Hazijajengwa mkuu, pale ni nyumba za zaman zimekarabatiwa tu ila ukibomoa kabisa lazima ujenge gorofaIla nilishangaa sana Jiji kupitisha nyumba za chini kujengwa KKOO mtaa wa Kongo karibu na Bigbon kuna nyumba za chini zimejengwa majuzi
Ni kweli mitaa mingi kkoo ukipita utaona ujenzi unaendlea sasa hapo amehesabu vp?We jamaa unatembea mjini unahesabu maghorofa waliojenga wenzako! Utachelewa sana![emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Natania tu buana.
Pesa za mjinga na mpemba hizo.Mitaa mingi Kariakoo majengo mengi yanajengwa hii Ina ashiria nini?
Naombeni majibu wale wazee wa kusoma alama za nyakati ndio naowataka.
Mitaa mingi Kariakoo majengo mengi yanajengwa hii Ina ashiria nini?
Naombeni majibu wale wazee wa kusoma alama za nyakati ndio naowataka.
wewe unatakajeMitaa mingi Kariakoo majengo mengi yanajengwa hii Ina ashiria nini?
Naombeni majibu wale wazee wa kusoma alama za nyakati ndio naowataka.
daaah ni nom sanaMtu anavunja ghorofa anajenga lingine
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]We jamaa unatembea mjini unahesabu maghorofa waliojenga wenzako! Utachelewa sana![emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Natania tu buana.
Nchi inafunguliwaaaa😆😊🤓Mitaa mingi Kariakoo majengo mengi yanajengwa hii Ina ashiria nini?
Naombeni majibu wale wazee wa kusoma alama za nyakati ndio naowataka.
Unampondea baba yako mdogo.Angekuwepo yule wote wanaojenga wangepewa kesi....kisha waambiwe kuacha mpunga kwa Dpp kisha tutaarifiwe Dpp hana nia ya kuendelea na kesi, hihihiii bagosha!!
HatariHakuna ujinga na kosa kubwa kama kuacha mpango wa KIGAMBONI CITY...
Ulikuwa ni mpango wa maono.....lakini ni kipimo.cha uwezo wetu kufikiri
DuhNikiri hapa, mie siyo injinia, mpanga miji, mwanasiasa, mwenyeji au Mwanasayansi wa Kariakoo wala wa Magorofa! Sina ajira yeyote katika Serikali za Mitaa au kitu chechote kinachoanza na Serikali. Maono ni yangu pekee. na Maoni ni yangu .
Hivyo, nianze na kusema
Kuna ashiria ulimbukeni.
Kuna ashiria Maendeleo Uchwara
Kuna ashiria Uhaba wa ardhi na uhaba kwenye mipango ya Mipango miji Kariakoo.
Ina Ashiria Ubunifu hafifu.
Nimalize
Naona kama Dar-es-Salaam ingepaswa kukua kwenda nje na sio kwa mtindo uliopo sasa kama inavyotokea na kuonekana kama hapo Kariakoo.
Kariakoo na vitongoji jirani vingepaswa kubakia kama vilivyokuwa. Sasa ni kubana banan kana kwamba hakuna ardhi.
Hayo magorofa yote yatabidi yahudumiwe na Vikosi vya Zimamoto vyenye kila aina ya kifaa kufika katika eneo na Kupanda juu gorofani bila vikwazo. Sisemi hilo ndilo tatizo kuu, ila laweza kuwa tatizo mbeleni. Kwa sababu imejengwa juu ya mipango ya zamani na miundombinu ya zamani. Kariakoo itaweza kugharamia matrilioni ya pesa, za kuhamia DoDoma kuonekana mtoto!
Lazima kuwe na miundombinu yakuweza kuhimili mshikemshike ya watu kurundikana eneo moja.
Hatahivyo, inaonekana wale wenyeji wenyewe wameamua kuuza ardhi zao ambazo ziilikuwa ni ndogo kimraba kwa pesa nyingi na Kuendeleza maisha yao.