kimanuamanua
Member
- Sep 25, 2013
- 80
- 15
Nimesoma kwenye jarida moja kuhusu utoko na hasara/faida zake...
"Utoko unaotoka Mchana unalinda Uke dhidi ya Magonjwa lakini ule wa usiku una "panua" Uke....ndio maana ni muhimu Kujiswafi asubuhi"
Kwani utoko ni nini?
"Utoko unaotoka Mchana unalinda Uke dhidi ya Magonjwa lakini ule wa usiku una "panua" Uke....ndio maana ni muhimu Kujiswafi asubuhi"
Kwani utoko ni nini?