Habarini mimi nina mgodi wangu ninaoumiliki kwa mujibu wa sheria hapa katavi nina primary mining licence na nimeilipia tatizo nina toa mawe (gold ores) nimetumia watu nikagundua si waaminifu ,sasa naomba ushauri niende wapi kujifunza kuextraract gold ,wengi wanasema nitumie mercury ila wengne wanadai kuna chemical nyingne bora ,mpaka sasa nina taniya mawe (gold ore)
Habarini mimi nina mgodi wangu ninaoumiliki kwa mujibu wa sheria hapa katavi nina primary mining licence na nimeilipia tatizo nina toa mawe (gold ores) nimetumia watu nikagundua si waaminifu ,sasa naomba ushauri niende wapi kujifunza kuextraract gold ,wengi wanasema nitumie mercury ila wengne wanadai kuna chemical nyingne bora ,mpaka sasa nina taniya mawe (gold ore)
Nimeshauri hivyo kutokana na nilivyoangalia sampuli za picha ulizoweka, sababu ninachoona ni iron staining zaidi na si gold, ila kama una huhakika na uwepo wa gold then unaweza kwenda hatua moja zaidi mbele..
Habarini mimi nina mgodi wangu ninaoumiliki kwa mujibu wa sheria hapa katavi nina primary mining licence na nimeilipia tatizo nina toa mawe (gold ores) nimetumia watu nikagundua si waaminifu ,sasa naomba ushauri niende wapi kujifunza kuextraract gold ,wengi wanasema nitumie mercury ila wengne wanadai kuna chemical nyingne bora ,mpaka sasa nina taniya mawe (gold ore)
Asante nimeanza na kujua then kununua kisha nianze kazi ,karbu katavi
Hio ni gold mkuu, uhakika
Mkuu wewe ulikuwa upate machine kama hizo, ambazo unaweza kupata kuanzia dola 1500 hadi 8000 huko China.