permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Manzoki kashatua?View attachment 2337263
Hivi mtafanya siri mpaka lini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Manzoki kashatua?View attachment 2337263
Hivi mtafanya siri mpaka lini?
Chambua hapaIngetokea simba tusingelala na yule nguruwe pori.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni jambo zuri kama atasajiliwa mshambuliaji mwingine kabla ya dirisha la usajili kufungwa rasmi.
Maana walitakiwa kumpima afya kwanza huyo mchezaji, na kujiridhisha kama mchezaji yuko fit! Hivyo katika hili, nakubali viongozi wa Yanga walipuyanga.
Habari hizi hua wanajadili facebook....sio hapa JFView attachment 2337263
Hivi mtafanya siri mpaka lini?
Walimwita drogba anayekipiga africa.....makolo banaChambua hapaView attachment 2337655
Habari hizi hua wanajadili facebook....sio hapa JF
Tumeuona uwezo wao je huyo jebra kambole mmamecheza mechi gani tangu asajiliwe?Vipi Kapama na Akpan wana hali gani hapo Bunju
haaa haaTumeuona uwezo wao je huyo jebra kambole mmamecheza mechi gani tangu asajiliwe?
Wewe hivi kwa akilinyako yanga wanaweza kununua mchezaji mgonjwa?View attachment 2337263
Hivi mtafanya siri mpaka lini?
Kwani Kambole yuko timamu?Habari zote mnazoongea kuhusu wachezaji wa Yanga ni uongo mtupu
Hata huyu huu ni ugonjwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bigirimana pia ni mgonjwaa, wakumbushe viongozi wako huko.
Maskini weee hadi unalia, uwiiiioh
Ataanzaje mazoezi miezi miwili kati ya sita ya mkabata imeisha pia alisajiliwa mzimaNdio maana tunaitwa makolo au mambumbumbu ndio nimeelewa zaidi sababu kambole kaanza mazoezi
Habari zote mnazoongea kuhusu wachezaji wa Yanga ni uongo mtupu
Habari hizi hua wanajadili facebook....sio hapa JF