Utofauti kati ya watu wa Dar (Mijini) na watu wa Mkoani ndio huu


Sure, hata Ulaya naamini hawana huu ujinga wetu wa kuacha mira na desturi, wazungu wanaenzi sana desturi na mila zao, japo zetu na zao hazifanani.
 
Ni kwel wanafanyia wa mikoan tu,niliwah kwenda kwa mama mkubwa kaolewa na baba angu mkubwa ila baba kwa wakat huo hakuwepo,mama alkuwa anajfanya kama mtu ambae yupo busy sana hata sio mzungumzaji,ila nilishangaa wkend moja kuna kijana alkuja pale nyumban mama alkuwa mzungumzaj sana na kucheka mpaka nkashangaa,nikajiuliza kuwa kumbe huwa ni mzungumzaj vile na mchangamfu lakin kwangu mim alkuwa muda wote yupo kimya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…