OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hahahah
Utopolo plus na kuna Ulta utopolo plus
Sio kweli utopolo ni yangaUtopolo ni Simba na Yanga,uzuri hata JPM alishalisemea hili siku anawaapisha mawaziri
Done with your usual regurgitation?Mashaka Kapingo shabiki wa YanDone with your usualga siku alipochefukwa na kipigo cha 3 bila dhidi ya Kagera ndipo akatuitie jina Utopolo.
Hakika jina limewapendeza na limewakaa vyema. Jina hili litadumu karne na karne.
Jina limefanana vyema na mashabiki wa Yanga wazee wa Utopolo na hata viongozi wao huwaona mashabiki Utopolo.
Heri ya Xmas na Mwaka Mpya Utopolo wote wa JF
this is social media.let us socializeDone with your usual regurgitation?
Hapa tunazungumzia aliyebatizwa jina tamu mkuu...acha Utopolo!
Alkadhalika jina ''Mikia fc" "mbumbumbu fc"Mashaka Kapingo shabiki wa Yanga siku alipochefukwa na kipigo cha 3 bila dhidi ya Kagera ndipo akatuitie jina Utopolo.
Hakika jina limewapendeza na limewakaa vyema. Jina hili litadumu karne na karne.
Jina limefanana vyema na mashabiki wa Yanga wazee wa Utopolo na hata viongozi wao huwaona mashabiki Utopolo.
Heri ya Xmas na Mwaka Mpya Utopolo wote wa JF