Gody
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 1,246
- 413
Habari, wanajamvi
Naomba msaada mpaka sasa bado mwenzenu sijabahatika kupata mtoto.
Swali langu ni; Je, nikishaanza kutoa mbegu(kupiz) huwa haziruki zinatoka kama vile unamimina maji kutoka kwenye kikombe kwenda chini, sasa naweza mpa mke wangu ujauzito?
Kuna watu wanasema haiwezekani lakini inasemekana kuwa hata ukigusisha tu uume mbegu zinachungulia m/ke anaweza kupata mimba!
Naombeni msaada wa maelezo kwa kina!
Asanten!
Naomba msaada mpaka sasa bado mwenzenu sijabahatika kupata mtoto.
Swali langu ni; Je, nikishaanza kutoa mbegu(kupiz) huwa haziruki zinatoka kama vile unamimina maji kutoka kwenye kikombe kwenda chini, sasa naweza mpa mke wangu ujauzito?
Kuna watu wanasema haiwezekani lakini inasemekana kuwa hata ukigusisha tu uume mbegu zinachungulia m/ke anaweza kupata mimba!
Naombeni msaada wa maelezo kwa kina!
Asanten!