Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Mechi ya jana na leo huwezi kuona mtu analaumiwa ni kiroho safi, jana utopolo na Kagera mechi ya utata.
Leo Simba imeshinda kiroho safi hata utopolo wanaona aibu kubebwa
Simba imecheza hakuna fujo, foul au kupendelewa, utopolo mnajionaje?
Kama mnabisha leteni ushahidi
Leo Simba imeshinda kiroho safi hata utopolo wanaona aibu kubebwa
Simba imecheza hakuna fujo, foul au kupendelewa, utopolo mnajionaje?
Kama mnabisha leteni ushahidi