Utitiri wa maghorofa yanayojengwa Kariakoo siku hizi inaashiria nini?

Ila nilishangaa sana Jiji kupitisha nyumba za chini kujengwa KKOO mtaa wa Kongo karibu na Bigbon kuna nyumba za chini zimejengwa majuzi
Hazijajengwa mkuu, pale ni nyumba za zaman zimekarabatiwa tu ila ukibomoa kabisa lazima ujenge gorofa
 
We jamaa unatembea mjini unahesabu maghorofa waliojenga wenzako! Utachelewa sana![emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Natania tu buana.
Ni kweli mitaa mingi kkoo ukipita utaona ujenzi unaendlea sasa hapo amehesabu vp?

Labda kama hauna harakati za huku mjini
 
Angekuwepo yule wote wanaojenga wangepewa kesi....kisha waambiwe kuacha mpunga kwa Dpp kisha tutaarifiwe Dpp hana nia ya kuendelea na kesi, hihihiii bagosha!!
 
Mitaa mingi Kariakoo majengo mengi yanajengwa hii Ina ashiria nini?

Naombeni majibu wale wazee wa kusoma alama za nyakati ndio naowataka.
Pesa za mjinga na mpemba hizo.
 
Kama juzi nilikuwa karibu na mtaa wa narung'ombe nikakuta kuna jengo la ghorofa kama sita linadondoshwa,nikashangaa kweli nikasema hapa itakuwa linashuka ghorofa la juu zaidi lenye viwango nyake,ila wacha mji uchangamke
 
Kuna ambalo lilipinda kidogo likapigwa stop ila naona wapangaji wa chini bado wapo. Siku likishuka itakuwaje?
 
Mitaa mingi Kariakoo majengo mengi yanajengwa hii Ina ashiria nini?

Naombeni majibu wale wazee wa kusoma alama za nyakati ndio naowataka.

1. Mtu ana hela.
2. Kapata kiwanja.
3. Kariakoo ni business area.
4. Kapewa vibali.

Nyakati gani zaidi ya uwekezaji? Hii kweli inaitaji rocket science?
 
Wacha Kariakoo ijengwe ili iwe kama Eisleight ya kule Nairobi.
 
Duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…