulea kama unavyolishadadia Linawasha nyie muwe ni watu wa nyumbani. Huwezi kulea watoto ukiwa ofisini au Sokoni.
Sasa kukaa nyumbani kulea watoto sio kigezo cha kutawaliwa
Sawa. Nashukuru.

Baba wakubwa na wadogo.
Na mke nae anatunzwa na baba wakubwa na wadogo
Akili kubwa inajulikana na akili ndogo kama yako inajulikana. Sasa ufanye mambo ya kipuuzi alafu tuseme una akili kubwa??
Sasa hayo mambo ya kipuuzi kwanini yawe ya kipuuzi kulingana na mujibu wenu ninyi tu, yani jambo liwe la kipuuzi eti kwa sababu tu ninyi wanaume mnalichukia hata kama kwa wanawake linawafaidisha, huwa mnajiona mna akili sana wakati kuna wanawake out there wana akili kuwazidi na tunaona jinsia wanavyowagaragaza kwenye nyanja nyingi
Unamlea vipi mtoto wako Wakati unatoka saa kumi na moja na unarudi jioni?? Unahisi kulea ni kuulizia kuwa junior ameshakula?? Sijui ameshafanya Homework???
Ndio maana nikakuambia kushepu tabia na maadili ya watoto ni jukumu la wote baba na mama wanaume msitafute visingizio vya kukwepa hilo jukumu, haiwezekani wote mnaishi nyumba moja na hao watoto halafu wote mnatoka kazini jioni ila bado jukumu la kulea watoto umuachie mkeo tu, yani watoto mpaka wanaharibikiwa chini ya himaya yako na wewe baba unaangalia tu ili mwisho wa siku uje kumlaumu mkeo sasa wewe utakuwa ni baba au kikaragosi
Siku hizi kuna daycare hadi mwaka na nusu au miwili yaani katoto umri huo anahitaji mapenzi ya Mama ake lakini mama yupo busy kulea kibarua chake. Watoto wanalelewa na wadada wa kazi na Televisheni.

Na ndio mana jambo lolote baya analofanyiwa mtoto mnakuja kugundua too late.
Sasa mtoto kufanyiwa mambo mabaya ni kosa la mama au kosa la hao wanaomfanyia hayo mambo mabaya
Watoto Wakiwa wadogo mnawalea vipi au Daycare ndio Inawawakilisha nyie. ??

Zamani watoto walianza chekechea na miaka Minne hadi mitano na wakirudi wanawakuta Mama zao wapo nyumbani Wanaangalia makuzi yao na Tabia zao.

Wewe ukirudi Unawaza Kikao cha kesho au unaandaa proposal sijui ujinga ujinga gani Huo muda wa Kuangalia mwanao Ana Tabia gani au Anaendeleaje unaupata wapi??
Wanawake hawakuanza kutafuta pesa from nowhere tu bali ni wanaume ndio walipelekea wanawake nao waanze kutafuta pesa, nimeshakuambia zamani wanaume walikuwa wanawanyanyasa wanawake kwa kigezo cha kuwahudumia hivyo wanawake wakaona heri waanze kujitafutia vyao ili walau wawe na sauti na uhuru, na kwa dunia ya leo ambayo wanaume wengi wanakimbia majukumu wanatelekeza watoto unategemea wanawake wafanyeje wawe ombaomba ili wapate pesa au
Huo ndio Ukweli Muangalie Mtoto wa Kiume aliyelelewa na Single Mother feminist kisha angalia utofauti wake na Mtoto wa kike.
Okay ngoja nikuulize swali kama unaona tatizo ni malezi kwanini unakuta kwenye familia yenye watoto tufanye wanne, ambao wamelelewa pamoja kwenye nyumba moja unakuta ni mmoja au wawili wenye tabia mbovu ikiwemo ushoga, ila wengine unakuta wana tabia nzuri tu sasa kama shida ingekuwa kwenye malezi pekee kwanini wasingeharibikiwa wote
Hiyo ilikuwa Zamani Siku hizi Single Mother ni Hatari kwa afya ya Familia.
Ni hatari wakati kila siku wanaolewa huku mabinti vigori wakiachwa, wanaume huwa mnanifurahisha sana yani mnajitutumua huku mitandaoni kwamba mnaoa wife material tu, wakati kwenye maisha halisi tunashuhudia hadi makahaba wastaafu wanaolewa na ndoa zao zinadumu vizuri tu
Jambo la Mwanaume kuwa mtawala lipo kimaandiko sasa sijui maaandiko yana upumbavu??

Tukisema unapinga Imani unalalamika.
Ndio maana nikakuambia kama mmeamua kufuata maandiko basi fuateni yote msichague yale mnayoona yanawafavour tu, siyo ninyi mnabagua maandiko halafu mnawalazimisha wanawake ndio wafuate maandiko yote nao wasibague yanayowafavour wao tu, by the way kwa vile umesema maandiko siyo nature basi bado tunarudi pale pale kwamba utawala wa mwanaume kwa mwanamke siyo nature
Narudia swali Ulisema Mwanamke kumtii mumewe anakuwa hana Furaha. Sasa hao Wachache waliokuwa wanafuraha. Furaha ilitoka wapi. Au Kulikuwa na Haki sawa zama hizo.

Ndio Ujue Sisi wanaume ukiwa mtiifu basi utakuwa huru kufanya vitu vingi na kutuendesha katika mambo mengi sana kiasi ambacho jamii itaona mwanaume ni bwege Ila Tatizo linaanza pale utakapojifanya na wewe ni mwanaume hapo ndio utaona kila aina ya roho mbaya.
Aiseee kwahiyo unataka kusema wanaume ambao walikuwa wananyanyasa wanawake zamani ni kwa sababu hao wanawake hawakuwa watiifu, hivi wewe umewahi kuwa kwenye mahusiano mangapi kwanza maana naona mambo mengi unaandika kama layman tu usiye na experience yoyote, ni wanaume wangapi wanapata wanawake wanyenyekevu ila bado wanawanyanyasa mimi nimeshakutana na wanaume kadhaa ambao wanakiri kwamba wanaishi kwenye majuto, kwa sababu waliwahi kupata wanawake wapole ila wakatake advantage ya upole wao kisa walijiona wanapendwa hivyo hao wanawake hawawezi kufurukuta kwao, ila siku walipokuja kuachwa na kuanza kupata magumegume ndio wakaona umuhimu wa hao wanawake waliokuwa wakiwanyanyasa kwa kujiona vidume
Badirisha mawazo yako Jenga hoja kana kwamba unajadiliana na Mtu mwenye akili Timamu.
Wewe huna hizo akili timamu hebu acha kujikosha hapa
Mke wangu Nimuache akiwa anaenda Bar au najua kabisa anaenda kuliwa nimuache Tuu aende?? Haya maisha mbona hata Ulaya hayapo!!! Sasa nini maana ya ndoa si bora kila mtu abaki kwake Ukijisikia hamu Unatafuta wa kukutimizia basi mambo mengine yaendelee. Ndoa ya kazi gani sasa??
Hivi we una akili kweli ni wapi mimi nimeongelea habari za kuenda bar au kuenda kuliwa, kwahiyo wewe mkeo akikuambia anataka kuenda sehemu fulani unawaza ni bar au kuchepuka tu, okay kwahiyo mfano na wewe mkeo akijua kwamba unataka kuenda bar au kuchepuka na akakukataza utafanyaje
Unanisingizia Mambo mimi sikutoa conclusion ila nilikupa challenge wewe uliesema ninyi mna ufanisi mkubwa katika Malezi sasa mkienda kutafuta pesa nani atasimamia Malezi au mtaweza kuyafanya yote kwa Ufanisi???
sikusema wala sikusisitiza kama unavyodai.
Sasa kama mnataka wanawake wakae nyumbani si ndio mtimize majukumu yenu kikamilifu bila kuwanyanyasa, hakuna mwanamke ambaye anapenda kuenda kutafuta ikiwa mwanaume wake anatimiza majukumu yake ipasavyo na hamnyanyasi, leo hii wanaume mnalegaga kwenye majukumu yenu mnasingizia maisha magumu (ila hela za kuhonga michepuko hamkosi) halafu wanawake wakiamua waingilie kati ili kuokoa jahazi mnaanza kelele
Jamii za zamani waume zao walipokwama kiuchumi Familia ziliishije ushawahi kujiuuliza? Tatizo lenu Huwa mnayafikilia maisha Katika namna ya Kupata na kufanikiwa tuu yaani maisha ya kwenye Movie ndio huwa yapo kichwani mwenu. Shenzi kabisa.
Sasa kama hamtaki wake zenu wawatawale si ndio mhakikishe hawafikii hiyo stage ya kuanza wahudumia ninyi, ndio mnatakiwa sasa mfanye kama jamii za zamani zilivyokuwa zinafanya pale wanaume walipokuwa wanakwama, hoja hapa ni kwamba hakikisha ukikwama unafanya juu chini mkeo asikamate majukumu yako huku wewe umekaa tu eti kisa umekwama
1 Timotheo 2:11
[11]Mwanamke na ajifunze katika utulivu, akitii kwa kila namna.

"Akitii kwa kila namna" Inaamnisha nini kwa upeo wako wa akili??

Wanawake hawakuambiwa kwa sababu Sio majukumu yao kutokana na Maumbile yao Dhaifu.
Wanawake ni dhaifu kulingana na definition yenu ya neno udhaifu lakini si kulingana na maana halisi ya hilo neno
Jee Unamaanisha Kupitia hayo Maandiko yako Mwanamke Akimuhudumia Mume Basi Mume amtii Mkewe. Jee kuna andiko linaloashiria hivyo?
Na kwanini mwanamke amhudumie mume wakati maandiko hayajasema tuanzie hapo kwanza, kwani maandiko yaliposema kwamba mwanaume ndio amhudumie mke hayakujua kwamba mwanaume anaweza kukwama, kama maandiko hayajasema sasa wewe hayo mambo ya mwanamke kumhudumia mume umeyatoa wapi
Wanawake wakutufahamisha sisi ni hawa wavaa nusu uchi Ma ofisini??. Ni hawa Wanywaji wa pombe au wale wa Riverside?? Unakusudia wanawake wepi??
Kizuri ni kwamba hapo kila tabia hata wanaume wanayo katika namna yao, kuna wanaume ambao nao huvaa mavazi ya ajabu japo ni ya kiume, kuna wanaume walevi kupindukia, na pia hao wanawake wa riverside wateja wao ni hao hao wanaume, kwahiyo inategemea hao wanawake unaowaongelea wanadeal na wanaume wa aina gani
Hapa unaongelea Mambo tofauti tofauti Hamu ya tendo na Ku enjoy tendo usichanganye vitu hivi.
Ndio maana nikakuambia kukeketwa kuliwafanya wanawake wasieenjoy tendo, hivyo huo utamaduni uliwalazimu wawe waaminifu kwa waume zao tu kwa maana hilo tendo halina maana ikiwa una hamu nalo, halafu ukifanya haulifurahii bali unakuwa unamfurahisha mwenzio tu
Jenga vizuri hoja yako. Una changanya mambo.

Kwamba unataka tuamini kuna wanaume wao wake zao wakienda kokote they don't care Hata hawaulizi wakichelewa kurudi??. Basi kuna wanaume wapumbavu sana. Labda huyo wako.
Siyo wapumbavu bali ni waelewa usitunge maana yako mwenyewe ya neno upumbavu, upumbavu ni kujua kuwa mkeo ni mfanyakazi hivyo kuna wakati anahitajika kufuata amri za boss halafu wewe bado unaleta ubabe wako kama vipi si uoe mwanamke asiyena elimu ili akae nyumbani umhudumie kwa kila kitu, yani wewe umeoa mwanamke askari halafu akipigiwa simu usiku wa manane na mkuu wake kuwa anahitajika kazini wewe uanze kuleta ubabe wako wa kipumbavu kuwa eti akuombe ruhusa mara sijui akiondoka nyumba itabaki na nani kwani wakati unamuoa au wakati anaanza hiyo kazi hukujua hilo
Kwani Mama Samia sio mwanamke au unamanisha nini???
Hoja yako ni nini maana naona swali la kijinga tu hapo
Kwa mujibu wa maandiko.

Unamaanisha Mashoga nao waachwe waendelee wasiulizwe kwa sababu Ubaya au uzuri ni Subjective??
Sasa tangu mmeanza kupinga ushoga je mnaona dalili yoyote ya kuisha au ndio kwanza unazidi halafu kaa ukijua ushoga unapingwa kwa sababu una madhara kwao hao wanaoufanya na pia watu hawataki hao mashoga waje wawadhuru na kuwaharibu na watoto wao sasa feminism inamdhuru nani ilihali ina faida kwa wanawake, anyway kwa mujibu wa biblia ushoga ulianzia sodoma na gomora na hiyo miji yote ilichomwa na mashoga yote yalifia humo ila bado ukaja kuibuka tena na kukuwa kwa kasi zaidi, huko kwenye nchi za kiarabu ambako wanajifanya wameshika sana dini na kuna sheria kali dhidi ya mashoga ila bado ushoga upo sema ni kwamba tu wao wanafanyia mafichoni ili huku nje waonekane watakatifu tofauti na wazungu ambao wao hawawezi unafiki wanaufanya hadharani ndio maana wanasingiziwa kwamba wao ndio wanaueneza
Napenda.

Mdada jitahidi uolewe Ili utupe Experience ya Familia yako ya namna hii.
Hebu jifunze kujadili hoja bila kumuongelea personally huyo unayejadiliana naye, mimi kuolewa au kutokuelewa haibadili ukweli kwamba familia za aina hiyo zipo, tatizo lako wewe hapa unadhani mimi naongea mawazo yangu wakati mimi naongea uhalisia uliopo na yale ninayoyaona mwenyewe situngi nadharia kama wewe
Wanawake walipewa elimu kulingana na Maumbile yao na Majukumu yao ya wakati ule. Na wanaume kadhalika.
Sasa wakati ule mambo hayakuwa mengi So ukisema wapewe elimu kama wanaume nitakuuliza elimu ya kuwinda au Kupigana vita au Kuua Wanyamapori??
Sasa mbona mwanzo ullikuwa unabisha niliposema kwamba wanawake walikuwa wanafunzwa majukumu yaliyokuwa yanahusiana na nyumbani na shambani, nilikuuliza hivi je zamani vitu vilikuwa havitengenezwi kwanini wanawake hawakupewa elimu ya kutengeneza vitu mbalimbali kama vitendea kazi vya kufanyia shughuli za kila siku, kama mnaona walikuwa hawawezi mbona leo hii wanaweza tena wengine wanafanya vizuri kuliko hata wanaume sasa kimebadilika nini
Narudia swali Wafanyakazi wanaolipwa mishahara huwa hawana furaha Kwa sababu wanamtii bosi wao??
Nami narudia jibu, kwamba hawana furaha ila wanatii kwa sababu tu ya mshahara, ambacho hukuelewa ni nini hapo au ndio muendelezo wa zile mbinu zako za kukwepa hoja
Kigezo chako ni batili kwa sababu Hakiwezi kukubali ukikigeuza kwa mwanamke Akimuhudumia Mume wake.
Tukisema tufuate maandiko, basi haitakiwi mwanamke amhudumie mwanaume no matter the circumstances, maana maandiko hayajampa mwanamke hilo jukumu
Ungeleta jina la hiyo specie ili kila mtu aone Udogo wa akili yako.
Si ndio maana nikakuambia uende google ukatafute, nilikuwa na maana yangu kukuuliza kama unajua majina ya species za mbwa maana hata nikikutajia kama huzijui hizo species zinafananaje, lazima utahitaji kuona picha kwahiyo kwa urahisi zaidi nenda google ukatafute mwenyewe majina pamoja na picha acha kujifanya una akili kumbe mweupe tu
Sawa ngoja tuone.

Mwanzo 3:17-19
[17]Akamwambia Adamu, Kwa kuwa umeisikiliza sauti ya mke wako, ukala matunda ya mti ambao nalikuagiza, nikisema, Usiyale; ardhi imelaaniwa kwa ajili yako; kwa uchungu utakula mazao yake siku zote za maisha yako;

[18]michongoma na miiba itakuzalia, nawe utakula mboga za kondeni;

[19]kwa jasho la uso wako utakula chakula, hata utakapoirudia ardhi, ambayo katika hiyo ulitwaliwa; kwa maana u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi.

Tunaomba Utuambie sehemu inayoashiria kuwa Kigezo cha Utawala ni Huduma???

Ukiambiwa Kwa jasho lako utakula Ndio ina maana unatakiwa utoe huduma ndio uwe kiongozi?? Mbona unaleta maandiko ambayo hayahusiani kabisa.

1 Timotheo 5:8
[8]Lakini mtu ye yote asiyewatunza walio wake, yaani, wale wa nyumbani mwake hasa, ameikana Imani, tena ni mbaya kuliko mtu asiyeamini.

JEE HILI ANDIKO NDIO LINAONYESHA UTII NI KWA SABABU YA HUDUMA???
NIKAJUA ANDIKO LITASEMA ASIYEMHUDUMIA MKEWE NA ASIMTAWALE. HUNA HOJA TAFUTA MSAADA.

TULETEE ANDIKO KUWA MWANAMKE ANARUHUSIWA KUMTAWALA MWANAUME KAMA AKIWA ANAMHUDUMIA HUYO MWANAUME.

UKIPEWA ELIMU POKEA KWA SHUKURANI SIO KUJIFANYA UNAYAJUA MAMBO WAKATI HUNA UNACHOKIJUA.
Sikiliza wewe maandiko mengi huwa yanashabihiana kuna maandiko ambayo hayako direct, ila watu wanayatafsiri kulingana na maandiko mengine ambayo yanachukuliwa kama yanawakilisha hayo ambayo hayajaandikwa, kwa mfano wanaume wanasema kwamba wao waliumbwa na tamaa ambayo inawalazimu kuwa na wanawake wengi na kwamba hiyo ni kwa mujibu wa maandiko

Lakini kwenye biblia hakuna andiko direct ambalo linasema kwamba mwanaume aliumbwa na tamaa au eti mwanaume anatakiwa kuwa na wake wengi bali wanaume huwa wanaishia kutolea tu mifano ya manabii kama kina suleiman, na huwa wanashikilia lile andiko pale mungu alipomuambia mwanamke kuwa "tamaa yako itakuwa kwa mumeo tu" wao wanasema kwamba kwa sababu hilo neno alitamkiwa mwanamke na siyo mwanaume, basi tafsiri yake mwanaume yeye tamaa yake itakuwa kwa mwanamke yeyote tu jambo ambalo si kweli lakini ndio imeshaonekana ni ukweli kwa sababu tunaona namna wanaume walivyo na tamaa na kutaka kumiliki wanawake wapya kila siku

Halafu kingine unapoagizwa ufanye jambo fulani kwenye maandiko maana yake ukienda kinyume na hilo andiko hustahili kupata lolote zuri ambalo ungelipata kwa kutekeleza andiko husika, mwanaume unaposhindwa kuhudumia familia yako kwa sababu yoyote ile iliyo ndani ya uwezo wako maana yake umekiuka maandiko hivyo hata mwanamke naye akikiuka maandiko ya kukutii hutakiwi kumlaumu, ndio maana nikakuambia kama wanaume mmeamua kufuata maandiko basi fuateni yote msichague yale yanayowafavour ninyi tu halafu wanawake ndio mnataka wafuate yote
NAKAZIA FEMINISM ILIANZISHWA MWAKA 1848 NA WANAWAKE WA KIZUNGU WENYE HADHI YA JUU AMBAO LICHA YA KUTOKA KWENYE FAMILIA ZENYE KUHESHIMIKA LAKINI WALIZUIWA KUPIGA KURA KWA SABABU NI WANAWAKE.

KISHA BAADA YA MIAKA MINGI KUKATOKEA WALE WALIOKUJA KUSEMA KUWA WANAWAKE NA WANAUME NI SAWA NA MWANAMKE ANAWEZA KUYAFANYA YOTE ANAYOYAFANYA MWANAUME HIVYO HAKUNA ANAYETAKIWA KUMTAWALA MWENGINE.

HUU NDIO UPUUZI TUNAOUJADILI HAPA.
Sasa mbona awali ulisema kwamba naturally kila mwanamke anazaliwa na fikira za kutaka kutawaliwa na mwanaume na hakuna mwanaume anayezaliwa na fikira za kutaka kutawaliwa na mwanamke, kitendo cha kuibuka wanawake ambao walianza kutaka usawa na wanaume kinadhihirisha kwamba mwanamke kumtii mwanaume siyo nature bali ni tamaduni alizofunzwa tu, halafu kama feminism ilianzishwa na wanawake ambao walikuwa dhaifu kipindi ambacho wanaume ndio watawala ilikuwaje sasa hao wanaume wakakubali kirahisi wanawake wadai usawa na wanaume kwanini wasingetumia nguvu na uwezo wao kuhakikisha kwamba feminism haisurvive
 
Twende kwenye kiini! Umesema mwanamke utii kwa mwanaume umebase kwenye uchumi? Una uhakika kweli? What if kusingekuwa na hizo mali, au pesa? Ndo maana kuna muda nilikuuliza ulisha wahine kuwa kwenye relationship? Na uliwezaje kuapply hizi mentality zako?

Angalia hili swala kwa undani zaidi usifuate psychological traps, maisha ya kawaida tu, masculine lazima am lead feminine, lazima awe protector kwa feminine. Sasa itakuaje feminine naye akianza kuonesha viashiria kuwa hataki kuongozwa? Just picture this alafu unipe jibu. Itakuaje hapo?

Kingine mbona unanikwepa kunipa jibu cha kile unataka kiwe, umekaa unapinga kila hoja, sasa what's the meaning of all this? Ni kama unacheza cheza tu kujipa matumaini ambayo hayapo
Hivi ukitoa kigezo cha huduma za kiuchumi msingi wa mwanaume kumtawala mwanamke ni upi na mwanamke anapata faida gani anapomtii mwanaume, na je ni lini wanawake walikubaliana kwamba wanataka na wanafurahia wanaume ndio wawatawale na kwanini kuwe na ulazima wa mmoja kumtawala mwenzie, kwani hapa tunajadili mawazo binafsi au uhalisia uliopo kwani mawazo yangu mimi ndio yanaamua namna mambo yanavyoenda kwenye jamii wewe kwanini usijenge tu hoja zako tujadili
 
Hivi ukitoa kigezo cha huduma za kiuchumi msingi wa mwanaume kumtawala mwanamke ni upi na mwanamke anapata faida gani anapomtii mwanaume, na je ni lini wanawake walikubaliana kwamba wanataka na wanafurahia wanaume ndio wawatawale na kwanini kuwe na ulazima wa mmoja kumtawala mwenzie, kwani hapa tunajadili mawazo binafsi au uhalisia uliopo kwani mawazo yangu mimi ndio yanaamua namna mambo yanavyoenda kwenye jamii wewe kwanini usijenge tu hoja zako tujadili
Ndo maana nilikuambia turudi kwenye basics, hilo swala ambalo wewe unalipinga haliwezekani kamwe, mwanamke hawezi kuwa sawa na mwanaume ndo maana hata physically mwanamke hayupo strong, so it makes no sense unavyosema eti uchumi ndo basis za kutawaliwa. Unless kama una fear based mentality lazima utaona kama ni vibaya, kuna muda nilikuambia ufute negative perspectives zako lkn kadri unavyo letewa concepts unajisahau! Wanawake ni viumbe soft, wanatumia intuition wana uwezo wa ku nurture ndo maana wamepewa uwezo wa kuzaa, Sisi masculine ni hard, tumeumbwa kutafuta, tunatumia logic.

Mind you, hizi qualities sio kwamba hazi exist kwa wote, ila zipo kwa kila mtu, sema ukizaliwa mwanamme unakuwa masculine na mwanamke anakuwa feminine. Sasa kutokana na utandawazi, elimu na dini. Mankind anazidi kupoteza essence yake, ndo maana ushoga nao unakuja kwa kasi, mara feminism mara lesbians e.t.c... hii yote ni kwa sababu watu wanafuata mambo bila kujua hasa ni nini kimekusudiwa. Uwezo wa kubaki kuwa normal ni mgumu sana na tukiangalia mavyakula yanayokuwa genetic modified ndo haswa yanaharibu watu sana. So unakuta mtu kazaliwa mwanamke au mwanaume ila anakuwa tyr kaharibiwa na mifumo ya maisha.

Hata utii wenyewe ni man made concept, jinsi unavyo I perceive ndo jinsi inavyo tokea kwenye reality, mwanamke kaumbwa kutokuwa leader trust me, si maanishi uongozi wa normal life sjui raisi, mbunge or mwenyekiti no, I mean when it comes to life in nature mwanamke sio kiingozi, so mwanaume lazima amuongoze. These are laws of nature. Sasa nyie endeleeni kuchimbia vichwa vyenu chini na ukweli unaonekana kabisa.
 
Nilisema "dini karibu zote" hebu elewa kiswahili, halafu hizo nilizokutajia ndio dini kubwa zaidi duniani na zenye ushawishi mkubwa, sasa kama kila dini iko sahihi kwa upande wake maana yake kuna miungu zaidi ya mmoja na kila mungu ana sheria zake, na suala hapa siyo kila dini kuwa sahihi kwa upande wake bali suala ni kwamba ukweli na uhalisia ni upi na una uhalali gani wa kutumia maandiko ya dini moja na kuacha ya dini nyingine kwenye general discussions kama hizi
Maandiko ya dini zote hizo katika jambo hilo Yanakubaliana.
Ndio maana nikakuambia mwanaume hawezi kuamua muda anaotaka wa kupata watoto na idadi anayotaka hiyo nguvu ya maamuzi anayo mwanamke, mwanaume ni lazima amuombe mwanamke kuzaa watoto kwa wakati fulani au idadi fulani hawezi kumlazimisha, wewe unasema wanawake wa kuzaa kukosekana ni nadharia wakati wanawake wameshaanza kugoma kuzaa huko
Wanawake hawa hawa wanaoenda kwa waganga kutaka watoto??
Asilimia kubwa inaenda kwa watoto na siyo kwa mke na kwa hilo basi unastahili zaidi utii kutoka kwa hao watoto wako hivyo vitu vingine kama kula na kulala vina faida hata kwako, kwa sababu hivyo vyakula hawali familia yako tu hata wewe unakula tena wewe unanunua mkeo kazi yake kuvipika, hiyo nyumba hawaishi familia yako tu hata wewe unaishi tena wewe unajenga au unalipa pango mkeo kazi yake kuisafisha
Haya Tunakuuliza Kutafuta Ugali na Kuupika Ipi kazi Kubwa.?

Kujenga Nyumba Na Kuisafisha Ipi kazi kubwa??
Nasisitiza utii wa aina hiyo siyo nature, acha kutolea mifano ambayo ni irrelevant, mwisho wa siku unajifunga wewe mwenyewe

Wewe kuona hivyo ni matokeo ya kutaka mimi nikubali tu kila kitu unachoniambia hata kama hakina uhalisia
Mwanamke anatakiwa Amtii Mwanaume hili halina Uhalisia??
Aiseee yani kuwajua watu wa aina fulani, ni mpaka uwe unafanya kazi fulani ambayo inahusisha hao watu, una umasikini wa fikira
Nimekubali wewe unawajua Wanaume zaidi kuliko mimi.
Ni kwa sababu wanaume wengi walikuwa wanawanyanyasa wanawake kwa kigezo cha kuwahudumia, yani mtu anataka akifanya makosa asiulizwe kwa sababu tu anakulisha anakuvisha nk kwa madai kwamba unataka kumpanda kichwani, kwahiyo wanawake walichoka hayo manyanyaso yaliyojificha kwenye kivuli cha kuhudumia na mfumo dume
Mbona Historia ya Feminism na Hiki Unachokiandika Haviendani??
Hoja siyo kuwa au kutokuwa sahihi, hoja ni kwamba wanaumizwa na hayo maovu ya wanawake ndio maana wanalalamika, wewe ulisema kwamba wanaume hawaumii wanaoumia ni wanawake tu
Wanawake kwa nini mnawafanyia Maovu wanaume Zenu??
Acha kukariri internet isn't a real place kwenye masuala ya economic status lakini tukija kwenye hisia na tabia hakuna mahali ambako watu wanaelezea hisia zao au wanaonesha tabia zao halisi kama kwenye mitandao,
Uongo. JF inakuharibu wewe.
Humu mitandao hakuna Uhalisia huo unaousema. Watu humu huanzisha Nyuzi za kuachwa sijui Kumla boss na hakuna uhalisia wowote. We huonagi watu Wanasema Chai??
ndio maana nikakuambia wewe huijui vizuri saikolojia ya binadamu watu wengi humu kwenye mitandao ndio wako huru kujionesha wao ni kina nani hasa na mawazo yao halisi, ambayo pengine hawawezi kuonesha mbele za watu waliowazunguka sababu humu mitandaoni hatufahamiani personally
Humu watu wanadanganya kwa sababu hakuna anaemuona na wengi wanatumia Utambulisho fake be care.
Oohh kumbe unajua kwamba kuna kupigana na mtu huku umemfunga mikono basi hicho ndicho walichokuwa wanafanya wanaume zamani kabla ya feminism kuanzishwa,
Umehama si ulisema kuna fair competition??
yani kwa kifupi kinachofanyika sasa hivi kwa wanawake ndicho kilichofanyika zamani kwa wanaume hadi kujipa utawala sasa kama unaona inawezekana kwa wanawake kwanini uone haiwezekani kwa wanaume, nilipokuwa nakuambia kwamba wanaume walijipa utawala kimabavu kwa kutumia maumbile ulijifanya unapindishapindisha maneno kwamba kwani walipigana vita hadi wanaume wakashinda sasa nami nakuuliza kwani wanawake wamepigana vita na ninyi hadi muone kama wao ndio wameshinda
Unajifanya kichaa Mnasaidiwa na Mamlaka na serikali Ambazo zina Wanaume humo ndani yake. Nyie wenyewe hamna manachokiweza mbele ya Wanaume.
Ni wapi huko ambako wanaume wanabaguliwa na fursa zote wanachukua wanawake tu, acheni kujivictimize ninyi si wanaume mmewazidi wanawake akili na nguvu onesheni sasa huo uwezo wenu, kwani ni lini wanawake walipigana na ninyi hadi udhani kwamba wameshinda
Serikali iache Kufanya Men discrimination alafu muone.
Tofautisha kati ya mwanamke anayejiuza (kahaba) na mwanamke anayeingia kwenye mahusiano kwa ajili ya pesa kahaba yeye haingii kwenye mahusiano bali anafanya ngono na mwanaume yeyote, kwa makubaliano ya kulipia lile tendo kisha baada ya hapo kila mtu anashika hamsini zake ila hao wengine wanaingia kwenye mahusiano kama kawaida ila lengo lao ni kuhudumiwa tu na si mapenzi ya kweli, sasa hao ndio ninaowasemea kwamba wameanza karne hii baada ya kuona kwamba wanaume nao hawana mapenzi ya kweli bali wanaingia kwenye mahusiano kwa sababu ya ngono tu na hawajali kwa sababu kwa mujibu wao wanadai anayeumia ni mwanamke
Porojo
Hakuna cha kujifunza kutoka kwenu wanaume ambao huwa mnalitetea jambo kwa maslahi yenu binafsi na si kwa maslahi ya pande zote mbili, feminism ni upuuzi kwenu ninyi wanaume sababu inathreaten nafasi yenu ya mchongo mliyojipa kimabavu ila kwa wanawake feminism ina faida, kinachotokea sasa ni kwamba mmeamua kuwakomoa wanawake sababu wamekataa kuendelea kuwa chini yenu halafu mnasingizia kwamba ni wao ndio wanateseka
Mnateseka kweli kwani uongo??
Huwa unapenda kweli kubisha kienyeji kwenye mambo ambayo huna uelewa nayo, kwahiyo unahisi mimi najitungia nadharia zangu kama wewe, hebu do your research kuhusu asexuals halafu urudi hapa tuendelee kujadili
Unatunga nadharia ambazo hazifanyi kazi.
Duuh kwahiyo mwanamke kugoma kufanya tendo na mwanaume maana yake anawachukia aisee wewe kweli huwajui wanawake, hujui kwamba kuna wanawake wanachukia wanaume lakini wanafanya nao kama kawaida na wanaingia nao hadi kwenye mahusiano kwa lengo la kuwaumiza kihisia
Hawa wana malengo yao mabaya ya kulipiza kisasi. Sizungumzii hawa.
, halafu unataka kuwasingizia watoto wa watu ambao kwa sababu zao binafsi wameamua kutofanya hilo tendo
SABABU ya kutumia Logic au kuna nyengine??
kwahiyo unataka kusema na masister nao wanachukia wanaume au
Ni Nuns na sio masister labda ungeandika Masista kwa kiswahili.

Haya hao Nuns Wanazuiwa Kwa Sheria za dini yao. Mimi sizungumzii hawa.
Ni wapi nilipojiongelea mimi hapo hebu nioneshe, nimekuambia jadili mada acha kunijadili mimi sawa, kama spana zimekuzidia sema acha kudivert mada
Wewe si ni Feminist sasa tukikutolea mfano tunakosea wapi??
Wewe ndio kazi yako hiyo uliyojipa sababu unakimbia hoja, mimi sikimbii hoja hata ukijificha kwenye kichaka nakufuata huko huko, hata ukitoka nje ya mada nakujibu huko huko silalamiki kama wewe
Sawa.
Vipi na mwanaume asiyetekeleza majukumu yake anaitwaje na anastahili kufanywa nini
Huyo sio Mwanaume kamili. Hapaswi kuwa na familia. Mwanamke aombe Talaka arudi kwao hata kwa lazima.
Oohh kwahiyo feminism ni namna ya uvaaji
Uvaaji ni katika sifa au tunasema features za feminism. Feminist hatakiwi kujifunika funika anatakiwa awe huru na mwili wake.
Wanawake hawapingi ushoga kwa sababu siyo wanafiki
Kwaiyo mna support kwa sababu nyie sio wanafiki. Akili yako mbovu sana.
lakini si kwamba wanaupenda, unafiki ni pale ambapo wanaowaharibu hao mashoga ni mwanaume mwenzenu lakini cha ajabu badala ya kuwakemea hao mabasha, mnakuja kuwalaumu wanawake kuwa mara wanatetea mashoga mara wanalea watoto wa kiume vibaya yani kwenu ninyi kila baya chanzo ni mwanamke
Wote hao wanakemewa na hukumu yao moja.
AIseee kwahiyo unataka kusema aliyeanzisha feminism, ndio huyo huyo aliyeanzisha ushoga, haya tuambie ni nani huyo
Anayetetea ushoga ndio huyo huyo anaetetea Feminism. Kwani sio kweli??
Oohh kwahiyo malengo ya kwanza ya feminism yalikuwa mazuri
Ndio yalikuwa mazuri na reasonable.
Ni kwa sababu watu wengi wa vijijini wamechagua kuwa ignorant, yani with all the information found all over the media, lakini bado wanafanya mambo ya kipuuzi na kushikilia imani za kipumbavu tu
Siamini nachokiona. Watake radhi watu wa vijijini.
Hili nimeshafafanua tayari, na naongezea kwamba haihitaji jamii nzima kuwa kwenye mitandao ili uijue hiyo jamii, hao waliopo kwenye mitandao ndio wanawakilisha na wanasema yaliyopo kwenye jamii husika
Unajua Watanzania tupo Wangapi?? Na ni wangapi wanamiliki Smartphones. Na wangapi wana active account za social medias na wangapi wanadhubutu kuchangia chochote kwenye social medias??
Inaonekana kwako ndoa ni mafanikio makubwa sana hongera nenda na wewe kaolewe basi maana unaandika kana kwamba ndoa zote zina furaha na wote walioko huku hawatamani kutoka, sikujua kwamba mwanamke kuolewa ndio kuwa na akili halafu ambao hawajaolewa wote hawana akili teh, bila shaka hujaona nilipoandika kwamba "maisha yangu yananinyookea" ukakimbilia kuniletea mihemko yako hapa ni wapi niliposema kwamba mimi natumia logic ndio maana sitoi..acha upumbavu wewe!!

Sasa wewe unajuaje kama mimi sina experience au sijafanya research, halafu mbona kama umeanza kuniongelea kana kwamba unanijua sana, yani naona nusu ya uzi umeamua kunishambulia mimi badala ya kushambulia hoja..dadeki nimekupiga spana mpaka umepanic unaanza kuniattack mimi!!

Oohh kwahiyo hizo ndio skills pekee ambazo na wanaume walikuwa wanafundishwa si ndio

Siyo huelewi ujibu lipi ni kwamba huna hoja, yani jibu la hilo swali lako liko hapo hapo halafu unaniuliza tena, soma tena hiyo comment yangu acha kukwepa hoja

Nimeshakuambia kwamba ugumu wa hayo majukumu umewekwa na binadamu wenyewe, na huo ugumu uliowekwa ndio unaofanya ionekane kwamba mwanamke hawezi kufanya majukumu ya mwanaume kwa ufanisi, lakini majukumu mengi ambayo wanaume wanafanya wanawake wanaweza

Hilo swali lako si nimeshakujibu hapo hapo kwenye hiyo comment hivi unajua kusoma kwa ufahamu kweli wewe mbona unakuwa kama guluguja lisilo na akili, ni wapi nimesema kwamba jamii ilikuwa na makosa kuamua mwanamke akae nyumbani mimi nimesema tatizo siyo mwanamke kukaa nyumbani bali tatizo ni mwanaume kutaka kumtawala mwanamke kisa tu mwanamke anakaa nyumbani yani hapo tatizo ni kuyaunderestimate majukumu ya mwanamke na kuona kwamba ya wanaume ndio magumu na muhimu zaidi kiasi cha kuwafanya wao kuwa watawala

Ni wapi niliposema kwamba mwanaume na mwanamke wapo sawa kimaumbile nioneshe

Aiseee hebu rudia kusoma comment yangu uje na maswali ya maana, unarudiarudia kuuliza maswali yale yale ambayo nimeshakujibu, hii trick yako unayoitumia kukwepa hoja utaiacha lini

Ni kwa sababu mwanamke hakutaka kuwa mtawala ila mwanaume ndiye aliyetaka, kigezo cha nguvu walikiweka wao wenyewe na siyo nature kwamba eti mwanamke anataka kutawaliwa na mwanaume kisa kamzidi nguvu, hicho kigezo cha nguvu kina uhalali gani hadi sasa unashindwa kujibu hili swali unambwelambwela tu

Ni kwa sababu hilo ndio jukumu kubwa la mwanaume

Ndio maana nilikuambia hayo yote ni jamii ndio iliyaweka wanaume walipewa mafunzo magumu yaliyofanya wawe wakakamavu wanawake wakapewa mafunzo mepesi ili wakae nyumbani, lakini si kwamba wanawake wakipewa mafunzo magumu hawawezi ndio maana nikakuambia hata leo hii tunaona kuna wanawake wengi ni wanajeshi na wengine ni makomando kabisa, wanapewa mafunzo sawa na wanaume (tena unakuta kuna wanaume wanatoroka mafunzo wanawaacha wanawake) na vitani wanaenda jambo ambalo zamani lilionekana haliwezekani kwa mwanamke

Na pia leo hii tunaona wanawake wengi wanatumiwa kwenye mission za kijasusi za kuhatarisha uhai wao (ambazo hata wanaume baadhi hawawezi) na wanakuwa successful, na kuna wanawake wana skills zote za kupigana na wana uwezo wa kupigana hata na wanaume na wakashinda halafu wewe unakuja kuzungumzia habari za kuogopa mende sijui upumbavu gani, mbona hata wanaume kuna ambao wanaogopa wadudu wadogo wadogo suala la kuogopa wadudu siyo la jinsia bali ni namna ulivyolelewa

Halafu inaonekana huwa huelewi watu wanaposema mwanamke ni kiumbe hatari mwanamke ana uwezo wa kukuua huku anakuchekea yeye hatumii nguvu bali akili, ukimuweka mwanamke na mwanaume wenye umri sawa mwanamke ndio ana upeo zaidi (hili hata wanasaikolojia wanalifahamu) ndio maana huwa inashauriwa mwanaume aoe mwanamke aliyemzidi miaka kuanzia minne na kuendelea, ila siyo walingane au mwanaume awe mdogo maana hapo automatically mwanamke atakuwa amemzidi upeo huyo mume wake other factors being constant

Hata maandiko yenyewe yanamuambia mwanaume aishi na mwanamke kwa akili maana yake mwanamke ni kiumbe mwenye akili na kiumbe katili sana na manipulative kama akiamua kuitumia akili yake fully lakini pia ni kiumbe mwenye huruma kama hajatendwa vibaya, na wanaume wa zamani walilijua hili ndio maana wakamuwekea mwanamke tamaduni za kumfanya awe chini na ajione dhaifu kwa kumnyima sauti na uhuru maana walijua mwanamke akipewa hivyo vitu atamtesa sana mwanaume, na sasa ndio tunajionea namna kweli mnavyoteseka hadi mnajidai kususia ndoa ili kuwakomoa wanawake halafu mwisho wa siku mnasema eti wao ndio wanateseka kumbe ni ninyi ndio hamtaki kukubaliana na uhalisia

Hayo yote hamyaoni kwa sababu ninyi mliamua utawala uegemee kwenye attributes za mwili tu na siyo akili yani mnadefine weakness kwa kuangalia nguvu za mwili tu eti kisa wewe ukimpiga ngumi mwanamke akishindwa kukurudishia basi ndio unafaa kumtawala (nonsense), hujui kwamba hata mwanamke naye akiamua anaweza kukufanyia jambo ambalo wewe na halmashauri ya kichwa chako mkabaki mmeduwaa nguvu ya mwanamke haiko mwilini bali iko kwenye kujua kucheza na saikolojia ya mwanaume kiasi cha kuweza kumuangusha na huyo mwanaume asiinuke tena, bila shaka hujawahi kusikia ule msemo kwamba "mwanamke akiamua kulipa kisasi hata shetani mwenyewe anakaa pembeni kujifunza" hiyo kauli huwa wanaisema wanaume wenzio waliokuwa wanajitutumua na kujiona vidume kama wewe lakini mwisho wa siku yakawakuta yaliyowakuta kwahiyo na wewe ishi nao kwa akili na omba yasikukute

Sasa kukaa nyumbani kulea watoto sio kigezo cha kutawaliwa

Na mke nae anatunzwa na baba wakubwa na wadogo

Sasa hayo mambo ya kipuuzi kwanini yawe ya kipuuzi kulingana na mujibu wenu ninyi tu, yani jambo liwe la kipuuzi eti kwa sababu tu ninyi wanaume mnalichukia hata kama kwa wanawake linawafaidisha, huwa mnajiona mna akili sana wakati kuna wanawake out there wana akili kuwazidi na tunaona jinsia wanavyowagaragaza kwenye nyanja nyingi

Ndio maana nikakuambia kushepu tabia na maadili ya watoto ni jukumu la wote baba na mama wanaume msitafute visingizio vya kukwepa hilo jukumu, haiwezekani wote mnaishi nyumba moja na hao watoto halafu wote mnatoka kazini jioni ila bado jukumu la kulea watoto umuachie mkeo tu, yani watoto mpaka wanaharibikiwa chini ya himaya yako na wewe baba unaangalia tu ili mwisho wa siku uje kumlaumu mkeo sasa wewe utakuwa ni baba au kikaragosi

Sasa mtoto kufanyiwa mambo mabaya ni kosa la mama au kosa la hao wanaomfanyia hayo mambo mabaya

Wanawake hawakuanza kutafuta pesa from nowhere tu bali ni wanaume ndio walipelekea wanawake nao waanze kutafuta pesa, nimeshakuambia zamani wanaume walikuwa wanawanyanyasa wanawake kwa kigezo cha kuwahudumia hivyo wanawake wakaona heri waanze kujitafutia vyao ili walau wawe na sauti na uhuru, na kwa dunia ya leo ambayo wanaume wengi wanakimbia majukumu wanatelekeza watoto unategemea wanawake wafanyeje wawe ombaomba ili wapate pesa au

Okay ngoja nikuulize swali kama unaona tatizo ni malezi kwanini unakuta kwenye familia yenye watoto tufanye wanne, ambao wamelelewa pamoja kwenye nyumba moja unakuta ni mmoja au wawili wenye tabia mbovu ikiwemo ushoga, ila wengine unakuta wana tabia nzuri tu sasa kama shida ingekuwa kwenye malezi pekee kwanini wasingeharibikiwa wote

Ni hatari wakati kila siku wanaolewa huku mabinti vigori wakiachwa, wanaume huwa mnanifurahisha sana yani mnajitutumua huku mitandaoni kwamba mnaoa wife material tu, wakati kwenye maisha halisi tunashuhudia hadi makahaba wastaafu wanaolewa na ndoa zao zinadumu vizuri tu

Ndio maana nikakuambia kama mmeamua kufuata maandiko basi fuateni yote msichague yale mnayoona yanawafavour tu, siyo ninyi mnabagua maandiko halafu mnawalazimisha wanawake ndio wafuate maandiko yote nao wasibague yanayowafavour wao tu, by the way kwa vile umesema maandiko siyo nature basi bado tunarudi pale pale kwamba utawala wa mwanaume kwa mwanamke siyo nature

Aiseee kwahiyo unataka kusema wanaume ambao walikuwa wananyanyasa wanawake zamani ni kwa sababu hao wanawake hawakuwa watiifu, hivi wewe umewahi kuwa kwenye mahusiano mangapi kwanza maana naona mambo mengi unaandika kama layman tu usiye na experience yoyote, ni wanaume wangapi wanapata wanawake wanyenyekevu ila bado wanawanyanyasa mimi nimeshakutana na wanaume kadhaa ambao wanakiri kwamba wanaishi kwenye majuto, kwa sababu waliwahi kupata wanawake wapole ila wakatake advantage ya upole wao kisa walijiona wanapendwa hivyo hao wanawake hawawezi kufurukuta kwao, ila siku walipokuja kuachwa na kuanza kupata magumegume ndio wakaona umuhimu wa hao wanawake waliokuwa wakiwanyanyasa kwa kujiona vidume

Wewe huna hizo akili timamu hebu acha kujikosha hapa

Hivi we una akili kweli ni wapi mimi nimeongelea habari za kuenda bar au kuenda kuliwa, kwahiyo wewe mkeo akikuambia anataka kuenda sehemu fulani unawaza ni bar au kuchepuka tu, okay kwahiyo mfano na wewe mkeo akijua kwamba unataka kuenda bar au kuchepuka na akakukataza utafanyaje

Sasa kama mnataka wanawake wakae nyumbani si ndio mtimize majukumu yenu kikamilifu bila kuwanyanyasa, hakuna mwanamke ambaye anapenda kuenda kutafuta ikiwa mwanaume wake anatimiza majukumu yake ipasavyo na hamnyanyasi, leo hii wanaume mnalegaga kwenye majukumu yenu mnasingizia maisha magumu (ila hela za kuhonga michepuko hamkosi) halafu wanawake wakiamua waingilie kati ili kuokoa jahazi mnaanza kelele

Sasa kama hamtaki wake zenu wawatawale si ndio mhakikishe hawafikii hiyo stage ya kuanza wahudumia ninyi, ndio mnatakiwa sasa mfanye kama jamii za zamani zilivyokuwa zinafanya pale wanaume walipokuwa wanakwama, hoja hapa ni kwamba hakikisha ukikwama unafanya juu chini mkeo asikamate majukumu yako huku wewe umekaa tu eti kisa umekwama

Wanawake ni dhaifu kulingana na definition yenu ya neno udhaifu lakini si kulingana na maana halisi ya hilo neno

Na kwanini mwanamke amhudumie mume wakati maandiko hayajasema tuanzie hapo kwanza, kwani maandiko yaliposema kwamba mwanaume ndio amhudumie mke hayakujua kwamba mwanaume anaweza kukwama, kama maandiko hayajasema sasa wewe hayo mambo ya mwanamke kumhudumia mume umeyatoa wapi

Kizuri ni kwamba hapo kila tabia hata wanaume wanayo katika namna yao, kuna wanaume ambao nao huvaa mavazi ya ajabu japo ni ya kiume, kuna wanaume walevi kupindukia, na pia hao wanawake wa riverside wateja wao ni hao hao wanaume, kwahiyo inategemea hao wanawake unaowaongelea wanadeal na wanaume wa aina gani

Ndio maana nikakuambia kukeketwa kuliwafanya wanawake wasieenjoy tendo, hivyo huo utamaduni uliwalazimu wawe waaminifu kwa waume zao tu kwa maana hilo tendo halina maana ikiwa una hamu nalo, halafu ukifanya haulifurahii bali unakuwa unamfurahisha mwenzio tu

Siyo wapumbavu bali ni waelewa usitunge maana yako mwenyewe ya neno upumbavu, upumbavu ni kujua kuwa mkeo ni mfanyakazi hivyo kuna wakati anahitajika kufuata amri za boss halafu wewe bado unaleta ubabe wako kama vipi si uoe mwanamke asiyena elimu ili akae nyumbani umhudumie kwa kila kitu, yani wewe umeoa mwanamke askari halafu akipigiwa simu usiku wa manane na mkuu wake kuwa anahitajika kazini wewe uanze kuleta ubabe wako wa kipumbavu kuwa eti akuombe ruhusa mara sijui akiondoka nyumba itabaki na nani kwani wakati unamuoa au wakati anaanza hiyo kazi hukujua hilo

Hoja yako ni nini maana naona swali la kijinga tu hapo

Sasa tangu mmeanza kupinga ushoga je mnaona dalili yoyote ya kuisha au ndio kwanza unazidi halafu kaa ukijua ushoga unapingwa kwa sababu una madhara kwao hao wanaoufanya na pia watu hawataki hao mashoga waje wawadhuru na kuwaharibu na watoto wao sasa feminism inamdhuru nani ilihali ina faida kwa wanawake, anyway kwa mujibu wa biblia ushoga ulianzia sodoma na gomora na hiyo miji yote ilichomwa na mashoga yote yalifia humo ila bado ukaja kuibuka tena na kukuwa kwa kasi zaidi, huko kwenye nchi za kiarabu ambako wanajifanya wameshika sana dini na kuna sheria kali dhidi ya mashoga ila bado ushoga upo sema ni kwamba tu wao wanafanyia mafichoni ili huku nje waonekane watakatifu tofauti na wazungu ambao wao hawawezi unafiki wanaufanya hadharani ndio maana wanasingiziwa kwamba wao ndio wanaueneza

Hebu jifunze kujadili hoja bila kumuongelea personally huyo unayejadiliana naye, mimi kuolewa au kutokuelewa haibadili ukweli kwamba familia za aina hiyo zipo, tatizo lako wewe hapa unadhani mimi naongea mawazo yangu wakati mimi naongea uhalisia uliopo na yale ninayoyaona mwenyewe situngi nadharia kama wewe

Sasa mbona mwanzo ullikuwa unabisha niliposema kwamba wanawake walikuwa wanafunzwa majukumu yaliyokuwa yanahusiana na nyumbani na shambani, nilikuuliza hivi je zamani vitu vilikuwa havitengenezwi kwanini wanawake hawakupewa elimu ya kutengeneza vitu mbalimbali kama vitendea kazi vya kufanyia shughuli za kila siku, kama mnaona walikuwa hawawezi mbona leo hii wanaweza tena wengine wanafanya vizuri kuliko hata wanaume sasa kimebadilika nini

Nami narudia jibu, kwamba hawana furaha ila wanatii kwa sababu tu ya mshahara, ambacho hukuelewa ni nini hapo au ndio muendelezo wa zile mbinu zako za kukwepa hoja

Tukisema tufuate maandiko, basi haitakiwi mwanamke amhudumie mwanaume no matter the circumstances, maana maandiko hayajampa mwanamke hilo jukumu

Si ndio maana nikakuambia uende google ukatafute, nilikuwa na maana yangu kukuuliza kama unajua majina ya species za mbwa maana hata nikikutajia kama huzijui hizo species zinafananaje, lazima utahitaji kuona picha kwahiyo kwa urahisi zaidi nenda google ukatafute mwenyewe majina pamoja na picha acha kujifanya una akili kumbe mweupe tu



Sikiliza wewe maandiko mengi huwa yanashabihiana kuna maandiko ambayo hayako direct, ila watu wanayatafsiri kulingana na maandiko mengine ambayo yanachukuliwa kama yanawakilisha hayo ambayo hayajaandikwa, kwa mfano wanaume wanasema kwamba wao waliumbwa na tamaa ambayo inawalazimu kuwa na wanawake wengi na kwamba hiyo ni kwa mujibu wa maandiko

Lakini kwenye biblia hakuna andiko direct ambalo linasema kwamba mwanaume aliumbwa na tamaa au eti mwanaume anatakiwa kuwa na wake wengi bali wanaume huwa wanaishia kutolea tu mifano ya manabii kama kina suleiman, na huwa wanashikilia lile andiko pale mungu alipomuambia mwanamke kuwa "tamaa yako itakuwa kwa mumeo tu" wao wanasema kwamba kwa sababu hilo neno alitamkiwa mwanamke na siyo mwanaume, basi tafsiri yake mwanaume yeye tamaa yake itakuwa kwa mwanamke yeyote tu jambo ambalo si kweli lakini ndio imeshaonekana ni ukweli kwa sababu tunaona namna wanaume walivyo na tamaa na kutaka kumiliki wanawake wapya kila siku

Halafu kingine unapoagizwa ufanye jambo fulani kwenye maandiko maana yake ukienda kinyume na hilo andiko hustahili kupata lolote zuri ambalo ungelipata kwa kutekeleza andiko husika, mwanaume unaposhindwa kuhudumia familia yako kwa sababu yoyote ile iliyo ndani ya uwezo wako maana yake umekiuka maandiko hivyo hata mwanamke naye akikiuka maandiko ya kukutii hutakiwi kumlaumu, ndio maana nikakuambia kama wanaume mmeamua kufuata maandiko basi fuateni yote msichague yale yanayowafavour ninyi tu halafu wanawake ndio mnataka wafuate yote

Sasa mbona awali ulisema kwamba naturally kila mwanamke anazaliwa na fikira za kutaka kutawaliwa na mwanaume na hakuna mwanaume anayezaliwa na fikira za kutaka kutawaliwa na mwanamke, kitendo cha kuibuka wanawake ambao walianza kutaka usawa na wanaume kinadhihirisha kwamba mwanamke kumtii mwanaume siyo nature bali ni tamaduni alizofunzwa tu, halafu kama feminism ilianzishwa na wanawake ambao walikuwa dhaifu kipindi ambacho wanaume ndio watawala ilikuwaje sasa hao wanaume wakakubali kirahisi wanawake wadai usawa na wanaume kwanini wasingetumia nguvu na uwezo wao kuhakikisha kwamba feminism haisurvive
 
Ndo maana nilikuambia turudi kwenye basics, hilo swala ambalo wewe unalipinga haliwezekani kamwe, mwanamke hawezi kuwa sawa na mwanaume ndo maana hata physically mwanamke hayupo strong, so it makes no sense unavyosema eti uchumi ndo basis za kutawaliwa. Unless kama una fear based mentality lazima utaona kama ni vibaya, kuna muda nilikuambia ufute negative perspectives zako lkn kadri unavyo letewa concepts unajisahau! Wanawake ni viumbe soft, wanatumia intuition wana uwezo wa ku nurture ndo maana wamepewa uwezo wa kuzaa, Sisi masculine ni hard, tumeumbwa kutafuta, tunatumia logic.

Mind you, hizi qualities sio kwamba hazi exist kwa wote, ila zipo kwa kila mtu, sema ukizaliwa mwanamme unakuwa masculine na mwanamke anakuwa feminine. Sasa kutokana na utandawazi, elimu na dini. Mankind anazidi kupoteza essence yake, ndo maana ushoga nao unakuja kwa kasi, mara feminism mara lesbians e.t.c... hii yote ni kwa sababu watu wanafuata mambo bila kujua hasa ni nini kimekusudiwa. Uwezo wa kubaki kuwa normal ni mgumu sana na tukiangalia mavyakula yanayokuwa genetic modified ndo haswa yanaharibu watu sana. So unakuta mtu kazaliwa mwanamke au mwanaume ila anakuwa tyr kaharibiwa na mifumo ya maisha.

Hata utii wenyewe ni man made concept, jinsi unavyo I perceive ndo jinsi inavyo tokea kwenye reality, mwanamke kaumbwa kutokuwa leader trust me, si maanishi uongozi wa normal life sjui raisi, mbunge or mwenyekiti no, I mean when it comes to life in nature mwanamke sio kiingozi, so mwanaume lazima amuongoze. These are laws of nature. Sasa nyie endeleeni kuchimbia vichwa vyenu chini na ukweli unaonekana kabisa.
Sio kwamba haelewi ila hayupo tayari kuelewa.
Nilisema "dini karibu zote" hebu elewa kiswahili, halafu hizo nilizokutajia ndio dini kubwa zaidi duniani na zenye ushawishi mkubwa, sasa kama kila dini iko sahihi kwa upande wake maana yake kuna miungu zaidi ya mmoja na kila mungu ana sheria zake, na suala hapa siyo kila dini kuwa sahihi kwa upande wake bali suala ni kwamba ukweli na uhalisia ni upi na una uhalali gani wa kutumia maandiko ya dini moja na kuacha ya dini nyingine kwenye general discussions kama hizi

Ndio maana nikakuambia mwanaume hawezi kuamua muda anaotaka wa kupata watoto na idadi anayotaka hiyo nguvu ya maamuzi anayo mwanamke, mwanaume ni lazima amuombe mwanamke kuzaa watoto kwa wakati fulani au idadi fulani hawezi kumlazimisha, wewe unasema wanawake wa kuzaa kukosekana ni nadharia wakati wanawake wameshaanza kugoma kuzaa huko

Asilimia kubwa inaenda kwa watoto na siyo kwa mke na kwa hilo basi unastahili zaidi utii kutoka kwa hao watoto wako hivyo vitu vingine kama kula na kulala vina faida hata kwako, kwa sababu hivyo vyakula hawali familia yako tu hata wewe unakula tena wewe unanunua mkeo kazi yake kuvipika, hiyo nyumba hawaishi familia yako tu hata wewe unaishi tena wewe unajenga au unalipa pango mkeo kazi yake kuisafisha

Nasisitiza utii wa aina hiyo siyo nature, acha kutolea mifano ambayo ni irrelevant, mwisho wa siku unajifunga wewe mwenyewe

Wewe kuona hivyo ni matokeo ya kutaka mimi nikubali tu kila kitu unachoniambia hata kama hakina uhalisia

Aiseee yani kuwajua watu wa aina fulani, ni mpaka uwe unafanya kazi fulani ambayo inahusisha hao watu, una umasikini wa fikira

Ni kwa sababu wanaume wengi walikuwa wanawanyanyasa wanawake kwa kigezo cha kuwahudumia, yani mtu anataka akifanya makosa asiulizwe kwa sababu tu anakulisha anakuvisha nk kwa madai kwamba unataka kumpanda kichwani, kwahiyo wanawake walichoka hayo manyanyaso yaliyojificha kwenye kivuli cha kuhudumia na mfumo dume

Hoja siyo kuwa au kutokuwa sahihi, hoja ni kwamba wanaumizwa na hayo maovu ya wanawake ndio maana wanalalamika, wewe ulisema kwamba wanaume hawaumii wanaoumia ni wanawake tu

Acha kukariri internet isn't a real place kwenye masuala ya economic status lakini tukija kwenye hisia na tabia hakuna mahali ambako watu wanaelezea hisia zao au wanaonesha tabia zao halisi kama kwenye mitandao, ndio maana nikakuambia wewe huijui vizuri saikolojia ya binadamu watu wengi humu kwenye mitandao ndio wako huru kujionesha wao ni kina nani hasa na mawazo yao halisi, ambayo pengine hawawezi kuonesha mbele za watu waliowazunguka sababu humu mitandaoni hatufahamiani personally

Oohh kumbe unajua kwamba kuna kupigana na mtu huku umemfunga mikono basi hicho ndicho walichokuwa wanafanya wanaume zamani kabla ya feminism kuanzishwa, yani kwa kifupi kinachofanyika sasa hivi kwa wanawake ndicho kilichofanyika zamani kwa wanaume hadi kujipa utawala sasa kama unaona inawezekana kwa wanawake kwanini uone haiwezekani kwa wanaume, nilipokuwa nakuambia kwamba wanaume walijipa utawala kimabavu kwa kutumia maumbile ulijifanya unapindishapindisha maneno kwamba kwani walipigana vita hadi wanaume wakashinda sasa nami nakuuliza kwani wanawake wamepigana vita na ninyi hadi muone kama wao ndio wameshinda

Ni wapi huko ambako wanaume wanabaguliwa na fursa zote wanachukua wanawake tu, acheni kujivictimize ninyi si wanaume mmewazidi wanawake akili na nguvu onesheni sasa huo uwezo wenu, kwani ni lini wanawake walipigana na ninyi hadi udhani kwamba wameshinda

Tofautisha kati ya mwanamke anayejiuza (kahaba) na mwanamke anayeingia kwenye mahusiano kwa ajili ya pesa kahaba yeye haingii kwenye mahusiano bali anafanya ngono na mwanaume yeyote, kwa makubaliano ya kulipia lile tendo kisha baada ya hapo kila mtu anashika hamsini zake ila hao wengine wanaingia kwenye mahusiano kama kawaida ila lengo lao ni kuhudumiwa tu na si mapenzi ya kweli, sasa hao ndio ninaowasemea kwamba wameanza karne hii baada ya kuona kwamba wanaume nao hawana mapenzi ya kweli bali wanaingia kwenye mahusiano kwa sababu ya ngono tu na hawajali kwa sababu kwa mujibu wao wanadai anayeumia ni mwanamke

Hakuna cha kujifunza kutoka kwenu wanaume ambao huwa mnalitetea jambo kwa maslahi yenu binafsi na si kwa maslahi ya pande zote mbili, feminism ni upuuzi kwenu ninyi wanaume sababu inathreaten nafasi yenu ya mchongo mliyojipa kimabavu ila kwa wanawake feminism ina faida, kinachotokea sasa ni kwamba mmeamua kuwakomoa wanawake sababu wamekataa kuendelea kuwa chini yenu halafu mnasingizia kwamba ni wao ndio wanateseka

Huwa unapenda kweli kubisha kienyeji kwenye mambo ambayo huna uelewa nayo, kwahiyo unahisi mimi najitungia nadharia zangu kama wewe, hebu do your research kuhusu asexuals halafu urudi hapa tuendelee kujadili

Duuh kwahiyo mwanamke kugoma kufanya tendo na mwanaume maana yake anawachukia aisee wewe kweli huwajui wanawake, hujui kwamba kuna wanawake wanachukia wanaume lakini wanafanya nao kama kawaida na wanaingia nao hadi kwenye mahusiano kwa lengo la kuwaumiza kihisia, halafu unataka kuwasingizia watoto wa watu ambao kwa sababu zao binafsi wameamua kutofanya hilo tendo kwahiyo unataka kusema na masister nao wanachukia wanaume au

Ni wapi nilipojiongelea mimi hapo hebu nioneshe, nimekuambia jadili mada acha kunijadili mimi sawa, kama spana zimekuzidia sema acha kudivert mada

Wewe ndio kazi yako hiyo uliyojipa sababu unakimbia hoja, mimi sikimbii hoja hata ukijificha kwenye kichaka nakufuata huko huko, hata ukitoka nje ya mada nakujibu huko huko silalamiki kama wewe

Vipi na mwanaume asiyetekeleza majukumu yake anaitwaje na anastahili kufanywa nini

Oohh kwahiyo feminism ni namna ya uvaaji

Wanawake hawapingi ushoga kwa sababu siyo wanafiki lakini si kwamba wanaupenda, unafiki ni pale ambapo wanaowaharibu hao mashoga ni mwanaume mwenzenu lakini cha ajabu badala ya kuwakemea hao mabasha, mnakuja kuwalaumu wanawake kuwa mara wanatetea mashoga mara wanalea watoto wa kiume vibaya yani kwenu ninyi kila baya chanzo ni mwanamke

AIseee kwahiyo unataka kusema aliyeanzisha feminism, ndio huyo huyo aliyeanzisha ushoga, haya tuambie ni nani huyo

Oohh kwahiyo malengo ya kwanza ya feminism yalikuwa mazuri

Ni kwa sababu watu wengi wa vijijini wamechagua kuwa ignorant, yani with all the information found all over the media, lakini bado wanafanya mambo ya kipuuzi na kushikilia imani za kipumbavu tu

Hili nimeshafafanua tayari, na naongezea kwamba haihitaji jamii nzima kuwa kwenye mitandao ili uijue hiyo jamii, hao waliopo kwenye mitandao ndio wanawakilisha na wanasema yaliyopo kwenye jamii husika

Inaonekana kwako ndoa ni mafanikio makubwa sana hongera nenda na wewe kaolewe
Hee nikaolewe tena Mbona Unanitukana Sasa Bi Jadda.
basi maana unaandika kana kwamba ndoa zote zina furaha na wote walioko huku hawatamani kutoka, sikujua kwamba mwanamke kuolewa ndio kuwa na akili halafu ambao hawajaolewa wote hawana akili teh, bila shaka hujaona nilipoandika kwamba "maisha yangu yananinyookea" ukakimbilia kuniletea mihemko yako hapa ni wapi niliposema kwamba mimi natumia logic ndio maana sitoi..acha upumbavu wewe!!
Umepanic!! Jenga hoja kupanic hakutakusaidia kitu
Sasa wewe unajuaje kama mimi sina experience au sijafanya research, halafu mbona kama umeanza kuniongelea kana kwamba unanijua sana, yani naona nusu ya uzi umeamua kunishambulia mimi badala ya kushambulia hoja..dadeki nimekupiga spana mpaka umepanic unaanza kuniattack mimi!!
Unatakiwa Kwenye mjadala kama huu useme nimefanya Research au nina experience sio unasema "sasa utajuaje kama sijafanya" unakuwa unadhibitisha kuwa hujafanya.
Oohh kwahiyo hizo ndio skills pekee ambazo na wanaume walikuwa wanafundishwa si ndio
Zipo nyingi na zote zilitokana na Uwezo wa Ukakamavu waliokuwa nao wanaume wakapewa wao na Jamii.
Siyo huelewi ujibu lipi ni kwamba huna hoja, yani jibu la hilo swali lako liko hapo hapo halafu unaniuliza tena, soma tena hiyo comment yangu acha kukwepa hoja
Malalamiko..
Nimeshakuambia kwamba ugumu wa hayo majukumu umewekwa na binadamu wenyewe, na huo ugumu uliowekwa ndio unaofanya ionekane kwamba mwanamke hawezi kufanya majukumu ya mwanaume kwa ufanisi, lakini majukumu mengi ambayo wanaume wanafanya wanawake wanaweza
Umesema majukumu mengi.
Jee kuna machache ambayo wanawake hawayawezi??
Hilo swali lako si nimeshakujibu hapo hapo kwenye hiyo comment hivi unajua kusoma kwa ufahamu kweli wewe mbona unakuwa kama guluguja lisilo na akili,
Mbona matusi sasa.
ni wapi nimesema kwamba jamii ilikuwa na makosa kuamua mwanamke akae nyumbani mimi nimesema tatizo siyo mwanamke kukaa nyumbani bali tatizo ni mwanaume kutaka kumtawala mwanamke kisa tu mwanamke anakaa nyumbani yani hapo tatizo ni kuyaunderestimate majukumu ya mwanamke na kuona kwamba ya wanaume ndio magumu na muhimu zaidi kiasi cha kuwafanya wao kuwa watawala
Kwani Kuna Aliesema mwanaume ni Mtawala kwa sababu ya majukumu aliyonayo.??
Ni wapi niliposema kwamba mwanaume na mwanamke wapo sawa kimaumbile nioneshe
Nanukuu "
Nimeshakuambia kwamba ugumu wa hayo majukumu umewekwa na binadamu wenyewe, na huo ugumu uliowekwa ndio unaofanya ionekane kwamba mwanamke hawezi kufanya majukumu ya mwanaume kwa ufanisi, lakini majukumu mengi ambayo wanaume wanafanya wanawake wanaweza"

Kama Wanawake wanaweza kufanya ya wanaume Jee Kuna Utofauti kati yao??
Aiseee hebu rudia kusoma comment yangu uje na maswali ya maana, unarudiarudia kuuliza maswali yale yale ambayo nimeshakujibu, hii trick yako unayoitumia kukwepa hoja utaiacha lini
Hii pia ni trick.
Ni kwa sababu mwanamke hakutaka kuwa mtawala ila mwanaume ndiye aliyetaka, kigezo cha nguvu walikiweka wao wenyewe na siyo nature kwamba eti mwanamke anataka kutawaliwa na mwanaume kisa kamzidi nguvu, hicho kigezo cha nguvu kina uhalali gani hadi sasa unashindwa kujibu hili swali unambwelambwela tu
Kigezo cha Nguvu ndio kigezo cha Kutawala Duniani. Kila kinachotawala kina Nguvu kuliko kile kinachotawaliwa. Hii pia utabisha.
Ni kwa sababu hilo ndio jukumu kubwa la mwanaume
Ni katika Majukumu ya mwanaume ila sio Kubwa Kuliko. Zamani Zipo Jamii ambazo Wamama ndio walikuwa Wanahangaika Zaidi shambani kutafuta Chakula cha familia.
Lakini bado Wanaume walibaki ni Watawala.

Hapa badala ya Kujibu hoja hii Utaanza kusema Wanaume walikuwa hovyo sijui walikuwa hawatekelezi majukumu yao.
Ndio maana nilikuambia hayo yote ni jamii ndio iliyaweka wanaume walipewa mafunzo magumu yaliyofanya wawe wakakamavu wanawake wakapewa mafunzo mepesi ili wakae nyumbani, lakini si kwamba wanawake wakipewa mafunzo magumu hawawezi ndio maana nikakuambia hata leo hii tunaona kuna wanawake wengi ni wanajeshi na wengine ni makomando kabisa, wanapewa mafunzo sawa na wanaume (tena unakuta kuna wanaume wanatoroka mafunzo wanawaacha wanawake) na vitani wanaenda jambo ambalo zamani lilionekana haliwezekani kwa mwanamke
Nakubaliana na wewe kuwa Mwanamke akiwa trained anaweza kumzidi Mwanaume ambaye hana mafunzo ila Mwanamke Aliyepewa mafunzo sawa Na Mwanaume ni Ngumu kumzidi huyo Mwanaume au kushinda katika Pambano.
Na pia leo hii tunaona wanawake wengi wanatumiwa kwenye mission za kijasusi za kuhatarisha uhai wao (ambazo hata wanaume baadhi hawawezi) na wanakuwa successful, na kuna wanawake wana skills zote za kupigana na wana uwezo wa kupigana hata na wanaume na wakashinda halafu wewe unakuja kuzungumzia habari za kuogopa mende sijui upumbavu gani, mbona hata wanaume kuna ambao wanaogopa wadudu wadogo wadogo suala la kuogopa wadudu siyo la jinsia bali ni namna ulivyolelewa
Umezungumzia kuwa trained mimi nazungumzia at normal situation. Hata Mtoto akiwa trained anaweza kuwa hatari kwa watu wazima Haina maana kwamba Watoto ni watu hatari.
Halafu inaonekana huwa huelewi watu wanaposema mwanamke ni kiumbe hatari mwanamke ana uwezo wa kukuua huku anakuchekea yeye hatumii nguvu bali akili, ukimuweka mwanamke na mwanaume wenye umri sawa mwanamke ndio ana upeo zaidi (hili hata wanasaikolojia wanalifahamu) ndio maana huwa inashauriwa mwanaume aoe mwanamke aliyemzidi miaka kuanzia minne na kuendelea, ila siyo walingane au mwanaume awe mdogo maana hapo automatically mwanamke atakuwa amemzidi upeo huyo mume wake other factors being constant
Mwanaume anashauriwa aoe Mwanamke aliemzidi kwa sababu Wanawake wanawahi kuzeeka.

Pili Itakuwa ni Rahisi Kwa Mtu mzima Kuvumilia Vituko vya Binti mdogo kuliko wakioana Watu waofanana Umri.

Kama unazungumzia akili kama akili kuna mambo huwa wanayafanya wamama watu wazima kabisa hadi unashangaa.
Hata maandiko yenyewe yanamuambia mwanaume aishi na mwanamke kwa akili
Akili Katika Kuishi nae Ukivumilia Vituko vyake kwa sababu Mwanamke ana mapungufu mengi. Kumbuka Mwanamke ni ubavu wa mwanaume.
maana yake mwanamke ni kiumbe mwenye akili na kiumbe katili sana
Hee Mwanamke ni katili?? Uko serious.!!
Jee na mwanaume nae Utamsifiaje??
na manipulative kama akiamua kuitumia akili yake fully lakini pia ni kiumbe mwenye huruma kama hajatendwa vibaya, na wanaume wa zamani walilijua hili ndio maana wakamuwekea mwanamke tamaduni za kumfanya awe chini na ajione dhaifu kwa kumnyima sauti na uhuru maana walijua mwanamke akipewa hivyo vitu atamtesa sana mwanaume, na sasa ndio tunajionea namna kweli mnavyoteseka hadi mnajidai kususia ndoa ili kuwakomoa wanawake halafu mwisho wa siku mnasema eti wao ndio wanateseka kumbe ni ninyi ndio hamtaki kukubaliana na uhalisia
Aisee Wanawake hawa hawa au Wengine??? Mbona Unawatengeneza Wanawake wako?? Sema ninyi mmejazwa fikra zinawaendesha na kuwapa matumaini kuwa Siku moja Mtakuja Kumfanya Mwanaume mtumwa na kumfanya mnachotaka. But that will hardly happen.
Hayo yote hamyaoni kwa sababu ninyi mliamua utawala uegemee kwenye attributes za mwili tu na siyo akili yani mnadefine weakness kwa kuangalia nguvu za mwili tu eti kisa wewe ukimpiga ngumi mwanamke akishindwa kukurudishia basi ndio unafaa kumtawala (nonsense), hujui kwamba hata mwanamke naye akiamua anaweza kukufanyia jambo ambalo wewe na halmashauri ya kichwa chako mkabaki mmeduwaa nguvu ya mwanamke haiko mwilini bali iko kwenye kujua kucheza na saikolojia ya mwanaume kiasi cha kuweza kumuangusha na huyo mwanaume asiinuke tena,
Njia pekee ya Mwanamke kumuangusha Mwanaume ni Katika Mapenzi tuu yaani atumie ule Uanamke wake Amlaghai Mwanamume kama ilivyokuwa kwa Samsoni na Delila. Ila kama Itakuwa ni vita rasmi na mwanaume akajua yupo vitani hakuna njia Unaweza kutoboa bi Dada.
bila shaka hujawahi kusikia ule msemo kwamba "mwanamke akiamua kulipa kisasi hata shetani mwenyewe anakaa pembeni kujifunza" hiyo kauli huwa wanaisema wanaume wenzio waliokuwa wanajitutumua na kujiona vidume kama wewe lakini mwisho wa siku yakawakuta yaliyowakuta kwahiyo na wewe ishi nao kwa akili na omba yasikukute
Nasisitiza Mwanamke anaweza kumdhuru mwanaume kama huyo mwanaume asipojua kuwa yupo Vitani na kiumbe hicho.
Sasa kukaa nyumbani kulea watoto sio kigezo cha kutawaliwa
Ila Cha kutawala??
Na mke nae anatunzwa na baba wakubwa na wadogo
Mwanamke anaweza kuchagua Kuendelea kulea watoto wake kwa msaada wa familia ya Mwanaume au arudi kwao.
Sasa hayo mambo ya kipuuzi kwanini yawe ya kipuuzi kulingana na mujibu wenu ninyi tu, yani jambo liwe la kipuuzi eti kwa sababu tu ninyi wanaume mnalichukia hata kama kwa wanawake linawafaidisha, huwa mnajiona mna akili sana wakati kuna wanawake out there wana akili kuwazidi na tunaona jinsia wanavyowagaragaza kwenye nyanja nyingi
Nyanja zipi hizo?? Au kupata Division 1 form four??
Ndio maana nikakuambia kushepu tabia na maadili ya watoto ni jukumu la wote baba na mama wanaume msitafute visingizio vya kukwepa hilo jukumu, haiwezekani wote mnaishi nyumba moja na hao watoto halafu wote mnatoka kazini jioni ila bado jukumu la kulea watoto umuachie mkeo tu, yani watoto mpaka wanaharibikiwa chini ya himaya yako na wewe baba unaangalia tu ili mwisho wa siku uje kumlaumu mkeo sasa wewe utakuwa ni baba au kikaragosi
Unakataa tena kuwa ninyi ni walezi?? Si ulishasema wanaume hatuna Ufanisi katika malezi na ninyi ndio mnaufanisi?? Sasa unalalamika nini???
Sasa mtoto kufanyiwa mambo mabaya ni kosa la mama au kosa la hao wanaomfanyia hayo mambo mabaya

Wanawake hawakuanza kutafuta pesa from nowhere tu bali ni wanaume ndio walipelekea wanawake nao waanze kutafuta pesa, nimeshakuambia zamani wanaume walikuwa wanawanyanyasa wanawake kwa kigezo cha kuwahudumia hivyo wanawake wakaona heri waanze kujitafutia vyao ili walau wawe na sauti na uhuru, na kwa dunia ya leo ambayo wanaume wengi wanakimbia majukumu wanatelekeza watoto unategemea wanawake wafanyeje wawe ombaomba ili wapate pesa au

Okay ngoja nikuulize swali kama unaona tatizo ni malezi kwanini unakuta kwenye familia yenye watoto tufanye wanne, ambao wamelelewa pamoja kwenye nyumba moja unakuta ni mmoja au wawili wenye tabia mbovu ikiwemo ushoga, ila wengine unakuta wana tabia nzuri tu sasa kama shida ingekuwa kwenye malezi pekee kwanini wasingeharibikiwa wote

Ni hatari wakati kila siku wanaolewa huku mabinti vigori wakiachwa, wanaume huwa mnanifurahisha sana yani mnajitutumua huku mitandaoni kwamba mnaoa wife material tu, wakati kwenye maisha halisi tunashuhudia hadi makahaba wastaafu wanaolewa na ndoa zao zinadumu vizuri tu

Ndio maana nikakuambia kama mmeamua kufuata maandiko basi fuateni yote msichague yale mnayoona yanawafavour tu, siyo ninyi mnabagua maandiko halafu mnawalazimisha wanawake ndio wafuate maandiko yote nao wasibague yanayowafavour wao tu, by the way kwa vile umesema maandiko siyo nature basi bado tunarudi pale pale kwamba utawala wa mwanaume kwa mwanamke siyo nature

Aiseee kwahiyo unataka kusema wanaume ambao walikuwa wananyanyasa wanawake zamani ni kwa sababu hao wanawake hawakuwa watiifu, hivi wewe umewahi kuwa kwenye mahusiano mangapi kwanza maana naona mambo mengi unaandika kama layman tu usiye na experience yoyote, ni wanaume wangapi wanapata wanawake wanyenyekevu ila bado wanawanyanyasa mimi nimeshakutana na wanaume kadhaa ambao wanakiri kwamba wanaishi kwenye majuto, kwa sababu waliwahi kupata wanawake wapole ila wakatake advantage ya upole wao kisa walijiona wanapendwa hivyo hao wanawake hawawezi kufurukuta kwao, ila siku walipokuja kuachwa na kuanza kupata magumegume ndio wakaona umuhimu wa hao wanawake waliokuwa wakiwanyanyasa kwa kujiona vidume

Wewe huna hizo akili timamu hebu acha kujikosha hapa

Hivi we una akili kweli ni wapi mimi nimeongelea habari za kuenda bar au kuenda kuliwa, kwahiyo wewe mkeo akikuambia anataka kuenda sehemu fulani unawaza ni bar au kuchepuka tu, okay kwahiyo mfano na wewe mkeo akijua kwamba unataka kuenda bar au kuchepuka na akakukataza utafanyaje

Sasa kama mnataka wanawake wakae nyumbani si ndio mtimize majukumu yenu kikamilifu bila kuwanyanyasa, hakuna mwanamke ambaye anapenda kuenda kutafuta ikiwa mwanaume wake anatimiza majukumu yake ipasavyo na hamnyanyasi, leo hii wanaume mnalegaga kwenye majukumu yenu mnasingizia maisha magumu (ila hela za kuhonga michepuko hamkosi) halafu wanawake wakiamua waingilie kati ili kuokoa jahazi mnaanza kelele

Sasa kama hamtaki wake zenu wawatawale si ndio mhakikishe hawafikii hiyo stage ya kuanza wahudumia ninyi, ndio mnatakiwa sasa mfanye kama jamii za zamani zilivyokuwa zinafanya pale wanaume walipokuwa wanakwama, hoja hapa ni kwamba hakikisha ukikwama unafanya juu chini mkeo asikamate majukumu yako huku wewe umekaa tu eti kisa umekwama

Wanawake ni dhaifu kulingana na definition yenu ya neno udhaifu lakini si kulingana na maana halisi ya hilo neno

Na kwanini mwanamke amhudumie mume wakati maandiko hayajasema tuanzie hapo kwanza, kwani maandiko yaliposema kwamba mwanaume ndio amhudumie mke hayakujua kwamba mwanaume anaweza kukwama, kama maandiko hayajasema sasa wewe hayo mambo ya mwanamke kumhudumia mume umeyatoa wapi

Kizuri ni kwamba hapo kila tabia hata wanaume wanayo katika namna yao, kuna wanaume ambao nao huvaa mavazi ya ajabu japo ni ya kiume, kuna wanaume walevi kupindukia, na pia hao wanawake wa riverside wateja wao ni hao hao wanaume, kwahiyo inategemea hao wanawake unaowaongelea wanadeal na wanaume wa aina gani

Ndio maana nikakuambia kukeketwa kuliwafanya wanawake wasieenjoy tendo, hivyo huo utamaduni uliwalazimu wawe waaminifu kwa waume zao tu kwa maana hilo tendo halina maana ikiwa una hamu nalo, halafu ukifanya haulifurahii bali unakuwa unamfurahisha mwenzio tu

Siyo wapumbavu bali ni waelewa usitunge maana yako mwenyewe ya neno upumbavu, upumbavu ni kujua kuwa mkeo ni mfanyakazi hivyo kuna wakati anahitajika kufuata amri za boss halafu wewe bado unaleta ubabe wako kama vipi si uoe mwanamke asiyena elimu ili akae nyumbani umhudumie kwa kila kitu, yani wewe umeoa mwanamke askari halafu akipigiwa simu usiku wa manane na mkuu wake kuwa anahitajika kazini wewe uanze kuleta ubabe wako wa kipumbavu kuwa eti akuombe ruhusa mara sijui akiondoka nyumba itabaki na nani kwani wakati unamuoa au wakati anaanza hiyo kazi hukujua hilo

Hoja yako ni nini maana naona swali la kijinga tu hapo

Sasa tangu mmeanza kupinga ushoga je mnaona dalili yoyote ya kuisha au ndio kwanza unazidi halafu kaa ukijua ushoga unapingwa kwa sababu una madhara kwao hao wanaoufanya na pia watu hawataki hao mashoga waje wawadhuru na kuwaharibu na watoto wao sasa feminism inamdhuru nani ilihali ina faida kwa wanawake, anyway kwa mujibu wa biblia ushoga ulianzia sodoma na gomora na hiyo miji yote ilichomwa na mashoga yote yalifia humo ila bado ukaja kuibuka tena na kukuwa kwa kasi zaidi, huko kwenye nchi za kiarabu ambako wanajifanya wameshika sana dini na kuna sheria kali dhidi ya mashoga ila bado ushoga upo sema ni kwamba tu wao wanafanyia mafichoni ili huku nje waonekane watakatifu tofauti na wazungu ambao wao hawawezi unafiki wanaufanya hadharani ndio maana wanasingiziwa kwamba wao ndio wanaueneza

Hebu jifunze kujadili hoja bila kumuongelea personally huyo unayejadiliana naye, mimi kuolewa au kutokuelewa haibadili ukweli kwamba familia za aina hiyo zipo, tatizo lako wewe hapa unadhani mimi naongea mawazo yangu wakati mimi naongea uhalisia uliopo na yale ninayoyaona mwenyewe situngi nadharia kama wewe

Sasa mbona mwanzo ullikuwa unabisha niliposema kwamba wanawake walikuwa wanafunzwa majukumu yaliyokuwa yanahusiana na nyumbani na shambani, nilikuuliza hivi je zamani vitu vilikuwa havitengenezwi kwanini wanawake hawakupewa elimu ya kutengeneza vitu mbalimbali kama vitendea kazi vya kufanyia shughuli za kila siku, kama mnaona walikuwa hawawezi mbona leo hii wanaweza tena wengine wanafanya vizuri kuliko hata wanaume sasa kimebadilika nini

Nami narudia jibu, kwamba hawana furaha ila wanatii kwa sababu tu ya mshahara, ambacho hukuelewa ni nini hapo au ndio muendelezo wa zile mbinu zako za kukwepa hoja

Tukisema tufuate maandiko, basi haitakiwi mwanamke amhudumie mwanaume no matter the circumstances, maana maandiko hayajampa mwanamke hilo jukumu

Si ndio maana nikakuambia uende google ukatafute, nilikuwa na maana yangu kukuuliza kama unajua majina ya species za mbwa maana hata nikikutajia kama huzijui hizo species zinafananaje, lazima utahitaji kuona picha kwahiyo kwa urahisi zaidi nenda google ukatafute mwenyewe majina pamoja na picha acha kujifanya una akili kumbe mweupe tu



Sikiliza wewe maandiko mengi huwa yanashabihiana kuna maandiko ambayo hayako direct, ila watu wanayatafsiri kulingana na maandiko mengine ambayo yanachukuliwa kama yanawakilisha hayo ambayo hayajaandikwa, kwa mfano wanaume wanasema kwamba wao waliumbwa na tamaa ambayo inawalazimu kuwa na wanawake wengi na kwamba hiyo ni kwa mujibu wa maandiko

Lakini kwenye biblia hakuna andiko direct ambalo linasema kwamba mwanaume aliumbwa na tamaa au eti mwanaume anatakiwa kuwa na wake wengi bali wanaume huwa wanaishia kutolea tu mifano ya manabii kama kina suleiman, na huwa wanashikilia lile andiko pale mungu alipomuambia mwanamke kuwa "tamaa yako itakuwa kwa mumeo tu" wao wanasema kwamba kwa sababu hilo neno alitamkiwa mwanamke na siyo mwanaume, basi tafsiri yake mwanaume yeye tamaa yake itakuwa kwa mwanamke yeyote tu jambo ambalo si kweli lakini ndio imeshaonekana ni ukweli kwa sababu tunaona namna wanaume walivyo na tamaa na kutaka kumiliki wanawake wapya kila siku

Halafu kingine unapoagizwa ufanye jambo fulani kwenye maandiko maana yake ukienda kinyume na hilo andiko hustahili kupata lolote zuri ambalo ungelipata kwa kutekeleza andiko husika, mwanaume unaposhindwa kuhudumia familia yako kwa sababu yoyote ile iliyo ndani ya uwezo wako maana yake umekiuka maandiko hivyo hata mwanamke naye akikiuka maandiko ya kukutii hutakiwi kumlaumu, ndio maana nikakuambia kama wanaume mmeamua kufuata maandiko basi fuateni yote msichague yale yanayowafavour ninyi tu halafu wanawake ndio mnataka wafuate yote

Sasa mbona awali ulisema kwamba naturally kila mwanamke anazaliwa na fikira za kutaka kutawaliwa na mwanaume na hakuna mwanaume anayezaliwa na fikira za kutaka kutawaliwa na mwanamke, kitendo cha kuibuka wanawake ambao walianza kutaka usawa na wanaume kinadhihirisha kwamba mwanamke kumtii mwanaume siyo nature bali ni tamaduni alizofunzwa tu, halafu kama feminism ilianzishwa na wanawake ambao walikuwa dhaifu kipindi ambacho wanaume ndio watawala ilikuwaje sasa hao wanaume wakakubali kirahisi wanawake wadai usawa na wanaume kwanini wasingetumia nguvu na uwezo wao kuhakikisha kwamba feminism haisurvive
 
Nilisema "dini karibu zote" hebu elewa kiswahili, halafu hizo nilizokutajia ndio dini kubwa zaidi duniani na zenye ushawishi mkubwa, sasa kama kila dini iko sahihi kwa upande wake maana yake kuna miungu zaidi ya mmoja na kila mungu ana sheria zake, na suala hapa siyo kila dini kuwa sahihi kwa upande wake bali suala ni kwamba ukweli na uhalisia ni upi na una uhalali gani wa kutumia maandiko ya dini moja na kuacha ya dini nyingine kwenye general discussions kama hizi

Ndio maana nikakuambia mwanaume hawezi kuamua muda anaotaka wa kupata watoto na idadi anayotaka hiyo nguvu ya maamuzi anayo mwanamke, mwanaume ni lazima amuombe mwanamke kuzaa watoto kwa wakati fulani au idadi fulani hawezi kumlazimisha, wewe unasema wanawake wa kuzaa kukosekana ni nadharia wakati wanawake wameshaanza kugoma kuzaa huko

Asilimia kubwa inaenda kwa watoto na siyo kwa mke na kwa hilo basi unastahili zaidi utii kutoka kwa hao watoto wako hivyo vitu vingine kama kula na kulala vina faida hata kwako, kwa sababu hivyo vyakula hawali familia yako tu hata wewe unakula tena wewe unanunua mkeo kazi yake kuvipika, hiyo nyumba hawaishi familia yako tu hata wewe unaishi tena wewe unajenga au unalipa pango mkeo kazi yake kuisafisha

Nasisitiza utii wa aina hiyo siyo nature, acha kutolea mifano ambayo ni irrelevant, mwisho wa siku unajifunga wewe mwenyewe

Wewe kuona hivyo ni matokeo ya kutaka mimi nikubali tu kila kitu unachoniambia hata kama hakina uhalisia

Aiseee yani kuwajua watu wa aina fulani, ni mpaka uwe unafanya kazi fulani ambayo inahusisha hao watu, una umasikini wa fikira

Ni kwa sababu wanaume wengi walikuwa wanawanyanyasa wanawake kwa kigezo cha kuwahudumia, yani mtu anataka akifanya makosa asiulizwe kwa sababu tu anakulisha anakuvisha nk kwa madai kwamba unataka kumpanda kichwani, kwahiyo wanawake walichoka hayo manyanyaso yaliyojificha kwenye kivuli cha kuhudumia na mfumo dume

Hoja siyo kuwa au kutokuwa sahihi, hoja ni kwamba wanaumizwa na hayo maovu ya wanawake ndio maana wanalalamika, wewe ulisema kwamba wanaume hawaumii wanaoumia ni wanawake tu

Acha kukariri internet isn't a real place kwenye masuala ya economic status lakini tukija kwenye hisia na tabia hakuna mahali ambako watu wanaelezea hisia zao au wanaonesha tabia zao halisi kama kwenye mitandao, ndio maana nikakuambia wewe huijui vizuri saikolojia ya binadamu watu wengi humu kwenye mitandao ndio wako huru kujionesha wao ni kina nani hasa na mawazo yao halisi, ambayo pengine hawawezi kuonesha mbele za watu waliowazunguka sababu humu mitandaoni hatufahamiani personally

Oohh kumbe unajua kwamba kuna kupigana na mtu huku umemfunga mikono basi hicho ndicho walichokuwa wanafanya wanaume zamani kabla ya feminism kuanzishwa, yani kwa kifupi kinachofanyika sasa hivi kwa wanawake ndicho kilichofanyika zamani kwa wanaume hadi kujipa utawala sasa kama unaona inawezekana kwa wanawake kwanini uone haiwezekani kwa wanaume, nilipokuwa nakuambia kwamba wanaume walijipa utawala kimabavu kwa kutumia maumbile ulijifanya unapindishapindisha maneno kwamba kwani walipigana vita hadi wanaume wakashinda sasa nami nakuuliza kwani wanawake wamepigana vita na ninyi hadi muone kama wao ndio wameshinda

Ni wapi huko ambako wanaume wanabaguliwa na fursa zote wanachukua wanawake tu, acheni kujivictimize ninyi si wanaume mmewazidi wanawake akili na nguvu onesheni sasa huo uwezo wenu, kwani ni lini wanawake walipigana na ninyi hadi udhani kwamba wameshinda

Tofautisha kati ya mwanamke anayejiuza (kahaba) na mwanamke anayeingia kwenye mahusiano kwa ajili ya pesa kahaba yeye haingii kwenye mahusiano bali anafanya ngono na mwanaume yeyote, kwa makubaliano ya kulipia lile tendo kisha baada ya hapo kila mtu anashika hamsini zake ila hao wengine wanaingia kwenye mahusiano kama kawaida ila lengo lao ni kuhudumiwa tu na si mapenzi ya kweli, sasa hao ndio ninaowasemea kwamba wameanza karne hii baada ya kuona kwamba wanaume nao hawana mapenzi ya kweli bali wanaingia kwenye mahusiano kwa sababu ya ngono tu na hawajali kwa sababu kwa mujibu wao wanadai anayeumia ni mwanamke

Hakuna cha kujifunza kutoka kwenu wanaume ambao huwa mnalitetea jambo kwa maslahi yenu binafsi na si kwa maslahi ya pande zote mbili, feminism ni upuuzi kwenu ninyi wanaume sababu inathreaten nafasi yenu ya mchongo mliyojipa kimabavu ila kwa wanawake feminism ina faida, kinachotokea sasa ni kwamba mmeamua kuwakomoa wanawake sababu wamekataa kuendelea kuwa chini yenu halafu mnasingizia kwamba ni wao ndio wanateseka

Huwa unapenda kweli kubisha kienyeji kwenye mambo ambayo huna uelewa nayo, kwahiyo unahisi mimi najitungia nadharia zangu kama wewe, hebu do your research kuhusu asexuals halafu urudi hapa tuendelee kujadili

Duuh kwahiyo mwanamke kugoma kufanya tendo na mwanaume maana yake anawachukia aisee wewe kweli huwajui wanawake, hujui kwamba kuna wanawake wanachukia wanaume lakini wanafanya nao kama kawaida na wanaingia nao hadi kwenye mahusiano kwa lengo la kuwaumiza kihisia, halafu unataka kuwasingizia watoto wa watu ambao kwa sababu zao binafsi wameamua kutofanya hilo tendo kwahiyo unataka kusema na masister nao wanachukia wanaume au

Ni wapi nilipojiongelea mimi hapo hebu nioneshe, nimekuambia jadili mada acha kunijadili mimi sawa, kama spana zimekuzidia sema acha kudivert mada

Wewe ndio kazi yako hiyo uliyojipa sababu unakimbia hoja, mimi sikimbii hoja hata ukijificha kwenye kichaka nakufuata huko huko, hata ukitoka nje ya mada nakujibu huko huko silalamiki kama wewe

Vipi na mwanaume asiyetekeleza majukumu yake anaitwaje na anastahili kufanywa nini

Oohh kwahiyo feminism ni namna ya uvaaji

Wanawake hawapingi ushoga kwa sababu siyo wanafiki lakini si kwamba wanaupenda, unafiki ni pale ambapo wanaowaharibu hao mashoga ni mwanaume mwenzenu lakini cha ajabu badala ya kuwakemea hao mabasha, mnakuja kuwalaumu wanawake kuwa mara wanatetea mashoga mara wanalea watoto wa kiume vibaya yani kwenu ninyi kila baya chanzo ni mwanamke

AIseee kwahiyo unataka kusema aliyeanzisha feminism, ndio huyo huyo aliyeanzisha ushoga, haya tuambie ni nani huyo

Oohh kwahiyo malengo ya kwanza ya feminism yalikuwa mazuri

Ni kwa sababu watu wengi wa vijijini wamechagua kuwa ignorant, yani with all the information found all over the media, lakini bado wanafanya mambo ya kipuuzi na kushikilia imani za kipumbavu tu

Hili nimeshafafanua tayari, na naongezea kwamba haihitaji jamii nzima kuwa kwenye mitandao ili uijue hiyo jamii, hao waliopo kwenye mitandao ndio wanawakilisha na wanasema yaliyopo kwenye jamii husika

Inaonekana kwako ndoa ni mafanikio makubwa sana hongera nenda na wewe kaolewe basi maana unaandika kana kwamba ndoa zote zina furaha na wote walioko huku hawatamani kutoka, sikujua kwamba mwanamke kuolewa ndio kuwa na akili halafu ambao hawajaolewa wote hawana akili teh, bila shaka hujaona nilipoandika kwamba "maisha yangu yananinyookea" ukakimbilia kuniletea mihemko yako hapa ni wapi niliposema kwamba mimi natumia logic ndio maana sitoi..acha upumbavu wewe!!

Sasa wewe unajuaje kama mimi sina experience au sijafanya research, halafu mbona kama umeanza kuniongelea kana kwamba unanijua sana, yani naona nusu ya uzi umeamua kunishambulia mimi badala ya kushambulia hoja..dadeki nimekupiga spana mpaka umepanic unaanza kuniattack mimi!!

Oohh kwahiyo hizo ndio skills pekee ambazo na wanaume walikuwa wanafundishwa si ndio

Siyo huelewi ujibu lipi ni kwamba huna hoja, yani jibu la hilo swali lako liko hapo hapo halafu unaniuliza tena, soma tena hiyo comment yangu acha kukwepa hoja

Nimeshakuambia kwamba ugumu wa hayo majukumu umewekwa na binadamu wenyewe, na huo ugumu uliowekwa ndio unaofanya ionekane kwamba mwanamke hawezi kufanya majukumu ya mwanaume kwa ufanisi, lakini majukumu mengi ambayo wanaume wanafanya wanawake wanaweza

Hilo swali lako si nimeshakujibu hapo hapo kwenye hiyo comment hivi unajua kusoma kwa ufahamu kweli wewe mbona unakuwa kama guluguja lisilo na akili, ni wapi nimesema kwamba jamii ilikuwa na makosa kuamua mwanamke akae nyumbani mimi nimesema tatizo siyo mwanamke kukaa nyumbani bali tatizo ni mwanaume kutaka kumtawala mwanamke kisa tu mwanamke anakaa nyumbani yani hapo tatizo ni kuyaunderestimate majukumu ya mwanamke na kuona kwamba ya wanaume ndio magumu na muhimu zaidi kiasi cha kuwafanya wao kuwa watawala

Ni wapi niliposema kwamba mwanaume na mwanamke wapo sawa kimaumbile nioneshe

Aiseee hebu rudia kusoma comment yangu uje na maswali ya maana, unarudiarudia kuuliza maswali yale yale ambayo nimeshakujibu, hii trick yako unayoitumia kukwepa hoja utaiacha lini

Ni kwa sababu mwanamke hakutaka kuwa mtawala ila mwanaume ndiye aliyetaka, kigezo cha nguvu walikiweka wao wenyewe na siyo nature kwamba eti mwanamke anataka kutawaliwa na mwanaume kisa kamzidi nguvu, hicho kigezo cha nguvu kina uhalali gani hadi sasa unashindwa kujibu hili swali unambwelambwela tu

Ni kwa sababu hilo ndio jukumu kubwa la mwanaume

Ndio maana nilikuambia hayo yote ni jamii ndio iliyaweka wanaume walipewa mafunzo magumu yaliyofanya wawe wakakamavu wanawake wakapewa mafunzo mepesi ili wakae nyumbani, lakini si kwamba wanawake wakipewa mafunzo magumu hawawezi ndio maana nikakuambia hata leo hii tunaona kuna wanawake wengi ni wanajeshi na wengine ni makomando kabisa, wanapewa mafunzo sawa na wanaume (tena unakuta kuna wanaume wanatoroka mafunzo wanawaacha wanawake) na vitani wanaenda jambo ambalo zamani lilionekana haliwezekani kwa mwanamke

Na pia leo hii tunaona wanawake wengi wanatumiwa kwenye mission za kijasusi za kuhatarisha uhai wao (ambazo hata wanaume baadhi hawawezi) na wanakuwa successful, na kuna wanawake wana skills zote za kupigana na wana uwezo wa kupigana hata na wanaume na wakashinda halafu wewe unakuja kuzungumzia habari za kuogopa mende sijui upumbavu gani, mbona hata wanaume kuna ambao wanaogopa wadudu wadogo wadogo suala la kuogopa wadudu siyo la jinsia bali ni namna ulivyolelewa

Halafu inaonekana huwa huelewi watu wanaposema mwanamke ni kiumbe hatari mwanamke ana uwezo wa kukuua huku anakuchekea yeye hatumii nguvu bali akili, ukimuweka mwanamke na mwanaume wenye umri sawa mwanamke ndio ana upeo zaidi (hili hata wanasaikolojia wanalifahamu) ndio maana huwa inashauriwa mwanaume aoe mwanamke aliyemzidi miaka kuanzia minne na kuendelea, ila siyo walingane au mwanaume awe mdogo maana hapo automatically mwanamke atakuwa amemzidi upeo huyo mume wake other factors being constant

Hata maandiko yenyewe yanamuambia mwanaume aishi na mwanamke kwa akili maana yake mwanamke ni kiumbe mwenye akili na kiumbe katili sana na manipulative kama akiamua kuitumia akili yake fully lakini pia ni kiumbe mwenye huruma kama hajatendwa vibaya, na wanaume wa zamani walilijua hili ndio maana wakamuwekea mwanamke tamaduni za kumfanya awe chini na ajione dhaifu kwa kumnyima sauti na uhuru maana walijua mwanamke akipewa hivyo vitu atamtesa sana mwanaume, na sasa ndio tunajionea namna kweli mnavyoteseka hadi mnajidai kususia ndoa ili kuwakomoa wanawake halafu mwisho wa siku mnasema eti wao ndio wanateseka kumbe ni ninyi ndio hamtaki kukubaliana na uhalisia

Hayo yote hamyaoni kwa sababu ninyi mliamua utawala uegemee kwenye attributes za mwili tu na siyo akili yani mnadefine weakness kwa kuangalia nguvu za mwili tu eti kisa wewe ukimpiga ngumi mwanamke akishindwa kukurudishia basi ndio unafaa kumtawala (nonsense), hujui kwamba hata mwanamke naye akiamua anaweza kukufanyia jambo ambalo wewe na halmashauri ya kichwa chako mkabaki mmeduwaa nguvu ya mwanamke haiko mwilini bali iko kwenye kujua kucheza na saikolojia ya mwanaume kiasi cha kuweza kumuangusha na huyo mwanaume asiinuke tena, bila shaka hujawahi kusikia ule msemo kwamba "mwanamke akiamua kulipa kisasi hata shetani mwenyewe anakaa pembeni kujifunza" hiyo kauli huwa wanaisema wanaume wenzio waliokuwa wanajitutumua na kujiona vidume kama wewe lakini mwisho wa siku yakawakuta yaliyowakuta kwahiyo na wewe ishi nao kwa akili na omba yasikukute

Sasa kukaa nyumbani kulea watoto sio kigezo cha kutawaliwa

Na mke nae anatunzwa na baba wakubwa na wadogo

Sasa hayo mambo ya kipuuzi kwanini yawe ya kipuuzi kulingana na mujibu wenu ninyi tu, yani jambo liwe la kipuuzi eti kwa sababu tu ninyi wanaume mnalichukia hata kama kwa wanawake linawafaidisha, huwa mnajiona mna akili sana wakati kuna wanawake out there wana akili kuwazidi na tunaona jinsia wanavyowagaragaza kwenye nyanja nyingi

Ndio maana nikakuambia kushepu tabia na maadili ya watoto ni jukumu la wote baba na mama wanaume msitafute visingizio vya kukwepa hilo jukumu, haiwezekani wote mnaishi nyumba moja na hao watoto halafu wote mnatoka kazini jioni ila bado jukumu la kulea watoto umuachie mkeo tu, yani watoto mpaka wanaharibikiwa chini ya himaya yako na wewe baba unaangalia tu ili mwisho wa siku uje kumlaumu mkeo sasa wewe utakuwa ni baba au kikaragosi

Sasa mtoto kufanyiwa mambo mabaya ni kosa la mama au kosa la hao wanaomfanyia hayo mambo mabaya
Unaposhindwa kusimamia malezi ya Mtoto akifanyiwa vitu Vibaya utalaumiwa wewe. Wewe ndiye mwenye mtoto. Acha ujinga.
Wanawake hawakuanza kutafuta pesa from nowhere tu bali ni wanaume ndio walipelekea wanawake nao waanze kutafuta pesa, nimeshakuambia zamani wanaume walikuwa wanawanyanyasa wanawake kwa kigezo cha kuwahudumia hivyo wanawake wakaona heri waanze kujitafutia vyao ili walau wawe na sauti na uhuru, na kwa dunia ya leo ambayo wanaume wengi wanakimbia majukumu wanatelekeza watoto unategemea wanawake wafanyeje wawe ombaomba ili wapate pesa au
Huu uongo haupo katika Historia. Unatunga Historia yako.

Hadi leo Sheria ya ndoa inasema Baba ndiye anatakiwa ku serve Expenses za familia Mngejitahidi mpiganie hili liondoshwe mana linawafanya kana kwamba ninyi ni wadhaifu hamuwezi kutafuta pesa.
Okay ngoja nikuulize swali kama unaona tatizo ni malezi kwanini unakuta kwenye familia yenye watoto tufanye wanne, ambao wamelelewa pamoja kwenye nyumba moja unakuta ni mmoja au wawili wenye tabia mbovu ikiwemo ushoga, ila wengine unakuta wana tabia nzuri tu sasa kama shida ingekuwa kwenye malezi pekee kwanini wasingeharibikiwa wote
Suala la malezi ni suala pana Nakubali. Ila Familia kama hizo mara nyingi Unakuta kuna Sehemu katika malezi wamechemka kwa watoto wote sasa kunatokea other external factors mfano marafiki na vitu kama hivyo vinawafanya kuwa Aidha wema au wabaya.
Ni hatari wakati kila siku wanaolewa huku mabinti vigori wakiachwa,
Aisee Mabikira wanaachwa wanaolewa Single Mothers.?? Kila mtu na ashuhudie Huu Uongo
wanaume huwa mnanifurahisha sana yani mnajitutumua huku mitandaoni kwamba mnaoa wife material tu, wakati kwenye maisha halisi tunashuhudia hadi makahaba wastaafu wanaolewa na ndoa zao zinadumu vizuri tu
Kwenye kila general rule kuna few exceptions. Ulilisema wewe hili jambo.
Ndio maana nikakuambia kama mmeamua kufuata maandiko basi fuateni yote msichague yale mnayoona yanawafavour tu, siyo ninyi mnabagua maandiko halafu mnawalazimisha wanawake ndio wafuate maandiko yote nao wasibague yanayowafavour wao tu, by the way kwa vile umesema maandiko siyo nature basi bado tunarudi pale pale kwamba utawala wa mwanaume kwa mwanamke siyo nature
Subiri kwanza unajua sisi tunaposema Maandiko sio Nature tunamaanisha nini??
Maandiko ni Divine revelation sio nature
Nature means not man made but it exists as it is.
Aiseee kwahiyo unataka kusema wanaume ambao walikuwa wananyanyasa wanawake zamani ni kwa sababu hao wanawake hawakuwa watiifu,
Kwanza unatakiwa ujue Sio Wanaume wote waliwanyanyasa wake zao. Na hakuna anaeunga mkono unyanyasaji vyovyote vile.
hivi wewe umewahi kuwa kwenye mahusiano mangapi kwanza
Hahahah so you now need my personal info???
maana naona mambo mengi unaandika kama layman tu usiye na experience yoyote, ni wanaume wangapi wanapata wanawake wanyenyekevu ila bado wanawanyanyasa mimi nimeshakutana na wanaume kadhaa ambao wanakiri kwamba wanaishi kwenye majuto, kwa sababu waliwahi kupata wanawake wapole ila wakatake advantage ya upole wao kisa walijiona wanapendwa hivyo hao wanawake hawawezi kufurukuta kwao, ila siku walipokuja kuachwa na kuanza kupata magumegume ndio wakaona umuhimu wa hao wanawake waliokuwa wakiwanyanyasa kwa kujiona vidume
Unatuletea Case zako za Wanaume wako unaokutanaga nao wewe. Sisi Wanaume hatuungi mkono hayo.
Wewe huna hizo akili timamu hebu acha kujikosha hapa
Unajua unapoongea na kichaa wewe unakuwa kichaa pro max.
Hivi we una akili kweli ni wapi mimi nimeongelea habari za kuenda bar au kuenda kuliwa, kwahiyo wewe mkeo akikuambia anataka kuenda sehemu fulani unawaza ni bar au kuchepuka tu, okay kwahiyo mfano na wewe mkeo akijua kwamba unataka kuenda bar au kuchepuka na akakukataza utafanyaje
Mke wangu Anaanzaje Kunikataza kutoka!! Hivi hujui kama mimi ni Mwanaume Rijali. Sio hao Wanaume wenu mnaowalea.
Sasa kama mnataka wanawake wakae nyumbani si ndio mtimize majukumu yenu kikamilifu bila kuwanyanyasa, hakuna mwanamke ambaye anapenda kuenda kutafuta
Hakuna Mwanamke anaependa kwenda kutafuta?? Kwaiyo hamuupendi Ufeminism???

Twende tuu Mbivu na mbichi zitajulikana.
ikiwa mwanaume wake anatimiza majukumu yake ipasavyo na hamnyanyasi, leo hii wanaume mnalegaga kwenye majukumu yenu mnasingizia maisha magumu (ila hela za kuhonga michepuko hamkosi) halafu wanawake wakiamua waingilie kati ili kuokoa jahazi mnaanza kelele
Hawa Tulionao maofisini,,, Wanaume zao Ndo hao uliowataja hapo??
Sasa kama hamtaki wake zenu wawatawale si ndio mhakikishe hawafikii hiyo stage ya kuanza wahudumia ninyi, ndio mnatakiwa sasa mfanye kama jamii za zamani zilivyokuwa zinafanya pale wanaume walipokuwa wanakwama, hoja hapa ni kwamba hakikisha ukikwama unafanya juu chini mkeo asikamate majukumu yako huku wewe umekaa tu eti kisa umekwama
Kwaiyo Tukitimiza Majukumu yetu Vizuri wanawake wote mtarudi Nyumbani na mtakuwa watiifu??

Itakuwa hujui unachokisimamia.
Wanawake ni dhaifu kulingana na definition yenu ya neno udhaifu lakini si kulingana na maana halisi ya hilo neno
Ni dhaifu katika vitu vingi sana.
Na kwanini mwanamke amhudumie mume wakati maandiko hayajasema tuanzie hapo kwanza, kwani maandiko yaliposema kwamba mwanaume ndio amhudumie mke hayakujua kwamba mwanaume anaweza kukwama, kama maandiko hayajasema sasa wewe hayo mambo ya mwanamke kumhudumia mume umeyatoa wapi
Basi tukubaliane kwamba hakuna Swala la haki sawa.

Pili kwamba Mwanamke kwa namna yoyote hawezi kumtawala mwanaume. Bali Aidha Mwanamke awe mtiifu kwa mumewe au asikubali kuishi na mwanaume huyo.
Kizuri ni kwamba hapo kila tabia hata wanaume wanayo katika namna yao, kuna wanaume ambao nao huvaa mavazi ya ajabu japo ni ya kiume, kuna wanaume walevi kupindukia, na pia hao wanawake wa riverside wateja wao ni hao hao wanaume, kwahiyo inategemea hao wanawake unaowaongelea wanadeal na wanaume wa aina gani
Hujanijibu Wanawake wa kutufunda sisi ni wanawake wepi?? Hawa wa maofisini wanaoliwa na maboss ili hali wameolewa. Tena wanajilengesha ili cheo kipande.
Ndio maana nikakuambia kukeketwa kuliwafanya wanawake wasieenjoy tendo, hivyo huo utamaduni uliwalazimu wawe waaminifu kwa waume zao tu kwa maana hilo tendo halina maana ikiwa una hamu nalo, halafu ukifanya haulifurahii bali unakuwa unamfurahisha mwenzio tu
Bado unachanganya vitu. Huna ulijualo wewe
Siyo wapumbavu bali ni waelewa usitunge maana yako mwenyewe ya neno upumbavu, upumbavu ni kujua kuwa mkeo ni mfanyakazi hivyo kuna wakati anahitajika kufuata amri za boss halafu wewe bado unaleta ubabe wako kama vipi si uoe mwanamke asiyena elimu ili akae nyumbani umhudumie kwa kila kitu, yani wewe umeoa mwanamke askari halafu akipigiwa simu usiku wa manane na mkuu wake kuwa anahitajika kazini wewe uanze kuleta ubabe wako wa kipumbavu kuwa eti akuombe ruhusa mara sijui akiondoka nyumba itabaki na nani kwani wakati unamuoa au wakati anaanza hiyo kazi hukujua hilo
Kwani nani aliesema Ana mzuka na Nyie wa maofisini. Matatizo Mengine ni ya kujitafutia tuu.
Hoja yako ni nini maana naona swali la kijinga tu hapo
Hoja yangu ni kwamba Mwanamke akisoma sio lazima awe na kiburi.
Sasa tangu mmeanza kupinga ushoga je mnaona dalili yoyote ya kuisha au ndio kwanza unazidi halafu kaa ukijua ushoga unapingwa kwa sababu una madhara kwao hao wanaoufanya
Mashoga nao wanatetea kuwa Ushoga hauna Madhara kama wewe unavyosema kuwa Feminism haina Madhara.
na pia watu hawataki hao mashoga waje wawadhuru na kuwaharibu na watoto wao sasa feminism inamdhuru nani ilihali ina faida kwa wanawake, anyway kwa mujibu wa biblia ushoga ulianzia sodoma na gomora na hiyo miji yote ilichomwa na mashoga yote yalifia humo ila bado ukaja kuibuka tena na kukuwa kwa kasi zaidi, huko kwenye nchi za kiarabu ambako wanajifanya wameshika sana dini na kuna sheria kali dhidi ya mashoga ila bado ushoga upo sema ni kwamba tu wao wanafanyia mafichoni ili huku nje waonekane watakatifu tofauti na wazungu ambao wao hawawezi unafiki wanaufanya hadharani ndio maana wanasingiziwa kwamba wao ndio wanaueneza
Sasa ukiufanya Ushoga wazi wazi unakuwa na uafadhali gani?? Wewe akili yako Ina shida.
Hebu jifunze kujadili hoja bila kumuongelea personally huyo unayejadiliana naye, mimi kuolewa au kutokuelewa haibadili ukweli kwamba familia za aina hiyo zipo, tatizo lako wewe hapa unadhani mimi naongea mawazo yangu wakati mimi naongea uhalisia uliopo na yale ninayoyaona mwenyewe situngi nadharia kama wewe
Jitahidi uolewe umri unaenda. Unakaribia menopause. Na kama unamalengo ya Kupata Mtoto. Ukichelewa kubeba mimba Complications huwa zinakuwa Nyingi during delivery. Anyways labda bado unatumia Logic.
Sasa mbona mwanzo ullikuwa unabisha niliposema kwamba wanawake walikuwa wanafunzwa majukumu yaliyokuwa yanahusiana na nyumbani na shambani, nilikuuliza hivi je zamani vitu vilikuwa havitengenezwi kwanini wanawake hawakupewa elimu ya kutengeneza vitu mbalimbali kama vitendea kazi vya kufanyia shughuli za kila siku, kama mnaona walikuwa hawawezi mbona leo hii wanaweza tena wengine wanafanya vizuri kuliko hata wanaume sasa kimebadilika nini
Alafu watoto walelewe na nani?? Au unadhani wazee walikuwa hawana akili??
Nami narudia jibu, kwamba hawana furaha ila wanatii kwa sababu tu ya mshahara, ambacho hukuelewa ni nini hapo au ndio muendelezo wa zile mbinu zako za kukwepa hoja
Hahaahaha. Kila mtu na ashuhudie upumbavu wako.
Tukisema tufuate maandiko, basi haitakiwi mwanamke amhudumie mwanaume no matter the circumstances, maana maandiko hayajampa mwanamke hilo jukumu
Na tukiyafata pia inabidi muwe watiifu kwa kila namna. Elewa neno kwa kila namna.
Si ndio maana nikakuambia uende google ukatafute, nilikuwa na maana yangu kukuuliza kama unajua majina ya species za mbwa maana hata nikikutajia kama huzijui hizo species zinafananaje, lazima utahitaji kuona picha kwahiyo kwa urahisi zaidi nenda google ukatafute mwenyewe majina pamoja na picha acha kujifanya una akili kumbe mweupe tu
Mbona hutaji!!!. Unaruka ruka.

Tulia mbivu zinakaribia kujulikana.
Sikiliza wewe maandiko mengi huwa yanashabihiana kuna maandiko ambayo hayako direct, ila watu wanayatafsiri kulingana na maandiko mengine ambayo yanachukuliwa kama yanawakilisha hayo ambayo hayajaandikwa, kwa mfano wanaume wanasema kwamba wao waliumbwa na tamaa ambayo inawalazimu kuwa na wanawake wengi na kwamba hiyo ni kwa mujibu wa maandiko
Tuletee mahusiano sasa Mama mchungaji. Sio unaandika siasa.
Lakini kwenye biblia hakuna andiko direct ambalo linasema kwamba mwanaume aliumbwa na tamaa au eti mwanaume anatakiwa kuwa na wake wengi bali wanaume huwa wanaishia kutolea tu mifano ya manabii kama kina suleiman, na huwa wanashikilia lile andiko pale mungu alipomuambia mwanamke kuwa "tamaa yako itakuwa kwa mumeo tu" wao wanasema kwamba kwa sababu hilo neno alitamkiwa mwanamke na siyo mwanaume, basi tafsiri yake mwanaume yeye tamaa yake itakuwa kwa mwanamke yeyote tu jambo ambalo si kweli lakini ndio imeshaonekana ni ukweli kwa sababu tunaona namna wanaume walivyo na tamaa na kutaka kumiliki wanawake wapya kila siku
Lete huo uhusiano na maaelezo ya kimaandiko sio unaleta siasa.
Halafu kingine unapoagizwa ufanye jambo fulani kwenye maandiko maana yake ukienda kinyume na hilo andiko hustahili kupata lolote zuri ambalo ungelipata kwa kutekeleza andiko husika,
Uongo. Watu wanatenda dhambi na wanasamehewa na Maisha ya Baraka yanaendelea wewe Mafundisho haya umeyatoa wapi???
mwanaume unaposhindwa kuhudumia familia yako kwa sababu yoyote ile iliyo ndani ya uwezo wako maana yake umekiuka maandiko hivyo hata mwanamke naye akikiuka maandiko ya kukutii hutakiwi kumlaumu,
1 Timotheo 2:11
[11]Mwanamke na ajifunze katika utulivu, akitii kwa kila namna.

Usilikimbie hili andiko.
ndio maana nikakuambia kama wanaume mmeamua kufuata maandiko basi fuateni yote msichague yale yanayowafavour ninyi tu halafu wanawake ndio mnataka wafuate yote
Hakuna andiko linalompa kiburi Mwanamke.
Sasa mbona awali ulisema kwamba naturally kila mwanamke anazaliwa na fikira za kutaka kutawaliwa na mwanaume na hakuna mwanaume anayezaliwa na fikira za kutaka kutawaliwa na mwanamke, kitendo cha kuibuka wanawake ambao walianza kutaka usawa na wanaume kinadhihirisha kwamba mwanamke kumtii mwanaume siyo nature bali ni tamaduni alizofunzwa tu, halafu kama feminism ilianzishwa na wanawake ambao walikuwa dhaifu kipindi ambacho wanaume ndio watawala ilikuwaje sasa hao wanaume wakakubali kirahisi wanawake wadai usawa na wanaume kwanini wasingetumia nguvu na uwezo wao kuhakikisha kwamba feminism haisurvive
Feminism haikuanzishwa Ili wanawake wawe sawa na wanaume. Mbona huelewi!!!
 
Maandiko ya dini zote hizo katika jambo hilo Yanakubaliana.
Katika jambo gani sasa maana hapa tumejadili mambo mengi na siyo yote ambayo maandiko ya dini zote yanakubaliana moja kwa moja
Wanawake hawa hawa wanaoenda kwa waganga kutaka watoto??
Hapa tunaongelea wale wenye uwezo wa kuzaa acha kujitoa ufahamu, hatuongelei wagumba wala wale walioharibu vizazi vyao wenyewe, kwa kutoa mimba au kufanya ujinga mwingine
Haya Tunakuuliza Kutafuta Ugali na Kuupika Ipi kazi Kubwa.?

Kujenga Nyumba Na Kuisafisha Ipi kazi kubwa??
Nimeshakuambia ukubwa au udogo wa kazi unategemea na maumbile, basi na mimi nikuulize kati ya kumwaga mbegu na kulea mtoto ipi kazi kubwa, hizo kazi za nyumbani unazoona nyepesi kwa wanaume ni ngumu ndio maana hawazitaki
Mwanamke anatakiwa Amtii Mwanaume hili halina Uhalisia??
Ndio halina uhalisia kwa kigezo chako wewe
Nimekubali wewe unawajua Wanaume zaidi kuliko mimi.
Wewe hujui saikolojia ya binadamu siyo wanaume wala wanawake halafu umekazana kubisha tu
Mbona Historia ya Feminism na Hiki Unachokiandika Haviendani??
Haviendani kwa mujibu wa hisia zako na si kiuhalisia
Wanawake kwa nini mnawafanyia Maovu wanaume Zenu??
Sasa mbona umeuliza kana kwamba wanaume ndio hawawafanyii maovu wanawake, na mimi nikuulize kwanini wanaume mnawafanyia maovu wanawake zenu, au maovu yenu mnayaona madogo na yanastahili kuvumiliwa
Uongo. JF inakuharibu wewe.
Humu mitandao hakuna Uhalisia huo unaousema. Watu humu huanzisha Nyuzi za kuachwa sijui Kumla boss na hakuna uhalisia wowote. We huonagi watu Wanasema Chai??

Humu watu wanadanganya kwa sababu hakuna anaemuona na wengi wanatumia Utambulisho fake be care.
Duuh kwahiyo wewe mtandao pekee unaoujua ni jamiiforums na nyuzi pekee unazozijua ni hizo za kuachwa na kumla boss tu basi, ndio maana nikakufananisha na mlugaluga wa kijijini kwa sababu hali halisi unaijua na unaiona ila umechagua kuwa ignorant, nimesema na narudia humu mitandaoni ndio sehemu pekee ambayo watu wanaonesha hisia na tabia zao halisi ambazo hawawezi kuzionesha kwa watu waliowazunguka
Umehama si ulisema kuna fair competition??

Unajifanya kichaa Mnasaidiwa na Mamlaka na serikali Ambazo zina Wanaume humo ndani yake. Nyie wenyewe hamna manachokiweza mbele ya Wanaume.

Serikali iache Kufanya Men discrimination alafu muone.
Ndio kuna fair competition ndio maana nikakuuliza kwani nafasi za kazi zinapotangazwa, je wanawake wanaitwa moja kwa moja kazini hawapitii michakato yote ya kupata hizo nafasi kwa maana ya interview na vetting, pia nikakuuliza je huko kwenye hizo nafasi wanaume hakuna kabisa au ni wachache kuliko wanawake au
Porojo

Mnateseka kweli kwani uongo??
Jinsia zote zinateseka ila nilishakupa tofauti, kwamba wanawake kinachowatesa ni external pressure, ila wanaume kinachowatesa ni internal pressure
Unatunga nadharia ambazo hazifanyi kazi.

Hawa wana malengo yao mabaya ya kulipiza kisasi. Sizungumzii hawa.
Sasa wewe si uliandika kana kwamba, wanawake wote waliokubali kusubmit kwa wanaume kwenye suala la sex ndio hawawachukii wanaume, mnaacha kuhangaika na hao waliokubali kuwabinulia ambao ndio wanawatesa kila siku mnahangaika na hawa ambao hawana habari na nyie
SABABU ya kutumia Logic au kuna nyengine??
Ndio uwezo wako wa kufikiria ulipoishia hapo
Ni Nuns na sio masister labda ungeandika Masista kwa kiswahili.
Dooh kwahiyo unahisi mimi sijui kwamba masister ni nuns kisa sijataka kulitumia hilo neno, kwahiyo hapo unajiona umenirekebisha na umenipa elimu, ndio maana nikakuambia unapenda kujitafutia points nje ya mada halafu nikikuambia unatafuta vichaka unabisha
Haya hao Nuns Wanazuiwa Kwa Sheria za dini yao. Mimi sizungumzii hawa.
Sasa kwani kuna mwanamke analazimishwa kuwa sister kwanini mwanamke aamue tu kuwa sister
Wewe si ni Feminist sasa tukikutolea mfano tunakosea wapi??
Sasa kunitolea mimi mfano kunahusiana nini na mada, kwani mimi ndio kielelezo cha namna wanawake wote duniani wanavyotakiwa kuwa, mimi hapa sijadili maisha yangu binafsi najadali uhalisia uliopo
Sawa.

Huyo sio Mwanaume kamili. Hapaswi kuwa na familia. Mwanamke aombe Talaka arudi kwao hata kwa lazima.
Sasa wewe si ndio umesema kwamba mwanamke anapaswa kumtii mwanaume kwa sababu tu ana nguvu hata kama hatimizi majukumu ya kuhudumia familia yake
Uvaaji ni katika sifa au tunasema features za feminism. Feminist hatakiwi kujifunika funika anatakiwa awe huru na mwili wake.
Oohh kwahiyo na wale wanawake malaya na makahaba nao ni feminists, kumbuka feminist ni mwanamke ambaye hategemei pesa ya mwanaume, kwahiyo kuwa makini na majibu yako siyo unaropoka tu
Kwaiyo mna support kwa sababu nyie sio wanafiki. Akili yako mbovu sana.
Sasa mwanaume akiwa shoga mwanamke anahusikaje hapo, jibu swali kwanini msihangaike na hao wanaume wenzenu wanaoharibu watoto wa watu, hadi wanakuwa mashoga wanafiki wakubwa nyie
Wote hao wanakemewa na hukumu yao moja.
Hukumu yao moja kwa mujibu wa maandiko gani, niletee andiko linalosema kwamba feminists hukumu yao ni hii na hii, halafu mbona hujiulizi kwanini wanawake hawakemei feminism ila wanakemea lesbianism
Anayetetea ushoga ndio huyo huyo anaetetea Feminism. Kwani sio kweli??
Oohh kwahiyo kumbe aliyeanzisha ushoga na feminism ni mtu mmoja, si ndio umtaje sasa ni nani, mbona unazugazuga tu hapo
Ndio yalikuwa mazuri na reasonable.
Mwanzo hukusema hivi ulisema feminism kama feminism ni mbaya, na ilianzishwa kwa malengo mabaya ila baada ya kuona umebanwa hoja ukabadili gia angani, anyway sasa ikawaje hadi ikafikia hatua malengo ya feminism yakaja kuwa mabaya na unreasonable
Siamini nachokiona. Watake radhi watu wa vijijini.
Wewe ni ignorant
Unajua Watanzania tupo Wangapi?? Na ni wangapi wanamiliki Smartphones. Na wangapi wana active account za social medias na wangapi wanadhubutu kuchangia chochote kwenye social medias??
Ndio maana nikakuambia hao hao watu waliopo active kwenye social media ndio hao hao ambao wanawakilisha jamii, haiwezekani watu wote kuwa kwenye social media lakini tabia zinazooneshwa kwenye social media, ndio tabia hizo hizo zilizopo kwenye jamii wala hakuna tabia tofauti na mpya kwa sababu humu watu wanayasema yale yanayofanyika kwenye maisha halisi
Sio kwamba haelewi ila hayupo tayari kuelewa.
Mkishaishiwa hoja hii ndio huwa defensive mechanism yenu, kwa kifupi wewe ulitegemea mimi nitakubali kirahisi tu kila unachoniambia, badala ya kubisha kwa facts unaleta mihemko halafu unanilazimisha nikubali
Hee nikaolewe tena Mbona Unanitukana Sasa Bi Jadda.
Ndio ukaolewe tu wewe si unaona kuolewa ndio mafanikio na ndio kila kitu
Umepanic!! Jenga hoja kupanic hakutakusaidia kitu
Kati ya mimi na wewe nani anapanic, wewe ndio umepanic ndio maana umefikia hatua ya kunishambulia mimi baada ya kuona hoja zimekuzidia, wewe ndio ujenge hoja maana hadi sasa umerely kwenye hoja zangu tu
Unatakiwa Kwenye mjadala kama huu useme nimefanya Research au nina experience sio unasema "sasa utajuaje kama sijafanya" unakuwa unadhibitisha kuwa hujafanya.
Wewe kwanini uanze kumpinga tu mtu, bila kumuuliza kama ana experience au kafanya research, mimi nakujibu kulingana na ulivyoanza
Zipo nyingi na zote zilitokana na Uwezo wa Ukakamavu waliokuwa nao wanaume wakapewa wao na Jamii.

Malalamiko..

Umesema majukumu mengi.
Jee kuna machache ambayo wanawake hawayawezi??
Kama unaona kuna majukumu yasiyo ya kimaumbile ambayo wanawake hawawezi yataje
Mbona matusi sasa.

Kwani Kuna Aliesema mwanaume ni Mtawala kwa sababu ya majukumu aliyonayo.??
Hata ukibisha mwanaume ni mtawala kwa sababu ya jukumu la kuhudumia familia tu, hayo majukumu mengine ambayo mwanaume anayafanya kulingana na nguvu na umadhubuti siyo kigezo cha kuwa mtawala, mpaka sasa hivi hujathibitisha uhalali wa hicho kigezo chako wala ubatili wa kigezo cha huduma za kiuchumi
Nanukuu "
Nimeshakuambia kwamba ugumu wa hayo majukumu umewekwa na binadamu wenyewe, na huo ugumu uliowekwa ndio unaofanya ionekane kwamba mwanamke hawezi kufanya majukumu ya mwanaume kwa ufanisi, lakini majukumu mengi ambayo wanaume wanafanya wanawake wanaweza"

Kama Wanawake wanaweza kufanya ya wanaume Jee Kuna Utofauti kati yao??
Ndio utofauti upo wa kimaumbile na kitabia, ndio maana nikakuambia utofauti wa kimaumbile na kutabia siyo justification ya kuweka utofauti na kwenye mambo mengine, huo utofauti mliouweka ninyi kwenye kila kitu hauna uhalisia bali ni wa kulazimisha tu
Hii pia ni trick.

Kigezo cha Nguvu ndio kigezo cha Kutawala Duniani. Kila kinachotawala kina Nguvu kuliko kile kinachotawaliwa. Hii pia utabisha.
Hiyo siyo nature bali ni kanuni ambayo imewekwa na binadamu wenyewe na kama ingekuwa nature basi hao wanaotawaliwa wangekuwa wamekubali wenyewe, lakini ni kwanini hadi itumike nguvu ya ziada ndio wakubali tukitolea mfano wa nchi unadhani nchi masikini zinafurahia kutawaliwa na nchi tajiri au zinakubali tu kutawaliwa kwa sababu zinaogopa zikikataa itatumika nguvu ya ziada, na kigezo kingine ndio hicho nilichokuambia cha financial benefit nchi masikini zinakubali kutawaliwa na nchi tajiri kwa sababu ya financial benefit ambayo hizo nchi zinapata
Ni katika Majukumu ya mwanaume ila sio Kubwa Kuliko. Zamani Zipo Jamii ambazo Wamama ndio walikuwa Wanahangaika Zaidi shambani kutafuta Chakula cha familia.
Lakini bado Wanaume walibaki ni Watawala.

Hapa badala ya Kujibu hoja hii Utaanza kusema Wanaume walikuwa hovyo sijui walikuwa hawatekelezi majukumu yao.
Sasa si ndio hicho ninachosema kwamba wanaume walitumia nguvu walizoumbwa nazo kuwatawala wanawake kimabavu na wanawake walilazimika kukubali sababu wangekataa ingetumika nguvu ya ziada lakini si kwamba wanawake kwa utashi wao walikuwa wanafurahia kutawaliwa, kwa sababu kwa akili ya kawaida tu hakuna mwanamke ambaye alikuwa anafurahia kufanya kazi za nyumbani na za shambani zote peke yake huku mwanaume akifanya majukumu yasiyoeleweka na kutaka awe mtawala, wewe nimegundua tatizo lako unadhani kwamba kwa sababu eti haya mambo yalifanywa na jamii za zamani na maisha yalienda basi ndio justification kwamba hayo mambo ni mazuri na yako sahihi bila kujali kwamba kuna watu walikuwa wanaumizwa na hawakufurahia hayo
Nakubaliana na wewe kuwa Mwanamke akiwa trained anaweza kumzidi Mwanaume ambaye hana mafunzo ila Mwanamke Aliyepewa mafunzo sawa Na Mwanaume ni Ngumu kumzidi huyo Mwanaume au kushinda katika Pambano.

Umezungumzia kuwa trained mimi nazungumzia at normal situation. Hata Mtoto akiwa trained anaweza kuwa hatari kwa watu wazima Haina maana kwamba Watoto ni watu hatari.
Wewe ndio umeelewa vibaya mimi naongelea katika mazingira sawa ndio maana nikasema hapo "other factors being constant", yani kuna wanawake ambao hata wakipigana na wanaume ambao wamepewa training sawa bado watashinda huo mpambano, wewe hujaona hapo nilipokupa huo mfano kwamba kuna wanaume wanatoroka mafunzo ya jeshi wanawaacha wanawake ilihali hayo mafunzo yanatolewa sawa kwa wote, tena mfano mzuri ni hapa kwetu kwenye mafunzo ya tpdf wanaoongoza kutoroka mafunzo ni wanaume, bila shaka hujapita hata jkt mujibu wa sheria hivyo huwezi kuelewa au pengine umepita na unaelewa ila umeamua tu kujitoa ufahamu, tena wengine wasivyo na aibu wanatoroka mwanzoni kabisa kwenye kipindi cha mkesha wa six weeks, huku wanawake wengi wakitoboa hadi mwisho!!
Mwanaume anashauriwa aoe Mwanamke aliemzidi kwa sababu Wanawake wanawahi kuzeeka.

Pili Itakuwa ni Rahisi Kwa Mtu mzima Kuvumilia Vituko vya Binti mdogo kuliko wakioana Watu waofanana Umri.
Mwanamke kuwahi kuzeeka ni minor reason ila major reason ni hiyo ya kuzidiana upeo wa akili, kwa sababu kuwahi kuzeeka kwa mwanamke siyo sababu ya ndoa kushindwa kudumu labda kwa wanaume wasiojielewa, na kwanini umeassume kwamba kila mwanamke anaolewa akiwa na umri mdogo vipi wanaoolewa wakiwa wakubwa ambao hawana hivyo vituko
Kama unazungumzia akili kama akili kuna mambo huwa wanayafanya wamama watu wazima kabisa hadi unashangaa.
Dooh yani unachonishangaza huwa unaona mabaya ya wanawake tu, kwani hakuna mambo ya hovyo ambayo yanafanywa na wababa watu wazima, mbona unakuwa biased na prejudiced kiasi hiko nimekuambia acha kutumia hisia na mihemko angalia uhalisia
Akili Katika Kuishi nae Ukivumilia Vituko vyake kwa sababu Mwanamke ana mapungufu mengi. Kumbuka Mwanamke ni ubavu wa mwanaume.
Ni mapungufu gani hayo ya mwanamke ambayo ni mengi kuliko ya mwanaume yataje
Hee Mwanamke ni katili?? Uko serious.!!
Jee na mwanaume nae Utamsifiaje??
Ofcourse mwanamke ni kiumbe katili endapo atafanyiwa matendo mabaya na akaamua kulipa kisasi, kinachofanya mwanamke ahold back ukatili wake ni the fact kwamba anazaa kwahiyo ana kale ka huruma fulani hivi kwa watoto wa wanawake wenzake maana anajua uchungu wa mtoto, sasa unaposema na mwanaume nitamsifiaje unamaanisha ukatili ni sifa nzuri au
Aisee Wanawake hawa hawa au Wengine??? Mbona Unawatengeneza Wanawake wako?? Sema ninyi mmejazwa fikra zinawaendesha na kuwapa matumaini kuwa Siku moja Mtakuja Kumfanya Mwanaume mtumwa na kumfanya mnachotaka. But that will hardly happen.
Sasa mfanywe watumwa mara ngapi mbona tunaona namna mnavyoteswa kila siku ndio maana nikakuambia wewe unadhani mimi naandika nadharia zangu wakati mimi naandika uhalisia ninaouona kwenye jamii, hata mimi mwenyewe kuna mambo mengine wanafanya wanawake wenzangu nabaki kushangaa hizo roho wametoa wapi lakini ndio yapo sasa hatuwezi kujifanya kama hayapo wakati yapo, hakuna cha kujazwa fikira kubalini tu kwamba wanawake wa sasa wameamua kuwaonesha rangi halisi ya mwanamke achaneni na bibi zetu walioficha uhalisia sababu walinyimwa sauti na uhuru na waliogopa kuenda kinyume na tamaduni
Njia pekee ya Mwanamke kumuangusha Mwanaume ni Katika Mapenzi tuu yaani atumie ule Uanamke wake Amlaghai Mwanamume kama ilivyokuwa kwa Samsoni na Delila. Ila kama Itakuwa ni vita rasmi na mwanaume akajua yupo vitani hakuna njia Unaweza kutoboa bi Dada.

Nasisitiza Mwanamke anaweza kumdhuru mwanaume kama huyo mwanaume asipojua kuwa yupo Vitani na kiumbe hicho.
Yani ulivyosema "mapenzi tuu" utadhani mapenzi ni kitu kidogo ndio hiko kitendo cha wanawake kuweza kuwamanipulate wanaume kwenye mapenzi kinaonesha jinsi gani wanawake wako mentally powerful, na kwa kutumia huo huo ulaghai kama mwanamke ana nia ovu ndio hapo anaweza kumpa mwanaume pigo la kihisia ambalo anaweza asipone maisha yake yote, lakini mnapuuzia hilo kwa sababu mmeshaamua kwamba nguvu ya mtu iwe kwenye masuala physical tu kana kwamba hii dunia inaendeshwa na masuala physical tu
Ila Cha kutawala??
Ndio akili yako ilipoishia wala sikulaumu sana
Mwanamke anaweza kuchagua Kuendelea kulea watoto wake kwa msaada wa familia ya Mwanaume au arudi kwao.
Vipi kama mwanamke akachagua kurudi kwao na ana watoto wadogo ambao bado wanahitaji uangalizi wake
Nyanja zipi hizo?? Au kupata Division 1 form four??
Sasa wewe suala la ufaulu wa masomo unaliona dogo katika kupima akili ya mtu, kama wanaume wote mngekuwa na akili kuzidi wanawake wote basi tusingeona wanawake kwenye nafasi za juu mashuleni na maofisini, nasisitiza other factors being constant kuna wanawake wengi wana akili kuliko wanaume wengi tu
Unakataa tena kuwa ninyi ni walezi?? Si ulishasema wanaume hatuna Ufanisi katika malezi na ninyi ndio mnaufanisi?? Sasa unalalamika nini???
Si kwamba wanaume hamuwezi kulea ila kutokana na mgawanyo huo wa majukumu ikaonekana kwamba kulea ni jukumu la mke na mwanaume hawezi kulifanya, majukumu ya mwanamke ambayo wanaume hawawezi ni yale ya kimaumbile tu kubeba mimba, kuzaa, na kunyonyesha basi, mengine yote mnaweza ila kutokana na mgawanyo wa majukumu uliokuwepo toka enzi na enzi huwa hamyapendi mnadai ni ya mwanamke
Unaposhindwa kusimamia malezi ya Mtoto akifanyiwa vitu Vibaya utalaumiwa wewe. Wewe ndiye mwenye mtoto. Acha ujinga.
Mwanamke ndiye mwenye mtoto kwa kuzingatia mantiki ipi, kwahiyo mpaka mtoto wa kiume anakuwa shoga na wewe baba uko hapo halafu unamlaumu mke, kwahiyo mnataka wanawake ndio wawafundishe watoto wa kiume namna ya kuwa wanaume hivi mko serious kweli nyie
Huu uongo haupo katika Historia. Unatunga Historia yako.
Weka wewe ukweli
Hadi leo Sheria ya ndoa inasema Baba ndiye anatakiwa ku serve Expenses za familia Mngejitahidi mpiganie hili liondoshwe mana linawafanya kana kwamba ninyi ni wadhaifu hamuwezi kutafuta pesa.
Sasa tukisema liondoshwe si ndio mnalalamika tena kwamba tunataka usawa mara sijui tunashindana na ninyi mbona hamueleweki mnataka nini, yani wanawake wakikaa nyumbani kuwategemea mnawaona mizigo na mnawanyanyasa wakisema watoke kuenda kutafuta mnadai eti wanashindana na ninyi mara sijui watoto wanaharibikiwa, by the way ndio maana nikakuambia mwanamke kukaa nyumbani siyo udhaifu bali hicho kigezo kiliwekwa na wanaume zamani kikawa sehemu ya tamaduni lakini mwanamke naye hapo hapo nyumbani ana majukumu yake ambayo mwanaume hawezi kuyatimiza
Suala la malezi ni suala pana Nakubali. Ila Familia kama hizo mara nyingi Unakuta kuna Sehemu katika malezi wamechemka kwa watoto wote sasa kunatokea other external factors mfano marafiki na vitu kama hivyo vinawafanya kuwa Aidha wema au wabaya.
Sasa kama unajua kwamba suala la malezi linachangiwa pia na external factors kwanini lawama uzipeleke kwa mama wa watoto tu, halafu unadhani ni rahisi kiasi hicho jamii kumfundisha mtu kuwa mwema ikiwa hana msingi wowote kutoka kwenye malezi, kwa taarifa yako ni rahisi mtu aliyelelewa vyema kuharibiwa na jamii kuliko mtu aliyelelewa hovyo kutengenezwa na jamii labda kama unataka kuendelea kubaki na nadharia zako kichwani
Aisee Mabikira wanaachwa wanaolewa Single Mothers.?? Kila mtu na ashuhudie Huu Uongo
Kwamba unataka kubisha tena kuwa hakuna single mothers wanaoolewa na kwamba hakuna mabikira wanaoachwa, hawa hawa wanaume wanaojifanya hawataki kuuziwa mbuzi kwenye gunia hivyo hawaoi bila kuonja, unaishi sayari gani wewe
Kwenye kila general rule kuna few exceptions. Ulilisema wewe hili jambo.
So..
Subiri kwanza unajua sisi tunaposema Maandiko sio Nature tunamaanisha nini??
Maandiko ni Divine revelation sio nature
Nature means not man made but it exists as it is.
Sasa kama unajua maana ya nature kwanini vitu ambavyo unajua kabisa ni man made unalazimisha viwe nature
Kwanza unatakiwa ujue Sio Wanaume wote waliwanyanyasa wake zao. Na hakuna anaeunga mkono unyanyasaji vyovyote vile.
Mngekuwa siyo wanyanyasaji basi wanawake wasingeipokea feminism na wangeipinga kwa nguvu zote, ndio maana nakuambia inategemea wewe unatsifiri vipi neno unyanyasaji, wewe naona unaitafsiri physically tu ni either unasahau au haujui kuwa kuna na mentally
Hahahah so you now need my personal info???
Probably you didnt notice that it was just a rhetorical question, cause your level of understanding concerning these issues gives me answers already, you lack a lot of information and on top of that you are unbearably ignorant
Unatuletea Case zako za Wanaume wako unaokutanaga nao wewe. Sisi Wanaume hatuungi mkono hayo.
Hakuna cha wanaume ninaokutana nao mimi naandika uhalisia ninaouona kwenye jamii, siko hapa kujadili tabia nzuri za wanaume wachache ambao ni wa kutafuta kwa tochi, wanaume mngekuwa hamuuingi mkono upumbavu wenu basi tusingekuwa na jamii ya hovyo namna hii wala wanawake wasingekuwa hivi
Unajua unapoongea na kichaa wewe unakuwa kichaa pro max.
Wakati mwingine kubishana na kichaa kunakufanya kuwa mwerevu zaidi, kwa sababu inakubidi uelezee mambo katika namna ambayo kichaa anaweza akaelewa, kwahiyo mimi naweza kuwa nabishana na kichaa kama wewe ila nina akili zangu timamu
Mke wangu Anaanzaje Kunikataza kutoka!! Hivi hujui kama mimi ni Mwanaume Rijali. Sio hao Wanaume wenu mnaowalea.
We endelea tu kutunga hizo nadharia zako kwamba eti kila mwanaume muelewa analelewa, na ndio maana wanawake wamebadilika kwa sababu ya huu ubabe wenu wa kipumbavu, tena ninyi mnaojifanyaga marijali ndio mnaopigwaga na matukio hadi mnaanza kutuchukia na kututukana wanawake wote
Hakuna Mwanamke anaependa kwenda kutafuta?? Kwaiyo hamuupendi Ufeminism??
Nimesema hakuna mwanamke anayependa kuenda kutafuta, ikiwa mwanaume wake anatimiza majukumu yake ipasavyo na hamnyanyasi, wanawake wanalazimika kutafuta kwa sababu ya wanaume wapumbavu kama nyie
Twende tuu Mbivu na mbichi zitajulikana.
Zijulikane mara ngapi tena ilihali mpaka hapa zishajulikana tayari
Hawa Tulionao maofisini,,, Wanaume zao Ndo hao uliowataja hapo??

Kwaiyo Tukitimiza Majukumu yetu Vizuri wanawake wote mtarudi Nyumbani na mtakuwa watiifu??
Siyo tu kuwatimizia majukumu bali pia kuwasikiliza
Itakuwa hujui unachokisimamia.

Ni dhaifu katika vitu vingi sana.
Ni gani huo udhaifu tofauti na udhaifu wa kimwili utaje hapa
Basi tukubaliane kwamba hakuna Swala la haki sawa.
Ukubaliane na nani
Pili kwamba Mwanamke kwa namna yoyote hawezi kumtawala mwanaume. Bali Aidha Mwanamke awe mtiifu kwa mumewe au asikubali kuishi na mwanaume huyo.
Tatizo ni kwamba kwenye jamii nyingi ndoa imefanywa jambo la lazima hivyo kila binadamu mwenye utimamu wa akili na mwili anatarajiwa katika kipindi fulani cha maisha yake aingie kwenye ndoa, kwahiyo mnaposema eti mwanamke akikubali kuingia kwenye ndoa basi akubali kutii ni kana kwamba mnasema ndoa siyo jambo la lazima yani ni hiyari yake kuingia au kubaki single wakati hapo hapo mtu mzima asiye na ndoa kuna namna fulani jamii inamperceive, kwahiyo kama ndoa imefanywa kuwa jambo la lazima maana yake kunatakiwa kuwe na terms and conditions ambazo zitakuwa favourable kwa pande zote mbili na siyo upande mmoja ndio ujipendelee huku mwingine ukilazimishwa kukubali tu
Hujanijibu Wanawake wa kutufunda sisi ni wanawake wepi?? Hawa wa maofisini wanaoliwa na maboss ili hali wameolewa. Tena wanajilengesha ili cheo kipande.
Ni sawa na mimi nikuulize wanaume tunaotakiwa kuwatii ni hawa hawa mashoga, wanaolelewa, wasaliti na walevi au, halafu naona lugha imekupiga chenga mimi sijasema wanawake wawafunde bali wawape reality check wawafanye mlearn the hard way, and ofcourse hilo wanaoweza kulifanya vizuri ni hao wanawake unaowasema
Bado unachanganya vitu. Huna ulijualo wewe

Kwani nani aliesema Ana mzuka na Nyie wa maofisini. Matatizo Mengine ni ya kujitafutia tuu.
Sasa si wangekuwa hawaolewi au hawa tunaoona wanaolewa huwa wanaolewa na wanawake wenzao
Hoja yangu ni kwamba Mwanamke akisoma sio lazima awe na kiburi.
Inategemea unatafsiri vipi neno kiburi wanaume wengi wa kiafrika wana inferiority complex hawajiamini wakiwa challenged tu kidogo na mwanamke aliyesoma wanamterm kama ana kiburi, by the way ndio maana nikakuambia ukiona mwanamke ana elimu na anatii ujue huyo mwanaume wake anatimiza majukumu yake ipasavyo bila kuhitaji msaada wa mwanamke na wala hamnyanyasi, ila ninyi wengine mnaoshindana na wanawake kwenye majukumu mnajifanya sijui maisha kusaidiana eti hamtaki wanawake kausha damu na magolikipa basi huo utii mtaendelea kuusikia na kuudai mitandaoni tu
Mashoga nao wanatetea kuwa Ushoga hauna Madhara kama wewe unavyosema kuwa Feminism haina Madhara.
Hapa tunaangalia uhalisia hatuangalii nani anasema nini, ushoga hata kwa mtu ambaye hana dini wala haamini mungu atakubali kwamba una madhara, kwa sababu hata kwa kutumia akili ya kawaida tu madhara yake yanaonekana yakiwemo kuharibikiwa njia ya haja kubwa na kusababisha magonjwa na pia kuathiri idadi ya watu sababu ya kupunguza kuzaliana, lakini madhara ya feminism huwezi kuyaelezea nje ya dini wengi ukiwauliza madhara ya feminism wanakuambia tu ni kinyume na maandiko ya kidini sijui blah blah, au labda wewe uniambie madhara ya feminism ni yepi kwa wanawake
Sasa ukiufanya Ushoga wazi wazi unakuwa na uafadhali gani?? Wewe akili yako Ina shida.
Hapana umekosea swali ulitakiwa uulize hivi "sasa ukifanya ushoga mafichoni una uafadhali gani" maana mimi hakuna mahali nimesema kwamba anayefanya hadharani na anayefanya mafichoni kuna mmoja ana afadhali, ila watu wengi huona kwamba wanaofanya mafichoni wana afadhali na kuwaona wale wanaofanya hadharani ndio wabaya kwangu mimi naona wote wabaya, sema ni vile tu mmoja hapo kaamua kuwa mnafiki mwingine kaamua kuwa mkweli ila wote ni wabaya tu na kwa mujibu wa maandiko wote hukumu yao ni moja hakuna mahali pameandikwa kwamba anayefanya ushoga hadharani hukumu yake kubwa kuliko ya anayefanya mafichoni hiko kitu hakipo
Jitahidi uolewe umri unaenda. Unakaribia menopause. Na kama unamalengo ya Kupata Mtoto. Ukichelewa kubeba mimba Complications huwa zinakuwa Nyingi during delivery. Anyways labda bado unatumia Logic.
Hiyo ni defensive mechanism na ishara ya kuishiwa hoja
Alafu watoto walelewe na nani?? Au unadhani wazee walikuwa hawana akili??
Je wanawake wakikaa nyumbani mtaweza kutimiza majukumu yenu kikamilifu bila kuwanyanyasa, kuwa mzee siyo necessarily kwamba una akili hao wazee wetu wangekuwa na akili wasingekubali kutawaliwa na wazungu, na nimeshakuambia hizo tamaduni kufanywa na wazee wetu siyo justification ya kwamba zilikuwa sahihi hivyo eti ziendelee kuwepo
Hahaahaha. Kila mtu na ashuhudie upumbavu wako.

Na tukiyafata pia inabidi muwe watiifu kwa kila namna. Elewa neno kwa kila namna.
Hapa sidhani hata kama umeelewa ulichoandika naona umeropoka tu, kufuata maandiko maana yake muwe tayari kuacha ulevi, usaliti, unyanyasaji, na pia muwe tayari kuwapenda na kuwahudumia wake zenu bila kujali madhaifu yao, na wanapowakosea hamtakiwi kuwaadhibu kwa kuwapiga bali mnatakiwa kuishi nao kwa akili maana hakuna andiko lililoruhusu mume kumpiga mke kama ambavyo lipo lililomruhusu mzazi kumpiga mtoto, kama mkiwa tayari kufuata hayo maandiko na mengine yote basi hapo mtakuwa na mamlaka na haki zote za kudai utii kutoka kwa wanawake na hata wanawake wenyewe sidhani kama wataona shida kuwapa huo utii
Mbona hutaji!!!. Unaruka ruka.
Kama hauwezi kutumia google sema tu usaidiwe acha kuzuga
Tulia mbivu zinakaribia kujulikana.

Tuletee mahusiano sasa Mama mchungaji. Sio unaandika siasa.

Lete huo uhusiano na maaelezo ya kimaandiko sio unaleta siasa.
Unauliza yale yale ambayo nimetoka kuyajibu hapo
Uongo. Watu wanatenda dhambi na wanasamehewa na Maisha ya Baraka yanaendelea wewe Mafundisho haya umeyatoa wapi???
Wanasamehewa na nani mungu au wanadamu, mind you mimi nimesema kama wewe hufuati maandiko basi usiwalazimishe na wenzio wafuate maandiko, wewe ukishindwa kutimiza majukumu yako utasamehewa na mungu wako siyo wanawake
1 Timotheo 2:11
[11]Mwanamke na ajifunze katika utulivu, akitii kwa kila namna.

Usilikimbie hili andiko.
Ni wapi nimelikimbia fuateni maandiko na wanawake nao watayafuata fullstop, ninyi si ndio viongozi bana kwahiyo mnatakiwa muwaoneshe wanawake mfano mzuri, kwa ninyi kuanza kufanya yale ambayo mnataka wao wafanye au siyo
Hakuna andiko linalompa kiburi Mwanamke.
Na linalompa hicho kiburi mwanaume liko wapi
Feminism haikuanzishwa Ili wanawake wawe sawa na wanaume. Mbona huelewi!!!
Aiseee hebu acha kukwepa hoja wewe ulisema kwamba feminism ilianzishwa kwa lengo la wanawake kuanza kupiga kura kama wanaume halafu baadaye ndio wakatokea wengine wakaanza kudai usawa kati ya mwanamke na mwanaume, sasa ndio nakuuliza kama naturally kila mwanamke anazaliwa na fikira za kutaka kutawaliwa na mwanaume na hakuna mwanaume anayezaliwa na fikira za kutaka kutawaliwa na mwanamke hao wanawake walioanza kudai sawa walitoka wapi na kwanini wanaume hawakuwazuia ilihali wao ndio walikuwa watawala, kama lengo la awali la feminism lilikuwa zuri ilikuwaje hadi tukafika kwenye third wave feminism ambayo mnasema malengo yake ni mabaya ilikuwaje hadi wanawake wakaanza kudai usawa na kwanini wanaume waliruhusu hili ilihali walikuwa na nguvu na uwezo wa kuwazuia mbona hujibu hili
 
Ndo maana nilikuambia turudi kwenye basics, hilo swala ambalo wewe unalipinga haliwezekani kamwe, mwanamke hawezi kuwa sawa na mwanaume ndo maana hata physically mwanamke hayupo strong, so it makes no sense unavyosema eti uchumi ndo basis za kutawaliwa. Unless kama una fear based mentality lazima utaona kama ni vibaya, kuna muda nilikuambia ufute negative perspectives zako lkn kadri unavyo letewa concepts unajisahau! Wanawake ni viumbe soft, wanatumia intuition wana uwezo wa ku nurture ndo maana wamepewa uwezo wa kuzaa, Sisi masculine ni hard, tumeumbwa kutafuta, tunatumia logic.
Ndio maana nauliza ni kanuni gani ya asili inayoamua kwamba kuwa strong kimwili ndio sifa pekee ya kuwa mtawala, kwanini ujipe utawala kwa kuangalia tu zile sifa za kimaumbile ambazo unajua mwenzako hana na hajachagua kutokuwa nazo, hakuna mtu anayechagua kuzaliwa mwanaume au mwanamke sasa kwanini mmoja amlazimishe mwenzie kuwa chini yake kwa kigezo cha udhaifu kwenye angle moja tu
Mind you, hizi qualities sio kwamba hazi exist kwa wote, ila zipo kwa kila mtu, sema ukizaliwa mwanamme unakuwa masculine na mwanamke anakuwa feminine. Sasa kutokana na utandawazi, elimu na dini. Mankind anazidi kupoteza essence yake, ndo maana ushoga nao unakuja kwa kasi, mara feminism mara lesbians e.t.c... hii yote ni kwa sababu watu wanafuata mambo bila kujua hasa ni nini kimekusudiwa. Uwezo wa kubaki kuwa normal ni mgumu sana na tukiangalia mavyakula yanayokuwa genetic modified ndo haswa yanaharibu watu sana. So unakuta mtu kazaliwa mwanamke au mwanaume ila anakuwa tyr kaharibiwa na mifumo ya maisha.
Ndio maana nasema mnajipa utawala kwa kuzingatia vigezo vya nguvu za kimwili tu hapo lazima mwanamke aonekane dhaifu, lakini mnasahau kwamba mwanamke naye ana nguvu za aina yake kwenye majukumu yake ambayo mwanaume hawezi kufanya kikamilifu, yani kusema kwamba mwanaume anastahili kuwa mtawala kwa sababu tu ana nguvu za kimwili ni sawa na wanawake nao kusema wanastahili kuwa watawala kwa sababu wao ndio wana jukumu kubwa la kuleta viumbe duniani kitu ambacho si sawa
Hata utii wenyewe ni man made concept, jinsi unavyo I perceive ndo jinsi inavyo tokea kwenye reality, mwanamke kaumbwa kutokuwa leader trust me, si maanishi uongozi wa normal life sjui raisi, mbunge or mwenyekiti no, I mean when it comes to life in nature mwanamke sio kiingozi, so mwanaume lazima amuongoze. These are laws of nature. Sasa nyie endeleeni kuchimbia vichwa vyenu chini na ukweli unaonekana kabisa.
Sasa mbona hueleweki mara unasema utii ni man made mara sijui mwanaume kumuongoza mwanamke ni laws of nature ni kwamba hujui tofauti kati ya man made na nature au, halafu unaposema mwanamke hawezi kuwa leader kwanini unaexclude huo uongozi katika national na societal level na unataka tuongelee katika family level tu, kama mwanamke anaweza kuongoza taifa au taasisi na wanaume wakiwepo anashindwa nini kuongoza familia ambayo mwanaume yupo, halafu tunapopinga utawala wa mwanaume siyo necessarily kwamba tunataka mwanamke ndio atawale, bali tunataka kila mmoja ajitawale mwenyewe kusiwe na wa kumtawala mwenzie wote waheshimiane na kusikilizana
 
Ndio maana nauliza ni kanuni gani ya asili inayoamua kwamba kuwa strong kimwili ndio sifa pekee ya kuwa mtawala, kwanini ujipe utawala kwa kuangalia tu zile sifa za kimaumbile ambazo unajua mwenzako hana na hajachagua kutokuwa nazo, hakuna mtu anayechagua kuzaliwa mwanaume au mwanamke sasa kwanini mmoja amlazimishe mwenzie kuwa chini yake kwa kigezo cha udhaifu kwenye angle moja tu
It's something ambacho tumekikuta! Amini tu kuwa you are under protection of a man. It makes no sense narudia! Picture yourself eti una muamrisha mwanaume ambaye yupo physically strong kukuzidi. Alafu unappsemea angle moja sikuelewi! Kitu unachotaka naona eti usawa, yes usawa upo personally ila kinapokuja swala la kuchangamana na maisha halisi you're supposed to be under men. Mabibi zenu walilijua hilo intuitively sio mpk mlivyolishwa elimu mkasahau laws of nature. Life works on opposites, lazima kuwe na positive na negative ili maisha yatokee, so usilazimishe negative kuwa positive and vice versa
Ndio maana nasema mnajipa utawala kwa kuzingatia vigezo vya nguvu za kimwili tu hapo lazima mwanamke aonekane dhaifu, lakini mnasahau kwamba mwanamke naye ana nguvu za aina yake kwenye majukumu yake ambayo mwanaume hawezi kufanya kikamilifu, yani kusema kwamba mwanaume anastahili kuwa mtawala kwa sababu tu ana nguvu za kimwili ni sawa na wanawake nao kusema wanastahili kuwa watawala kwa sababu wao ndio wana jukumu kubwa la kuleta viumbe duniani kitu ambacho si sawa
Sasa jadda umekomalia jukumu la kuleta viumbe duniani, mbona it's both a man and woman's thing! Swala la kuleta kiumbe duniani ni kazi kweli? Au tu ndo unatumia kama proofing point? Does it require persona efforts ku give birth? Hio si ni nature kila kiumbe kina zaa. Emb acha ku manipulate watu eti jukumu la kuleta mtoto duniani ni kazi yenu pekee. Naomba angalia jinsi maisha ya kila siku yalivyo uone who's bringing something to the table.
Sasa mbona hueleweki mara unasema utii ni man made mara sijui mwanaume kumuongoza mwanamke ni laws of nature ni kwamba hujui tofauti kati ya man made na nature au, halafu unaposema mwanamke hawezi kuwa leader kwanini unaexclude huo uongozi katika national na societal level na unataka tuongelee katika family level tu, kama mwanamke anaweza kuongoza taifa au taasisi na wanaume wakiwepo anashindwa nini kuongoza familia ambayo mwanaume yupo, halafu tunapopinga utawala wa mwanaume siyo necessarily kwamba tunataka mwanamke ndio atawale, bali tunataka kila mmoja ajitawale mwenyewe kusiwe na wa kumtawala mwenzie wote waheshimiane na kusikilizana
Wewe ndo huelewi somo. Unaangalia something on surface level huna jicho la tatu. Hayo mataasisi na majukumu amabayo ni man made kila mtu anaweza. Sijasema tuangalie on family level nimesema on basics of nature, dume hawezi kuwa sawa na jike. Wewe unachokifikiria ni kuwa sawa on both aspects hilo haliwezekani jadda never on this universe. Labda dunia unayo imagine wewe 🤣.

Hilo swala unalosema tuwe sawa, naamini usawa upo, kila mtu personally ana uwezo na uhuru binafsi, sasa tunavyo changamana hatuwezi kuwa sawa. Mind you kuheshimu mtu pia ni kutambua sehemu yako kama mwanamke au mwanaume. Bila hivyo heshima nayo hu fade kadri unavyoshindwa kusimama kama mwanamme au mwanamke.
 
Nimesema hakuna mwanamke anayependa kuenda kutafuta, ikiwa mwanaume wake anatimiza majukumu yake ipasavyo na hamnyanyasi, wanawake wanalazimika kutafuta kwa sababu ya wanaume wapumbavu kama nyie
Haya tufunge Mjadala Sasa Wanaume Watekeleze Majukumu yao bila kuwanyanyasa Wanawake na Wanawake Nao warudi Majumbani kutunza Familia.
 
Nimeolewa nikiwa na miaka hiyo(30) sina mda wa kunyenyekea mtu na Wala cku mnyenyekea ili anioe ,sina mda huo nabembeleza kazi yangu analijua hilo na life linasonga, acheni mifumo dume
 
Maandiko yalishasema, wajibu wa mwanamke ni kumtii mume wake na mwanaume wajibu wake ni kumpeda mke wake. Shida imekuja pale ambapo tumetaka ku- interchange roles.
Mimi nilishakataa nyumbani kwangu kusikia mambo ya genda nini nini! You are not satisfied, go back to your parents. Kila mtu aishi kwenye roles zake.
 
Nimeolewa nikiwa na miaka hiyo(30) sina mda wa kunyenyekea mtu na Wala cku mnyenyekea ili anioe ,sina mda huo nabembeleza kazi yangu analijua hilo na life linasonga, acheni mifumo dume
Mwanaume uliyepata ni poyoyo, yupo weak.
 
Back
Top Bottom