kimanuamanua
Member
- Sep 25, 2013
- 80
- 15
Nimesoma kwenye jarida moja kuhusu utoko na hasara/faida zake...
"Utoko unaotoka Mchana unalinda Uke dhidi ya Magonjwa lakini ule wa usiku una "panua" Uke....ndio maana ni muhimu Kujiswafi asubuhi"
Kwani utoko ni nini?
Du! Hilo jina la Utoko nilisikia miaka mingi sanaaa.
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Dr. MziziMkavu njoo utusaidie tafadhali...
Mbona kuna mengi ya kuandika sasa hili la nini. Unamdhalilisha hata mama yako ujue. Tuwe makini katika kuandika mambo mengine maana hili halina mantiki ila kutukana wanawake!Nimesoma kwenye jarida moja kuhusu utoko na hasara/faida zake...
"Utoko unaotoka Mchana unalinda Uke dhidi ya Magonjwa lakini ule wa usiku una "panua" Uke....ndio maana ni muhimu Kujiswafi asubuhi"
Kwani utoko ni nini?
Najaribu tu kufikiria kizembe...hivi hii habari kama ni kweli si wanawake wangekuwa na nyuchi pana kiasi wengine zingekuwa zaelekea kitovuni...
Utoko ni ute mzito mweupe(as maziwa mtindi) kiafya kama hayana harufu wala rangi kama ya njano or brownish hayana madhara yoyote
kizazi huwa kinajisafisha chenyewe throughout out your calender na kiafya haishauriwi kujitia vidole ndani ya uchi/tupu na kujitoa ute huo mzito kwani pia una bakteria maalum kwa kulinda uke
haimanishi usijisafishe ila safisha vizuri mashavu ya uke pamoja na mikunjo yake kiungalifu na umakini mkubwa kwa maji ya kutosha bila sabuni.
sijui kama ina ukweli hiyo,,, lakini asante kwa elimu.