Utokaji wa mbegu za kiume(speed)

Utokaji wa mbegu za kiume(speed)

Kula Almond (Lozi) #1Oct 17, 2011

Lozi (Almond):

Lozi inajulikana kama ni King katika jamii ya njugu, ina elements karibia ya zote zinazohitajika katika mwili wa mwanadam. Ni chakula chenye kutia nishati mwili na akili.
Kuna aina mbili za Lozi, kuna lozi zile tamu na kuna lozi chungu kuna zenye ngozi nyembamba (thin-skinned) na kuna zenye ngozi nene(thick-skinned) hii ni katika aina ya lozi tamu ambazo ndio tunazozitumia na tunahitajika kutumia ama zile lozi chungu zina prussic acid ambayo ni sumu hata hivo hizo lozi chungu zinatumika katika mambo ya kutengenezea cosmetics, mafuta ya lozi (almond oil) pia na perfum

asante kwa ushauri lkn huwa natumia hizo tamu
 
Mi najua speed inatoka kubwa sana kile kipindi cha balehe. Unaweza kurusha kitu hadi nyumba ya jirani. Lakini umri unavyozidi kwenda ile speed hupungua hadi kufikia level haziruki tena. Ukiona haziruki haiihitaji ramli kujua kwamba utu uzima umekuingilia
kumbe....
 
asante mkuu ndio maana nikaja hapa nikiwa naiman jf ni mkusanyiko wa watu wengi na wangine ni zaidi ya madoctor!.
Mawazo ya kupata mtoto ndio ya nakusumbua,relax usiwe na wasiwasi,kama utaambiwa huna tatzo, wewe jarbu mara kadhaa utapatia tu. Wakati unatoa mbegu jarbu kupeleka deep sana hata inasaidia.
 
Mawazo ya kupata mtoto ndio ya nakusumbua,relax usiwe na wasiwasi,kama utaambiwa huna tatzo, wewe jarbu mara kadhaa utapatia tu. Wakati unatoa mbegu jarbu kupeleka deep sana hata inasaidia.

NAKUSHUKURU
 
Back
Top Bottom