Utofauti wa mishahara katika Utumishi wa umma, kunavunja moyo na kusababisha watu kubeza kusoma sana

Utofauti wa mishahara katika Utumishi wa umma, kunavunja moyo na kusababisha watu kubeza kusoma sana

Acha kuzunguka kwa maneno mengi. Hakuna aliyesema dereva wa tanesko sio mtu.
Jibu swali nililouliza.

Nauliza tena. Dereva wa tanesko anayepeleka nguzo site, anatakiwa alipwe mshahara sawa na dereva anayemuendesha Raisi?

Kama dereva wa tanesko analipwa laki 4, dereva anayemuendesha Raisi wa nchi naye anatakiwa alipwe laki 4??

Jibu linatakiwa liwe NDIO au HAPANA.

Argument yako ni ya kitoto sana.
Kunipangia cha kukujibu ni ishara nyingine ya utoto.
Umekomaa dereva wa rais dereva wa rais what is so special na dereva wa rais??

Kuna posho na mshahara, madereva wakilingana mishahara sio kosa ni kuwaandaliwa maisha yao vema, kwenye posho watatofautiana kulingana na mazingira ya kazi.

Mwanajeshi ambaye ni ADC wa rais analipwa sawa na mwanajeshi mwenye cheo kama chake aliyepo porini huko Nachingwea, tofauti inakuja kwenye posho ambazo zinatokana na mazingira ya kazi.
Sasa kwa uelewa wako siungesema ADC wa rais alipwe maradufu?
 
Argument yako ni ya kitoto sana.
Kunipangia cha kukujibu ni ishara nyingine ya utoto.
Umekomaa dereva wa rais dereva wa rais what is so special na dereva wa rais??

Kuna posho na mshahara, madereva wakilingana mishahara sio kosa ni kuwaandaliwa maisha yao vema, kwenye posho watatofautiana kulingana na mazingira ya kazi.

Mwanajeshi ambaye ni ADC wa rais analipwa sawa na mwanajeshi mwenye cheo kama chake aliyepo porini huko Nachingwea, tofauti inakuja kwenye posho ambazo zinatokana na mazingira ya kazi.
Sasa kwa uelewa wako siungesema ADC wa rais alipwe maradufu?
Mbona unaogopa swali?
Be a man. FACE THE QUESTION ASKED na sio kujibu ambacho sijakuuliza.

Mimi sijauliza hizo stori za sijui mwanajeshi, sijui ADC...

Mimi nimekuuliza, Je Mshahara wa Dereva wa halmashauri/tanesko unatakiwa uwe sawa na Mshahara wa dereva wa rais?

Jikite hapo kwenye swali langu specifically, Jibu hilo nililouliza bila kutafuta vichaka.
 
Argument yako ni ya kitoto sana.
Kunipangia cha kukujibu ni ishara nyingine ya utoto.
Umekomaa dereva wa rais dereva wa rais what is so special na dereva wa rais??

Kuna posho na mshahara, madereva wakilingana mishahara sio kosa ni kuwaandaliwa maisha yao vema, kwenye posho watatofautiana kulingana na mazingira ya kazi.

Mwanajeshi ambaye ni ADC wa rais analipwa sawa na mwanajeshi mwenye cheo kama chake aliyepo porini huko Nachingwea, tofauti inakuja kwenye posho ambazo zinatokana na mazingira ya kazi.
Sasa kwa uelewa wako siungesema ADC wa rais alipwe maradufu?
Wewe ni mjinga. Kabisa unauliza eti dereva wa raisi Ana nini special??
Ungekuwa karibu ningekukata kibao
 
Mbona unaogopa swali?
Be a man. FACE THE QUESTION ASKED na sio kujibu ambacho sijakuuliza.

Mimi sijauliza hizo stori za sijui mwanajeshi, sijui ADC...

Mimi nimekuuliza, Je Mshahara wa Dereva wa halmashauri/tanesko unatakiwa uwe sawa na Mshahara wa dereva wa rais?

Jikite hapo kwenye swali langu specifically, Jibu hilo nililouliza bila kutafuta vichaka.
Huyo jamaa ni mjinga, na Kama ni muajiriwa basi boss wake kazi anayo.
Haoni utofauti Kati ya dereva wa raisi na madereva wa halmashauri. Eti anauliza kabisa dereva wa raisi Ana nini special
Watu Kama Hawa ni wa kuwachapa vibao
 
Wakati watu wanahimizwa kusoma tangu utotoni na kujiendeleza hata wakiwa makazini, ila ukweli ni kwamba, kusoma sana na kupata ma-degree mengi, sometimes huwa hakuna maana sana na hii ni kutokana na ulipaji wa mishahara serikalini kutegemea mtu anafanya kazi katika taasisi au shirika gani la umma.

Unaweza kuwa na masters ila kama uko wizarani au katika Halmshauri, unawezakuta unazidiwa mshahara na mtu mwenye Bachelor au hata Diploma anaefanya kazi katika taasisi (mara nyingi hizi Authority) za serikali. Hapo bado marupurupu.

Kwa mfano, dereva mwenye form iv anaeanza kazi pale BOT au TRA, sijui kama anazidiwa mshahara na mtumishi anaenza kazi akiwa na Diploma au Bachelor katika Halmshauri zetu.

Haya mambo ya kila taasisi kuwa na scale zake za mishahara, sometimes kunaondoa kabisa maana nzima ya kukaa darasa moja na kusotea degree ile ile wakati mkija kuajiriwa mmoja anakuwa yuko mawingumi na mwingine ardhini.

Kuna umuhimu wa serikali kutazama upya jambo hili na kufanya harmonisation ya mishahara serikalini ili kuondoa hali hii.Mambo ya kusema kuna taasisi zinazalisha au zinaingiza fedha serikalini hakutoia uhalali wa huu upendeleo kwani elimu waliyonayo wangeipata wapi bila mwalimu au wakiuguwa bila daktari au nesi watakuwa na afya ya kukusanya hizo hela na kuzipeleka serikalini au kutoa gawio kwa serikali?

Kama huu utofauti ni lazima uwepo (haukwepeki!), basi uwe reasonable na sio kuwa na ma- gape makubwa na ya kukatisha tamaa kwani ukweli wote tunategemeana. Wewe unaelipwa mshahara wa mamilioni, bila Polisi usalama wa mali zako ungetoka wapi?

Siku tukipata mtawala ataeamua kuweka wazi/hadharani scale za mishahara kwa watumishi wa umma, nadhani siku hiyo mitandao ya kijamii itashindwa kuhimili mijadala itayoibuka baada ya hapo jna huyo Raisi atajizolea sifa nyingi iwapo atahakikisha kunawakuwa na harmonisation ya mishahara.

Kama mnasema kila mtu na bahati yake, basi hata wakati wa ukoloni wazungu na wahindi ilikuwa sahihi kulipwa mishahara minono kutokana na bahati yao ya kuwa na ngozi nyeupe.
Mkuu Kuna kitu kwenye andiko lako muhim Sana, mfano mfagiaji wa tamisem au wizara yoyote mshahara wake huwezi linganisha na mwalim wa certifi
 
Nenda Kalime kama unaona mshahara hautoshi. Pimbi
Wewe nakufuta katika ulimwengu wa roho na kimwili ,kataliwa popote upitapo ,ofisin kwako , mpaka familia yako,na imekua.
Mtu anakuja na hoja ya maana unaleta ujua jua hapa , nakupa miezi 7 kuanzia Sasa you will see
 
Ndomana nimegoma kwenda kusomea masters,walinipa Hadi scholarship ya nje ya nchi,nikawaambia hali yangu hairuhusu kwenda, degree hii moja inanitosha Sana🙅👊🏼tena.
Mimi niliajiriwa na diploma nikaenda kusoma bachelor na masters na nipo darasani kusoma masters ya pili halafu niunge PhD.

Na niko halmashauri na sijawahi juta.

#YNWA
 
Na wa Tanesco alipwe 3mln ndo inavyotakiwa uwe umesoma elimu moja nk suala ni mazingira ya kazi ni tofauti na mashirika hayo yanatakiwa kuzalisha na kiasi wanachozalisha na kikupwa kuliko services za salary zao but nyie wa Halmashauri kwanza hata kujiendesha hamuwezi lakini pia unyeti wa kazi.

Ukimlipa Tbs vihela vya huko Halmashauri atahongwa mpate bidhaa feki afu mufe tuu kama mizogo
Kwahiyo TBS ni bora kuliko halmashauri?
Halmashauri mbona maafisa biashara nao hukamata vitu feki, Wao hawajui utamu wa kuhongwa?
#YNWA
 
Kama unasoma madegree mengi ili upate pesa nyingi unajidanganya.

Kama unasoma sana ili upate mshahara mkubwa uwe tajiri unajiandalia umasikini.

Kama unasoma ili uwe na confidence upo sahihi.

Kinachokera maendeleo kwa binadamu yeyote siyo Madegree ya Vyeti, bali ni akili uliyozaliwa nayo. Kwa hiyo ili uendelee unapaswa kuondoa elimu zote za darasani na ubaki na akili tu uliyozaliwa nayo ambako huko kuna gifted na talented.
 
Mtu anaona kabisa pale wanalipa vizuri kuliko hapa. Badala ya kuhamia wanakolipa vizuri anataka wamuongezee pesa nyingi akiwa pale pale na uzalishaji ule ule[emoji3][emoji3]

Aisee unatakiwa kuhama ndugu.

Kwamba dereva anayemuendesha raisi alipwe sawa na dereva anayemuendesha afisa wa halmashauri?[emoji3][emoji3]

Au dereva wa Tanapa alipwe sawa na dereva wa halmashauri [emoji2960]

Hebu kaa chini fikiria kidogo reasons behind, kwanini mshahara uko tofauti?
Kwamba halmashauri Hawana umuhimu na Kazi zao ni ndogo sanaa?

Halmashauri ya ilala kwa robo ya pili ya mwaka imekusanya Bil 18.8.
Nao si wanazalisha?

#YNWA
 
Mshahara unalipwa kutokana na kiwango Cha uzalishaji wa mtumishi husika na sio kiwango Cha elimu,unaweza ukawa na PhD lakini umhimu wako ukazidiwa na mwenye diploma
Halmashauri kwa robo ya pili ya mwaka wa Fedha zimekusanya Zaidi ya Bil 300.

Hizi Sio pesa?

#YNWA
 
Kuelewa kwako utofauti wa dereva wa judge na dereva wa halmashauri ni Jambo zuri Sana na linajibu hoja yenu ya utofauti wa mishahara.[emoji2936]
Chagua mifano linganifu. Dereva wa TMA na dereva wa halmashauri, wote wanaendesha wakuu wa idara. Haya tetea hoja yako
 
Kwa nini huutaki mfano wangu? Unaona unakubana kwenye kona?

Point ya mwanzisha uzi ni LEVEL YA ELIMU.
Kwamba kama level ya elimu ni sawa, basi mishahara ilingane regardless ya taasisi inayoajiri.

Sasa ndio ninakuuliza. Dereva wa tanesko mwenye level ya elimu sawa na Dereva wa Rais, Je walipwe sawa?

Wote walipwe lets say laki 4 kwa sababu ya elimu zao kuwa sawa.

Hilo ndilo swali unalopaswa kulijibu.
Na wewe unaona mfano wangu unakubana kwenye kona ndo maana unakimbia
 
Wakati watu wanahimizwa kusoma tangu utotoni na kujiendeleza hata wakiwa makazini, ila ukweli ni kwamba, kusoma sana na kupata ma-degree mengi, sometimes huwa hakuna maana sana na hii ni kutokana na ulipaji wa mishahara serikalini kutegemea mtu anafanya kazi katika taasisi au shirika gani la umma.
soma ili uweze kupambana na changamoto za dunia,we unasoma ili uajiriwe serikalini?
 
Na wewe unaona mfano wangu unakubana kwenye kona ndo maana unakimbia
Mimi ndiye niliyeuliza swali toka mwanzoni kabisa. Ila kwa sababu huna jibu lake naona unapiga danadana hapa.

Ungekuwa na la kujibu ungeshajibu mda mrefu bila kujaza servers na maneno mengi yasiyojibu nilichouliza.

Cha msingi, wewe tafuta nafasi kwenye hizo taasisi ili upige mshahara mrefu kama wenzako na sio kulia machozi ya mamba kuombea wenzako washushwe ili mlingane.
 
Sio wewe tu, hata Mh Rais huwa analalamika.....yeye analipwa 9m wakati kuna wengine huko wanaliowa 15m na zaidi ....kwa mwezi!
 
Back
Top Bottom