OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hivi mtafanya siri mpaka lini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tate Mkuu ukikaidi utapigwa2 zipompa Frank Wanjiru redio demigod Chukwu emekaView attachment 2337263
Hivi mtafanya siri mpaka lini?
Basi mwaka huu mtawafunga YangaView attachment 2337263
Hivi mtafanya siri mpaka lini?
Ni jambo zuri kama atasajiliwa mshambuliaji mwingine kabla ya dirisha la usajili kufungwa rasmi.Tate Mkuu ukikaidi utapigwa2 zipompa Frank Wanjiru redio demigod Chukwu emeka
Daudi Mchambuzi
..njooni haraka huku mkikimbia.
Rudi kwenye madaBasi mwaka huu mtawafunga Yanga
Unalalamika nini sasa?View attachment 2337263
Hivi mtafanya siri mpaka lini?
Ambaye huyo mshambuliaji hatashiriki mashindano ya Club bingwaNi jambo zuri kama atasajiliwa mshambuliaji mwingine kabla ya dirisha la usajili kufungwa rasmi.
Maana walitakiwa kumpima afya kwanza huyo mchezaji, na kujiridhisha kama mchezaji yuko fit! Hivyo katika hili, nakubali viongozi wa Yanga walipuyanga.
Au tunavunja kabisa kibubu na kumpa mkataba Meneja wenu wa habari Ahmed Ally! Nasikia enzi zake alikuwa ni striker hatari sana.
Masikini weee wamenunua mbuzi kwenye gunia kufika nyumbani kufungua wanakuta fungo.View attachment 2337263
Hivi mtafanya siri mpaka lini?
We jamaa wakati mwingine huwa unakera!!! [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Au tunavunja kabisa kibubu na kumpa mkataba Meneja wenu wa habari Ahmed Ally! Nasikia enzi zake alikuwa ni striker hatari sana.
lori hata trip moja halijabeba mnapeleka gerejiUnalalamika nini sasa?
Waliopo wanatosha kuwafilimbalori hata trip moja halijabeba mnapeleka gereji
Kwani Mayele hawaridhishi? Mwambieni atumie dawa za kuongeza nguvulori hata trip moja halijabeba mnapeleka gereji
Vipi Kapama na Akpan wana hali gani hapo Bunjulori hata trip moja halijabeba mnapeleka gereji