Darren2019
JF-Expert Member
- Nov 23, 2019
- 1,112
- 2,400
- Thread starter
-
- #21
Lakini huyu mama akumbuke yeye alikuwa makamu mwenyekiti wa lile bunge la katiba, akiondoka madarakani bila kutimiza hili hakika atakuwa rais mstaafu alofeli zaidi kwa upande wangu, tena huyu ana fursa nzuri kwa sababu hajapigiwa kura direct.Labda kama hiyo katiba tutashushiwa toka mbinguni, au tuandikiwe na malaika.
Aiseee!!! Tulia kabisa, usije kunitafutia ban zingine hapa JF, sawa!??? Usithubutu kabisa kumtaja JPM vibaya. Utabaki unajilaumu the rest of your life 🙂Wewe Mataga hutakiwi hata kukosoa chochote! Nyinyi ndiyo wale wale wafuasi wa chama cha kishetani kama ccm.
Tofauti yako na Mataga wengine ni moja tu, wewe unakufa njaa huko kwenu Mchamba wima! huku wenzako wakipata ulaji.
Hoja yangu ni kwamba hata kama ile draft ya tume ya warioba ingepitishwa kuwa katiba, sijaona unafuu ambao mwananchi wa kawaida angeupata.Lakini huyu mama akumbuke yeye alikuwa makamu mwenyekiti wa lile bunge la katiba, akiondoka madarakani bila kutimiza hili hakika atakuwa rais mstaafu alofeli zaidi kwa upande wangu, tena huyu ana fursa nzuri kwa sababu hajapigiwa kura direct.
Sisi kama nchi au wananchi tuanzie wapi sasa mkuu? Mbona mapichapicha kila kona?Hoja yangu ni kwamba hata kama ile draft ya tume ya warioba ingepitishwa kuwa katiba, sijaona unafuu ambao mwananchi wa kawaida angeupata.
Wanafunzi kumi wa kidato cha sita wangeweza kuandika document nzuri sana kuliko ile takataka iliyoligharimu taifa mabilioni ya shilingi
Msiruhusu kuandikiwa katiba na wanasiasa, they are all crooked. Si wa ccm wala wa upande mwingine.Sisi kama nchi au wananchi tuanzie wapi sasa mkuu?
Angalia hoja yangu usinitazame mimi.Leo na mataga wenzako ndio umeyafahamu hayo?? Mbona wakati wa jiwe hukusema ulikuwa unatetea kila kitu?
Muone huyu Mataga eti ananitishia nyau! 🤭 Kuna sehemu kweli kwenye hayo maelezo yangu nimemtaja huyo JPM wako! Au ndiyo umepaniki kiasi cha kushindwa kuona hata nilicho kiandika!!Aiseee!!! Tulia kabisa, usije kunitafutia ban zingine hapa JF, sawa!??? Usithubutu kabisa kumtaja JPM vibaya. Utabaki unajilaumu the rest of your life 🙂
Ukiondoa huyo mkurugenzi, wengine wote watapatikana kwa kuchaguliwa. Kwa mfumo wetu huu corrupt wa uchaguzi unategemea mabadiliko gani yanayoweza kupatikana!Gavana wa mkoa achaguliwe na wananchi. Mkoani kuwa na baraza la maendeleo la mkoa ambalo wajumbe wake watakuwa wenyeviti wa Halmashauri, mameya na wabunge ndani ya mkoa husika. Nafasi ya ukurugenzi wa wilaya iwe ni nafasi ya kiutalaam, iombwe, ishindanishwe na iwe na vigezo vinavyotambulika.
Toka ni zaliwe sijawahi kusikia mtanzania anasema anatoka kwa afsa tarafa kupata huduma.Huu ujinga unatakiwa ukomeshwe haraka iwezekanavyo kupitia Katiba Mpya ya Wananchi.
Cheo kama cha Mkuu wa Mkoa na Wilaya, RAS na DAS, Afisa Tarafa, nk kinainufaisha CCM zaidi kuliko Taifa! Mbaya zaidi kila mwezi mabilioni ya pesa za walipa kodi wa nchi hii hutumika kuwalipa hawa makada wa ccm!
Halafu bado tunaongezewa TOZO kwenye simu!
Ndio maana fedha za matumizi ya kawaida ni kubwa kuliko iliyotengwa Kwa ajili ya maendeleo.
Itapita karne nyingine tunapiga marktime tu.
Lakini huyu mama akumbuke yeye alikuwa makamu mwenyekiti wa lile bunge la katiba, akiondoka madarakani bila kutimiza hili hakika atakuwa rais mstaafu alofeli zaidi kwa upande wangu, tena huyu ana fursa nzuri kwa sababu hajapigiwa kura direct.
Mie nikijua Tanganyika ndilo koloni la Zanzibar!Asipoikomboa Zanzibar kutoka kwa mkoloni Tanganyika atalaumiwa sana na waJomba zake.
Angalia hoja yangu usinitazame mimi.
Naunga mkono hojaNimejaribu kufikiri ni kwanini asilimia kubwa ya fedha za serikali znaishia kwenye matumizi ya kawaida, mojawapo ya sababu niliyoona ni uwepo wa utitiri wa viongozi wengi kwenye ngazi za juu hasa kuanzia wilayani na ukizingatia hawa wanahudumiwa siyo tu mishahara mikubwa bali kuna magari/mafuta, nyumba/malazi, posho za hapa na pale plus ubadhirifu huko maofisini n.k
Ukiangalia wilayani kuna wakuu wa wilaya, wakurugenzi, makatibu tawala, wenyeviti wa halmashauri n.k
Mkoani, kuna wakuu wa mikoa, wakurugenzi wa majiji sijui, makatibu tawala, mameya n.k
Ukiangalia majukumu ya hao viongozi yanafanana fanana sana.
Bungeni ndio vile mipesa mingi isiyoendana na ufanisi wa kazi, mbunge mmoja alipwe 12M kwa mwezi, apewe mkopo wa gari 90M, apewe mafuta lita 1000 kila mwezi, apewe pensheni 250M ndani ya miaka mitano, hapo bado wana kamati mbalimbali huko bungeni, uje uweke wakurugenzi wa mashirika na taasisi mbalimbali za serikali, wenyeviti wa bodi na tume mbalimbali.
Wizarani mawaziri na manaibu wao, makatibu wakuu n.k, hivi kuna haja gani ya kuwa na waziri, naibu waziri na katibu mkuu? Na wizara nyingne zina hadi naibu katibu mkuu[emoji45] kwanini tusiwe na mawazIri wataalam ambao pia watakuwa watendaji?
Kwa utitiri huu wa viongozi kwa nchi maskini km Tanzania tutegemee 90% ya bajeti kuishia kwenye matumizi ya kawaida ya kuendesha serikali. JPM aliwahi kuahidi kupunguza ukubwa wa serikali ila alipofika ikulu kumbukumbu zake zikawa zimeliwa na mchwa, ndo kwanza akaanzisha na wizara mpya ambayo hata waziri muhusika hajui majukumu yake...[emoji15]
Enewei...
Tuliambiwa tukilaumu tutoe na pendekezo, kwangu mimi nafikiri hapa ni Katiba mpya tu, labda itasaidia .
Mpaka Tanzania na Afrika kuja kulielewa hili na kulichukulia hatua kivitendo, bila shaka tutakuwa tumekula hasara ambayo fidia yake ni infinite compensation.Idadi ya watumishi katika wizara ipunguzwe. Muundo wa sasa wa wizara ni gharama kubwa sana kwa taifa
Huu muundo wa wizara moja ina Waziri kamili, naibu waziri, Katibu mkuu, naibu katibu na wakuu wa idara mbalimbali ni muundo unaoligharimu taifa pesa nyingi za kuendesha serikali bila ulazima huo. Tunaweza kufanya vyema zaidi kwa kuondoa manaibu wa mawaziri na manaibu wa makatibu wakuu kwa...www.jamiiforums.com
Tanzania ni nchi tajiri sana. Kama hata hawa viongozi wangekuwa waadilifu na walendo tu, hata bila kuondolewa kwa nafasi zao hizi, bado kuna rasilimali za kutosha kabisa kuleta maendeleo hilimivu. But viongozi wamepewa dhamana na marupurupu kibao, lakini ndio ringleaders wa mafisadi, wabadhirifu, wazembe, wahujumu-uchumi, walarushwa na vibaraka wa Amsterdam na genge lake la mabepari na mabeberu.Nimejaribu kufikiri ni kwanini asilimia kubwa ya fedha za serikali znaishia kwenye matumizi ya kawaida, mojawapo ya sababu niliyoona ni uwepo wa utitiri wa viongozi wengi kwenye ngazi za juu hasa kuanzia wilayani na ukizingatia hawa wanahudumiwa siyo tu mishahara mikubwa bali kuna magari/mafuta, nyumba/malazi, posho za hapa na pale plus ubadhirifu huko maofisini n.k
Ukiangalia wilayani kuna wakuu wa wilaya, wakurugenzi, makatibu tawala, wenyeviti wa halmashauri n.k
Mkoani, kuna wakuu wa mikoa, wakurugenzi wa majiji sijui, makatibu tawala, mameya n.k
Ukiangalia majukumu ya hao viongozi yanafanana fanana sana.
Bungeni ndio vile mipesa mingi isiyoendana na ufanisi wa kazi, mbunge mmoja alipwe 12M kwa mwezi, apewe mkopo wa gari 90M, apewe mafuta lita 1000 kila mwezi, apewe pensheni 250M ndani ya miaka mitano, hapo bado wana kamati mbalimbali huko bungeni, uje uweke wakurugenzi wa mashirika na taasisi mbalimbali za serikali, wenyeviti wa bodi na tume mbalimbali.
Wizarani mawaziri na manaibu wao, makatibu wakuu n.k, hivi kuna haja gani ya kuwa na waziri, naibu waziri na katibu mkuu? Na wizara nyingne zina hadi naibu katibu mkuu[emoji45] kwanini tusiwe na mawazIri wataalam ambao pia watakuwa watendaji?
Kwa utitiri huu wa viongozi kwa nchi maskini km Tanzania tutegemee 90% ya bajeti kuishia kwenye matumizi ya kawaida ya kuendesha serikali. JPM aliwahi kuahidi kupunguza ukubwa wa serikali ila alipofika ikulu kumbukumbu zake zikawa zimeliwa na mchwa, ndo kwanza akaanzisha na wizara mpya ambayo hata waziri muhusika hajui majukumu yake...[emoji15]
Enewei...
Tuliambiwa tukilaumu tutoe na pendekezo, kwangu mimi nafikiri hapa ni Katiba mpya tu, labda itasaidia .