Utitiri wa viongozi serikali una tija gani kwa Taifa?

Labda kama hiyo katiba tutashushiwa toka mbinguni, au tuandikiwe na malaika.
Lakini huyu mama akumbuke yeye alikuwa makamu mwenyekiti wa lile bunge la katiba, akiondoka madarakani bila kutimiza hili hakika atakuwa rais mstaafu alofeli zaidi kwa upande wangu, tena huyu ana fursa nzuri kwa sababu hajapigiwa kura direct.
 
Wewe Mataga hutakiwi hata kukosoa chochote! Nyinyi ndiyo wale wale wafuasi wa chama cha kishetani kama ccm.

Tofauti yako na Mataga wengine ni moja tu, wewe unakufa njaa huko kwenu Mchamba wima! huku wenzako wakipata ulaji.
Aiseee!!! Tulia kabisa, usije kunitafutia ban zingine hapa JF, sawa!??? Usithubutu kabisa kumtaja JPM vibaya. Utabaki unajilaumu the rest of your life 🙂
 
Lakini huyu mama akumbuke yeye alikuwa makamu mwenyekiti wa lile bunge la katiba, akiondoka madarakani bila kutimiza hili hakika atakuwa rais mstaafu alofeli zaidi kwa upande wangu, tena huyu ana fursa nzuri kwa sababu hajapigiwa kura direct.
Hoja yangu ni kwamba hata kama ile draft ya tume ya warioba ingepitishwa kuwa katiba, sijaona unafuu ambao mwananchi wa kawaida angeupata.

Wanafunzi kumi wa kidato cha sita wangeweza kuandika document nzuri sana kuliko ile takataka iliyoligharimu taifa mabilioni ya shilingi
 
Kati ya watu ambao hawana kazi kabisa ni wakuu wa wilaya, wakuu wa mikoa, maDAS na maRAS.

Hizi nafasi zifutwe. OCD na RPC, wawe wakuu wa kamati za ulinzi wilayani na mikoani respectively. Tuwe na mkurugenzi wa Wilaya atakaye report kwa gavana wa mkoa. Gavana wa mkoa achaguliwe na wananchi. Mkoani kuwa na baraza la maendeleo la mkoa ambalo wajumbe wake watakuwa wenyeviti wa Halmashauri, mameya na wabunge ndani ya mkoa husika. Nafasi ya ukurugenzi wa wilaya iwe ni nafasi ya kiutalaam, iombwe, ishindanishwe na iwe na vigezo vinavyotambulika.
 
Sisi kama nchi au wananchi tuanzie wapi sasa mkuu? Mbona mapichapicha kila kona?
 
Aiseee!!! Tulia kabisa, usije kunitafutia ban zingine hapa JF, sawa!??? Usithubutu kabisa kumtaja JPM vibaya. Utabaki unajilaumu the rest of your life 🙂
Muone huyu Mataga eti ananitishia nyau! 🤭 Kuna sehemu kweli kwenye hayo maelezo yangu nimemtaja huyo JPM wako! Au ndiyo umepaniki kiasi cha kushindwa kuona hata nilicho kiandika!!

By the way, mbona huyu Mama alikuwa ni Msaidizi wake! Imejukuwaje sasa amewaacha yatima!! Eti nitabaki kujilaumu the rest of my life! You are not serious at all!! 😁😁
 
Ukiondoa huyo mkurugenzi, wengine wote watapatikana kwa kuchaguliwa. Kwa mfumo wetu huu corrupt wa uchaguzi unategemea mabadiliko gani yanayoweza kupatikana!
 
Toka ni zaliwe sijawahi kusikia mtanzania anasema anatoka kwa afsa tarafa kupata huduma.
 
Lakini huyu mama akumbuke yeye alikuwa makamu mwenyekiti wa lile bunge la katiba, akiondoka madarakani bila kutimiza hili hakika atakuwa rais mstaafu alofeli zaidi kwa upande wangu, tena huyu ana fursa nzuri kwa sababu hajapigiwa kura direct.

Asipoikomboa Zanzibar kutoka kwa mkoloni Tanganyika atalaumiwa sana na waJomba zake.
 
Naunga mkono hoja
 
Mpaka Tanzania na Afrika kuja kulielewa hili na kulichukulia hatua kivitendo, bila shaka tutakuwa tumekula hasara ambayo fidia yake ni infinite compensation.
 
Tanzania ni nchi tajiri sana. Kama hata hawa viongozi wangekuwa waadilifu na walendo tu, hata bila kuondolewa kwa nafasi zao hizi, bado kuna rasilimali za kutosha kabisa kuleta maendeleo hilimivu. But viongozi wamepewa dhamana na marupurupu kibao, lakini ndio ringleaders wa mafisadi, wabadhirifu, wazembe, wahujumu-uchumi, walarushwa na vibaraka wa Amsterdam na genge lake la mabepari na mabeberu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…