Uto wajiuliza: Tunakwama wapi, mbona wenzetu wanasonga mbele kiulaini?

Uto wajiuliza: Tunakwama wapi, mbona wenzetu wanasonga mbele kiulaini?

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Kwanza uto sikieni: Simba siyo wenzenu! Simba ni daraja jingine kabisa! N kuikosea adabu Simba kusema ni wenzenu!

Niwasaidie mnapokwama: Huku CAF hakuna cha bahasha! Huku unabebwa na uwezo wako wa soka, mmenipata?
 
Siyo mwiko kuhamia msimbazi ukiona njaa imezidi huko kwenye jamhuri ya utopolo!
 
Kwanza uto sikieni: Simba siyo wenzenu! Simba ni daraja jingine kabisa! N kuikosea adabu Simba kusema ni wenzenu!

Niwasaidie mnapokwama: Huku CAF hakuna cha bahasha! Huku unabebwa na uwezo wako wa soka, mmenipata?
Watakuelewa sasa.
 
Kwanza uto sikieni: Simba siyo wenzenu! Simba ni daraja jingine kabisa! N kuikosea adabu Simba kusema ni wenzenu!

Niwasaidie mnapokwama: Huku CAF hakuna cha bahasha! Huku unabebwa na uwezo wako wa soka, mmenipata?
[emoji23]


Jezi ya Yanga ni 'NZITO'
 
Kwanza uto sikieni: Simba siyo wenzenu! Simba ni daraja jingine kabisa! N kuikosea adabu Simba kusema ni wenzenu!

Niwasaidie mnapokwama: Huku CAF hakuna cha bahasha! Huku unabebwa na uwezo wako wa soka, mmenipata?
🤣
 
Uto wanavyojipa moyo: Kama simba imeshinda ugenini kwa nini sisi tusishinde ugenini mechi ijayo. Nina hakika tutashinda mechi ijayo ugenini 3-0!! Mimi nawaambia ukisikia ndoto ya mchana ndiyo hiyo ya uto!!
 
Sijui kama waliandika samari ya notes za jana.

Nahisi wengine walilala darasani wakimtuhumu Mkufunzi kutumia lugha na misamiati migumu kama ya Joramu Nkumbi.
 
Natamani yule msemaji wao wa zamani (Haji Manara) ajitokeze hapa atoe neno walau moja!! Haji usipite tu hapa kimya kimya!! Umefungiwa uongozi na si ushabiki!!
 
[emoji23]


Jezi ya Yanga ni 'NZITO'
Tatizo mwenge uzungukao ndani na sio nje
 
Back
Top Bottom