Utitiri wa mataifa ya Kiislamu kutaja urafiki na Israel unaongezeka; Kosovo tayari

Utitiri wa mataifa ya Kiislamu kutaja urafiki na Israel unaongezeka; Kosovo tayari

Status
Not open for further replies.

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Inakuwaje Wanajamvi!

Utitiri wa mataifa ya Kiislamu kutaka urafiki na Israel unaongezeka.

Kosovo tayari wamekubali kuwa marafiki na Israel japo kuna minong'ono ya hapa na pale kutoka kwa wafia dini nchini humo lakini hamna namna. Asilimia 99% ya wa Kosovo ni Waislam.

Pia Somaliland nao wako njiani. Alshab pamoja na Somalia wanapinga.

Nchi zingine za Kiislamu zinajipendekeza kwa Israel kichinichini bila kuweka wazi ni Saudi Arabia, Oman. Tumeiona pia Sudan nao wako mbioni.

Taifa lengine la kiislam ambalo ni jirani na Irani Azabaijan wenyewe toka zamani walishaweka wazi wanapenda Israel.

Pia Humo Humo Iran raia wengi wanapenda sana Israel.

Mataifa haya ya Kiislamu na raia zake wameshashtuka wamekuwa wanapoteza Baraka nyingi sana.
Na wote wanataka kujenga balozi zao Jerusalem jambo ambalo linapingwa na wapalestina.

Hamas pamoja na serikali ya Palestina wanasikitishwa sana na kulaumu. They can't do nothing huwezi shindana na watu wa Mungu.

God bless and protect Israel.

Israel the land Jews the people!
 
Wanakosa baraka??? Hahahaaaa kumbe baraka zipo Israel tuu
 
Post WWII, in the 1950's to 80's ilishuhudia mabadiliko.mengi ya kijamii na kiitikadi duniani. Kuibuka kwa mapinduzi katika ulimwengu wa kiarabu kuanzia kule Iraq ya Sadam Hussein; Libya ya Gadafi; Sudan ya al-Bahsir hadi Iran kule njia muhimu ya kulinda tawala dhalimu ni kucheza na akili za wananchi hususan "walio wengi" ni kupitia silaha ya kijima ijulikanayo kama DINI.

Dini ilitumika kupandikiza chuki miongoni mwa wanajamii hususan enzi zile za giza; enzi zile za kizazi cha kale aka baby-boomers. Nyakati zile zimepita wanajamii wamestuka kumbe tulikuwa tunadanganywa kwa faida ya watawala wachache na makundi yao. Kizazi kile kikuukuu kinapita kwa kasi; sasa ni Gen Y na Z they think in different dimensions wengi wa walio.madarakani leo hii wakiwa wamekulia ima kusomea London, New York Geneva hadi Paris.

Hakuna namna mabadiliko hayazuoliki tena. Israel ni binadamu kama binadamu wengine tofauti na jamii ilivyoaminishwa na matawala.madhalimu.
 
Inakuwaje Wanajamvi!

Utitiri wa mataifa ya Kiislamu kutaka urafiki na Israel unaongezeka.

Kosovo tayari wamekubali kuwa marafiki na Israel japo kuna minong'ono ya hapa na pale kutoka kwa wafia dini nchini humo lakini hamna namna. Asilimia 99% ya wa Kosovo ni Waislam.

Pia Somaliland nao wako njiani. Alshab pamoja na Somalia wanapinga.

Nchi zingine za Kiislamu zinajipendekeza kwa Israel kichinichini bila kuweka wazi ni Saudi Arabia, Oman. Tumeiona pia Sudan nao wako mbioni.

Taifa lengine la kiislam ambalo ni jirani na Irani Azabaijan wenyewe toka zamani walishaweka wazi wanapenda Israel.

Pia Humo Humo Iran raia wengi wanapenda sana Israel.

Mataifa haya ya Kiislamu na raia zake wameshashtuka wamekuwa wanapoteza Baraka nyingi sana.
Na wote wanataka kujenga balozi zao Jerusalem jambo ambalo linapingwa na wapalestina.

Hamas pamoja na serikali ya Palestina wanasikitishwa sana na kulaumu. They can't do nothing huwezi shindana na watu wa Mungu.

God bless and protect Israel.

Israel the land Jews the people!
Kwa maelezo haya ata kwa Mungu hakuna haki sawa, yaani ili upate baraka mpaka umlambe miguu Israel!!! hakika ccm mbele kwa mbele
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom