Utopolo ni jina litakalodumu karne na karne-asante bwana Mashaka

Utopolo ni jina litakalodumu karne na karne-asante bwana Mashaka

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Mashaka Kapingo shabiki wa Yanga siku alipochefukwa na kipigo cha 3 bila dhidi ya Kagera ndipo akatuitie jina Utopolo.

Hakika jina limewapendeza na limewakaa vyema. Jina hili litadumu karne na karne.

Jina limefanana vyema na mashabiki wa Yanga wazee wa Utopolo na hata viongozi wao huwaona mashabiki Utopolo.

Heri ya Xmas na Mwaka Mpya Utopolo wote wa JF
 
Mashaka Kapingo shabiki wa YanDone with your usualga siku alipochefukwa na kipigo cha 3 bila dhidi ya Kagera ndipo akatuitie jina Utopolo.

Hakika jina limewapendeza na limewakaa vyema. Jina hili litadumu karne na karne.

Jina limefanana vyema na mashabiki wa Yanga wazee wa Utopolo na hata viongozi wao huwaona mashabiki Utopolo.

Heri ya Xmas na Mwaka Mpya Utopolo wote wa JF
Done with your usual regurgitation?
 
Mashaka Kapingo shabiki wa Yanga siku alipochefukwa na kipigo cha 3 bila dhidi ya Kagera ndipo akatuitie jina Utopolo.

Hakika jina limewapendeza na limewakaa vyema. Jina hili litadumu karne na karne.

Jina limefanana vyema na mashabiki wa Yanga wazee wa Utopolo na hata viongozi wao huwaona mashabiki Utopolo.

Heri ya Xmas na Mwaka Mpya Utopolo wote wa JF
Alkadhalika jina ''Mikia fc" "mbumbumbu fc"
 
Back
Top Bottom