Utopolo msituletee makasiriko yenu. Simba SC ni next level, sijui mtaelewa lini..

Ndio manana halisi ya another level.
 
Tunaipongeza Simba yetu kwa udhamini huu mnono, tusisahau kuwakumbushia zile B20 za mwamedi ili tujumlishie na hizi 26 ziwe 46 tuendeshee timu yetu tumpige gepu jirani yetu maana wanatamba sana
Tayari kinyesi kimejaa kwenye pampas kabadili haraka
 
Jamaa anakaba hadi penati, hakuna cha CEO wala nani, kila kitu yeye. Senzo akaona isiwe taabu!

 
Hata ukichukua mkataba wa miaka 3 wa simba na m-bet bado wanaizidi Yanga 2 bilioni
 
Uto na makasiriko,Simba ni next level endeleeni kujinyea.
 
Nasikia wako kila sehemu wanatafuta wavujishe ila bila bila
Hawawezi kuacha kuhangaika, tatizo Simba SC this time mambo yamefanyika Ulaya... sio kule walipopazoea.


Hii ndio maana ya Taifa Kubwa.
 
Hata ukichukua mkataba wa miaka 3 wa simba na m-bet bado wanaizidi Yanga 2 bilioni
Huu ukweli ndio unawauma mpaka wanalazimisha kutunga kila aina ya uongo ili wajiliwaze.
 
Shida kila sehemu ni siasa, na sisi kwa upuuzi tunashabikia. Tumeona hii mikataba ya Simba na Yanga? Au tunafurahia figures tu? Ndio maana tunapigwa sana na wanasiasa, huwa hatuna uwezo wa kuhoji.
 
Mkuu usiamini sana unachoonyeshwa kwenye Tv hasa ukiwa hapa Tz.
Anyway soma tena.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
"Simba SC hatuna wa kufanana naye, tumeamua kuruka kivyetu" - Ahmed Ally.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…