Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Waswahili swahili/ maneno mengi mengi katika ubora wao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ushindi wa jana ni mbio za sakafuni hamuendi kokoteKwanza uto sikieni: Simba siyo wenzenu! Simba ni daraja jingine kabisa! N kuikosea adabu Simba kusema ni wenzenu!
Niwasaidie mnapokwama: Huku CAF hakuna cha bahasha! Huku unabebwa na uwezo wako wa soka, mmenipata?
Ongeza sautiKwanza uto sikieni: Simba siyo wenzenu! Simba ni daraja jingine kabisa! N kuikosea adabu Simba kusema ni wenzenu!
Niwasaidie mnapokwama: Huku CAF hakuna cha bahasha! Huku unabebwa na uwezo wako wa soka, mmenipata?
Labda wale wapokeaji wa wageni kutoa waganga wao, lakin mechi ikiachwa kama ilivyo Myama lazima apite kwa kishindo! Ule mziki wa jana sio wa mchezo tena ugenini vipi kwa Mkapa itakuwaje?ushindi wa jana ni mbio za sakafuni hamuendi kokote
Rafiki yangu kama utafanikiwa kuwashawishi wakaku-consult halafu ukachemsha utakuwa mgeni wa nani? Watakugombania kama mpira wa kona! cc: Mshana Jr:Wani consult
Huwa mnasema hivyo hivyo na sisi hupeta hadi robo fainali. Mwaka huu tunakiwasha hadi nusu fainali au fainali kabisa.ushindi wa jana ni mbio za sakafuni hamuendi kokote
Natamani yule msemaji wao wa zamani (Haji Manara) ajitokeze hapa atoe neno walau moja!! Haji usipite tu hapa kimya kimya!! Umefungiwa uongozi na si ushabiki!!
Wanajifanya hawajauona lakini roho zinawauma sana!
Wanajifanya hawajauona lakini roho zinawauma sana!
😁🤣☝️ eti CAFCL hakuna bahasha.Niwasaidie mnapokwama: Huku CAF hakuna cha bahasha! Huku unabebwa na uwezo wako wa soka, mmenipata?
Waswahili swahili/ maneno mengi mengi katika ubora wao.
Simba sio size yao wakajifunze kwa Namungo FCPoleni wanajangwani!! Karibuni Msimbazi mjifunze!
Unajua yule pitso alivyokuja yanga day akaona team inavyocheza halafu ni unbeaten alishangaa sana aliwapa summary za kufanyia kazi lakini wakadharau kwasababu walikuwa wanapata matokea kwenye league sasa hivi wanakumbuka ushauri wake ila it's too lateUto subirini ushindi wa kimbunga wa bahasha hapa bongo!! huko CAF champions league ni maji marefu! Huko ni uwanja wa wanaume siyo wa wavulana!!